×

Habari

Nchimbi Ahitimisha Kagera Mkutano Mkubwa Muleba

Maelfu ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Muleba wakiwa wamejitokeza na kukusanyika kwenye Uwanja wa Fatuma,...

READ MORE

Yemi Alade Agonga Kolabo na Ziggy Marley Kwenye Rebel Queen

STAA wa muziki wa Afro Pop Yemi Alade ametoa albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Rebel Queen’ ambayo inapatikana...

READ MORE

Afisa Mtendaji Mkuu mtandao wa YouTube Susan Wojcicki Afariki

Afisa Mtendaji Mkuu wa zamani wa mtandao wa YouTube na mmoja wa wafanyakazi wa kwanza wa Google, Susan Wojcicki amefariki...

READ MORE

NBC Yadhamiria Kusomesha Wakunga 500 Hadi Ifikapo 2028, Yasisitiza Elimu ya Fedha Kwa Watumishi

 Benki ya Taifa ya Biashara imesisitiza dhamira yake ya kufadhili masomo ya wakunga  500 hadi kufikia mwaka 2028 ikiwa ni...

READ MORE

Kampuni ya Gesi ya Orxy Yamuunga Mkono Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Kwa Kugawa Mitungi

Kampuni ya gesi ya Orxy Tanzania Limited ambayo inayozalisha na kusambaza nishati ya gesi za majumbani imemuunga mkono Mbunge wa...

READ MORE

JWTZ Yazindua Mashindano ya Sanaa na Utamaduni ya Jenerali Jacob Mkunda

Dar es Salaam 10 Agosti 2024: Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo limezindua mashindano ya Utamaduni ya Mkuu wa...

READ MORE

Kampuni ya Sukari ya Kilombero Yawataka Wakulima Kuchangamkia Fursa Upanuzi Kiwanda cha K4

Kampuni ya Sukari ya Kilombero imeshiriki katika Tamasha la mwaka huu la Nane Nane, lililofanyika kuanzia Agosti 1 hadi 8...

READ MORE

Mwenyekiti wa TCDC Amwomba Rais Samia kuizindua Benki ya Taifa ya Ushirika

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), Abdulamjid Nsekela amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuizindua Benki...

READ MORE

Mtanzania Akwama India, Afungiwa Kambini, Bila Mil 3 Hawezi Kurudi, Mama’ake Aomba Msaada – Video

Mama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Fatuma Bakary, mkazi wa Mwandege, Mkoani Pwani ameiomba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

TECNO CAMON 30 Yashika Namba Moja Katika Mauzo Ya Mwezi Wa Julai, Tanzania

Katika mwezi wa Julai, TECNO CAMON 30 ilipita mbele ya washindani wote katika soko la simu za mkononi nchini Tanzania,...

READ MORE

Ajali ya Ndege Yauwa Watu 61 Sao Paulo, Brazil

NDEGE ya abiria ya Kampuni ya VoePass iliyokuwa imebeba abiria 57 na wahudumu wanne imeanguka huko Sao Paulo, Brazil na...

READ MORE

BRITAM, Bank of Africa Zashirikiana Kuongeza Upatikanaji wa Huduma za Bima ya Afya

Britam Insurance Tanzania na Bank of Africa zashirikiana kuongeza upatikanaji wa huduma za Bima za Afya Tanzania ziitwazo ‘Amani Health’...

READ MORE

Rais Samia Akoshwa na NMB, Asema Kazi Iendelee…

    BENKI ya NMB imepandisha kiwango cha mikopo kwa wakulima na wafugaji kutoka Shilingi Bilioni 730 mwaka 2021 hadi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Agosti 10, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Mzee Magoma Ashindwa Kesi, Kuilipa Yanga Mil 60

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali mwenendo nzima wa maombi yaliyofunguliwa na Juma Magoma na wenzake ya kutaka kuundoa...

READ MORE

Issa Hayatou Aliyekuwa rais wa shirikisho la soka barani Afrika afariki

Aliyekuwa rais wa muda mrefu wa Shirikisho la Soka Afrika, Issa Hayatou amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77....

READ MORE

Trump na Harris wakubali kukutana kwenye mdahalo Septemba

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris, mgombea urais wa Demokrat katika uchaguzi wa Novemba, na mpinzani wake wa chama...

READ MORE

Mke wa Bosi Alinitaka Kimapenzi, Nilipomkataa Akanipa Kesi ya Ubakaji

Huku duniani kuna matukio ya ajabu sana, unaweza kushangaa na kujiuliza yote haya yanafanyika kwa sababu gani, kwa faida ya...

READ MORE

Changamoto ya Ardhi na Tembo Karagwe, Zatua Kwa Nchimbi

-Azitolea maelekezo,-Amshukuru Waziri Mkuu kumuagiza Naibu Waziri haraka masuala ya NIDA KageraKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel...

