×

Habari

RC Albert Chalamila Avunja Uongozi wa Soko la Ndizi Mabibo, Zomeeeni Muone – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amevunja Uongozi wa Soko la Ndizi Mabibo na kuwaagiza Jeshi la...

READ MORE

NMB, Vodacom wazindua kampeni ya ‘Miliki Simu – Lipa Mdogo Mdogo’

Benki ya NMB, kwa kushirikiana na Vodacom na Google, wamezindua kampeni ya ‘Miliki Simu, Lipa Mdogo Mdogo’, inayowezesha watanzania wa...

READ MORE

Kimbunga Hilary kugonga California mwishoni mwa wiki kikitokea Mexico

Kituo cha kitaifa cha vimbunga hapa Marekani kimesema Alhamisi kwamba kimbunga Hilary kimeongeza kasi na kufikia kiwango cha pili karibu...

READ MORE

Kamati ya Bunge yaridhishwa na Mwenendo wa Mfuko wa Taifa wa Maji

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) amewasilisha taarifa ya utendaji wa Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) kwa kipindi cha...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt. Samia Aongoza Kikao Maalum Cha Kamati Kuu

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 17 Agosti...

READ MORE

Mama Lishe Aondoka Na Milioni Moja Ya Tigo Chawote, Wengine Nao Wajizolea Milioni Milioni Zao

Dar es Salaam, 17 Agosti 2023: Ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya chawote ya kampuni ya tigo mpaka sasa imefikia...

READ MORE

Kamati Ya Amani Dar, Yawaasa Watanzania Kutoshawishiwa Kuvuruga Amani

Dar es Salaam, 17 Agosti 2023: Kamati ya Amani mkoa wa Dar es Salaam inayoongozwa viongozi wa dini ya kiislamu...

READ MORE

TAMWA Yawanoa Waandishi Kuhusu Kuripoti Habari za Magonjwa ya Mlipuko

  Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Taasisi ya AVAC, leo Agosti 17, 2023 kimewakutanisha...

READ MORE

TRA: Hatuhusiki na Ufungaji wa Bar ya The Cask Bar & Grill Jijini Mwanza

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema haijahusika kwa namna yoyote na ufungaji wa The Cask Bar & Grill ya iliyopo...

READ MORE

Seneta na Watu Wengine 3 Wakamatwa Kwa Ubadhirifu wa Tsh Bilioni 19 za Ufadhili wa Wanafunzi

SENETA wa Uasin Gishu, Jackson Mandago, na Watu wengine 3 wanakabiliwa na Mashtaka 11, ikiwa ni pamoja na Wizi na...

READ MORE

Kesi dhidi ya Trump na wenzake 18 kuanza kusikilizwa Machi 4 mwaka ujao mjini Atlanta

Muongoza mashitaka wa jimbo ka Georgia Fani Willis Jumatano ametangaza tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya kuingilia uchaguzi wa 2020...

READ MORE

Balozi Mbelwa Kairuki Ahamishiwa Uingereza, Khamis Omar Apelekwa China

Rais Samia amemhamisha Balozi Mbwela Brighton Kairuki kwenda London ambako anachukua nafasi ya Dkt. Asha Rose Migiro ambaye amemaliza Mkataba...

READ MORE

Uteuzi: Rais Samia Ateua Wenyeviti Wa Bodi Za Shirika La Reli Na Veta

Ally A Karavina ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Reli Tanzania (TRC). Karavina ni Mtaalamu wa...

READ MORE

Vodacom Yashirikiana Na NMB, Google Kurahisisha Upatikanaji Wa Simu Janja Kupitia Mikopo

Ushirikiano mpya kati ya Google, NMB na Vodacom Tanzania Plc unatarajiwa kuimarisha mapinduzi ya kidijitali kwa kuwezesha upatikanaji wa simu...

READ MORE

KLM Airline Waboresha Viti Vyake Daraja La Biashara Katika B777-300/200

Ikianzia kwenye viti, inajumuisha teknolojia zote zinazohusiana kwa wastani ni asilimia 10 – 15, jambo linaloendana na ajenda ya uendelevu...

READ MORE

JK Ateta na Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na Usalama ‘SADC- TROIKA’ Mjini Luanda-Angola

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika,...

READ MORE

Rais Samia Awataka Mabalozi Kufuatilia Hati Za Makubaliano Zilizosainiwa -(Picha + Video)

  Amesema “Katika Nchi nyingine Mabalozi wetu sijui niseme hawajui wanachokifanya, wapo tu. Nilikutana na Rais mwenzangu ndani ya #SADC...

READ MORE

Simba Wamkingia Kifua Phiri, Saido Kukosa Penalti fainali ya Ngao ya Jamii

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, kukosa penalti kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii kwa nyota wao wawili,...

READ MORE

Bunge la Kenya lapokea ombi la kupiga marufuku Tiktok

Ombi linalotaka kupigwa marufuku kwa TikTok nchini Kenya limewasilishwa bungeni likitaja uvunjaji wa kanuni ya faragha na maudhui ya ngono,...

READ MORE

Google Kubuni Ajira 20,000 Kwa Wanawake Na Vijana Wa Nigeria

Wakurungenzi wa kampuni ya kimitandao ya Google barani Afrika Jumanne wamesema kwamba inapanga kutoa mafunzo ya kidijitali kwa wanawake 20,000...

