×

Global TV Online

Mafuriko Jangwani, Hali ni Mbaya, Makonda Atinga Kushuhudia – VIDEO

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimesababisha maafa makubwa ikiwemo mafuriko katika eneo la Jangwani, ambapo hali imeonekana...

READ MORE

SAKATA LA DNA: Makonda Awataka Vigogo Hawa Wasimjaribu – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Jumamosi Aprili 14, 2018 amefunguka kuhusu oparesheni yake maalum ya...

READ MORE

SPOTI HAUSI: SINGIDA UNITED- Kocha Wetu Haendi Yanga, Azam FC

KATIKA Kipindi cha Spoti Hausi leo tunajadili kuhusu mafanikio na mipango ya Klabu ya Soka ya Singida United, ambapo tutakuwa...

READ MORE

JPM AMBADILISHA BODIGADI WAKE, AWAPANDISHA VYEO 28- VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameridhia na kuwapandisha vyeo maofisa 28 wa Jeshi la Wananchi...

READ MORE

YANGA: Tulikua Tunahitaji Sana Kushinda, Ubingwa Bado (Video)

Kocha Msaidizi wa Yanga, Shedrack Nsajigwa azungumzia mchezo wao wa Singida United walitaka sana kushinda wamepambana but wamekubali matokeo yaliyopatikana...

READ MORE

Uwoya Kakolea! Achora Tattoo ya Janja, Nampenda Hadi Naumwa! – VIDEO

  Ndoa ya muigizaji, Irene Uwoya na Mbongo Fleva, Dogo Janja, inazidi kustawi kutokana na wawili hao kuendelea kuonyeshana mahaba...

READ MORE

SELASINI: SERIKALI KWANI MMEMTUMA MUSIBA, MBONA MNAMKALIA KIMYA?- VIDEO

MBUNGE wa Rombo, Joseph Selasini, ameitaka serikali kuchukua hatua dhidi ya Cyprian Musiba, akidai kuwa amekuwa akiitisha mikutano na waandishi wa...

READ MORE

BUNGE LIVE: Mkutano wa 11 Kikao cha Sita – VIDEO

Kikao cha sita mkutano wa 11 Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tayari kimeanza Bungeni Dodoma, wabunge...

READ MORE

‘BWEGE’ AKINUKISHA BUNGENI, ASAPOTI WARAKA WA MAASKOFU – VIDEO

MBUNGE wa Kilwa Kusini, Said Bungara (CUF) maarufu kama ‘Bwege’, amesema hakubaliani na kipengele kilichopo kwenye hotuba ya Waziri Mkuu,...

READ MORE

Spika Ndugai Arejea Bungeni Kuongoza Mkutano wa 11

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Aprili 9, 2018 amerejea bungeni rasmi katika mkutano...

READ MORE

Video: Maneno Ya Askofu wa Arusha Isaac Amani Baada Ya Kusimikwa

MISA na sherehe ya kumsimika aliyekuwa Askofu wa Jimbo la moshi Askofu Mkuu Mteule, Isaac Amani inaendelea katika Parokia ya...

READ MORE

LIVE : KUSIMIKWA KWA ASKOFU MKUU JIMBO KATOLIKI ARUSHA

MISA na sherehe ya kumsimika aliyekuwa Askofu wa Jimbo la moshi Askofu Mkuu Mteule, Isaac Amani inaendelea katika Parokia ya...

READ MORE