×

Habari

ZEEA Yaanza Kutoa mikopo Kidijitali, Maafisa Washauriwa Kuwa Makini

MIKOPO kwa njia ya kidijitali inayoanza kutolewa na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) imeelezwa kuwa itawasaidia wananchi kupata...

READ MORE

Moto Mwingine Mkubwa Wazuka Kaskazini mwa Los Angeles – Video

Moto mwingine mkubwa umezuka hapo jana na kuteketeza eneo lenya ukubwa wa takribani ekari 9400 katika eneo la Castaic, Kaskazini...

READ MORE

Mchengerwa: Watumishi Wanaotaka kugombea nafasi za kisiasa zingatieni taratibu za kiutumishi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka watumishi wa umma wanaohudumu...

READ MORE

Kiboko Aliyetesa Wananchi Kwa Miaka Mitano Auawa Na Askari Wa Wanyamapori Geita – Video

BAADA ya kiboko kuua ng’ombe watatu na kuharibu mazao ya mahindi katika kijiji cha Itale, Kata ya Katoma, Halmashauri ya...

READ MORE

Tundu Lissu Amteua John Mnyika kuwa Katibu Mkuu wa Chadema – Video

Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amemteua John Mnyika kuendelea kushika nafasi ya Katibu Mkuu wa Chadema, nafasi aliyokuwa akiishikilia tangu...

READ MORE

Kenya yarahisisha masharti ya safari kwa nchi za Afrika

Kenya imetangaza kuwa, itawaruhusu raia wa karibu mataifa yote ya Afrika kutembelea nchini humo bila kuhitaji idhini ya awali (visa)....

READ MORE

Samsung Yazindua Galaxy S25 Series Nchini Tanzania Inayotumia Akili Mnemba (AI)

 Dar es Salaam, Tanzania, 22 Januari 2025 – Kampuni ya Samsung Electronics Co., Ltd. imetambulisha rasmi simu zake za Galaxy...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Majaji Wa Mahakama Wa Rufani (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, DKt. Samia Suluhu Hassan Akiwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani, Ikulu Chamwino Dodoma,...

READ MORE

Diaspora Kushirikiana na Serikali Kuchangamkia Fursa

Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na...

READ MORE

Lissu Ashinda Nafasi ya Uenyekiti Chadema, Heche Makamu Mwenyekiti Bara – Video

Tundu Lissu ametangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema baada ya kupata kura 513 kati ya kura 996,...

READ MORE

Breaking: Mbowe Ampongeza Lissu Kwa Ushindi, Mwenyekiti Mpya Chadema – Video

Kupitia akaunti yake ya mtandao wa X, Freeman Mbowe amempongeza Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa na wanachama wa Chadema....

READ MORE

Waandishi wa Habari Dar Wapigwa Msasa Kuhusu Elimu ya Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele

Timu ya Wataalamu kutoka Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele (NTDCP) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari...

READ MORE

Freeman Mbowe Afungua Mkutano Mkuu Chadema, Akemea Matusi, Asema Uchaguzi Huo sio Vita

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amewasihi viongozi watakaoshika nyazifa mbalimbali katika Chama hicho ni lazima...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Imefanya Uwekezaji Mkubwa Kwa TMA

SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya...

READ MORE

Donald Trump aiondoa Marekani kwenye Mkataba wa Paris

Rais Donald Trump ameanza kutekeleza baadhi ya ahadi alizoahidi wakati wa kampeni, ambapo ametia saini maagizo kadhaa, kama vile makubaliano...

READ MORE

Hatma Ya Mbowe Na Lissu Ni Leo, Polisi Watanda Kila Kona Mlimani City – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo Januari 21, 2025 kinatarajiwa kufanya uchaguzi wa viongozi mbalimbali ndani ya chama hicho....

READ MORE

Trump Atangaza kujitoa kwa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kujitoa kwa Marekani kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), hatua iliyopokelewa kwa hisia tofauti...

READ MORE

Elon Musk Apagawishwa Na Uapisho Wa Trump, Sasa Ndoto Yake Ya Kupeleka Mtu Sayari Ya Mars Kutimia – Video

Bilionea mkubwa duniani na mwanzilishi wa Kampuni ya SpaceX, Elon Musk ambaye pia ni swahiba mkubwa wa Rais Donald Trump...

READ MORE

Trump Aahidi Kurudisha Nidhamu Marekani Baada ya kuapishwa

Akizungumza baada ya kula kiapo kama rais wa 47 wa Marekani siku ya Jumatatu Januari 20, 2025, ndani ya ukumbi...

READ MORE

Waziri Kombo Awakaribisha Wafanyabiashara wa CZECH

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuangalia fursa...

