×

Habari

Polisi Watoa Msaada Kwa Wanafunzi Wenye Ulemavu, Jamii Yatakiwa Kuwakumbuka Wenye Uhitaji

Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha kupitia mtandao wa Polisi Wanawake limetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa Wanafunzi wenye...

READ MORE

20 Wakamatwa Kwa Kula Mchana Mwezi Wa Ramadhan

Jeshi la Polisi wa Kiislamu (Hisbah) katika Jimbo la Kaskazini Nigeria la Kano, wamewakamata waumini wa dini ya Kiislamu waliokutwa...

READ MORE

Rais wa Guinea-Bissau Embalo Atoa Tishio Dhidi Ya Ujumbe Wa ECOWAS Katika Mzozo Wa Uchaguzi

Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embalo ametishia kuufukuza ujumbe wa kisiasa uliotumwa nchini mwake na Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika...

READ MORE

Trump Asitisha Misaada Ya Kijeshi Ukraine

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia kuvunjika kwa mkutano kati yake na Rais...

READ MORE

Siri Iliyowasaidia Wanandoa Wengi Kudumu Kwenye Ndoa kwa Muda Mrefu

Jina langu ni Fatma kutokea Tanga, nimekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano sasa, hakika naweza kusema mimi ni miongoni mwa...

READ MORE

Watu Sita Wamefariki Dunia na Wengine 49 Kwenya Ajali ya Basi, Dodoma

Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya ajali kutokea eneo la Chigongwe, Dodoma, usiku wa Machi 3,...

READ MORE

Dar Kufanya Kongamano Maalum Kuelekea Maadhimisho a Siku ya Mwanamke Duniani

Katika kuadhimisha siku ya wanawake Duniani, Mkoani Dar es salaam inatarajia kufanya kongamano maalum machi nne mwaka huu katika ukumbi...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afuturisha Watoto Wenye Uhitaji Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Machi 3,2025 amefuturisha Watoto Yatima na Watoto wenye mahitaji...

READ MORE

Zelensky: Sikufanya lolote baya kwa Trump

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekataa kuomba msamaha baada ya mabishano makali na majibizano ya maneno na mwenzake wa Marekani,...

READ MORE

Elon Musk Aunga Mkono Marekani Kujiondoa UN, NATO

Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa Umoja wa Mataifa (UN) na Shirika la Kijeshi la...

READ MORE

Jeshi La Uganda Laingia Mji Mwingine Wa DRC

Jeshi la Uganda limethibitisha kutuma kikosi chake katika mji wa Mahagi, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ili...

READ MORE

Viongozi Wa Ulaya Waunga Mkono Mpango Wa Amani Ukraine

Viongozi wa Ulaya wametangaza kuunga mkono Ukraine katika mkutano wa kilele uliofanyika London, wakiahidi kuongeza matumizi katika usalama na kuunda...

READ MORE

Alitaka Kunidhulumu Mali Niliyonunuliwa na Baba Yangu, Nikaamua Kumkomesha

Naitwa Amani kutokea Babati, unajua hakuna kitu kibaya maishani kama kudhulumu mali ambayo sio yako, kuna watu mikosi haiondoki katika...

READ MORE

Dkt. Gwajima Apongeza Jeshi La Polisi Kuzuia Vitendo Vya Ukatili

Jeshi la Polisi kupitia Mtandao wa Askari Polisi Wanawake (TPF-NET) na Dawati la Jinsia na Watoto nchini limepongezwa kwa kufanya...

READ MORE

Lipumba: Maridhiano ya vyama vya upinzani yamekuwa yakileta madhara na kuwajeruhi

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amesema kuwa maridhiano ndani ya vyama vya upinzani yamekuwa yakileta madhara...

READ MORE

PM Majaliwa: Huduma Jumuishi za Kifedha ni Kiungo Muhimu Cha Ukuaji Uchumi

HUDUMA JUMUISHI ZA KIFEDHA NI KIUNGO MUHIMU CHA UKUAJI UCHUMI - MAJALIWA HUDUMA JUMUISHI ZA KIFEDHA NI KIUNGO MUHIMU CHA…

READ MORE

Tanzania Kuandaa Mkutano Mkubwa wa Nishati EAPCE’25, Fursa Kubwa kwa Uwekezaji wa Mafuta na Gesi

Zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kumi na Moja wa Mafuta na Gesi wa Afrika Mashariki...

READ MORE

Ratiba ya mwezi mzima wa Ramadhan kuanzia muda wa kufuturu mpaka muda wa ukomo wa kula daku

Ratiba ya mwezi mzima wa Ramadhan kuanzia muda wa kufuturu mpaka muda wa ukomo wa kula daku. NB: Ratiba hii...

