×

Habari

Vodacom yawafuata wateja wake popote walipo

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mauzo na Usambazaji  bidhaa wa Vodacom Tanzania,Hassan Saleh(kushoto)na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo,Rosalynn...

READ MORE

Bodaboda wafikisha facebook bure kwa wateja wa Airtel

Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwn Sunil Colaso akiwa na waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda kabla ya kuingia sokoni kupeleka huduma...

READ MORE

Etihad Yasherehekea Miaka 10 ya Usafiri wa Anga

Safari tano kwa siku ikiwamo za alfajiri kwa wasafiri wote wa Abu Dhabi na Qatar Nyongeza ya safari za jioni...

READ MORE

Polisi yaendelea kumsaka muuaji wa Mabula

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Lukas Mkondya Mwandishi Wetu, Dar es Salaam JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa...

READ MORE

Mwanajeshi aua watu 8 kambini Uganda

WATU wanane wameuawa baada ya kupigwa risasi na mwanajeshi ndani ya kambi ya kijeshi ya Makindye iliyopo mjini Kampala nchini...

READ MORE

Amani Latikisa Kunduchi Dar na ‘Shinda Nyumba’

Debora Mhagama (kushoto) akisaidiwa kujaza kuponi na Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda. Joshua Benjamin (kushoto) akijaza kuponi  kushiriki bahati...

READ MORE

Diwani Chadema alivyohenyeshwa!

Diwani wa Kata ya Nyihongo, wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga, Amosi Sipemba (Chadema). Picha na Maktaba. Na Shabani Njia, Ijumaa...

READ MORE

Polisi wanzingira nyumba ya Gwajima

Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaoongozwa na Askofu Josephat Gwajima wakiwa nje ya geti la kiongozi huyo. Kiongozi...

READ MORE

Airtel Fursa yawafikia watoto 500 msimu wa Ramadhan

  Vijana wa Airtel FURSA kujitolea kazi zao   Kampuni ya za mkononi ya Airtel kupitia mpango wake wa huduma...

READ MORE

Ubelgiji: Roboti Kutumika Kupokea Wageni Hospitalini

Brussels, Ubelgiji Roboti kwa jina Pepper, iliyotengenezwa kuelewa hisia za watu inatarajiwa kuanza kazi mpya kama karani wa mapokezi katika...

READ MORE

Rais Magufuli Aandaa Futari ya Pamoja wa Dini Ikulu, Dar

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika foleni na wageni wake kwenda kuchukua...

READ MORE

Hatimaye Nyumba ya Kisasa ya ‘Shinda Nyumba’ Yakamilika

            Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdalkah Mrisho, akitoa ufafanuzi wa jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) walipotembelea nyumba hiyo. Wanahabari...

READ MORE

Huzuni…Familia ya Hoyce yanusa kifo ajalini

Mama mzazi wa Hoyce Temu IMELDA MTEMA, Amani Dar es Salaam: Familia ya Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akiwemo mama...

READ MORE

Kutoka Arusha: Mbaroni kwa kutupa mapacha

  Mtuhumiwa Happiness Joel JOSEPH NGILISHO, Amani ARUSHA: AMENASWA! Msako uliofanywa na wananchi wa Kitongoji cha Namayana, Kata ya Kiranyi...

READ MORE

Simu feki kuzimwa; vilio nchi nzima

Mwandishi wetu, Amani DAR ES SALAAM: Vilio vimetawala nchi nzima kufuatia serikali kuamua kutekeleza agizo lake la kuzima simu zote...

READ MORE

Basi la Tahmed Lateketea Kwa Moto

Moto ukilipuka kwenye basi hilo. Basi likiteketea Eneo la tukio. Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmed lililokuwa likisafiri...

READ MORE

Polisi wakamata Majambazi, silaha Jijini Dar

   Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro akizungumza na wanahabari. Kamanda Sirro akisikiliza kwa makini...

READ MORE

Mkazi wa Tabora, Suzan Lukindo Akamata Mpunga wa Vodacom

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (katikati) akiongea kwa njia ya simu  na Suzan Lukindo,Mkazi wa Tabora aliyeibuka mshindi...

READ MORE

Mbeya City yashusha majembe mapya tisa

Hans Mloli, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Mmalawi, Kinnah Phiri amedhamiria kukijenga upya kikosi hicho kwa ajili...

READ MORE

Mbunge wa Ukonga Ashinda Kesi ya Uchaguzi

Mbunge wa Jimbo la Ukonga (Chadema), Mwita Waitara (kulia) akitoka mahakamani. (Picha na Maktaba). Mbunge wa Jimbo la Ukonga jijini...

READ MORE

Usome Hapa Waraka wa Edward Lowassa kwa IGP Mangu

Mhe. Edward Ngoyai Lowassa. Kwako Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Salaam, Kwanza niwie radhi kwamba nimelazimika kwa nafasi yako na...

