×

Habari

Fursa ya kuwa mwandishi na mtangazaji yapatikana MSPS

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Mlimani Schoool of Professional Studies (MSPS) cha jijini Dar es Salaam, kimetangaza fursa ya mafunzo...

READ MORE

Tanzania mojawapo ya nchi 10 zisizo na furaha duniani

TANZANIA ni miongoni mwa nchi kumi za mwisho kwa viwango vya furaha kwa mujibu wa Ripoti ya Viwango vya Furaha Duniani...

READ MORE

Ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Wilayani Chato

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasha gari la wagonjwa likiwa ni moja kati ya mawili yaliyotolewa msaada na Bibi Merete Trolle...

READ MORE

Waziri Mkuu atembelea Kambi ya Wakimbizi Rumasi-Lukole, Kagera

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa dini wakati alipowasili katika kambi ya Rumasi-Lukole iliyopo wilayani Ngara, mkoani Kagera,...

READ MORE

Waziri Mwakyembe Akutana na Jaji Warioba

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akimsikiliza kwa makini Jaji Joseph Warioba alipomtembelea ofisini kwake leo...

READ MORE

Makonda Ataka Ripoti Zipatikane Ofisini Kwake Baada ya Saa 24

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kushoto) akizungumza na watendaji wa halmshauri za jiji la Dar es...

READ MORE

Ndege ya Jeshi la Ecuador yaanguka na kuua 22

NDEGE ya Jeshi la Ecuador imeanguka katika misitu ya Amazon na kuua watu wote 22 waliokuwa ndani ya ndege hiyo,...

READ MORE

Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi CUF Akamatwa Zanzibar

Kaimu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wa CUF, Hamad Masoud amekamatwa na Polisi Visiwani Zanzibar leo asubuhi....

READ MORE

Wanachama wa LAPF Kufaidika na Mkopo wa Anza Maisha

Kaimu afisa Mkuu wa NMB Kitengo cha Wateja Wadogo (Chief Retail Banking) – Abdulmajid Nsekela akitoa wasilisho juu ya huduma...

READ MORE

Shinda Nyumba Yawafikia Wakazi wa Bunju na Boko

Mkazi wa Bunju, Peter Mwita (kulia) akipewa maelekezo muuzaji wa Magazeti ya Global Publishers, Khadija  jinsi ya kushiriki bahati nasibu...

READ MORE

Etihad Waongeza Ndege ya Mizigo

Kitengo cha mizigo cha Etihad kimepokea ndege mpya aina ya Boeing 777 ambayo itawezesha kitengo cha mizigo cha shirika la...

READ MORE

Uzinduzi wa Duka la Airtel Mwanza Mall leo‏

Kamanda wa Polisi Wilaya ya ilemala ,  Sweetbert Kisha akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa kitengo cha huduma...

READ MORE

T.I Amptupia Dongo Donald Trump

T.I na Bw. Donald Trump STORI kubwa kwa sasa nchini Marekani ni kuhusu vuguvugu la Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo...

READ MORE

JPM: Wawekeni Ndani Viongozi Wanaonyanyasa Wananchi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Magufuli akihutubia Wakuu wa Mikoa wapya 26 na Watumishi wengine wa...

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Wakuu wa Mikoa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Meja Jenerali Mstaafu Salum Mustafa Kijuu kuwa Mkuu...

READ MORE

Rais Magufuli Atoa Siku 15 Wakuu Wa Mikoa Kufuta Mishahara Hewa (Video)

Na Jacquiline Mrisho, Dar es Salaam RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewapa siku...

READ MORE

Wa Moyoni Wengi Wapo Kwa Wasio wa Moyoni

MPENZI msomaji nakukaribisha katika siku nyingine mwanana ya Jumanne ambayo tumeifikia kwa kudura za Mwenyezi Mungu. Tunakutana tena katika kujadili...

READ MORE

DC Arusha atapeliwa mil 10 kupitia mtandao

Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkulu akiongea na waaandishi jinsi alivyotapelewa shilingi milioni kumi na wezi wa mitandao. Mkuu...

READ MORE

Mastaa hawa… ‘wanamiliki mabawa’

Peter na Paul Okoye wakiwa katika ndege yao. Makala: Boniphace Ngumije SI jambo la ajabu kumuona staa fulani akimiliki mali...

READ MORE

Ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Wilayani Misenyi

Waziri Mkuu, Kassim Majajaliwa akifurahia zawadi ya picha aliyozawadiwa na wananchi wa Kata ya Kakunyu wilayani Missenyi akiwa katika ziara...

