×

Habari

Makalla Ampigia Simu Live Waziri wa Fedha Kujua Fidia za Wananchi Kipunguni

 “Wakati namsikiliza Mbunge wenu Mhe Bonna ameeleza kwa Uchungu na masikitiko Kwamba kuna Wananchi wanadai fidia na wameahidiwa kulipwa lakini...

READ MORE

Waziri Ndejembi: Utendaji wa OSHA Unaridhisha

WAZIRI NDEJEMBI: UTENDAJI WA OSHA UNARIDHISHA

READ MORE

Tamasha La Watu wa Iran Lilivyonoga Sabasaba, Mkurugenzi Tantrade Atia Neno

Dar es Salaam 8 Julai 2024: Siku ya Tamasha ya Iran ilivyonoga katika maonesho ya Kimataifa ya Biashara ambapo wafanyabiashara...

READ MORE

Tamasha Kubwa La Injili Kuanza Kesho Dar, Likiongozwa na Muinjilisti Johannes Amritzer

Muinjilisti wa kimataifa kupitia SOS ADVENTURE, Johannes Amritzer kesho anatarajia kufanya mkutano mkubwa wa Injili ambao utawakutanisha maelfu ya waumini...

READ MORE

Dkt. Nchemba Aishukuru Denmark kwa UShirikiano Mzuri na Tanzania

DKT. NCHEMBA AISHUKURU DENMARK KWA USHIRIKIANO MZURI NA TANZANIA.

READ MORE

CPA Makalla Ampongeza Mwenyekiti na Rais Dkt. Samia Kwa Kuboresha Huduma za Matibabu

TUmekuja kuona jitihada za Serikali na kazi kubwa iliyofanyika ya kuboresha huduma kwa Wananchi wetu wa Kata hii ya Kinyerezi...

READ MORE

Mwenezi Makalla Awataka Wananchi Kujiandikisha Katika Daftari la Mpiga Kura

Uchaguzi wa serikali za mitaa ni Uchaguzi Muhimu sana Chama cha Mapinduzi ni chama cha Siasa na lengo la chama...

READ MORE

Dada wa rais Atoa onyo kwa Mazoezi ya Kijeshi ya Korea Kusini

  Kim Yo Jong, dada mwenye nguvu wa kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amesema mazoezi ya karibuni ya...

READ MORE

Mstaafu Kikwete Na Mtoto Wa Manji Wazungumza Kwa Uchungu Maisha Ya Manji Hadi Kufariki – Video

Mtoto wa Marehemu Yusuf Manji, Mehbub amesema baba yake alikuwa akiipenda mno Klabu ya Yanga yenye makao makuu yake katika...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe La Msingi La Ujenzi Wa Shule Ya Sekondari Ya Wasichana Iramba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Julai 07, 2024 ameendelea na ziara mkoani Iringa ambapo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa...

READ MORE

NMB Yajidhatiti Kuendelea Kuimarisha Uhusiano Wa Kibiashara Kati Ya Tanzania Na Comoro

Benki ya NMB imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania na Comoro ikiwa ni dhamira ya benki...

READ MORE

Mhe. Ndejembi Apongeza Mafanikio ya NSSF

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Deogratius Ndejembi, ametembelea banda la NSSF...

READ MORE

Mwenezi Makalla na Mlezi wa Dar AanzIA Ukaguzi wa Mradi wa Maji Bangulo wa Bil 39

Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla ambaye pia ni mlezi wa Mkoa...

READ MORE

Waziri Jaffo Asema Kuimarika Kwa Sekta Binafsi Kutawezesha Kupanua Wigo La Ajira Nchini

Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba yakiwa yanaendelea Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk. Suleiman Jaffo amesema kuimarika kwa...

READ MORE

CPA Makalla Ampongeza Waziri Aweso Kwa Ufuatiliaji wa Miradi ya Maji

CPA Makalla amefanya Ukaguzi Mkubwa wa Mradi wa Maji eneo la bangulo Jimbo la Ukonga Wilaya ya Ilala Mradi uliogharimu...

READ MORE

Brand Outlet Supplies Waja na Diapers za Kisasa Halisi Zinazotunza Mazingira

Kampuni ya Brand Outlet Supplies ya jijini Dar imekuja na mapinduzi mapya baby diapers (nepi) bora aina ya Pure Born...

READ MORE

Kipa wa Simba Aishi Manula Akoshwa na Kampeni ya Tigo ya Zigo la Euro na Hisense

Dar es Salaam 6 Julai 2024: Kipa wa Simba, Aishi Manula amekoshwa na Kampeni ya Zigo la Euro na Hisense...

READ MORE

Kumiminika Kwa Wawekezaji Wa Kibiashara Nchini Tantrade Yapongeza Uongozi Wa Rais Dk. Samia

Dar es Salaam 7 Julai 2024: Ikiwa ni siku Siku ya Korea ya Biashara katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara...