READ MORE

Shinyanga: Amnyonga Mkewe kwa Kuchelewa Kurudi Nyumbani!

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Graiftoni Mushi. Shinyanga: MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Rehema Tumbo amenyongwa hadi...

READ MORE

Ukweli afya ya Spika Job Ndugai

Spika wa Bunge, Job Ndugai. KUFUATIA uvumi wa mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii juu ya kufariki dunia kwa...

READ MORE

Mbuzi wa ajabu watikisa Dar

Mbuzi hao wakirandaranda. GLADNESS MALLYA NA GABRIEL NG’OSHA DAR ES SALAAM: Dunia ina mambo! Mbuzi wanaosemwa kuwa ni wa ajabu,...

READ MORE

Uwazi Latikisa Mji-Mwema Kigamboni na ‘Shinda Nyumba’

Charles Machage mkazi wa Mji-Mwema Kigamboni (kulia) akielekezwa na Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda, namna ya kujaza kuponi ili...

READ MORE

Mbaroni kwa kuuza bangi mkesha wa mwenge!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma, Zuberi Mwombeji. SONGEA: Kijana Dickson Komba (22) mkazi wa eneo la Lizaboni mjini hapa,...

READ MORE

Vodacom yawatoa wasiwasi wateja wao

Zikiwa zimebakia siku mbili tu simu feki kuzimwa nchini kote, Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania, Imewahakikishia wateja wake kwamba...

READ MORE

Unganishwa na simu za “Bure na Halisi Kutoka Airtel”

Mkuu wa kitengo cha Internet Airtel Gaurav Dhingra akionyesha simu zinazopatikana kwenye maduka yote ya Airtel katika ofa iliyozinduliwa hivi...

READ MORE

Nani amewanyonga watoto hawa wa polisi

Marehemu Raphael Sammy. Na Issa Mnally, UWAZI DAR ES SALAAM: Ni unyama, ukatili wa aina yake! Malaika hawa wa Mungu...

READ MORE

Video: Vurugu za Waingereza na Warusi Kombe la Euro 2016 Usiombe Yakukute

Waziri wa maswala ya ndani wa ufaransa , Bernard Cazeneuve, ametoa ushauri kwa wakuu wa miji mbalimbali wenyeji wa kinyanganyiro...

READ MORE

Makamu wa Rais Akabidhi Misaada ya Futari, Atembelea U-DART

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samiah Hassan akijiandaa kukabidhi vyakula vya futari. Aliyeko kushoto ni Sheikh...

READ MORE

CUF Wamkataa Prof. Lipumba

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba. Wakati aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akitengua uamuzi wake wa kung’atuka...

READ MORE

Kesi ya wabunge Saddiq, Lugola na Mwambalaswa Kuunguruma Julai 4

Kutoka kushoto ni wabunge Mh. Kangi Lugola (Mwibara), Mh. Ahmed Saddiq (Mvomero)  na Mh. Victor Mwambalaswa (Lupa). Taasisi ya Kuzuia...

READ MORE

Wafugaji, wakulima wachomana mikuki!

Ramadhan Botea aliyejeruhiwa mkononi. Richard Bukos na Issa Mnaly, Uwazi PWANI: Hali si shwari katika Kijiji cha Geza Ulole, Kata...

READ MORE

Sukari yagota Sh. 3,000 bei ya chini

Na Gabriel Ng’osha, UWAZI Dar es Salaam: Machi 8, 2016 Serikali kupitia Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania, ilitangaza  kuwa...

READ MORE

Mwembe wenye taswira ya Nyerere Wazua Gumzo Tanga!

Mwembe wenye taswira ya sura ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere. Na Faki A. Faki, UWAZI TANGA: Mti aina ya...

READ MORE

Naibu Waziri Mavunde: Sasa sanaa Kuwainua vijana

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu; Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde hivi karibuni alifanya mahojiano...

READ MORE

Shinda Nyumba… Muda Unakimbia, Nyumba Inakusubiri

Na Mwandishi Wetu SIKU zote, muda huwa ni mali, ndiyo maana kwa wenye weledi zaidi, huona ni afadhali wapoteze fedha...

READ MORE

Saa 48 simu feki kuzimwa, TCRA hawakwepi mzigo wa lawama

JUNI 16, mwaka huu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) itazima simu zote ambazo ni feki, kufuatia kumalizika kwa muda uliotolewa...

READ MORE

Wanafunzi Chuo Kikuu Tumaini Mbeya usajili wawaliza

Na Mwandishi Wetu, Uwazi MBEYA: Kilio kimetawala katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Mbeya kutokana na wanafunzi 150...

READ MORE