×

Habari

Dkt. Nchimbi; Tuendelee Kusimamia Umoja wa Nchi Yetu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akizungumza na Wananchi wa Kata ya Mataves, katika...

READ MORE

Vodacom Yaibuka Kidedea Katika Tuzo za Tanzania Digital Awards

KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano nchini ya Vodacom, imetunukiwa tuzo na Kampuni ya Serengeti Bytes kupitia programu...

READ MORE

Waziri Mkuu: Undeni Vikundi Ili Mnufaike Na Mikopo inayotolewa na Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 02, 2024 amezindua jengo la kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi katika halmashauri ya wilaya...

READ MORE

Rais Samia na Rais wa Jamhuri ya Korea Washudia utiaji wa saini wa Mkataba wa Ushirikiano wa Uchumi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Korea, Yoon Suk Yeol...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Azindua Shina la Wakereketwa Wajasiriamali wa Tarime Group Monduli

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akizindua Shina la Wakereketwa Wajasiriamali wa Tarime Group,...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Atua Arusha Ziara ya Kikazi

            Msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi,...

READ MORE

Benki ya NBC, Wachezaji wa Simba na Twiga Stars Waendesha Msimu wa Pili wa Kliniki ya Michezo kwa Watoto

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), mdhamini Mkuu wa Ligi ya Kuu ya Tanzania Bara (NBC Premiere League)  imeendesha  msimu...

READ MORE

Wananchi Wakosa Makazi Nyumba Zao Zikibomolewa Kibaha

Zaidi ya Nyumba 200 zilizoko eneo la Mtamba, ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Mji, mkoani Pwani, zinadaiwa kubomolewa...

READ MORE

NBC Yazidua Akaunti Ya Mfugaji Mahususi Kwa Wadau Wa Sekta Ya Ufugaji

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini...

READ MORE

Waziri Mkuu Kushiriki Mazishi Ya Mama Mzazi Wa Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Juma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Juni 01, 2024 amewasili Tarime mkoani Mara ambapo atashiriki kwenye mazishi ya Bi. Amina Nyanda Juma...

READ MORE

Katibu Mkuu Dk. Nchimbi Aongoza Mkutano wa ndani Wa Wanachama, Viongozi wa Chama na Serikali Manyara

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wanachama na Viongozi wa Chama na...

READ MORE

BetPawa Yafanya Amshaamsha ya Mashabiki wa Mwanza Kuelekea Fainali UEFA

Kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa imezawadia vifaa vya michezo timu mbalimbali za mkoa wa Mwanza ikiwa sehemu ya...

READ MORE

Walioshinda Shindano La Wauzaji Bora Vilainishi Vya Oryx Wakabidhiwa Tiketi Kwenda Dubai

KAMPUNI ya Oryx Services and Specialties Ltd iliyoendesha shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya...

READ MORE

Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswis Wamefanikiwa Kuweka Miundombinu Salama Barabarani

KATIKA jitihada za kupunguza ajali za barabarani kwa wanafunzi jijini Tanga ,Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswis...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu Dkt. Biteko Kufungua Maonesho Wiki ya Nishati Jadidifu Dar

TANZANIA RENEWABLE ENERGY ASSOCIATION (TAREA) Maonesho Wiki ya Nishati Jadidifu, JUNI 6-7, 2024 Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania...

READ MORE

Uchaguzi Afrika Kusini 2024: Chama Tawala ANC Kinaelekea Kupoteza Wingi wa Viti Bungeni, Serikali ya Mseto Yanukia – Live Video

 Shughuli ya kuhesabu kura nchini Afrika Kusini inaendelea, ambapo kwa mujibu wa matokeo baada ya takriban asilimia 90 ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Anzisheni Madawati Ya Sayansi, Teknolojia Na Ubunifu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri zote nchini zihakikishe zinakamilisha uanzishwaji wa Madawati ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu ifikapo Julai...

READ MORE

Watanzania Wapewa Mamilioni, Tv, Friji Na Zigo La Euro Cup Na HISENSE Droo Ya Kwanza

Ramadhan S. Mrutu ( Katikati ) ambaye ni mshindi wa tiketi ( Droo ya kwanza ) Kampeni ya ZIGO la...

READ MORE

Rais Samia Awasili Jamhuri ya Korea kwa ajili ya Ziara ya Kikazi ya siku sita

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan leo Mei 30, 2024 amewasili Jamhuri ya Korea...

