×

Habari

Mamlaka Za Serikali Za Mitaa Zatakiwa Kubuni Miradi Ili Kuondokana Na Utegemezi

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainab Katimba, amezitaka Mamlaka za Serikali za...

READ MORE

Waziri Kikwete Azindua Miradi ya Bil 1.6 Wilayani Songwe – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi , Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amezindua miradi ya Elimu, Umeme...

READ MORE

Doto Biteko Awapongeza Benki ya Exim Kuzindua Tawi Wilayani Kahama

Benki ya Exim imedhihirisha dhamira yake ya kujenga ujumuishi wa kifedha na kupanua huduma zake kwa kuzindua rasmi tawi jipya...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Afanya Mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri...

READ MORE

Rais Samia: Serikali Inaendelea Kubuni Mbinu Kukabiliana na Wanyama Wakali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kubuni mbinu mbalimbali za kukabiliana...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afungua Jengo La Halmashauri Ya Bumbuli-Lushoto (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Jengo la Almashauri ya Bumbuli Wilaya ya Lushoto...

READ MORE

Ujerumani Yatoa Onyo Dhidi Ya Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka shinikizo dhidi ya Marekani, iwapo nchi...

READ MORE

Kabila: Uongozi Mbaya Wa Rais Tshisekedi Umezidisha Mzozo

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila amesema kuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais...

READ MORE

Papa Francis Hali Tete, Akutwa Na Tatizo La Figo

Shirika la Habari la AP, usiku wa kuamkia leo, Jumatatu, Februari 24, limeripoti kuwa Papa Francis yupo mahututi huku vipimo...

READ MORE

Scholz Hatarini Kuangushwa Ukansela Ujerumani

Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, amekalia kuti kavu katika uchaguzi unaoendelea ambapo matokeo ya awali yanaonesha kuwa mpinzani wake, Friedrich...

READ MORE

Watanzania Wamheshimisha Dk. Biteko Kili Marathon Leo

Kilimanjaro, 23 Februari 2025: Wanariadha wa Kitanzania wameng’ara katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro mwaka huu, ambapo Hamis Misai alishinda...

READ MORE

Polisi Wadaiwa Kujiunga Na M23 Bukavu

Mamia ya askari wa Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanadaiwa kujiunga na waasi wa M23 katika...

READ MORE

Majaliwa: Endelezeni Mafunzo Ya Dini kutoa fursa kwa watoto na vijana

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kufundisha na kuimarisha elimu ya dini ili...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Ashiriki Hafla Ya Utoaji Tuzo Za Wasanii Wa Komedi, Washindi Wapo Hapa (Picha +Video)

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumamosi Februari 22, 2025 amesema Serikali itaendelea kuwashika mkono wasanii...

READ MORE

Uwindaji wa Kitalii Kuiingizia Tanzania Bil2.5

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kuingiza jumla ya Dola za Kimarekani 968,000 sawa na shilingi za kitanzania...

READ MORE

Serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro Yawapongeza Wadau Kwa Kupanda Miti

SERIKALI mkoani Kilimanjaro imeipongeza kampuni ya mawasiliano ya Yas Tanzania kama wadau wa mazingira kwa kazi kubwa ambayo inafanya kwa...

READ MORE

Mtwara Wanufaika na Kampeni ya Mixx by Yas

Hatimaye kampeni ya Magift inayofanywa na kampuni ya Yas Tanzania, kupitia kitengo cha Mixx by Yas imeweza  kuwazawadia, wateja na...

READ MORE

Aweso Afanya Mabadiliko Mamlaka Ya Maji Moro

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, leo Februari 22, 2025, amefanya mabadiliko ya kiutendaji katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashuhudia Makabidhiano Ya Zana Za Kilimo

▪️Ni mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo kwenye vituo 45 vya zana nchini._ ▪️Trekta tano na majembe yake...

READ MORE

Polisi : Aliyekamatwa Ni Kishandu

Jeshi la Polisi limetoa taarifa kwa umma kuhusu video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoonesha mwanaume mmoja akikamatwa kwa nguvu....

READ MORE

Rais Samia Atangaza Fahari Ya Kahawa Ya Tanzania Katika Mkutano Wa G25

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza Mkutano wa Tatu wa Nchi Zinazozalisha Kahawa...

