×

Habari

Takukuru Yawafikisha Kortini Vigogo 11 wa TRL

Hatimaye vigogo 11 wa Kampuni ya Reli (TRL) waliosimamishwa kazi hapo awali wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Balozi Ombeni Atoa Taarifa ya Siku 100 za Serikali Awamu ya Tano

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, ametoatoa taarifa ya siku 100 za kwanza za Serikali ya awamu ya tano Ikulu...

READ MORE

Waziri Mwigulu Nchemba Atumbua Jipu Machinjio Dar, Usiku

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye machinjio ya Ukonga, Mazizi jijini Dar,...

READ MORE

Balozi wa Ufaransa nchini amtembelea  DC Makonda

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, akiwa na Balozi wa Ufaransa, Malika Berak, wakati alipomtembelea ofisini kwake leo. DC...

READ MORE

Taswira ya jengo la ghorofa 16 linalovunjwa Dar

Mafundi ujenzi wakiwa kazini kutekeleza uvunjaji wa jengo hilo lililopo mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar. Tahadhari inayoonesha zoezi la...

READ MORE

Kivuko cha MV Kigamboni chazua taharuki

Abiria wakiwa wamekumbwa na taharuki baada ya kivuko cha MV Kigamboni kuacha njia leo asubuhi. Abiria waliokuwa wakisafiri ndani ya...

READ MORE

Ajali ya basi na lori yaua 11 Tanga

WATU 11 wamepoteza maisha  huku 29 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria la Simba Mtoto lililokuwa linakuja jijini Dar es...

READ MORE

Kontena Laangukia Magari matatu, Watu Sita Wajeruhiwa

Watu sita wamejeruhiwa jana baada ya lori la izigo lenye namba za usalili T 493 DBR lililobeba kontena kuacha njia...

READ MORE

JPM afanya ukaguzi wa kushtukiza Muhimbili

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekea katika Wodi ya Wazazi kufanya ukaguzi wa ghafla...

READ MORE

Watanzania wanne wauawa na majambazi Msumbiji

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Henrry Mwaibambe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limethibitisha kupokea maiti nne za wafanyabiashara...

READ MORE

Jeshi La Polisi Zanzibar: Hatutambui Uwepo wa Mazombi

Mkurugenzi wa Upelelezi Zanzibar, Salum Msangi. Jeshi la Polisi Zanzibar limewataka madaktari kuacha kuwahudumia watu wanaokwenda hospitali baada ya kupigwa...

READ MORE

Jovago and AIG gains a major new investor in a 75 million Euro funding round

Jovago.com, Africa’s N° 1 hotel booking website, announced today a partnership with AXA, a worldwide leader in insurance and asset...

READ MORE

TPB yazindua huduma za kifedha Tawi la Babati

Msajili wa Hazina, Lawrence Mafuru (katikati), akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa huduma za kifedha kwenye Tawi la Benki ya...

READ MORE

Dereva wa Global Apata Pigo

Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota (kulia) akimfariji Edwin Isaac aliyefiwa na shangazi yake. Waombolezaji akiwa katika foleni kusubiri...

READ MORE

Mafuta ya Wizi ya Diesel Yakamatwa Bandari ya Dar

Jeshi la Polisi kitengo cha majini limekamata tani zipatazo 20 za mafuta ya dizeli yaliyokuwa katika Jahazi lililokuwa kando ya...

READ MORE

Rais Magufuli: Hakuna Suluhu Zaidi ya Kurudia Uchaguzi Zanzibar

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga. Rais John Magufuli amesema kuwa...

READ MORE

NMB yakabidhi madawati Shule ya Msingi Mtibwa

Meneja wa Tawi la NMB Turiani akikabidhi madawati kwa Mkuu wa Shule ya Msingi Mtibwa – Enock Kagonji huku mwanafunzi...

READ MORE

PSPF Yazidi Kujitanua Hadi Vyuo Vikuu

Balozi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Msanii wa majigambo, Mrisho Mpoto, akitoa elimu juu ya huduma mbalimbali zitolewazo na...

READ MORE

Airtel Yapanga Upya Muundo wa Utendaji Kuboresha Huduma

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi, Beatrice Singano akifafanua jambo. Dar es Salaam Tanzania Februari 8 2016, Kampuni ya Simu...

READ MORE

Wachina Washerehekea Mwaka Mpya wa Nyani

Shamra shamra zikiendelea Mamilioni ya watu wenye asili ya China, duniani kote leo wanasheherekea mwaka mpya wa ki China ....