READ MORE

Matokeo uchaguzi Afrika Kusini 2024: ANC Kupoteza Wabunge Wengi – Live Video

CHAMA tawala nchini Afrika Kusini, African National Congress (ANC), kupoteza wabunge wengi kwa mara ya kwanza tangu kilipoingia madarakani miaka...

READ MORE

Mke wa rais wa zamani wa Zambia akamatwa kwa tuhuma za ulaghai

Mke wa Rais wa zamani wa Zambia Esther Lungu na bintiye Chiyeso Katete wamekamatwa kwa kumiliki mali zinazoshukiwa kuwa ni...

READ MORE

RC Makonda Akerwa Na Mivutano Baina Ya Watendaji Na Viongozi Wa Jiji Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amekerwa na tabia ya malumbano na kuvutana kwa viongozi, Baraza la Madiwania...

READ MORE

Trump apatikana na hatia kwa mashtaka 34 ya jinai

Jopo la wajumbe wa mahakama moja mjini New York, Alhamisi limempata na hatia rais wa zamani wa Marekani Donald Trump...

READ MORE

Viongozi, Wabunge wamiminika Kwenye Maonesho ya Utalii Kwenye Viwanja vya Bunge

Viongozi mbalimbali wakiwemo wabunge wameendelea kumiminika kwenye maonesho maalum yaliyoandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii yaliyoanza kwenye viwanja vya...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Asalimiana na Wanachama, Viongozi wa CCM Singida Baada ya Mkutano wa Ndani

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na baadhi ya Wanachama na Viongozi wa...

READ MORE

Urus Tanzania Yawashauri Wafugaji Kutumia Mbegu za Mifugo Zilizoboreshwa

Urus Tanzania, ambayo ni kampuni tanzu ya Urus global, inayojishughulisha na usambazaji wa mbegu bora za ng’ombe wa maziwa na...

READ MORE

TADB Yashiriki Maonesho Wiki ya Unywaji Maziwa Kitaifa Mwanza

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) inashiriki maonesho ya 27 ya Wiki ya Unywaji maziwa Kitaifa jijni Mwanza huku...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Wito Kwa Taasisi Za Kifedha Kuzitambua Hati Za Kimila

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kuzitambua hati za kimila kama dhamana ya kutoa mikopo...

READ MORE

Ndege nyingine ya Marekani ya MQ-9 imeanguka nchini Yemen

Ndege nyingine ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper isiyokuwa na rubani, ilianguka nchini Yemen, picha zilionyeshwa Jumatano, wakati waasi wa...

READ MORE

Watanzania Hawatafungwa Midomo Kutangaza Mafanikio ya Samia Suluhu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa kupitia juhudi za Mhe. Dkt. Samia...

READ MORE

Sugu ambwaga Msigwa uenyekiti Kanda ya Nyasa

UCHAGUZI wa Viongozi wa CHADEMA Kanda ya Nyasa unafanyika katika Mji wa Makambako Mkoa wa Njombe kwa kushuhudia Joseph Mbilinyi...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Tume ya Mipango, TAEC, NACTVET

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Mursali Ally Milanzi kuwa Naibu Katibu Mtendaji,...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 30, 2024

Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya za Simba na...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Ziara ya siku sita Jamhuri Ya Korea

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

RC Makonda Atembelea Shule Mpya Ya Sekondari Madira Wialaya Ya Arumeru

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda akiwasili kwenye shule ya Sekondari Madiira, kata ya Sing’isi halmashauri ya Meru,...

READ MORE

RC Makonda Amewataka Wanafunzi Chuo Cha Maendeleo Ya Jamii Tengeru Kuweka Bidii Kwenye Masomo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha  Paul Christian Makonda amewasihi wanafunzi wa chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeruu (TICD) wilaya ya...

READ MORE

Familia Yasimulia Jinsi ya Kujikinga na Watu Wenye Macho Mabaya Baada ya Kuteseka Sana

Je, umewahi kuhisi kuwa mtu fulani anakutakia mabaya au bahati mbaya maishani mwako kwa siri, au umewahi kupata mabadiliko ya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino, Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani...

READ MORE

Msafara wa Balozi Dkt. Nchimbi Wasimamishwa Isuna, Ikungi

Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi na msafara wake, akiwa amesimamishwa njiani na wananchi wa eneo la...

READ MORE

Samia Kupitia Nchimbi Akamilisha Ahadi Manyoni

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan leo kupitia Katibu Mkuu wa chama hicho Balozi Dk Emmanuel...

READ MORE