×

Habari

Rais Samia Azindua Tume ya Kutathmini mgogoro wa ardhi Hifadhi ya Ngorongoro

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la...

READ MORE

Mashindano Ya Michezo Ya Majeshi Ya Tanzania Kufanyika Arusha Juni, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda Jumatano Februari 19, 2025 Ofisini kwake Jijini Arusha, amekutana na kuzungumza na...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Italia: Umoja wa Ulaya (EU) Usipingane na Marekani

Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amesema Umoja wa Ulaya (EU) haupaswi kuchukua msimamo ambao utakinzana na sera ya Marekani...

READ MORE

Majaliwa: Mama Samia Legal Aid Yafikia Wananchi Zaidi Ya Milioni 1

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais...

READ MORE

Maskini Carina! Mshono Wafumuka Tena Ghafla, Alia Maumivu – Video

Mwanadada aliyewahi kujihusisha na sanaa ya Bongo Muvi, Carolinahawa Hussein, kwa mara nyingine tena anakabiliwa na tatizo la utumbo wake...

READ MORE

Balozi Nchimbi: CCM Haitavumilia Wanaokiuka Kanuni

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi...

READ MORE

Unakosaje mashuka bora na ya kisasa kwenye chumba chako? Yapo Hapa

Unakosaje mashuka bora na ya kisasa kwenye chumba chako? Unaambiwa chumba cha kulala bila mashuka safi na mazuri hakina maana....

READ MORE

Mume Wa Rihanna Ashinda Kesi Mahakamani

Jopo la majaji jijini Los Angeles, Jumanne, Februari 18, limemuachia huru rapa maarufu kwa jina la A$AP Rocky baada ya...

READ MORE

UN: Hapana; Afrika Kukosa Kiti Baraza La Usalama

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, hakuna kisingizio cha kuifanya Afrika iendelee kuwa haina uwakilishi wa kudumu...

READ MORE

Prof. Mkenda Azindua Bodi ya Wakurugenzi ya Nguvu za Atomiki

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, akitoa cheti kwa Mwenyekiti wa bodi ya Tume za Atomiki Tanzania...

READ MORE

Jaji Amruhusu Elon Musk Kupunguza Wafanyakazi

Jaji wa Mahama nchini Marekani ameruhusu idara inayoongozwa na Elon Musk, inayojulikana kama Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), kuendelea...

READ MORE

Uganda Yatuma Vikosi Zaidi Nchini DRC

Msemaji wa Jeshi la Uganda Brigedia Jenerali Felix Kulayigye amethibitisha kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) limeingia kwenye...

READ MORE

Jeshi La Polisi Lafanya Ukaguzi Magari Ya Shule Za Udereva, Latoa Elimu Mfumo Mpya Wa Leseni.

Katika kuhakikisha Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha unaendelea kudhibiti ajali zinazosababishwa na madereva wasio na...

READ MORE

Trafiki Wabambwa Wakila Mlungula

Maofisa watatu wa polisi wa usalama barabarani jijini Nairobi, Kenya wamekamatwa na kitengo maalum cha kuzuia rushwa wakipokea rushwa kutoka...

READ MORE

Wasira Azungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea Nchini

Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Stephen M. Wasira, akizungumza na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Ofisi...

READ MORE

Msemaji Mkuu wa Serikali Akutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari

Kufuatia kuelekea uchaguzi mkuu wa Serikali unaotarajiwa kufanyika mwaka huu wa 2025 katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na...

READ MORE

Stanbic Yatoa Elimu ya Ujuzi wa Fedha kwa Watoto wa Wateja Wao Jijini Mwanza

Elimu ya Ujuzi wa Fedha ya Benki ya Stanbic Tanzania inaendelea kuhimiza utoaji wa elimu ya fedha kupitia mpango wake...

READ MORE

Tanzania na Misri Kushirikiana Kukuza Sekta ya Utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, zimekutana kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika...

READ MORE

Upendo Waendelea Kusambazwa Siku ya Wapendanao kwa Wajasiriamali

KATIKA kile kilichoelezwa kuwa ni  kujali stori za maisha ya wajasiriamali wadogo wanaojishughulisha na uchuuzi  wa maua, Benki ya Absa...

READ MORE

vurugu Za Tanda Chuo Kikuu Cape Town

Mwaka wa masomo 2025 katika Chuo Kikuu cha Cape Town (UCT) ulianza kwa vurugu baada ya wanafunzi kuandamana wakipinga vizuizi...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana Na Balozi Wa Umoja Wa Ulaya Nchini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Februari 18, 2025 amefanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, Ofisini...