READ MORE

Viongozi Wa Chadema Wazungumza Na Jukwaa La Wahariri – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, amezidi kutilia mkazo juu ya mfumo wa ugawaji wa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ashiriki Mazishi ya Dkt. Sam Nujoma Namibia

Picha mbalimbali zikimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akishiriki shughuli ya mazishi ya...

READ MORE

Vodacom, ZICTIA Zaungana Kukuza Matumizi ya Kidijitali Zanzibar Kupitia Nyaya za Chini ya Bahari

Vodacom Tanzania PLC imetia saini ushirikiano wa kimkakati na Shirika la Miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA)...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Kikao Cha Kitaifa Cha Dira Ya Maendeleo 2050

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo...

READ MORE

Makamu Mwenyekiti Chadema John Heche Awa Mbogo Kisa ‘Tone Tone’ – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche amesema mpango wa ToneTone uliozinduliwa na chama hicho jana usiku...

READ MORE

Kuelekea Siku ya Wanawake, Hospitali ya Rufaa Temeke Yachangiwa Vifaa Mbalimbali

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025, wafanyakazi wanawake wa Kampuni ya ALAF wametoa vifaa mbalimbali...

READ MORE

Waziri Bashungwa: Mwananchi Kupata Kitambulisho Cha NIDA Ndani ya Siku 14

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ameeleza mkakati wa Serikali ni kuhakikisha Mwananchi anapata Kitambulisho cha Taifa...

READ MORE

Kampeni ya Rais Dkt. Samia Kuhusu Matumizi na Elimu ya Nishati Yatakiwa Kuzingatiwa

Meneja Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Oryx Gas Tanzania, Shaban Fundi katika kusisitiza kampeni ya Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Rais Samia Aweka Jiwe La Msingi La Ujenzi Wa LPG Terminal GBP Gas-Tanga (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa LPG Terminal...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Atembelea Bandari Ya Tanga Na Kuzungumza Na Wafanyakazi Wa Bandari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kusimamia maboresho makubwa katika sekta ya uchukuzi, hususan...

READ MORE

Chama cha Waandishi wa Dar Chapata Mwenyekiti Mpya

Dar es Salaam, 1 Machi 2025: CHAMA Cha Waandishi wa Habari, Mkoa wa Dar es salaam (DCPC), jana Ijumaa kimemchagua...

READ MORE

Mkutano Wa G20 Wafikia Tamati Bila Mwafaka

Mkutano wa G20 uliokuwa ukifanyika nchini Afrika Kusini umemalizika jana bila ya washiriki wake kufikia mwafaka. Afrika Kusini ambayo ni...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Awaongoza Wananchi Katika Maadhimisho ya Miaka 120 ya Kumbukumbu ya Vita vya Majimaji 

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Jacob John Mkunda amewaongoza maelfu ya wananchi wa Mkoa wa Ruvuma na maeneo jirani...

READ MORE

Rose Mhando: Msama ni Baba Kwangu Acheni Kunigombanisha Naye..

Mwimbaji nguli wa Muziki wa Injili Afrika Mashariki na Kati, Rose Mhando amesema amekiri kwamba Mkurugenzi wa Msama Promotions ambaye...

READ MORE

Trump: Ukraine ‘isahau’ kujiunga na NATO

Huwezi kuamini lakini ndivyo ilivyo kwamba Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine isahau kujiunga na Shirika la Kijeshi la...

READ MORE

Balozi Nchimbi: Mapambano ya Uhuru wa Kiuchumi Kusini Mwa Afrika Yanaendelea

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa mapambano ya uhuru wa kiuchumi na...

READ MORE

Vodacom Yazindua Duka la Huduma kwa Wateja Nungwi, Zanzibar

Kampuni ya Mawasiliano ya simu ya Vodacom imezindua duka jipya la huduma kwa wateja kata ya Nungwi, mkoa wa Kaskazini...

READ MORE

Viongozi Ulaya wamuunga mkono Zelensky kufuatia mzozo wake na Trump Ikulu

Muda mfupi baada ya mkutano kati ya Donald Trump na Volodymyr Zelensky kuvunjika kwa kurushiana maneno makali, viongozi wa Ulaya...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Samia katika maombi maalum ya kuliombea Taifa Viwanja wa Leaders

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Februari 28, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maombi maalum ya kuliombea Taifa yaliyondaliwa...

READ MORE

Trump na Zelensky Wazozana Ikulu, Mkutano Wavunjika -Video

Mkutano uliofanyika White House kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy Ijumaa uliolenga kufikia...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi Jenerali Mkunda Awavisha Nishani Maafisa na Askari wa JWTZ

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais na Amiri Jeshi...

READ MORE

Rais Samia Afunguka Mipango Mikubwa Aliyonayo Tanga ya Viwanda – (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza matamanio yake kwa mkoa wa Tanga, akisema serikali...

READ MORE