×

Global TV Online

Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 13 Januari, 2026, amewaapisha mawaziri na viongozi...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lamshikilia Mwanaume kwa Tuhuma za Ukatili dhidi ya Mtoto – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Joseph Daudi Mwakalinga maarufu kama @jiggerman, mkazi wa Zimbili, Kinyerezi,...

READ MORE

NECTA Yatangaza matokeo ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili, Yapo Hapa – Video

  Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Januari 10, 2026  limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne...

READ MORE

Video: Rais Samia Awateua Mpango na Majaliwa Kuwa Washauri Wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko makubwa ya kimkakati katika safu ya washauri...

READ MORE

Trump Atangaza Msimamo Mkali Greenland Lazima Ichukuliwe

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema taifa hilo lipo tayari kuhakikisha linachukua udhibiti wa kisiwa cha Greenland kwa njia yoyote...

READ MORE

Taifa Stars Waweka Historia, Wapokelewa na Viongozi wa Serikali Dar (Picha +Video)

Viongozi mbalimbali wa Serikali, wakiongozwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi, walipokea kwa shangwe...

READ MORE

Baada ya Kumng’oa Maduro, Trump Afungua Mlango wa Mazungumzo na Colombia

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema atakutana na Rais wa Colombia, Gustavo Petro, katika Ikulu ya White House hivi karibuni,...

READ MORE

Mke wa Saidi Fella Awaomba Watanzania na Rais Samia Kumsaidia mume wake – Video

Mke wa Saidi Fella, Sweet Fella, amewaomba Watanzania wajitokeze kumsaidia mume wake ili aweze kurejeshwa India kwa ajili ya matibabu...

READ MORE

Video: Mwenyekiti wa Mtaa wa Oysterbay Aeleza Mtego Uliowanasa Wachina

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Oysterbay, Mololo Mwaisumo, ameuelezea umma namna walivyofanikiwa kuwaweka mtegoni na kuwanasa raia wawili wa...

READ MORE

Raia Wawili wa China Wakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi – Video

Raia wawili wa China, Weisi Wang (41) na Yao Licong, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na kesi...

READ MORE

Video: Wachina Waliokamatwa Na Maburungutu Ya Pesa, Takukuru Wabaini Ni Za Utapeli

Kamanda wa TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni, Christian Nyakizee, ametoa ufafanuzi kuhusiana na sakata...

READ MORE

Ramaphosa Amkosoa Marekani: ‘Hujuma Dhidi ya Venezuela Inakiuka Mamlaka ya Nchi

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amepinga kikamilifu hujuma ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela ambayo amesema inadhoofisha mamlaka...

READ MORE

Video: Kaka wa Lissu Afichua Hali ya Familia Yao Baada ya Kesi ya Uhaini

Wakili Alute Mughwai, kaka wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema mwaka 2025 ulikuwa mgumu sana kwa...

READ MORE

Simbachawene: Polisi lazima walinde raia kwa haki, usawa na uadilifu – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka maafisa wakaguzi na askari wa Jeshi la Polisi wa vyeo...

READ MORE

Wachina Wakamatwa Dar Wakiwa Na Bilioni 6 Ndani Ya Nyumba – Video

Taarifa zilizosambaa mapema leo, Januari 6, 2026, kwenye mitandao ya kijamii zimeeleza kuwa raia kadhaa wa China wamekamatwa katika eneo...

READ MORE

#Part2: Mkasa Wa Kweli Wa Mtumishi Mathayo Aliyegeuzwa Fisi Abebe Maiti, Aomba Msaada – Video

Katika kijiji cha Balangda, wilayani Hanang’, mkoani Manyara, anaishi Mathayo Darema, mtumishi wa Mungu mwenye ulemavu ambaye miaka mitatu iliyopita...

READ MORE

Video: Kikwete Asema Urais ni Mpango wa Mungu, Afafanua Nafasi ya Kiongozi

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, amesema suala la kuwa kiongozi hususan urais ni mipango ya Mungu. Kikwete amesema tume iliyoundwa...

READ MORE

Kamala Harris Amshambulia Donald Trump Kufuatia Kukamatwa kwa Maduro

Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani, Kamala Harris, amemshambulia vikali Rais Donald Trump kufuatia uamuzi wa serikali ya Marekani...

READ MORE

Video: ‘Wachawi Walinigeuza Fisi Nibebe Maiti – Nimeteseka Zaidi Ya Miaka 14’ – Mtumishi Mathayo Darema

Katika kijiji cha Balangda, wilayani Hanang’, mkoani Manyara, anaishi Mathayo Darema, mtumishi wa Mungu mwenye ulemavu ambaye miaka mitatu iliyopita...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Akagua Ujenzi wa Madrasa Ali Ba Alawi Kiluvya – Video

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, amefika kukagua ujenzi wa Madrasa Ali Ba Alawi Kiluvya, ambayo miezi kadhaa iliyopita...

