×

Habari

Harusi ya Mtoto wa Tajiri Asia Yateka Dunia, Watu maarufu Wawasili

WATU maarufu duniani wamewasili Mumbai kwa ajili ya harusi ya mtoto wa kiume wa tajiri zaidi barani Asia, Mukesh Ambani....

READ MORE

Mkuu wa Polisi Nchini Kenya Ajiuzulu

Inspekta Jenerali wa polisi nchini Kenya, Japheth Koome leo Julai 12, 2024 amejiuzulu kufuatia wiki kadhaa za maandamano ambapo zaidi...

READ MORE

Kelvin Kijili ni Mnyama Atambulishwa Rasmi kutoka Singida Fountain Gate

Klabu ya Simba  imethibitisha kukamilisha usajili wa beki wa kulia, Kelvin Kijili (24) raia wa Tanzania kutoka Singida Fountain Gate...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Ujenzi Wa Mnara Wa Mashujaa, Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 12, 2024 amekagua ujenzi wa Mnara wa Mashujaa uliopo mji wa Serikali Mtumba jijini...

READ MORE

Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Chatangaza Nafasi za Kazi

Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Julai 10, 2024 wametangaza nafasi za kazi tano Mwisho wa kutuma maombi ni wiki...

READ MORE

Dkt. Tulia Na Rais Putin Wajadiliana Namna Bora Ya Kuimarisha Amani Duniani (Picha +Video)

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Tulia Ackson,...

READ MORE

Mfanyabiashara Ajilipua Mbele ya Waziri Jafo, Amuomba Aiangalie Biashara ya Usafirishaji Fedha Kidigitali

WADAU wa masuala ya kidigitali nchini wamemuoamba Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Selemani Jafo kuanza kuangalia kwa mapana zaidi...

READ MORE

Taasisi Za Ulinzi Arusha Zatakiwa Kushirikiana Na Wanahabari

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amezitaka Taasisi za Ulinzi Arusha kushirikiana na waandishi wa habari ili wapate...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuapisha Suleiman Abubakar Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

CMSA Yatoa Hati za Uwekezaji Katika Hatifungani za Premier Sukuk

CMSA YATOA HATI ZA UWEKEZAJI KATIKA HATIFUNGANI YA PREMIER SUKUK LIMITED

READ MORE

Laji Foundation Yaendesha Kambi ya Matibabu ya Macho Bure Songea

Zaidi ya wananchi 2000 wa Songea Vijijini Mkoani Ruvuma wanatarajiwa kunufaika  na huduma ya kambi ya matibabu ya macho bure...

READ MORE

Vodacom Yatangaza Washindi wa Msimu wa 3 wa Vodacom Digital Accelerator

Dar es Salaam, 11 Julai 2024 – Vodacom Tanzania Plc leo imetangaza Wajasiriamali chipukizi (Startup) zilizoibukavinarawakatiwakuhitimisha msimu wa tatu wa...

READ MORE

Balozi Nchimbi Aonya Viongozi Kutoa Kauli za Kibaguzi

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewataka viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi...

READ MORE

Rais Ruto Avunja Baraza la Mawaziri, Amfuta Kazi Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Rais wa Kenya, William Ruto amelivunja Baraza lake la Mawaziri na amewafuta kazi mawaziri wote isipokuwa Katibu Mkuu wa Baraza...

READ MORE

NIRC Yakabidhi Mradi Wa Umwagiliaji Wa Zaidi Ya Bilioni 5 Kwa Mkandarasi Njombe

  TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imemkabidhi mkandarasi kazi ya ujenzi mradi wa umwagiliaji katika Kijiji cha Itipingi Mkoani...

READ MORE

Amsons Group ya Tanzania Yainunua Bamburi ya Kenya na Kuweka Rekodi Mpya

Kampuni ya Amsons Group ya Tanzania iliyojikita kwenye sekta za nishati, ujenzi, chakula na usafirishaji imeinunua Kampuni ya Bamburi Cement...

READ MORE

Mashindano ya Gofu Kumuenzi Marehemu Lina Nkya Kutimua Vumbi Jijini Arusha

Baada ya Morogoro mwezi Aprili mwaka huu sasa ni zamu ya Arusha katika viwanja vya Gymkana ambapo mashindano ya Gofu...

READ MORE

Tigo Na Wadau Wake Wazindua Huduma Mpya Bima Ya Mizigo Kupitia Simu za mkononi

Dar es Salaam, 11 Julai 2024 – Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo Tanzania, imetangaza ushirikiano wa...

READ MORE

Muigizaji Clooney Atoa Wito kwa Biden Aache Kugombea Urais

Muigizaji mkongwe wa Marekani George Clooney ametoa wito kwa Rais Joe Biden kujitoa kwenye mbio za kuwania awamu ya pili...

READ MORE

Wito Wa Kuwasilisha Miswada Katika Tuzo Ya Kiswahili Ya Safal Ya Fasihi Ya Afrika 2024

Dar es Salaam, Tanzania 11 Julai 2024… Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika leo imetangaza wito wa...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu KCMC Ashinda Nissan Dualis

Benki ya CRDB imemtangaza Hussein Hamisi Hamadi (23) ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha KCMC kuwa mshindi wa pili...

