×

Habari

NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa yaani makamppuni na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini...

READ MORE

Kiungo Aucho, Chanzo cha Kiungo huyu kutosaini Yanga

Imeelezwa kuwa kiungo mkabajai wa Singida Fountain Gate, Yusuf Kagoma amekataa kusaini mkataba Yanga kutokana na ushindani wa namba ambao...

READ MORE

#Exclusive: Dude Afichua Alivyokamatwa Benki Akiogopwa Ataiba Pesa – Video

MSANII wa filamu Bongo Kulwa Kikumba maarufu kama Dude aliyepata umaarufu kupitia Tamthilia ya Bongo Dar es salaam amefunguka kupitia...

READ MORE

Balozi Nchimbi Atoa Heshma za Mwisho Msibani Kwa Tixon Nzunda

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amejumuika pamoja na waombolezaji wengine, kutoa heshima za...

READ MORE

Majaliwa: Tutayaenzi Mema Yote Yaliyofanywa Na Nzunda

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali na Watanzania wataendelea kumkumbuka na kuyaenzi mema yote yaliyoyafanywa na aliyekuwa Katibu Tawala...

READ MORE

NSSF Yaanza Kuwaondoa Wadaiwa Sugu Katika Nyumba Zake

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeanza zoezi la kuwaondoa wadaiwa sugu walioshindwa kutekeleza matakwa ya mkataba wa...

READ MORE

DC Mtambule: Lipeni Ushuru Wa Maegesho kabla ya Juni 30, 2024

Wamiliki wa magari wanaodaiwa ushuru wa maegesho ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wametakiwa kulipa ushuru wa maegesho (Parking)...

READ MORE

Rais Samia Kuzindua Tamasha la Kitaifa la Utamaduni viwanja vya Maji Maji Ruvuma

NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma maarufu Mwana FA amesema Tamasha la Kitaifa la Utamaduni litakuwa la...

READ MORE

Mke Akiri Kuisaliti Ndoa Yake na Kutoka Kimapenzi na Mchungaji Wake

Kijana mmoja aitwaye Juma mwenye umri wa miaka 36 kutokea Kiambu nchini Kenya alipigwa na bumbuwazi alipogundua kuwa mke wake...

READ MORE

Bilionea Atoa Mchango wa Bilioni 131 kwa kampeni ya Trump

TIMU ya kampeni za urais za Donald Trump imepokea jeki ya $50m (Tsh 131,250,000,000.00 ) kutoka kwa bilionea Timothy Mellon....

READ MORE

NSSF Yashiriki Mkutano wa ATE, Yazungumzia Msamaha wa Tozo na Matumizi ya Tehama

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), umeshiriki mkutano mkuu wa 65 wa Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE). Mkutano...

READ MORE

Washiriki wa Mbio za NBC Dodoma Marathon Kutumia Treni ya SGR Kwenda Dodoma

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeingia makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji na Shirika la Reli Tanzania (TRC) yanatoa fursa...

READ MORE

Mambo Ya Zigo la Euro Na Hisense Yakiendelea, Wananchi Wazidi Kuneemeka Na Zawadi Mbalimbali  

Wananchi wameendelea kunufaika na Kampeni ya Zigo la Euro na Hisense inayoendeshwa na Kampuni ya mtandao wa simu ya Tigo...

READ MORE

DC Magoti Aingia Site, Atembelea Mradi wa Uwekezaji

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe.Petro Magoti amefanya kikao kazi na wataalam wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya...

READ MORE

Rais Samia Ashusha Neema Kyela

RAIS SAMIA ASHUSHA NEEMA KYELA   Serikali kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) itarasimisha makazi yasiyorasmi...

READ MORE

Majaliwa: Ma-Rc, Ma-Dc Anzisheni Operesheni Maalum Za Ulinzi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wahakikishe kila halmashauri inaanzisha operesheni maalum za ulinzi...

READ MORE

Brela- Ada Ya Usajili Wa Kampuni Zinaanzia Shilingi Elfu 20 Hadi Milioni 50

  WAKALA wa wa Usajili wa Biashara na Leseni(BRELA) wamezitaja ada za usajili wa kampuni mpya ambapo gharama zake zinaanzia...

READ MORE

Ndugu wa Wanaodaiwa Kujiuza Sinza Wajitokeza Viunga Vya Mahakama Kudai Ndugu zao

Watuhumiwa Wanaodaiwa kukamatwa katika maeneo ya Sinza siku kadhaa zilizopita wakidaiwa kufanya biashara ya kuuza miili yao wamefikishwa jana Juni...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Jijini Dar baada ya kuhudhuria Uapisho wa Rais wa Afrika Kusini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Juni 19, 2024 amewasili Jijini Dar es Salaam mara baada...

