×

Habari

Wanafunzi Green Acres Watia Fora Kwa Vipaji

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Green Acres, wamewapagawisha wazazi na wageni waalikwa kwenye mahafali yao baada ya kuzungumza kwa ufasaha...

READ MORE

Nmb Yazindua Hati Fungani ya Jamii Bondi Yenye Jumla ya Sh. Trilioni Moja

Benki ya NMB imezindua rasmi hati fungani ya jamii bond ya muda wa Kati na muda. Mrefu yenye jumla ya...

READ MORE

IRAQ: Moto Waua Watu 100 Kwenye Harusi, Bibi Harusi na Bwana Harusi Wadaiwa Kufariki – Video

WATU 100 wamefariki na wengine 150 kujeruhiwa baada ya moto kuzuka kwenye harusi kaskazini mwa Iraq, vyombo vya habari vya...

READ MORE

Trump adaiwa kufanya udanganyifu wa kibiashara kwa miaka mingi

Jaji mmoja amehukumu Jumanne kwamba, rais mstaafu wa Marekani, Donald Trump, alifanya udanganyifu kwa miaka mingi wakati anajenga himaya yake...

READ MORE

Director Kenny Alamba Dili Nono Infinix – Msikilize Afisa Uhusiano Akifunguka Mambo Ya Moto – Video

Huenda habari kuhusu Infinix ZERO 30 sio mpya masikioni mwako tangu kuzinduliwa kwake imekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii na...

READ MORE

Rais Samia: Tuna ‘Crisis’ Ya Umeme, Tunafanya Ukarabati Wa Mashine – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amempa miezi sita Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO ), Gissima Nyamo-Hanga kushughulikia tatizo...

READ MORE

Wadau na Wataalam wa Kimataifa Kuipa Temeke Mbinu za Kukabiliana na Athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi

Manispaa ya Temeke inaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi ambapo Mstahiki meya Abdallah Mtinika amekutana...

READ MORE

Tunzaa Yatangaza Ushirikiano Mkubwa Na Vodacom Kupitia M-Pesa

Wateja wa Vodacom kuanza kutumia huduma za Tunzaa ndani ya aplikesheni ya M-Pesa Super App Dar es salaam, 27 Septemba...

READ MORE

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

     Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu iliyopo mkoani Geita...

READ MORE

Kampeni Ya Cha Wote Yafikia Tamati Ikiwatunukia Mamilioni Zaidi Ya Wateja 28,600

Kampeni ya ‘Cha Wote’ iliyokuwa ikiendeshwa na kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo kwa kuwazawadia zawadi mbalimbali...

READ MORE

Tigo Yamtangaza Mshindi Wa Funga Dimba La Kampeni Ya ‘Cha Wote’, Aondoka Na Milioni 5

KAMPUNI ya Tigo kupitia shindano lao la Cha Wote leo imemtamngaza Kassim Mkono kuwa mshindi wa shilingi milioni 5 katika...

READ MORE

Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington

Marekani, Jumatatu imesema ilikataa maombi ya waziri wa mambo ya nje wa Iran, ya kutembelea Washington, wiki iliyopita sababu ikiwa...

READ MORE

Mjukuu wa Nelson Mandela, Zoleka Afariki Familia yake Yatangaza

MJUKUU wa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini Afrika Kusini Nelson Mandela, Zoleka Mandela, amefariki dunia kwa saratani akiwa na...

READ MORE

Mamia Wafariki Kwa Denge na Kipindupindu Sudan, Hospitali Zafungwa!

Mlipuko wa homa ya Denge, na Kipindupindu kutokana na ukosefu wa maji umeua mamia ya watu katika taifa lenye vita...

READ MORE

Exclusive: Kusah Hajaacha Kitu – “Aunty Anajua Kuhusu Mimi Na Wolper, Namuheshimu Sana” – Video

MSANII wa Bongo Fleva, Salmin Hoza almaarufu Kusah amefunguka kuwa hakulifuatilia ishu ambayo iliyoibuka kwenye mitandao ya kijamii, kuwa ana...

READ MORE

Mkuu Wa Wilaya Ya Kinondoni, Saadi Mtambule Azindua Kituo Cha Mfumo Wa M-Mama Jijini Dar

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mh. Saadi Mtambule (kulia) akikata utepe kuzindua rasmi kituo cha mfumo wa m-mama Dar es...

READ MORE

Mhandisi Peter Ulanga Arejeshwa Ttcl Kuendelea Na Majukumu – Video

Mhandisi Peter Ulanga aliyeondolewa kwenye nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) siku 2 zilizopitwa, arejeshwa katika...

READ MORE

Rais Samia Ateua Tena! Aliyemtoa Tanesco Maharage Chande Akaenda TTCL Ampeleka Posta Ateua Wengine 2 – Video

Aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Maharage Chande ameteuliwa kuwa Postamasta Mkuu katika Shirika la Posta...

READ MORE

John Ulanga Ateuliwa Kuwa Balozi na Rais Samia – Video

Rais Samia amemteua Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), John Ulanga kuwa Balozi John Ulanga alichaguliwa na...