READ MORE

Rais wa zamani wa Brazil Aruhusiwa Hospitali, Arudishwa Gerezani

Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ameondoka hospitalini katika Mji Mkuu wa Brasilia, wiki moja baada ya kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Polisi Waendelea na Uchunguzi Ajali ya Lori Morogoro – Video

Polisi Mkoa wa Morogoro limetoa taarifa kwa umma kuwa linaendelea na uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Desemba 31,...

READ MORE

Baada ya Miezi 10 Gerezani Sudan Kusini, Dereva Juma Maganga Aachiwa Huru – Video

Baada ya miezi 10 akiwa gerezani nchini Sudan Kusini, dereva wa magari makubwa wa mizigo, Juma Ally Maganga (45), ameachiliwa...

READ MORE

TRA Yavunja Rekodi, Oktoba hadi Desemba Yakusanya Sh. Trilioni 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake yenyewe ya makusanyo kwa kukusanya kodi kiasi cha Sh. Trilioni 4.13...

READ MORE

Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video

 Mlipuko mkubwa uliotokea mapema alfajiri umeikumba baa ya Le Constellation katika kituo cha kuteleza kwenye barafu cha Crans-Montana, nchini...

READ MORE

Serikali Yaandaa Tume ya Maridhiano Kuimarisha Umoja wa Kitaifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali imeanza maandalizi ya kuunda Tume ya...

READ MORE

Wawili Washikiliwa na Polisi Kufuatia Kifo cha Mtanzania Uturuki – Video

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeibuka mjadala...

READ MORE

Nyimbo 10 Bora Zilizotrend Tanzania 2025 – Hizi Ndizo Hits za Kila Mtu

Muziki wa Bongo Flava umeendelea kushikilia nafasi yake mwaka 2025, huku baadhi ya wasanii wakitoa hits ambazo zimetawala redio, YouTube,...

READ MORE

Mtanzania Aliyetoroka Oman Afichua Mazito ‘Nilikuwa Napewa Sambusa, Mshahara Hakuna’” – Video

Mwanadada Farida Hamadi ni miongoni mwa wanawake waliokuwa wanaishi nchini Oman 🇴🇲, ambako walikwenda kufanya kazi za ndani lakini baadaye...

READ MORE

Harmonize na Kajala Waonekana Pamoja Kwenye Boti, Mashabiki Wapagawa – Video

Mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Harmonize, ameonekana tena akiwa karibu na mpenzi wake Kajala, katika hafla maalum iliyofanyika ndani ya...

READ MORE

Sababu Zinazofanya Gari la Rais wa Marekani Liogopewe Duniani – Video

Rais wa Marekani ni kiongozi wa taifa lenye nguvu kubwa zaidi kisiasa, kiuchumi na kijeshi duniani. Kwa nafasi hiyo nyeti,...

READ MORE

Clemence Mwandambo Ashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa Tuhuma za Kijinai – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwalimu wa Shule ya Awali Saint Clemence, Clemence Kenani Mwandambo, mkazi wa Uzunguni...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Soko Na Kituo Cha Mabasi Bunju B – Video

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Bunju B, Jijini Dar es Salaam, alipofanya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 30, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Video: Serikali yatangaza mageuzi makubwa ndani ya Jeshi la Polisi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema Serikali imeanza utekelezaji wa maagizo ya Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Askofu Ruwa’ichi Acharuka ‘Waliomshitaki Padre Kitima Ni Wasaliti’ — VIDEO”

Askofu Mkuu wa Kanisa katoliki Jimbo la Dar Es Salaam, Jude Thaddeus Ruwa’ichi amesema katika kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa...

READ MORE

Safari ya Mwisho ya Asia Mustapha: Aliyepambana na Maradhi ya Figo kwa Miaka 20 (Picha +Video)

Asia Mustapha, ambaye kwa muda wa takribani miaka 20 alikabiliana na changamoto za maradhi ya figo, ameaga dunia na kuhitimisha...

READ MORE

PM Mwigulu Aagiza Watendaji TEMESA Wafutwe Kazi, Wakabiliwe na Sheria – Video

WAZIRI MKUU Dkt. Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kufutwa kazi na kufikishwa katika vyombo vya sheria kwa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa...

READ MORE

Polisi Wakana Taarifa za Gari la Polisi Kusababisha Kifo cha Mwananchi Kongowe – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limekanusha vikali taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook na Instagram, zinazodai kuwa...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akagua Maendeleo Ya Mradi Wa Bandari Ya Uvuvi, Kilwa – Video

▪️Asema Rais Dkt. Samia ni kiongozi anayetekeleza miradi inayotoa majawabu ya kero za Watanzania. WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba Desemba...

READ MORE