READ MORE

Waandishi Wavamiwa Na Kujeruhiwa Kwa Mikuki Ngorongoro, Hali Zao Mbaya – Video

Zaidi ya vijana 200 wa jamii Ngorongoro, Mkoani Arusha wamewavamia na kuwajeruhi waandishi wa habari na mkalimani aliyeambatana nao. Waandishi...

READ MORE

Benki ya Nmb, ATCL Wazindua Mfumo wa Malipo Tiketi za Ndege

BENKI ya NMB na Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wamezindua ushirikiano wa kibiashara wa mifumo ya malipo ya tiketi za...

READ MORE

Msanii Chino Alivyonogesha Promosheni ya Jipatie Infinix

“Natumia Infinix Note 30 picha zangu na video zangu mitandaoni zimekuwa na ushua mwingi tangu nimekuwa mwanafamilia wa Infinix” ameyazungumza...

READ MORE

Wamiliki wa Shule Binafsi, Vyuo Kukutana Kesho Dar, Kujadili Masuala ya Elimu…

Wamiliki wa shule binafsi Mkoa wa Dar es salaam wameiomba serikali kutupia jicho la tatu suala la wanafunzi wanaohitimu masomo...

READ MORE

Mkuu wa wafanyakazi wa rais Madagascar akamatwa London kwa tuhuma za kutaka hongo

Mkuu wa wafanyakazi wa rais wa Madagascar amekamatwa mjini London baada ya kushukiwa kutaka hongo kutoka kwa wachimbaji wa madini...

READ MORE

Libya yatuma ombi kwa Lebanon la kumuachilia mwana wa kiume wa Gadhafi

Mamlaka za kisheria nchini Libya zimewasilisha ombi rasmi kwa Lebanon kumuachilia mmoja wa watoto wa kiume wa kiongozi wa zamani...

READ MORE

Safari za Air Tanzania Mumbai Kufungua Soko Bara La Afrika

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imetangaza kutumia ndege zake za kisasa za abiria na mizigo kwa wafanyabiashara, wanafunzi, wagonjwa na...

READ MORE

Kampuni Ya Sola Yazindua Kampeni Ya Matumizi Ya Nishati Safi

Arusha – Agosti 14, 2023. Katika kampeni ya kuunga mkono jitihada za serikali kwenye matumizi ya nishati salama kimazingira, kampuni...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Latvia Atangaza Kujiuzulu Baada ya Kukosa Kuungwa Mkono

  Waziri Mkuu wa Latvia, Krisjanis Karins leo Agosti 14, 2023 ametangaza kujiuzulu wadhifa wake pamoja na baraza lake la...

READ MORE

SADC Yajadili Umuhimu wa Rasilimali Watu na Fedha Katika Maendeleo ya Viwanda

LUANDA: Tamko la Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu uwekezaji katika Rasilimali Watu uliofanyika jijini Dar Es Salaam...

READ MORE

Pacome, Hafiz Konkoni Waanza Kazi Rasmi Yanga

WACHEZAJI wapya wa Yanga, Pacome Zouzoua raia wa Ivory Coast na Hafiz Konkoni kutoka Ghana, jana walianza kazi rasmi ndani...

READ MORE

Issa Gavu Amtaka Salim Abri ‘ASAS’Dairies Farm Kuweka Shamba Darasa la Mifugo Iringa

Katibu wa NEC Idara ya Organaizesheni Ndg. Issa Gavu amefanya ziara katika shamba la Salim Abri maarufu (Asas) Mjumbe wa...

READ MORE

Ijue Sheria: Hili ndilo Kosa la Uhaini

Kwa mujibu wa kifungu cha 39 (1) cha Kanuni ya Adhabu (Penal Code), mtu yeyote ambaye yumo ndani ya Jamhuri ...

READ MORE

NMB Yapata Heshima Kubwa ya Superbrands

Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha kuwa ‘Superbrand’, na kuifanya kuwa benki pekee iliyopata hadhi hiyo nchini Tanzania mwaka huu....

READ MORE

Majaliwa: Thamani Ya Uwekezaji Mfuko Wa Psssf Kufikia Sh. Trilioni 7.98

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kiwango cha thamani ya uwekezaji Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)...

READ MORE

Papa Francis aelezea kusikitishwa na idadi kubwa ya wahamiaji wanaofia kwenye bahari ya Mediterranean

Mkuu wa kanisa katoliki Papa Francis amesema Jumapili kwamba idadi ya wahamiaji wanaofia kwenye bahari ya Mediterranean ni ”jeraha la...

READ MORE

Watumishi wa Serikali Washauriwa Kubadili Mtindo wa Maisha Kulinda Afya Zao

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka ametoa wito kwa watumishi wa umma kubadili mtindo wa maisha ikiwa ni pamoja...

READ MORE

NIC Yatunukiwa Cheti Cha Superbrand Kwa Mafanikio Sekta Ya Bima Nchini Tanzania.

Katika jitihada za kutambua ufanis na utoaji wa huduma bora katika sekta ya bima nchini, Shirika la Bima la Taifa,...

READ MORE

Kikwete Atoa Mhadhara Nchini Angola, Aziasa Nchi Za Afrika Kudumisha Amani

Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Kikwete amezitaka nchi za Afrika, hususani za ukanda wa SADC...

READ MORE

Niger: Utawala wa kijeshi unatishia kumuua Bazoum iwapo ECOWAS itaingilia kijeshi

Mvutano unazidi kuongezeka kati ya utawala mpya wa kijeshi wa Niger na jumuiya ya ukanda wa Afrika Magharibi ambayo imeamuru...

READ MORE