READ MORE

Ghorofa Lilioangushwa kwa Tetemeko Taiwani, Wawili Wakutwa Hai

Mwanamke akiokolewa. WATU wawili wameokolewa wakiwa hai kutoka kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka kufuatia tetemeko la ardhi mjini Tainan, Taiwan....

READ MORE

Yona, Mramba Waanza Kifungo cha Nje, Palestina

Daniel Yona akishuka kwenye gari mara baada ya kuwasili Hospitali ya Palestina, Sinza – Dar.Yona na Mramba  wakiwa wameshika vifaa...

READ MORE

UN Yalaani Korea Kaskazini Kurusha Kombora la Masafa Marefu

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limelaani hatua ya Korea Kaskazini kulipua Kombora la masafa marefu. Katika taarifa iliyotolewa...

READ MORE

Makamishna ZEC wapinga kurudiwa uchaguzi Zanzibar

Makamishna wa ZEC wakipinga kurudiwa uchaguzi wa Zanzibar wakati wakiongea na wanahabari leo jijini Dar. Wakati wadau mbalimbali wa masuala...

READ MORE

Unajua DC Makonda amewaambia nini wenyeviti Serikali za mitaa?

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akizungumza na Watendaji na Viongozi wa Serikali za Mitaa wa wilaya hiyo...

READ MORE

Maafa: Tetemeko Kubwa la Ardhi Laikumba Taiwan

Jengo likiporomoka Tainan, Taiwan TETEMEKO kubwa la ardhi limeikumba nchi ya Taiwan, na kuporomosha majengo kadhaa likiwemo jengo la ghorofa 17 ambapo...

READ MORE

Rais Magufuli Aongea na Wakazi wa Morogoro, Akielekea Dodoma

Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ukipita katika eneo la Msamvu mjini...

READ MORE

Wizi Ofisi ya Kamishna Mkuu TRA… Magari 2 Yakamatwa

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Naibu Kamishna Simon Sirro. Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar...

READ MORE

Serikali yatoa ufafanuzi udhalilishwaji wa Mtanzania India

Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashiriki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga. Waziri wa Mambo ya...

READ MORE

Uzalilishaji wa Mtanzania India, serikali yatoa tamko

  Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Agustino Mahiga....

READ MORE

Magufuli ‘awaka’ Siku ya Sheria Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli akihutubia mbele ya majaji waliohudhuria hafla ya Siku ya Sheria.Jaji...

READ MORE

Baa za Uwanjani Legho Zavunjwa

Mwanadada akiwa anaangalia vitu alivyofanikiwa kuviokoa.Katapila likiendelea na kazi yake ya kubomoa .Watu mbalimbali wakiwa kwenye vikundi wakijadili tukio hilo.Eneo...

READ MORE

Ongea Deilee

Sometime ni bora kuchonga na kusikia sauti kuliko kutuma SMS. Piga *149*01# kujiunga na mpangilio mpya kutoka @vodacomtanzania na uongee kwa...

READ MORE

Trump: Uchaguzi Urudiwe Iowa

Donald Trump ANAYEWANIA kuteuliwa kugombea urais nchini Marekani kwa kupitia Chama cha Republican, Donald Trump anataka uchaguzi wa mchujo wa...

READ MORE

Mwanafunzi Mtanzania Avamiwa, Adhalilishwa India

Gari la mwanafunzi raia wa Sudan likiteketezwa kwa moto. Bangalore, India MWANAFUNZI raia Mtanzania ameshambuliwa na kuvuliwa nguo na umati uliokuwa na hamaki...

READ MORE

Baba aua mtoto, mkewe kisa fedha za matunzo

NeShante Davis akiwa na binti yake  Chloe Davis-Green enzi za uhai wao. MWANAMAMA mmoja huko Maryland nchini Marekani pamoja na...

READ MORE

Uchaguzi Marekani, Ted Cruz Ambuluza Trump

Seneta wa Texas Ted Cruz. IOWA, MAREKANI Seneta wa Texas Ted Cruz ameshinda mchujo wa mgombea wa uchaguzi kupitia Chama...

READ MORE

Tundu Lissu Asema Upinzani Hawatashiriki Kuteua Wenyeviti PAC, LAAC

Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amesema kutokana na Spika wa Bunge...

READ MORE

Jengo Ghorofa 16 Laanza Kuvunjwa Indra Gandhi, Dar

Jengo la Ghorofa 16 linaloandaliwa kwaajili ya kubomoa. Alama zinazotoa tahadhali kwa watumiaji wa barabara hii wakiwa wakiwa wamewekewa tahadhali...

READ MORE