×

Global TV Online

WEMA MAHAKAMANI: Sina Matumaini Yoyote, Bora Masogange Alishahukumiwa – VIDEO

Malkia wa Bongo Muvi, Wema Sepetu, amefika tena mahakamani leo kusikiliza kesi inayomkabili ya matumizi ya madawa ya kulevya, ambpo...

READ MORE

Zamaradi: “Niliishi kwa Masogange Sauz, Msiba Umeniumiza Sana” (Video)

MTANGAZAJI Maarufu wa Televisheni na redio, Zamaradi Mketemea amefunguka na kueleza alivyoguswa na msiba wa msanii, Agnes Gerard Masogange, aliyefariki...

READ MORE

TUJIKUMBUSHE: Marehemu Masogange Alivyohukumiwa Kwenda Jela! (Video)

TUJIKUMBUSHE: Marehemu Agness Masogange, alivyohukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya Tsh....

READ MORE

MSUVA, MANARA Wamlilia Masogange (Video)

Msemaji wa Kalbu ya simba Haji Mnara na Mshambuliaji anayekipiga katika klabu ya Diffa El Jadida ya nchini Morocco Simon...

READ MORE

Waziri Mkuu Azindua Ujenzi wa Maghala ya Chakula na Vihenge – VIDEO

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, Kassim Majaliwa ameweka jiwe la Msingi la Ujenzi wa Maghala ya Chakula na Vihenge...

READ MORE

SPOTI HAUSI LIVE: KUTANA NA BABA WA MBWANA SAMATTA LIVE

SpotiHausi ni kipindi cha #michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi saa 10:00 jioni leo usikose kutazama tutakuwa na mgeni...

READ MORE

MUSUKUMA: “Lema Sasahivi Amekuwa Binadamu, Mbona CCM Wamechinjwa Kibiti, Acheni Kelele” – VIDEO

Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma, amemuomba, Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi, kupeleka bungeni muswada ili waweze...

READ MORE

Mafuriko Jangwani, Hali ni Mbaya, Makonda Atinga Kushuhudia – VIDEO

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimesababisha maafa makubwa ikiwemo mafuriko katika eneo la Jangwani, ambapo hali imeonekana...

READ MORE

SAKATA LA DNA: Makonda Awataka Vigogo Hawa Wasimjaribu – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Jumamosi Aprili 14, 2018 amefunguka kuhusu oparesheni yake maalum ya...

READ MORE

SPOTI HAUSI: SINGIDA UNITED- Kocha Wetu Haendi Yanga, Azam FC

KATIKA Kipindi cha Spoti Hausi leo tunajadili kuhusu mafanikio na mipango ya Klabu ya Soka ya Singida United, ambapo tutakuwa...

READ MORE

JPM AMBADILISHA BODIGADI WAKE, AWAPANDISHA VYEO 28- VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameridhia na kuwapandisha vyeo maofisa 28 wa Jeshi la Wananchi...

READ MORE

YANGA: Tulikua Tunahitaji Sana Kushinda, Ubingwa Bado (Video)

Kocha Msaidizi wa Yanga, Shedrack Nsajigwa azungumzia mchezo wao wa Singida United walitaka sana kushinda wamepambana but wamekubali matokeo yaliyopatikana...

READ MORE

Uwoya Kakolea! Achora Tattoo ya Janja, Nampenda Hadi Naumwa! – VIDEO

  Ndoa ya muigizaji, Irene Uwoya na Mbongo Fleva, Dogo Janja, inazidi kustawi kutokana na wawili hao kuendelea kuonyeshana mahaba...

READ MORE

SELASINI: SERIKALI KWANI MMEMTUMA MUSIBA, MBONA MNAMKALIA KIMYA?- VIDEO

MBUNGE wa Rombo, Joseph Selasini, ameitaka serikali kuchukua hatua dhidi ya Cyprian Musiba, akidai kuwa amekuwa akiitisha mikutano na waandishi wa...

READ MORE