×

Habari

Jinsi Mrembo Alivyotoboa Kimaisha Kutoka Chini Mpaka Kuwa Mfanyabiashara wa Kimataifa

Mwanamke mmoja aitwaye Vanessa Malema alifungua kibanda chake kando ya barabara ya Moi Avenue Nairobi nchini Kenya miaka mitatu iliyopita...

READ MORE

Riba Ya Benki Kuu Yasalia Asilimia 6, Naibu Gavana wa Benki Kuu Afunguka

Riba ya Benki Kuu katika robo ya tatu ya mwaka huu itaendelea kuwa asilimia 6 kama ilivyokuwa katika robo ya...

READ MORE

#EXCLUSIVE: Bibi Mjane Alia Kuporwa Eneo na Serikali ya Mtaa

Bibi huyu anaitwa Isabela Kigae, Mkazi wa Isakalilo Manispaa na Mkoa wa Iringa. Bibi Isabella anautuhumu uongozi wa mtaa huo...

READ MORE

Mrembo Awagiwa Tindikali Arusha Alazwa katika Hospitali ya Mount Meru

Mwanadada Jackline Lauo anayefanya kazi ya kuuza duka la nguo katika Mtaa wa Nazi, jirani na Stendi Kuu ya Arusha...

READ MORE

Waziri Mkuu Azungumza na Wakazi wa kijiji cha Mmawa kilichopo Ruangwa, Lindi

Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa Kassim Majaliwa Julai 03, 2024 amezungumza na wakazi wa kijiji cha Mmawa...

READ MORE

Tanzania,Qatar Kushirikiana Sekta ya Utalii

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU)...

READ MORE

Serikali Yawatoa Hofu Watanzania Kuhusu Ubora na Usalama wa Sukari

Serikali kupitia Bodi ya Sukari Tanzania (SBT), imewatoa hofu Watanzania juu ya ubora na usalama wa sukari inayoingizwa nchini kutokana...

READ MORE

Msimu wa Tano NBC Dodoma Marathon, Zawadi za Mil 80 Kukabidhiwa Washindi

  Jumla ya washindi 60 wa mbio za NBC Dodoma Marathon msimu huu wanatarajiwa kuondoka na zawadi zenye jumla ya...

READ MORE

Polisi Handeni Wahitaji Kuendelea Kuwapa Mafunzo Madereva wa Bodaboda Kuepusha Ajali

JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, limesema ipo haja kwa waendesha bodaboda wilayani humo...

READ MORE

Shilole ‘Siyo Mwenzetu Tena’, Alamba Shavu Kupitia Mama Lishe

Shilole ‘Siyo mwenzetu tena, baada ya kutangazwa na Kampuni ya Gesi ya Oryx imemtangaza Mama Lishe Zuwena Mohamed maarufu Shilole...

READ MORE

Tamasha la Utamaduni na Utalii Kutimua Vumbi Bariadi

Hatimaye Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa – Lake Zone Cultural and Tourism Festival lililokuwa linasubiriwa kwa hamu...

READ MORE

Aliyechoma Picha ya Rais Jela Miaka Miwili Wilaya ya Rungwe 

Mahakama ya wilaya ya Rungwe leo Julai 4, 2024 imemtia hatiani Bw. Shedrack Yusuph Chaula mwenye umri wa miaka 24...

READ MORE

Ibadilisheni Dawasa Ifanye Kazi Kama Sekta Binafsi – Waziri Aweso

Waziri wa Maji, Mhe.Jumaa Aweso(Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) kubadilisha...

READ MORE

Aweso Amkaanga Meneja DAWASA Kigamboni “Kwa Nini Wananchi wanakosa Maji? Tukutane Ofisini Kwangu”

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso leo tar. 04 Julai 2024 amefika Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar Es Salaam kutembelea...

READ MORE

JWTZ Kufanya Maadhimisho ya Miaka 60 Tangu Kuanzishwa Kwake

Jeshi la Wananchi Tanzania( JWTZ) linatarajiwa kufanya maadhimisho ya miaka 60 tangu kuasisiwa kwake Septemba 1, 1964 na Hayati Mwalimu...

READ MORE

Uingereza Kufanyika Uchaguzi Mkuu Leo, Chama cha Labour Wapewa nafasi

UCHAGUZI Mkuu nchini Uingereza unafanyika leo huku mtazamo ukionyesha Chama cha Labour kupewa nafasi kubwa ya ushindi. Kura za maoni...

READ MORE

Biden aapa kuendelea na kampeni licha ya shinikizo la kumtaka kujiondoa kwenye kinyang’anyiro

Rais wa Marekani Joe Biden Jumatano ameapa kuendelea kuwania muhula wa pili, akipuuza hisia zinazozidi kuongezeka kwamba kushindwa kufanya vizuri...

READ MORE

Mshomba Afichua Siri Mafanikio ya NSSF

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo...