READ MORE

NIC Waja na Tahadhari Ya Linda Mjengo Wako

 Shirika la Bima la Taifa nchini (NIC) katika msimu huu wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba wamekuja na...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Viongozi Aliowateua

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango,...

READ MORE

Rais Samia na Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi Walivyotembelea Banda la Vodacom

Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake, Filipe Nyusi, Rais wa Msumbiji Julai 4, 2024 walitembelea Banda la Vodacom...

READ MORE

VETA Waja Na Ubunifu Wa Saluni Ya Vipodozi Vya Matunda Halisi

Dar es Salaam 5 Julai 2024: Chuo Cha Ufundi VETA Shinyanga kimekuja na ubunifu wa vipodozi vya matunda ya asili...

READ MORE

Makalla Afichua Siri za Mbowe, Sababu za Yeye Kutaka Kujiuzuru

. Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu. Amos Makalla ambaye pia ni mlezi wa...

READ MORE

TAWA Yanadi Fursa za Uwekezaji Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba)

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea Jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Dar Yazizima Ikimpokea Mwenezi Makalla

Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam Leo tarehe 06 Julai,2024 katika Viwanja na Ukumbi wa Diamond Jubilee wanafanya...

READ MORE

CPA. Makalla ” CCM Haiwezi Kujitenga na Matatizo ya Wananchi”

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha mapinduzi (CCM) komredi Amos Makalla, amesisitiza kwamba Chama hicho hakiwezi...

READ MORE

Benki ya NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Mwanza

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa yaani makampuni na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini...

READ MORE

Katibu Mkuu wa Utalii Atembelea Nyumba ya Kwanza ya Mwalimu Nyerere – Picha

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, Julai 5, 2024 amefika Magomeni ilipo nyumba ya kwanza...

READ MORE

Ruto apunguza matumizi ya serikali kwa Shilingi Bilioni 177, aahidi mabadiliko

Rais wa Kenya William Ruto, alisema Ijumaa kwamba hivi karibuni atafanya mabadiliko katika serikali yake, kufuatia wiki kadhaa za maandamano...

READ MORE

Rais Samia: Biashara Zifanyike saa 24 Kariakoo Dar Jafo Kafanikishe Hilo – Video

RAIS wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo asiwe Waziri wa kukaa...

READ MORE

Gerson Msigwa Afichua Za Ndani Kabisa, “Rais Samia Ametoa Milioni 100 Kwa Taifa Stars – Video

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa @gersonmsigwa amesema kama taarifa kwamba Ligi Kuu ya Tanzania...

READ MORE

Serikali Yaitaka Idara ya Uhamiaji Kuimarisha Misako na Doria

Tuendelee kuitumikia nchi yetu kwa nguvu zetu zote, weledi na kujituma kwani Serikali yetu imetuamini na tuna wajibu mkubwa wa...

READ MORE

Katibu Mwenezi CCM Kutikisa Kesho Diamond Jubilee

Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Mafunzo CPA. Amos Makalla  kesho Jumamosi Julai 6,2024 ananasa ziara ya siku saba mkoani...

READ MORE

Angalia Ubunifu Wa UDSM Kutengeneza Nguo Na Nishati Ya Kupikia Kwa Kutumia Mabaki Ya Plastiki

Dar es Salaam 5 Julai 2024: Kutokana Jitihada Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kuhamasisha matumizi...

READ MORE

UDOM Kuendeleza Tafiti Zenye Kutatua Matatizo Katika Jamii Ili Kuleta Tija

Dar es Salaam 7 Julai 2024: Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema kitaendelea kufanya tafiti zenye lengo la kutatua matatizo...

READ MORE

Utalii Tanzania Kuchangia Robo Tatu ya Bajeti ya Sasa Ifikapo 2034

Ripoti mpya ya Baraza la Utalii Duniani (Travel & Tourism Council, WTTC) iitwayo “ Travel and Tourism: Economic Impact Research...

READ MORE

Chama cha Labour chashinda uchaguzi mkuu wa Uingereza

Chama cha Labour kimeshinda rasmi uchaguzi mkuu wa Uingereza 2024 baada ya kufikisha viti 326 vinavyohitajika. Waziri Mkuu mteule wa...

READ MORE

Tamasha la Utamaduni na Utalii Laanza Kwa Kishindo Bariadi

Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa-Lake Zone Cultural and Tourism Festival limeanza Mjini Bariadi kwa kishindo huku Wizara...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Brazil Afunguliwa Mashtaka ya Utakatishaji wa Fedha

  Polisi wa serikali kuu ya Brazil wamemfungulia mashtaka Rais wa zamani Jair Bolsonaro kwa utakatishaji wa fedha na ushirika...

READ MORE

Waziri wa Madini Mavunde Atoa zuio kwa raia kigeni kuingia kwenye leseni za uchimbaji mdogo bila kufuata taratibu

Waziri wa Madini Anthony Mavunde ametoa zuio kwa raia wote wa kigeni kuingia kwenye leseni za uchimbaji mdogo (PML) bila...

READ MORE