READ MORE

DCP Ng’anzi: Ipo Siku Ndoto ya Tanzania Bila Ajali Kwa Mwaka Itawezekana

Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Tanzania DCP. Ramadhani Ng’anzi amesema tatizo la ajali za barabarani bado ni kubwa...

READ MORE

Watanzania Wahimizwa Kuchukua Hatua za Kuzuia Magonjwa ya Zuonotiki

Serikali ya Tanzania, kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ikishirikiana na Shirika la Maendeleo ya...

READ MORE

Mongela Awasili Mkoani Mbeya Kwa Ziara ya Siku Moja

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongela amewasili mkoani Mbeya kwa ajili ya ziara ya siku...

READ MORE

Vijana Waliopotea Temeke Wafikia 4, Mochwari Na Polisi Hawapo – Video

Sakata la vijana wawili, Abdulrazack Salim na Ramadhan Sultan wakazi wa na Temeke Mikoroshini jijini Dar es Salaam kudaiwa kupotea...

READ MORE

DC Magoti Atoa Tamko Pikipiki Haziruhusiwi Kubeba Mkaa – Video

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti amepiga marufuku pikipiki (bodaboda) kutumika kusafirishia mkaa na kueleza kuwa sheria haziruhusu usafiri...

READ MORE

Ruto Atia Saini Mswada wa Kuunda Tume Huru ya IEBC

Msukumo wa kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka kufuatia shinikizo la vijana nchini Kenya hatimaye umezaa matunda baada ya...

READ MORE

Makamu wa Rais Ataka Msukumo Utolewe Kwa Vijiji Visivyo Na Umeme

Makamu wa Rais, Dkt Philip Isdor Mpango ambaye yupo katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo mkoani Kigoma, ameiagiza Wizara...

READ MORE

Video: Mwalimu Mkuu Akamatwa Kwa Kumchapa Mwanafunzi Akimlazimisha Asome ‘Physics’

MKUU wa Shule ya Sekondari Kiteme Wilayani Mleba ameingia katika uchunguzi kutokana na tuhuma za kumlazimisha mwanafunzi kusoma somo la...

READ MORE

Shigongo: Bilioni 62 Zimeleta Maendeleo ndani ya Jimbo la Buchosa – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo Jana Julai 9, 2024 amehitimisha ziara yake katika kata ya Bupandwa kwa kusikiliza kero mbalimbali...

READ MORE

Polisi Wanne Wafukuzwa kazi Baada Kufuta Picha Kwenye Kamera

Askari Polisi Wanne wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Mwanga, waliokuwa wanashikiliwa kwa uchunguzi wamefukuzwa kazi baada ya kubainika...

READ MORE

Mradi wa Smart City Arusha wapata Nondo kutoka Nigeria, Askari waliopata Mafunzo Kuboresha Miradi ya Ulinzi kidigitali

Mradi wa Smart City Arusha wapata Nondo kutoka Nigeria, Askari waliopata Mafunzo Kuboresha Miradi ya Ulinzi kidigitali Askari kutoka nchini...

READ MORE

Majaliwa Awapongeza Rais Samia Na Dkt. Mwinyi Kwa Sera Bora Sekta Ya Fedha

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewapongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa sera nzuri za...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Mapango ya Amboni ni Hazina kwa Taifa Yanatakiwa Kutunzwa

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, amesema mapango ya kihistoria na yenye maumbo ya kipekee ya...

READ MORE

Kwa Ujenzi Unaoendelea Dar ni Udhibitisho Tosha Rais Samia Ameamua Kuribadilisha Jiji la Dar,

CPA Amos Makalla amesema kila kona ya Jiji ni Dar es salam linatifuliwa watu wapo kazini na hii ni ishara...

READ MORE

Mama Atapeliwa Shamba na Kibarua Wake Morogoro – Video

Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro Bi. Mary Florian Somba amedai kutapeliwa shamba na kibarua wake kwa kusainishwa fomu ya uthibitisho...

READ MORE

CMSA Yazindua Mpango wa Uwekezaji wa Pamoja, CPA Mkama Aeleza..

MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA) imezindua mpango wa Uwekezaji wa Pamoja wa Kampuni ya Sanlam Investment East Africa...

READ MORE

Mzava asema Mgogoro wa ardhi baina ya wananchi na mwekezaji ni wa miaka na miaka, Silaa aombwa Kuingilia kati

WANANCHI wa Vijiji vitano vya Lewa, Mgobe, Kalekwa, Lewa na Werei vilivyopo Kata ya Magila Gereza wilayani Korogwe wameelezea marumaini...

READ MORE

Vodacom Supported Startups Benefit From Learning Tour In China

Seven pioneering startups from the Tanzania Innovation ecosystem are innovating for social impact. Selected for Vodacom’s prestigious Digital Accelerator Program...

READ MORE

Dkt. Mpango Aipongeza Wizara Ya Nishati Kwa Usimamizi Mzuri Wa Miradi Ya Nishati

Makamu wa Rais, Dkt Philip Isdor Mpango ameipongeza Wizara ya Nishati kwa usimamizi madhubuti wa miradi mbalimbali ya Sekta ya...

READ MORE