READ MORE

Abdulrahman Babu: Alifanikisha Ujenzi Wa Tazara

Mwalimu Julius Nyerere akisalimiana na Profesa Abdulrahman Mohammed Babu (kulia) katika harakati zao za kuijenga nchi. Reli ya TAZARA imechangia sana...

READ MORE

Waziri Mkuu Atembelea Kambi ya Utenganisho ya Wakimbizi ya Mwisa

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, CGP John Casmir Minja akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

JK akutana na mabalozi wa nchi mbalimbali za Afrika leo

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete, akizungumza na Mabalozi mbalimbali wa Afrika wanaoziwakilisha nchi zao nchini, walipofika nyumbani...

READ MORE

Maajabu ya Dunia: Mbwa Mwenye Pua Mbili Mcheki Hapa

Pua mbili za mbwa mwenye jina la Toby kama anavyooneakana. HAYA tunaweza kusema ni maajabu ya dunia, kwa uharisia ni...

READ MORE

Wafuasi wa Chadema Wafurika Mahakamani Kufuatilia Kesi ya Wenje

Ezekia Wenje akiwa  Mahakamani Mamia ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  wakiongozwa  na  Mwenyekiti  wa chama hicho,...

READ MORE

Wanawake wajitokeza semina ya ujasiriamali Dar

Baadhi ya akina mama wakisikiliza kwa makini mafunzo kutoka kwa wazungumzaji. Mzungumzaji, Harris Kapiga, akifafanua jambo. Mzungumzaji, Maza Sinare ‘Maznat’,...

READ MORE

Taswira za ajali ya Basi la Leina lililojeruhi 30 jana

BASI la Leina Tours lililokuwa likitokea Kahama kuja Dar es Salaam jana usiku liliacha njia na kutumbukia katika mtaro eneo...

READ MORE

Serikali kununua meli mpya – Waziri Mkuu

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeanza kukusanya fedha kwa ajili ya kununua meli mpya kwa ajili...

READ MORE

JPM awathibitisha watendaji wakuu TRA, TAKUKURU

Kamishna Mkuu wa TRA, Bw. Alphayo Kidata. Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Valentino Mlowola.

READ MORE

Wadaiwa Mikopo ya Elimu ya Juu wapewa siku 60

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inatoa siku 60 kuanzia tarehe 14 Machi, 2016 kwa wanufaika...

READ MORE

Waziri Mkuu awasili Kagera kwa ziara ya kikazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ngoma baada ya kuwali kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba kwa ziara ya kikazi mkoa...

READ MORE

Barabara mpya lakini chafu!

Pichani juu ni taswira za barabara ya Ali Hassan Mwinyi iliyopanuliwa ikiwa inatumika mbali na kujaa michanga. BARABARA ya Ali Hassan...

READ MORE

Mjue Katibu Mkuu mpya wa Chadema!

Katibu Mkuu mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vicent Mashinji, akizungumza na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa...

READ MORE

Mameneja 9, Mkurugenzi Mstaafu Dawasco Watumbuliwa

Kikao kikiendelea. WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Gerson Lwenge amewasimamisha kazi mameneja tisa wa Shirika la Majisafi na Majitaka...

READ MORE

Karatasi za Kupigia Kura Zanzibar Zawasili

Karatasi za kupigia kura kwa ajili ya marudio ya uchaguzi wa Zanzibar unaotarajiwa kufanyika Machi 20, ziliwasili jana mchana visiwani...

READ MORE

Unataka ajira ya uandishi, uhasibu benki, manunuzi na ugavi?

Baada ya jopo la wataalamu wa Chuo cha Mlimani Schoool of Professional Studies (MSPS) cha jijini Dar es Salaam, kugundua...

READ MORE

Sakata la Umeya Dar: Saed Kubenea apandishwa kizimbani leo

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea. MBUNGE wa Ubungo Saed Kubenea (Chadema) pamoja na Diwani wa Kimanga Manase John Mjema wamepandishwa kizimbani...

READ MORE

Njemba atembezwa mtaani uchi kwa wizi wa kuku

NJEMBA mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ametembezwa akiwa uchi mitaani baada ya kuiba kuku. Tukio hilo la kumtembeza...

READ MORE

Vodacom Tanzania ilivyoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani

Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Evans Lyimo (kushoto) akimuuliza swali Mtaalamu wa masuala ya Saikolojia na Mahusiano wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE