×

Habari

Sinza Bodaboda Cup: Vumbi Limetimka, Lakini Hakuna Mbabe!

Uwanja wa Masjid Quba, Sinza, uligeuka uwanja wa vita jioni hii, waendesha bodaboda wanaoshabikia Simba na Yanga wakimenyana kwenye Sinza...

READ MORE

Rais Samia Kuzungumza Na Wananchi Mkwakwani

Rais Samia Suluhu Hassan, leo Ijumaa, Februari 28, 2025, anaendelea na ziara yake mkoani Tanga katika Jimbo la Tanga Mjini,...

READ MORE

RC Makonda Atoa Mwezi Mmoja, Takukuru Kuwapata Waliokwapua Milioni 400 Za Waendesha Bodaboda

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda Alhamisi Februari 27, 2025 ameipa mwezi mmoja Taasisi ya kupambana na kuzuia...

READ MORE

Jeshi la Burundi Lakanusha Kuhusika na mashambulizi ya Mabomu Bukavu – Video

Jeshi la Burundi limekanusha ripoti kwamba lilihusika na mashambulizi ya Mabomu huko Bukavu, Kivu Kusini, ambako mkutano wa AFC/M23 ulikuwa...

READ MORE

Hatua Muhimu Ili Kuondokana na Madeni Yanayokuandama

Jina langu ni Musa kutokea Katavi, niliwahi kupitia hali ya kupata fedha mwisho wa mwezi lakini yote inaishi kwenye kulipa...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Alivyowasili nchini Namibia ambapo kumwakilisha Rais Samia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango Februari 27, 2025 amewasili Jijini Windhoek nchini Namibia...

READ MORE

Baba Ataja Sababu Gideon Kukatwa Mkono, Alizaliwa Akiwa Mzima

Unaambiwa kabla hujafa, hujaumbika! Mkasa wa mtoto Gideon Yohana mwenye umri wa miaka 10 tu, unasikitisha sana. Alizaliwa akiwa mzima...

READ MORE

Rais Samia Afanya uteuzi na kumpangia kituo cha kazi balozi

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kumpangia kituo cha kazi balozi.

READ MORE

Rais Samia Asimama Na Kumpisha Kwenye Kiti Mtoto Wa Form 2, Amkumbatia Baada Ya Kukoshwa Na Maneno – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wanafunzi mbalimbali...

READ MORE

Hamas yakabidhi maiti wanne wa Waisrael

Vyombo vya habari vimeripoti mapema leo Alhamisi kwamba mchakato wa kuwaachilia huru mateka wa Kipalestina umeanza baada ya HAMAS kukabidhi...

READ MORE

Mbezi Juu Yafurahia Ujio wa Meridianbet

Kurejesha kwa jamii haitakiwa mpaka uwe na utajiri mkubwa sana, bali ni moyo tuu basi hivyo ndivyo Meridianbet hufanya mara...

READ MORE

Dk. Slaa Aachiwa Huru, Kesi Yake Yafutwa – Video

Kutoka katika Mahakama ya Hakimu ya Mkazi Kisutu jijini Dar ni kwamba mahakama imemuachia huru Dk Wilbord Slaa baada ya...

READ MORE

Balozi Nchimbi Awasili Namibia Msiba Wa Sam Nujoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi...

READ MORE

Naibu Waziri Chumi Akutana Na Balozi Wa Norway ofisi ndogo za Wizara Dar

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Cosato Chumi (Mb.), kwa niaba ya Waziri wa Mambo...

READ MORE

Gachagua amuahidi Raila urais Kenya 2027

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema kwamba anaweza kumfanya kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa rais wa Kenya...

READ MORE

Polisi Mbeya Wafanya Doria ya Magari na Miguu kuzunguka maeneo mbalimbali ya Jiji Mbeya

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi wa Polisi (ACP) Wilbert Mica Siwa Februari 26, 2025 amewaongoza Maafisa,...

READ MORE

Makamu wa Rais Afanya mazungumzo na Shirikisho la Baraza la Maaskofu Katoliki Afrika ya Kati (ACEAC)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

Waziri wa Ujenzi Zanzibar Azindua Dawati la Uwekezaji La Vertex

WAZIRI wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Khalid Salum Mohamed amewapongeza Vertex International Securities kwa kuanzisha dawati la uwekezaji kupitia...

READ MORE

Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Afunga Mkutano wa Wakuu wa Taasisi za Viwanda vya Kijeshi

Dar es Salaam 26 Februari 2025: Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Salum...

