×

Habari

Suka Mkeka Wako na Meridianbet Leo

Ndugu mteja ukiwa unajiuliza wakati huu ambao baadhi ya ligi kubwa Duniani kumalizika ni wapi utapata pesa. Meridianbet wanasema hivi...

READ MORE

Viongozi na wachezaji wa Klabu ya Yanga, leo Watinga Bungeni, Dodoma (Picha + Video)

Viongozi na wachezaji wa Klabu ya Yanga, leo wametinga bungeni jijini Dodoma kwa mwaliko wa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na...

READ MORE

Bunge la DRC lamchagua Vital Kamerhe kuwa spika

Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lilimchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa vibaya siku ya Jumapili, kuwa spika....

READ MORE

Vodacom Yatambulisha Simu Mpya Unazoweza Kuzipata kwa Mkopo na Kulipia Taratibu

Mkuu wa Idara ya Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, George Lugata ameelezea kuhusu kampuni hio kutambulisha aina nne za...

READ MORE

OSHA Yatoa Mafunzo ya Usalama na Afya Kwa Wabunge Vijana

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umetoa mafunzo ya Usalama na Afya kazini kwa wabunge chini ya...

READ MORE

Live: Maziko ya Aliyekuwa Rais wa nchi ya Iran Ebrahim Raisi

Maelfu ya raia nchini Iran wamejitokeza katika maziko ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Ebrahim Raisi aliyefariki Dunia kwa ajali...

READ MORE

Watu 11 Wakiwemo Raia Watatu wa Kigeni Wafariki Morogoro Leo

Watu 11 wakiwemo raia watatu wa kigeni wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa baada ya mtambo wa kuzalisha mvuke katika kiwanda...

READ MORE

Basi la kampuni ya Takbir Lapata Ajali Lajeruhi 18 Eneo la Manga, Singida

Basi la kampuni ya Takbir lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Katoro mkoani Geita limepata ajali leo Mei 23, 2024...

READ MORE

Waziri wa Kilimo Bashe Ajibu Sakata Aliloibua Mpina Bingeni – Video

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu hoja ya mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina akisema amekosea kufanya uchambuzi wa utoaji wa...

READ MORE

LHRC Yamuonya Oscar Oscar Kuacha kuweka maudhui ya Udhalilishaji dhidi ya Wanawake

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea Vitendo vya Udhalilishaji vinavyofanywa na Mwanahabari Oscar Oscar kupitia Habari Picha...

READ MORE

Tisa wafariki baada ya jukwaa kuporomoka kwenye mkutano wa hadhara Mexico

Takriban watu tisa wamefariki dunia, akiwemo mtoto, na wengine 50 wamejeruhiwa baada ya jukwaa kuanguka kwenye mkutano wa kampeni za...

READ MORE

Binti Apata Shahada ya Udaktari ‘Phd’ akiwa na umri wa miaka 17

BINTI mkazi wa Chicago, Marekani, Dorothy Jean Tillman, ameweka historia ya kipekee baada ya kupata Shahada ya Udaktari (Phd) ‘Doctorate...

READ MORE

Waziri Mkuu: Wazazi Fuatilieni Mienendo Ya Watoto Wenu Shuleni

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wazazi na walezi wafuatilie mienendo ya watoto wao waendapo shuleni ikiwemo na mahudhurio na masomo...

READ MORE

Mchezo Mpya Meridianbet Kasino Coin Strike Hold & Win|Ushindi Kugusa Tu

Meridianbet wanakuletea mchezo mwingine wa kasino ya mtandaoni ambao utakupa nafasi ya kushinda moja ya jakpoti nne kubwa. Kazi yako...

READ MORE

Samsung Tanzania Yaunga Mkono Serikali Ueneaji wa Matumizi ya Simu Janja Nchini

Kwa mujibu wa ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Watanzania wengi zaidi wamehamia kwenye matumizi ya vifaa vya kisasa...

READ MORE

Dankidanki Auawa Na Kukatwa Sehemu nyeti Kwa Kosa La Kumlawiti Mgonjwa – Video

Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Wakudankidanki, mkazi wa Kinondoni Shamba, mwishoni mwa wiki iliyopita alifanya kitendo cha kinyama...

READ MORE

Mchengerwa: Nitavunja Mabaraza ya Madiwani Yenye Mivutano inayokwamisha Maendeleo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amesema atavunja mabaraza ya madiwani...

READ MORE

Waziri Ummy Apiga Marufuku Uuzaji Wa Dawa Ya Amoxicillin Kwa Watoto

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa onyo kwa baadhi ya wahudumu wa afya wanaouza dawa za Amoxicillin DT kwa watoto...

READ MORE

Video: Maelfu ya raia nchini Iran Wauaga Mwili wa Aliyekuwa Rais wa nchi Hiyo

Maelfu ya raia nchini Iran wamelizunguka Jeneza lililokuwa limeubeba mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Ebrahim Raisi aliyefariki Dunia...