READ MORE

Wamarekani, Wacanada Watwangana Kwenye Mechi

Wamarekani na Wakanada wametwangana ngumi katika mechi ya hoki ya barafu baada ya wimbo wa taiifa wa Marekani kuzomewa. Kwa...

READ MORE

DRC: Jeshi La Rwanda Limeingia Bukavu

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imesema kuwa jeshi la Rwanda na washirika wake wameingia katika mji wa...

READ MORE

NSSF Yatanga Uhakiki Kwa Wastaafu Na Wategemezi Wanaolipwa Pensheni Ya Kila Mwezi

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) unawatangazia wastaafu na wategemezi wote wanaolipwa pensheni ya kila mwezi kuwa kutakuwa...

READ MORE

Mrembo Asimulia Jinsi Alivyoachana na Mpenzi Wake Kisa Hamridhishi Faragha

Kama mtayarishaji maudhui wa YouTube ninayeishi Thika Town nchini Kenya, maisha yangu yamekuwa kitabu cha umma ambacho mamilioni ya watu...

READ MORE

Afungwa Miaka Mitatu Jela Kwa Kung’ata Watu Wawili

Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi wa Kijiji cha Soswa wilayani humo, Amos John...

READ MORE

Mwili Wa Mwanamuziki Tabia Mwanjelwa Kuzikwa Leo Mbeya

Mwili wa mwanamuziki mkongwe, Tabia Shabani Mwanjelwa, aliyefariki Januari 25, 2025, huko Saarbrücken, Ujerumani, umewasili Dar es Salaam jana na...

READ MORE

Mamia ya wafanyakazi wa safari za ndege Marekani wapoteza ajira

Utalawa wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya safari za anga na kusababisha hali ya sintofahamu...

READ MORE

Rais Mwinyi: Wasanii Wana Mchango Muhimu Katika Jamii

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Wasanii wana Mchango muhimu wa Kuhamasisha jamii...

READ MORE

Halmashauri Ya Chamwino Yapongezwe Kwa Usimamizi Wa Miradi

Kamati ya kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeipongeza Halmashauri ya Chamwino Kwa kuonyesha na kusimamia thamani ya fedha katika ujenzi...

READ MORE

Watu 80 Wanusurika kifo Katika Ajali ya Ndege Canada

Takribani watu 18 wamejeruhiwa baada ya Ndege ya Ndege ya Delta namba 4819 iliyokuwa ikitokea Minneapolis Marekani kwenda Toronto, Canada...

READ MORE

Waziri Mkuu Aliyekamatwa Kısa Rushwa Atoka Kwa Dhamana

Mahakama nchini Mauritius imemuachia kwa dhamana Waziri Mkuu wa zamani, Pravind Jugnauth aliyekamatwa jana Jumapili kwa tuhuma za rushwa na...

READ MORE

Maalim Seif  Kuombewa Dua Leo 

“Ndugu wananchi wa Zanzibar na Watanzania kwa ujumla, kwa masikitiko makubwa nakujulisheni leo tarehe 17 Februari, 2021, majira ya saa...

READ MORE

Afrika Kuwa Na Mwakilishi Baraza La Usalama UN

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) amesema sio sawa kwa bara la Afrika kutokuwa na kiti cha mwakilishi wa...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Afanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Innovo ya Uingereza

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu...

READ MORE

Shilingi Trilioni 8.2 Zatumika Kukopesha Wanafunzi Katika Kipindi Cha Miaka 20 – Majaliwa.

▪️Asema Serikali ilifuta tozo za kulinda thamani ya fedha ili kuondoa changamoto katika urejeshaji wa mikopo. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa...

READ MORE

PM Majaliwa Atoa wito Uwekezaji wa NMB Katika Elimu Uigwe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za umma na binafsi kuiga mfano wa Benki ya NMB katika kuwekeza...

READ MORE

Trump Atangaza Kukutana Na Putin

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumapili jioni kuwa atakutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, katika siku za usoni....

READ MORE

Odinga: Nimeridhishwa na matokeo ya uchaguzi wa AUC

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga amesema ameridhishwa na mchakato wa uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Kamisheni...

READ MORE

Majaliwa Amwakilisha Rais Dkt. Samia Kwenye Kilele Cha Maadhimisho Ya Miaka Ishirini Ya Heslb

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Februari 17, 2025 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka...

READ MORE