READ MORE

Rais Samia Aweka jiwe la msingi la upanuzi wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa Tanga – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Februari, 2025 ameweka jiwe la msingi la upanuzi...

READ MORE

Aliyemuua Mkewe Na Kuuchoma Mwili Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa

KIJANA Khamis Luwoga (45) aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kumuua mke wake, Naomi Marijani na kisha kuuchoma mwili wake kwa...

READ MORE

Rais Samia Azindua ugawaji wa Boti kubwa za kisasa 120 pamoja na boti saidizi 118

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amegawa boti (Awamu ya pili) kubwa 35 za kisasa na vifaa vyake...

READ MORE

Barabara Ndefu Duniani Chini ya Bahari yaja

Amiri wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, aliyekuwa ziarani mjini Tehran, Iran wiki iliyopita, alisisitiza mpango wa pamoja...

READ MORE

Watu 18 Wafariki Dunia, 32 Wajeruhiwa Katika Ajali Ya Basi Thailand

Watu 18 wamefariki dunia na wengine 32 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka kwenye mteremko wa barabara katika mkoa...

READ MORE

Hukumu Kesi ya Anayedaiwa Kumuua Mkewe Kisha kuuchoma moto Mwili Na Magunia ya Mkaa leo – Video

Kesi ya mauaji dhidi ya mfanyabiashara Hamisi Luwongo, anayedaiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kisha kuuchoma moto mwili wake kwa...

READ MORE

Bila Kufuata Mbinu Hizi Mpaka Leo Ningekuwa Bado Sijaoa

Jina langu ni Ally, kwa hakika mimi ni miongoni mwa vijana waliochelewa sana kuoa, ilifikia hatua hadi kwenye familia waliniambia...

READ MORE

Rais Kiirr Amfuta Kazi Mkuu Wa Usalama

Rais Kiirr amfuta kazi mkuu wa usalama Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wake mpya wa usalama...

READ MORE

Matumizi ya Teknolojia Yaongeza Ushiriki Masoko ya Mitaji

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika mwaka 2024 kumekuwa na mafanikio makubwa ambayo yamewezesha pia thamani...

READ MORE

Viongozi wa Chadema Wakiongozwa na Lissu Watinga Polisi

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Bara, Amani Golugwa leo amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa...

READ MORE

Gambo Amfyatukia Makonda Kisa Ubunge wa Arusha Mjini- Video

Kikao maalumu cha Baraza la Madiwani cha Jiji la Arusha kilichofanyika Februari 24, 2025, kimeacha gumzo baada ya baadhi ya...

READ MORE

Kipa Wa Yanga Abdutwalib Mshery, Afunga Ndoa – Picha

Kipa wa klabu ya Yanga, Abdutwalib Mshery, amefunga ndoa leo Dar es Salaam, Februari 25, 2025  sherehe iliyohudhuriwa na familia,...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afungua Jengo La Halmashauri Ya Mji Wa Handeni (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akifungua Jengo la Halmashauri ya Mji wa Handeni na...

READ MORE

4R Za Rais Samia Zatikisa Geneva

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro (Mb), amesema kuwa Tanzania imeendelea kuweka kipaumbele katika uendelezaji na ulinzi wa...

READ MORE

Kiongozi Wa Upinzani Israel Amshutumu Netanyahu

Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha...

READ MORE

Wakuu wa Viwanda na Mashirika ya Kijeshi Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Daniel Sillo, leo Februari 25 amefungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Watendaji...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Afungua Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Tanga – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Februari, 2025 amefungua Shule ya...

READ MORE

Waasi Wa DRC: Tuko Tayari Usitishaji Mapigano

Muungano wa waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Alliance Fleuve Congo (AFC), unaojumuisha waasi wa M23, umetangaza kuwa tayari...

READ MORE

Sakina Lyoka Kuhakikisha Aziz Ki Na Hamisa Mobetto Wanasafiri Dubai Kwa Fungate

Kampuni ya Bicco Express imemtangaza rasmi mtangazaji maarufu nchini, Sakina Lyoka, kuwa Balozi wao kuelekea Msimu wa Mwezi wa Ramadhani....

READ MORE

Rais Samia Amsaida Carina Kwenda India Kutibiwa, Atokwa Machozi – Video

Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Hawa Hussein Ibrahim, maarufu kama Carina, ameondoka leo kuelekea India kwa ajili ya matibabu baada...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Ukarabati Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Korogwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Afya, Jenista Mhagama kutoa fedha kwa...

READ MORE