READ MORE

Tigo Hakupoi, Yaja Na Jipya: Sako kwa Bako

Afisa mkuu wa Biashara wa Tigo, Isaack Nchunda, akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa kampeni mpya ya Tigo iitwayo ‘Sako kwa...

READ MORE

Bolt Yajipanga Kuvutia Makampuni na SME Kwa Safari Zilizoratibiwa Hadi Kabla ya Siku 90

Katika hatua ya kujibu maoni ya wateja, kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri kwa njia ya mtandao, Bolt imejipanga kupanua...

READ MORE

Vodacom Yaahidi Kuwekeza Zaidi Katika Maswala Ya Uvumbuzi

Kampuni ya Vodacom Tanzania imeahidi kuendelea kuunga mkono juhudi za ubunifu wa aina mbalimbali unaofanywa nchini Tanzania. Ahadi hiyo imetolewa...

READ MORE

Kenya Yatetea Gharama ya Ndege kwa Safari ya Rais Ruto Marekani

Serikali ya Kenya imetetea gharama ya safari ya Rais William Ruto nchini Marekani. Bei ya kukodisha ndege ya kibinafsi ya...

READ MORE

Tanzania yafungua milango ya ushirikiano na Indonesia katika Sekta ya Maji

Waziri wa Maji Tanzania, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ambaye yuko nchini Indonesia kumwakilisha Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Heineken Yatangaza Jarida Mpya Nchini Tanzania Kufuatia Kununua Kampuni Ya Distell Na Namibia Breweries

Dar es Salaam, Tanzania, Mei 22, 2024 – Kampuni inayoongoza duniani ya kutengeneza vinywaji, Heineken, leo imetangaza rasmi kuzindua rasmi...

READ MORE

Tigo, Parimatc Na Hisense Tanzania Waja Na Mchongo Wa Kusisimua “Zigo la Euro Cup Na Hisense”

Dar es Salaam, Mei 21, 2024 – Tigo Tanzania, Kampuni ya mtandao wa simu hapa nchini ya Tigo kwa kushirikiana...

READ MORE

MAJALIWA: VYOMBO VYA HABARI VIJIEPUSHE NA TAARIFA ZA UCHOCHEZI

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka mamlaka zinazohusika na usimamizi wa sekta ya habari ziendelee kusimamia vyombo vya habari vizingatie maadili...

READ MORE

”Amazing Tanzania” Yawashangaza Wengi Guangzou, Wachina Kuanza Kumiminika Tanzania

Maadhimisho ya Miaka 60 kati ya Tanzania na China katika sekta za Utalii na Utamaduni yaliyoambatana na Misafara ya Kutangaza...

READ MORE

Kuboresha Malipo ya Ada za Shule: Benki ya Exim Yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

Katika juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’...

READ MORE

Waziri Mkuu, Nape Wakoshwa na Banda la Global TV katika kongamano la Wanahabari wa Mitandao (JUMIKITA) – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 21, 2024 ni mgeni rasmi katika kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya…

READ MORE

Mtu mmoja afariki baada ya ndege ya Singapore Airlines kukumbwa na msukosuko

Abiria mmoja amefariki na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa kwenye ndege ya shirika la ndege la Singapore kutoka London kuelekea...

READ MORE

Iran yatangaza siku tano za maombolezo ya kifo cha rais wake

Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ametangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa nchi hiyo, Ebrahim...

READ MORE

Mahakama ya juu ya Afrika Kusini yaamua Zuma hawezi kuwania ubunge

Mahakama ya juu ya Afrika Kusini imesema rais wa zamani Jacob Zuma anayekabiliwa na kashfa ya ufisadi hastahili kuwania ubunge...

READ MORE

Kanisa La Ubungo TAG Yaiboresha Ofisi Ya Serikali Za Mitaa National Housing

Kakika Kuadhimisha miaka 85 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God ni Kanisa lililotokana na uamsho mkubwa ulioanza huko mtaa...

READ MORE

Benki ya NMB Yapata Idhini Kuwa Wakala wa Madalali wa Soko la Hisa Dar es Salaam

Benki ya NMB imepata idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CSMA)...

READ MORE

Aweso ashiriki kupitisha Azimio la Mawaziri la Kongamano la 10 la Maji Duniani

  Tanzania imeungana na nchi nyingine duniani katika Kongamano la 10 la Maji Duniani (10th World Water Forum) ambalo limepitisha...

READ MORE

EQUITY Bank Yazindua Dirisha La Wanawake Liitwalo Mwanamke Plus

BENKI ya Equity imezindua Dirisha la Wanawake – Mwanamke Plus ambalo ni mpango maalum unaolenga kuwainua wanawake katika sekta ya...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ataka Maofisa Utumishi Kuacha Uonevu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewataka watumishi wanaosimamia utawala na rasilimali watu sehemu...

READ MORE

Milion 2.5 Kushindaniwa Meridianbet Kasino Mtandaoni

Expanse Tournament kasino moja ya promosheni ya Meridianbet inayoendelea kufanya vizuri mjini, inatoa zawadi kibao kama bonasi za kasino, mizunguko...

READ MORE