READ MORE

Kurasa za Magazeti ya leo Agosti 9, 2024

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza...

READ MORE

Global Education Link Yatoa Visa 100 Kwa Wanaokwenda Kusoma Nje ya Nchi

WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), imetoa Visa 100 kwa kundi la kwanza la wanafunzi wanaotarajia...

READ MORE

Rais wa Comoro Azali Assoumani amempa Mamlaka ya Urais mwanawe, Nour El Fath

Rais wa Comoro Azali Assoumani amempa Mamlaka ya Urais mwanawe, Nour El Fath na kumruhusu kuingilia kati katika hatua zote...

READ MORE

Pilsner Lager’s New Campaign Kicks Off With a Roaring Celebration at the Benjamin Mkapa National Stadium

Where were you last weekend if not at the National Stadium??? On a hot Saturday afternoon, Pilsner Lager, in partnership...

READ MORE

Rais Samia Aweka Jiwe la Msingi Kiwanda cha Kuunganisha Matrekta Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi kwenye kiwanda cha kwanza cha uunganishaji wa matrekta katika ukanda wa Afrika...

READ MORE

Serikali Kufanya Tathmini Urejeshaji wa Hiari Wakimbizi

Serikali imesema katika kuhakikisha kuwa Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa hapa nchini wanapata suluhisho la kudumu ifikapo Januari 2025 itafanya zoezi...

READ MORE

Papa Francis aomba pande zinazozozana katika maeneo yenye migogoro kusitisha mapigano

Kiongozi wa Kanisa la Katoliki Papa Francis ameomba amani mashariki ya kati na sehemu nyingine duniani, na kutoa wito kwa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Aweka Neno Upatikanaji wa NIDA Ngara

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel  John Nchimbi ameiagiza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Apongeza NSSF, Jeshi la Magereza Kukamilisha Mradi Kiwanda Cha Sukari Mkulazi

*Asema mradi huu una umuhimu wa kipekee *Asema kiwanda hicho kinaenda kutoa uhakika wa sukari nchini, awapongeza NSSF na Jeshi...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Awaita Mambo ya Ndani Ziara Yake Kujibu Masuala ya NIDA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amemwagiza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Banda la Azania Bank – Mdhamini Mkuu wa Nanenane

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka Kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Azania Bank...

READ MORE

Mkurugenzi Mtendaji Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) Alipotembelea Banda la SBL

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Gilead Teri alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited hapo jana kwenye maonyesho...

READ MORE

Vodacom Yatangaza Washindi wa Droo Ya Pili Kampeni Kampeni ni Balaa!

Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi! Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc, Kanda ya Ziwa Victoria Ngoya (kushoto), akimkabidhi...

READ MORE

Wananchi Walipotembelea Banda la SBL Kwenye Maonyesho ya Nanenane Dodoma

Wananchi na wakazi wa Dodoma walipotembelea Banda la Serengeti Breweries Limited kwenye Maonyesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni...

READ MORE

Mtoto Maliki Aliyejeruhiwa na Hausigeli wa Goba, Aruhusiwa Kwenda Nyumbani

Mtoto Maliki Hashimu, mkazi wa Goba Jijini Dar es Salaam, aliyekuwa akitibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kutokana na majeraha...

READ MORE

Amos Wa Tegeta Akamatwa Kwa Tuhuma Za Kusambaza Taarifa Za Binti Wa Yombo Kufariki Wakati Yupo Hai – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Amos Lwiza (54) mkazi wa Tegeta Wazo wilaya ya Kinondoni...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Azindua kiwanda cha Sukari Mkulazi, Mbigiri Morogoro – (Picha+Video)

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua kiwanda cha Sukari Mkulazi kilichopo Mbigiri mkoani Morogoro, tarehe 7 Agosti, 2024.

READ MORE

Bodi Ya Nyama Yawataka Wafanya Biashara Wa Nyama Kutumia Zana Za Kisasa Kulinda Afya Ya Walaji

  Bodi ya Nyama Kanda ya kaskazini imeendelea kutoa elimu na kuonyesha vifaa sahihi ambavyo vinatakiwa kutumika na maduka ya...

READ MORE

Chatanda Atua Misungwi kukagua Miradi ya Maendeleo na Kuzungumza na Wananchi

Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda awasili wilaya ya Misungwi Mkoa wa Mwanza kuendelea na Ziara yake...

READ MORE

Marekani Yamkamata raia wa Pakistani Anayedaiwa Kutaka Kumuua Trump

Mwanaume mmoja raia wa Pakistani mwenye uhusiano na Iran ameshtakiwa kwa madai ya njama ya kumuua Donald Trump na wanasiasa...

READ MORE

Zaidi ya Watu 120 Wafariki kwa sababu ya joto kali Japan

Zaidi ya watu 120 wamekufa kutokana na kiharusi cha joto katika eneo la mji mkuu wa Tokyo, Julai, wakati wastani...

READ MORE