READ MORE

Mwili Wa Regina Aliyetoweka Ghafla Wakutwa Kwenye Shimo la Maji Taka, Ndugu Wadaiwa Kuhusika

Jeshi Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema kuwa limewakamata na kuwashikilia  watuhumiwa wawili, Fred Rajabu Chaula na Bashir Richard...

READ MORE

Benki Ya CRDB Yashinda Tuzo 2 za Kimataifa za Mwajiri Bora – ‘Top Employer’

Dar es Salaam, Januari 20, 2025 – Benki ya CRDB imeendelea kung’ara kimataifa baada ya kutunukiwa tuzo 2 za Mwajiri...

READ MORE

Gethmane Group Yaja na Wimbo Maalum Kwaajili ya Harusi, ‘Ni Siku Yetu’

Kundi la kwaya ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) SDA ya  jijini Dar es Salaam imeipua wimbo wake mpya maalumu kwa...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yatajwa Mwajiri Bora Tanzania kwa Mwaka wa Nane Mfululizo

Kwa mwaka wa nane mfululizo, kampuni ya Vodacom Tanzania PLC imethibitishwa kuwa Mwajiri Bora na Taasisi ya Waajiri Bora (Top...

READ MORE

Vijana 1500 Kutoka Vyuoni Wajengewa Uwezo na Brela

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imeshiriki kwenye Kongamano la kuwajengea uwezo vijana wa vyuo vikuu na katika...

READ MORE

Uhusiano Baina ya Tanzania-Czech Kung’ara

Uhusiano wa kiuchumi baina ya mataifa umeelezwa kuwa ndio uhusiano imara na bora zaidi ukilinganisha na nyanja nyingine za uhusiano...

READ MORE

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump kuapishwa Ndani ya Jengo la Bunge leo

RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump anatarajiwa kuapishwa leo Januari 20, 2025 kuwa rais wa 47 wa taifa hilo kubwa...

READ MORE

Instagram Yabadili Mwonekano wa Ukubwa wa Picha

Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya kijamii hususan Instagram, utakuwa umeshagundua kwamba kuna mabadiliko yanayoendelea kwenye App hiyo...

READ MORE

Chadema Yapitisha 23 Kuwania Ujumbe wa Kamati Kuu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jumapili Januari 19, 2025 kimewapitisha makada wake 23 kuwania ujumbe wa Kamati Kuu. Hatua...

READ MORE

Mateka wa Israel Waachiwa na Wapiganaji wa Hamas

Kufuatia makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na wapiganaji wa Hamas wa Palestina, watu waliokuwa wakishikiliwa mateka kutoka pande...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Dharura cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha...

READ MORE

Rais Samia Na Nchimbi Kupeperusha Bendera CCM – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kwa tiketi ya CCM,...

READ MORE

Ushindi Bab Kubwa Kupitia Malipo ya Kidigitali ‘Tap Kibingwa’ Ya Stanbic

Dar es Salaam, Tanzania, 15 Januari 2025: Benki ya Stanbic Tanzania imezindua rasmi mpango wake mpya, kampeni ya “Tap Kibingwa,”...

READ MORE

Rinazon Ministry Ukombozi kwa Wanandoa

Rinazon Ministry ni huduma ya kiroho ambayo imekuwa na mkombozi mkubwa kwa wanandoa katika kustawisha ndoa zao na kuzitibu ndoa...

READ MORE

Majaliwa: Rais Samia Ameimarisha Amani Kupitia 4R, na Ameongoza kwa mafanikio – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amepongeza juhudi na uongozi bora wa Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Serikali Yakusanya Trilioni 105.26 ndani ya Miaka 4 – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika kipindi cha kuanzia Novemba 2020 hadi Oktoba...

READ MORE

Watu zaidi ya 70 Wapoteza Maisha na wengine kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kusababisha mlipuko

Watu zaidi ya 70 wamepoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya lori la mafuta kupinduka na kusababisha mlipuko, tukio...

READ MORE

Maelfu ya watu waandamana kabla ya kuapishwa kwa Trump

Maelfu ya watu wengi wao wanawake waliandamana mjini Washington jana Jumamosi Januari 18, 2025, kulalamika dhidi ya kuapishwa kwa Rais...

READ MORE

Kilimanjaro International Marathon 2025 Yazinduliwa Moshi

Msimu wa 23 wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2025 umezinduliwa mwishoni mwa wiki katika Hoteli...

READ MORE

Wasira Ashinda Kwa Kishindo Umakamu Mwenyekiti Tanzania Bara

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu maalum wa chama Cha Mapinduzi,(CCM), unaoendelea jijini Dodoma wamemchagua kwa kishindo  Stephen Masato Wasira, kuwa Makamu...

READ MORE