READ MORE

NMB Yaipiga Tafu Shule Mbili Za Sekondari Dar , Yakabidhi Meza Na Viti

Benki ya NMB imekabidhi meza 90 na viti 90 venye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 10 kwa mbili mkoani...

READ MORE

Tigo na ZTE Wazindua Simu Mahiri ya ZTE A34 Katika Maonyesho ya Saba Saba

Dar es Salaam, 4 Julai, 2024: Kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali nchini Tanzania, Tigo, inafuraha kutangaza uzinduzi...

READ MORE

Kujituma kwenu kutajenga DAWASA iliyo bora- Aweso

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso leo tar. 04 Julai 2024 amefika Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar Es Salaam kutembelea...

READ MORE

Benki Ya TCB na Metro Life Waja na Ada Bima Pamoja na Kikoba Cha Kidijitali

Benki ya TCB kwa kushirikiana na Metro Life wamekuja na mpango maalum wa Ada Bima ambao utakuwa  mkombozi kwa mwanafunzi...

READ MORE

NIRC Yahimiza Wahandisi Kusajiliwa, Waendane Na Kasi Ya Uwekezaji Wa Rais Dk.Samia – Video

 TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imesema kutokana na uwekezaji mkubwa alioufanya Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika miradi ya umwagiliaji...

READ MORE

Eng. Mkama Bwire Ateuliwa Kuwa Mtendaji Mkuu Mpya DAWASA

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar...

READ MORE

Waziri Jerry Silaa Aingilia kati mgogoro kati ya wakulima na wafugaji Chalinze – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameingilia kati mgogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji...

READ MORE

Naibu Waziri Kapinga: Vijiji Vyote Tanzania Bara Kufikiwa Na Nishati Ya Umeme

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameeleza kuwa, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini ( REA) inatekeleza Mradi wa Kusambaza...

READ MORE

Rais Samia Amteua Jafo kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Ashatu kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Selemani Saidi Jafo kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Jafo anachukua nafasi ya...

READ MORE

Aweso Abaini Uzembe na Hujuma ya Makusudi kwa Watendaji wa DAWASA

Waziri wa maji Jumaa Aweso amesema amebaini uzembe na hujuma ya makusudi kutokana na watendaji wa Mamlaka ya maji safi...

READ MORE

Rais Samia, Nyusi Wapongeza Mkakati wa Utanuzi Benki ya PBZ, Yakaribishwa Kufungua Tawi Msumbuji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ)...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yashuka Dizeli, Petroli Kutumika kuanzia leo Julai 03, 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya...

READ MORE

Maajabu ya Nywele za Binadamu Kukutwa Kwenye Sahani ya Pilau Kimiujiza

Mji wa Thika nchini Kenya ulikumbwa na kisa cha kushangaza siku ya Jumamosi wakati mteja fulani katika hoteli moja ya...

READ MORE

Yusuph Juma Mwenda Ateuliwa kuwa Kamishna Mkuu TRA

Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), Yusuph Juma Mwenda ameteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato...

READ MORE

Rais Samia Amteua Yahya Ismail Samamba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Ismail Samamba kuwa Katibu Mkuu wa...

READ MORE

Aweso Amtumbua Meneja wa DAWASA Kibamba

Waziri wa maji Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Meneja wa DAWASA Kibamba anaye julikana kwa jina la Elizabeth Sankere, kutokana na...

READ MORE

Rais Samia Awaongoza Wageni Mbalimbali Chakula cha Mchana Akiwemo Rais wa Msumbiji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu...

READ MORE

Rais Samia Ampokea Rais wa Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi Ikulu jijini Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi, katika...

READ MORE

Kampuni ya Kuuza Magari ya Kobe Motor Japan Kuongeza Idadi ya Magari Yake Soko la Tanzania

Kampuni ya Kobe Motor ya Japan imesema itaendelea kujitanua zaidi katika soko la Tanzania kutokana na kukua kwa mahitaji ya...

READ MORE

Serikali ya Marekani Yashiriki Uzinduzi wa Ndondo Cup 2024 Kupitia Kampeni za Sitetereki na Furaha Yangu

Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Serikali ya Marekani ( USAID na PEPFAR) kupitia mradi wa Breakthrough...

READ MORE

Jumla Ya Wagonjwa 32,136 Wahudumiwa Kwenye Kambi Ya Madaktari Bingwa Na Wabobezi Arusha

Kufuatia Kiliniki ya matibabu yaliyotolewa bure kwenye kambi ya Madaktari Bingwa na Mabingwa Wabobezi iliyofanyika kwa siku 7, kwenye uwanja...

READ MORE

EU Yamshutumu Mmiliki wa Facebook Kwa Kukiuka Kanuni za Kidigitali

Umoja wa Ulaya imeishutumu Mmiliki wa Facebook na Meta, Mark Zuckerberg kwa kukiuka kanuni za kidigitali ya jumuiya hiyo, ikifungua...

READ MORE