READ MORE

Waziri Simbachawene Apongeza Mageuzi ya Kiteknolojia PSSSF

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, George Simbachawene (kushoto), akiangalia kwa karibu jinsi huduma za PSSSF...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Mpango Atembelea na Kuifariji Familia ya Katibu Tawala Aliyefariki Kwa Ajali

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema watumishi wa Umma wanapaswa kumuenzi aliyekuwa...

READ MORE

Brela inakuwezesha kupata usajili wa viwanda kwa njia ya kieletroniki popote ulipo

KATIKA kuhakikisha wanaendelea kurahisisha utoaji huduma Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umesema kupitia mfumo wa kimtandao wa...

READ MORE

Mjane Afanikiwa Kulipa Mkopo wa Mamilioni Ndani ya Muda Mfupi na Kuokoa Nyumba

Je, umewahi kuwa katika hali kuandamwa na madeni na hukujua jinsi ya kujiondoa hapo? Je, umewahi kukumbana na tishio la...

READ MORE

Miss Tanzania Aomba Msaada wa Kuokoa Maisha ya Mama Yake – Video

Mrembo ambaye amewahi kubeba mataji mbalimbali ya urembo ikiwemo Miss Sinza, Miss Kinondoni na mshiriki wa Miss Tanzania 2010, Amisuu...

READ MORE

Paroko na baba mzazi wakamatwa kwa mauaji ya mtoto mwenye ualbino

Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Raia wema wanaochukia vitendo vya kinyama baada ya msako mkali kuanzia May 31, 2024...

READ MORE

Putin na Kim Wawasili katika viwanja vya Kim Il Sung kwa ajili ya sherehe za makaribisho

Rais Vladimir Putin wa Urusi na mwenzake wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wamewasili katika uwanja wa Pyongyang – uwanja...

READ MORE

Barabara ya Jangwani Yafungwa kutokana na mafuriko, DART Wafunguka!

Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka DART umewaarifu watumiaji wa mabasi ya – Mfumo wa DART kuwa leo, Juni 19, 2024,...

READ MORE

CRDB, NALA Kuwapa Diaspora Urahisi wa Kutuma Fedha Nyumbani

  Benki ya CRDB leo imetangaza ushirikiano na kampuni ya Nala kuwawezesha Watanzania waishio nje ya nchi ‘Diaspora’ kutuma fedha...

READ MORE

Rais Samia Alivyowasili Afrika Kusini kuhudhuria hafla ya Uapisho wa Rais mteule Cyril Ramaphosa

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili katika uwanja wa Ndege wa Waterkloof Pretoria nchini...

READ MORE

Rais Samia Kushiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule, Cyril Ramaphosa Afrika Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Afrika Kusini leo jioni kwa...

READ MORE

RAS Kilimanjaro Afariki Dunia Kwa Ajali

KATIBU Tawala Mkoa wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda amefariki Dunia katika ajali ambayo imetokea eneo la Njia panda ya...

READ MORE

Makala Maalum Kuhusu ya Mafanikio ya TANROADS

MAKALA MAALUM KUHUSU MAFANIKIO YA TANROADS KWENYE UJENZI WA MIUNDOMBINU MKOANI KAGERA Mafanikio hayo hii leo yanaangazia Wakala wa Barabara...

READ MORE

Mafunzo ya BRELA Kwa Waandishi wa Habari Yazinduliwa na Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari kwa lengo la kuwajengea uwezo namna...

READ MORE

Putin afanya ziara yake ya kwanza Korea Kaskazini baada ya miaka 24

Rais wa Russia Vladimir Putin anatarajiwa kuwasili mjini Pyongyang leo Jumanne katika ziara nadra ambayo inaweza kupelekea kusainiwa “mkataba wa...

READ MORE

Watu wanane wafariki kwenye ajali ya treni ya India

Treni moja ya mizigo imegongana na nyingine ya abiria kwenye jimbo la mashariki mwa India la West Bengal mapema Jumatatu,...

READ MORE

Cheza kasino ya mtandaoni na uwe tajiri! Expanse Tournament inatoa mzigo mkubwa

Endelea kucheza kasino ya mtandaoni na uwe tajiri! Expanse Tournament inatoa mzigo mkubwa wa washindi 40, jishindie bonsai za kasino...

READ MORE

Majaliwa: Watanzania Tuendelee Kudumisha Amani, Upendo Na Mshikamano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo...

READ MORE

Rais Samia Aswali Swala ya Eid Al Adha katika Msikiti wa Mikocheni, Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia akiwa leo Juni 17, 2024 aswali swala ya Sala ya Eid Al...

READ MORE

Waziri Mkuu Mgeni Rasmi Swala ya Eid na Baraza la Eid Kitaifa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 17, 2024 ameswali swala ya Idd El-Adh’haa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI BAKWATA,...

READ MORE

Amend Na Ubalozi Wa Uswiss Tanzania Wameendelea Kutoa Mafunzo Ya Usalama Barabarani

SHIRIKA la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswiss nchini Tanzania wameendelea na kampeni ya kutoa mafunzo ya usalama barabarani...

READ MORE