READ MORE

Waziri Mavunde Aipongeza GF Truck Kufungua Ofisi Geita

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameipongeza Kampuni ya GF Trucks & Equipment Ltd  kwa kufungua ofisi mkoani Geita na kuona...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yaleta Mapinduzi Katika Huduma Kwa Wateja

Benki ya Stanbic imezindua msaidizi wa kidigitali anaeweza kutoa huduma masaa 24, uzinduzi huu umefanyika Ijumaa, tarehe 22 Septemba. Msaidizi...

READ MORE

Programu Ya “Learning For Life” Imetimiza Dhamira Ya Kuwawezesha Zaidi Ya Vijana 400

Programu ya “Learning for Life” imetimiza dhamira ya Serengeti Breweries Limited ya kuwawezesha zaidi ya vijana 400 Hanang kupitia stadi muhimu na maarifa kwa...

READ MORE

Jeshi La Polisi Latoa Tamko, Sakata La Kupotea Kwa Mtoto Warda – Video

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani lilipokea taarifa ya kutoweka kwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyumbu,...

READ MORE

Meya wa mji wa Derna nchini Libya akamatwa pamoja na maafisa wengine

Ofisi ya mwanasheria mkuu yenye makao yake katika mji mkuu Tripoli, imesema imetoa amri ya kuwazuia maafisa wanane wa eneo...

READ MORE

Rais Samia Apokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi Ikulu Jijini Dar – Picha

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amepokea Hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa...

READ MORE

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameziagiza kampuni zote nchini...

READ MORE

Waziri Biteko atoa ahadi kwa kampuni ya madini, aipa maagizo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuiunga mkono Kampuni ya Geita Gold Mining...

READ MORE

Watumishi Sita Missenyi Matatani Kwa Ubadhirifu, Majaliwa Atoa Tamko – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza watumishi sita wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi wafuatiliwe ili warejeshe fedha za umma na...

READ MORE

Aliyedaiwa Kugomea Uteuzi Wa Rais Kuwa Mkuu Wa Wilaya Arudishwa Kazini

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Maganga M. Japhet, na baadaye kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya...

READ MORE

Bosi Mkuu wa Kampuni ya X (zamani Twitter) India Samiran Gupta Ajiuzulu

Bosi Mkuu wa Kampuni ya X (zamani Twitter) nchini India Samiran Gupta amejiuzulu. Hatua hiyo imekuja wakati Kampuni hiyo ikipambana...

READ MORE

Papa Francis asisitiza serikali za Ulaya lazima zifanye zaidi kuwahudumia wahamiaji

Papa Francis ametoa wito kwa mataifa ya Ulaya kuonesha uvumilivu zaidi kwa wahamiaji wakati wa ziara yake katika mji wa...

READ MORE

Mtangazaji Hassan Wiboneya ‘Dee Seven’ Afariki Dunia

Mtangazaji mahiri aliyejipatia umaarufu mkubwa akiwa katika Kituo cha Redio cha Kiss FM cha jijini Mwanza, akitangaza kipindi cha African...

READ MORE

Wafanyakazi GGML wajitokeza kuchunguzwa saratani, madaktari watoa ujumbe kwa jamii

  NA MWANDISHI WETU WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) leo Ijumaa wamejitokeza katika maonesho ya sita...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mke Wangu Alivyonibadilikia Baada ya Kujifungua Mtoto wa Pili

  Ndoa yeyote bila ya kuwa na mapenzi ya kweli hukumbwa na misukusuko ya kila aina wakati wowote ule, ni...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali, Makatibu wa Mkoa na Wilaya, Wakuu wa Taasisi, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 23, 2023 amefanya uteuzi kama ifuatavyo: UKWELI WOTE:...

READ MORE

Rais Atengua Uteuzi Wa Mkuu Wa Wilaya Ya Mtwara Na Mkurugenzi

Rais Samia amemuondoa kazini Hanafi Msabaha aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini na kumteua Mwanahamisi Mkunda kuchukua nafasi hiyo...

READ MORE

Uteuzi: Maharage Chande Aondolewa Tanesco, Apelekwa TTCL

Rais Samia amefanya Mabadiliko ya Wakuu wa Taasisi na kumteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania...

READ MORE

Rais Samia Amteua Gerson Msigwa Kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

Rais Samia amemteua Gerson Msigwa aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo....

READ MORE

Mil 700 za Rais Samia Zamaliza Ujenzi wa Daraja Korofi la Kiseru Wilaya ya Kiteto- Mbunge Ole Lekaita

Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara na wilaya za Mvomero na Gairo Mkoa wa Morogoro, Kongwa...

READ MORE

Benki ya Absa Yasogeza Karibu Huduma za Kibenki Kwa Watanzania Ikizindua Absa Wakala

Benki ya Absa Tanzania imezindua huduma yake ya Absa Wakala ikiwa ni mikakati ya benki hiyo katika kusogeza huduma za...

READ MORE