READ MORE

Eric Shigongo: Watanzania Tembeeni Vifua Mbele, Nchi Yenu Ni Tajiri – Video

Baada ya kurejea kutoka nchini Marekani ambako alikuwa kwenye ziara ya kikazi, Mbunge wa Buchosa na Mkurugenzi wa Global Group,...

READ MORE

Trump Ampiga Chini Kigogo Wa Jeshi

Rais Donald Trump amemfukuza kazi mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Marekani, Jenerali wa Jeshi la Anga C.Q. Brown, na...

READ MORE

Rwanda: Vikwazo Vya Marekani Kwetu Si Halali

  Serikali ya Rwanda imelaani vikali hatua ya Wizara ya Fedha ya Marekani ya kumwekea vikwazo Waziri wa Utangamano wa...

READ MORE

Waziri Silaa Azindua Kampeni ya ‘Sitapeleki’ Kukabili Utapeli Mtandaoni

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb.) akizungumza katika Mkutano wake na waandishi wa...

READ MORE

Wataalamu Sekta ya Utalii Watakiwa Kuleta Maboresho Katika Sekta hiyo

Watendaji na Maafisa Utalii nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu, kujituma na ubunifu kuhakikisha Sekta ya Utalii inaboreshwa kwa manufaa...

READ MORE

Kinara wa Jumla Katika Tuzo za Tehama Ajirudia

Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama...

READ MORE

Vatican: Papa Francis Anaendelea Vizuri

Vatican imesema hali ya kiafya ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis anayeendelea na matibabu hospitali, inaendelea vizuri. Msemaji...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho Ya Miaka 10 Ya Programu Ya Mwanamke Kiongozi -(Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia SULUHU hassan Akishiriki Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo Kufanya Mkutano Na Waandishi Wa Habari Kesho

Mbunge wa Buchosa na Mkurugenzi wa Global Group, Eric Shigongo anatarajiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari kesho Jumamosi, Februari...

READ MORE

Mazoezi ya JWTZ na Jeshi la Marekani (U.S.ARMY) ya Cutlass Express 2025 Yahitimishwa

Mazoezi ya majini ya Cutlass Express, yaliyohusisha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Marekani (U.S.ARMY) yamefungwa leo...

READ MORE

Serikali Yajenga Vituo 8 Vya Ubunifu Kuboresha Tehama

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha serikali na wadau wa...

READ MORE

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kenya (IEBC), Wafula Chebukati Afariki

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC), Wafula Chebukati, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Kaka...

READ MORE

Mama Maria Nyerere: CCM Idumishe Uwezo wa Taifa Kujitegemea

Mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere, ameitaka CCM kuendelea kutimiza wajibu wake wa kuzisimamia serikali...

READ MORE

SBL Yazindua Programu Ya Kukabiliana na Unywaji wa Pombe Chini ya Umri

Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua kampeni yake ya kukabiliana na unywaji wa pombe kwa vijana chini ya umri inayojulikana kama...

READ MORE

Jimmy Mafufu Ahama Chadema, Amchacha Lissu, Roma Na Nay – Video

Msanii wa filamu za Kibongo, Jimmy Mafufu ametangaza kukihama chama chake cha Chadema na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM). Akitangaza...

READ MORE

Historia Fupi Ya Klabu Ya Almasry Inayocheza Na Simba

Al Masry Sporting Club ni klabu ya michezo ya Misri yenye makao yake huko Port Said, inayojulikana zaidi kwa timu...

READ MORE

Jaji Warioba: Napongeza CCM Kwa Hatua Zake Dhidi ya Rushwa

Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Jaji Joseph Sinde Warioba, amepongeza hatua zilizoanza kuchukuliwa na Chama...

READ MORE

Mkuu wa Utumishi Jeshini, Meja Jenerali Elisha Gaguti Afanya Mazungumzo na RC Mwasa wa Kagera

Mkuu wa Tawi la Utumishi Jeshini Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Simba Yapangwa Na Al Masry Robo Fainali

Simba SC, wamepangwa kucheza dhidi ya Al Masry SC ya Misri katika hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho...

READ MORE