×

Habari

NMB na Kampuni ya Agricom Africa, Kushirikiana Kuwezesha Ukuaji wa Kilimo Kwa Wakulima

Benki ya NMB na Kampuni ya Agricom Africa, wamewahakikishia wakulima nchini, kwamba ushirikiano baina ya taasisi hizo ndio mkombozi wa...

READ MORE

Wawili Wauwawa Kwa Kupigwa Risasi Katika Siku Ya Tano Ya Maandamano Katika Mji Wa Cape Town

Polisi wanasema mtu mmoja aliuwawa na wengine watatu kujeruhiwa kwa risasi Jumatatu karibu na uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...

READ MORE

Bashe aweka historia Samia akizindua program uchimbaji visima 67800

NA MWANDISHI WETU RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amezindua programu ya uchimbaji wa visima kwa ajili ya wakulima wadogo...

READ MORE

Tusiruhusu Viongozi wa Nchi Yetu Wakatwezwa Utu Wao-Dkt Biteko

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Madini...

READ MORE

Rais Samia: Hongereni NMB kwa mchango Wenu Katika Sekta ya Kilimo!

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Benki ya NMB kwa mchango uliotukuka kwenye Sekta...

READ MORE

Wakulima waanika faida matumizi mfumo T-HAKIKI, waita wenzao kujisajili

Na Mwandishi Wetu, Mbeya WAKULIMA wa mikoa ya Nyanda za Juu wametoa wito kwa wakulima wenzao wa mazao mbalimbali kujisajili...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yatembelea Banda la NMB NaneNane jijini Mbeya

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, imetembelea Banda la Benki ya NMB katika Maonesho ya...

READ MORE

Msanii wa Muziki wa Injili, Gladness Mwanga Aachia Ngoma Mpya, Kaa Nami

  Miongoni mwa Wasanii chipukizi wa Injili wanaofanya vizuri kwa sasa ni pamoja na Gladness Mwanga ambaye anatamba na kibao...

READ MORE

GGML Yadhibitisha Dhamira Yake ya Kuendeleza Wahandisi Wanawake

NA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya AngloGold Ashanti – Geita Gold Mining Limited (GGML), imeahidi kushirikiana na Serikali ya Tanzania na...

READ MORE

Wanasheria, wanasiasa washinikiza kamera ziruhusiwe ndani ya chumba cha mahakama kwenye kesi za Trump

Wakili wa Trump John Lauro alisema angependelea kesi ionyeshwe kwenye runinga lakini alisisitiza kuwa hayo yalikuwa maoni yake binafsi Wito...

READ MORE

Rais Samia Alivyopigiwa Shangwe Uwanja Wa Mkapa (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wachezaji wa timu ya...

READ MORE

Kiongozi Wa Upinzani Wa Senegal Alazwa Hospitalini Baada Ya Kususia Chakula Akiwa Jela

KIONGOZI wa upinzani wa Senegal Ousmane Sonko, ambaye amekuwa akisusia chakula wakati akiwa gerezani kama njia ya kulalamikia mashitaka ya...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya azindua NMB ‘Onja Unogewe’ kwa Mkoa wa Nyanda za Juu

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya – Mhe. Juma Homera amezindua rasmi Kampeni ya Onja Unogewe inayoendeshwa na Benki ya NMB...

READ MORE

Wakulima Wanufaika Na Simu Janja Za Tigo Kwa Buku Tu

KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Tigo imekuja na njia ya kidigitali ya kumrahisishia mkulima kujifunza namna ya uzalishaji wa...

READ MORE

Katibu Mkuu Kiongozi Aipongeza TADB Kwenye Maonesho Ya NaneNane

Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwenye maonesho ya NaneNane...

READ MORE

Waziri Biteko Ampa Heko Rais Samia Ujenzi wa ICU Wilaya ya Bukombe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kutoa fesha kiasi cha shilingi 300,000,000 kwa...

READ MORE

Stamico Yangara Afrika, Yanyakua Tuzo Ya Kampuni Bora Ya Madini 2023

Na Mwandishi Wetu Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limenyakua tuzo ya Kampuni bora ya mwaka Afrika kwenye sekta ya...

READ MORE

Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge kufanyika Agosti 14 hadi 25, 2023

Vikao vya kawaida vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza kufanyika Jumatatu tarehe 14 hadi 25 Agosti, 2023 Jijini Dodoma...

READ MORE

Lori la Kubeba Mafuta Laanguka na Kuwaka Moto Kimara Kibo Dar – Video

Habari zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa lori la kubeba mafuta limeanguka na kuwaka moto muda mfupi uliopita katika eneo la...

READ MORE

Majaliwa: Mfuko Wa Watu Wenye Ulemavu Haujaunganishwa Na Mifuko Mingine

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mfuko wa Taifa kwa Watu wenye Ulemavu haujaunganishwa na mifuko mingine ya makundi maalum kama...

READ MORE

Ufaransa yaahidi kuunga mkono kurejeshwa kwa utawala wa kiraia Niger 5 Agosti, 2023

Ufaransa ilisema Jumamosi itaunga mkono juhudi za kurejesha uongozi wa kiraia nchini Niger kufuatia mapinduzi ya kijeshi, siku moja baada...

READ MORE

Trump Aililia Mahakama ya Juu Kuingilia Mapambano yake ya Kisheria

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump amelalamikia muda na gharama iliyotumika katika mapambano yake mengi ya kisheria na kuitaka...

READ MORE

Waagizaji Mafuta: Serikali Iongeze Nguvu Kwenye Upatikanaji wa Dola

Katika kuendelea kuhakikisha bidhaa ya mafuta ya petroli inapatikana kwa uhakika maeneo yote nchini, Chama cha Waagizaji na Wasambazaji Mafuta...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Apongeza Jitihada za NBC Utoaji Mikopo Zana za Kilimo

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa taasisi za fedha nchini kuendelea kubuni huduma zinazolenga kutatua changamoto zinazowagusa wakulima huku...

READ MORE

TARI Imejipanga Kuwanufaisha Wakulima Kwa Kupata Mbegu Bora Zenye Tija

Morogoro, Agosti 4 mwaka 2023: TARI Ilonga imekuja na teknolojia mbalimbali ambazo zinazalishwa na kituo cha Ilonga  pamoja na vituo...

READ MORE

Cherehani Awataka Wana CCM Kujenga Mshikamano Kuacha Fitina

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Ushetu, wametakiwa kujenga ushirikiano na kuacha vitendo vya majungu na fitina ndani ya...

READ MORE

Compact Energies Yashinda Tunzo Ya Mwaka

Kampuni ya usambazaji na ufungaji wa vifaa vya umeme jua nchini, Compact Energies imeshinda tuzo ya ’First Runner Up- Solar...

READ MORE

SGA Security Yashinda Tuzo Ya Kampuni Bora Ya Ulinzi Afrika

Kampuni ya ulinzi ya SGA Security imetangazwa mshindi wa jumla kati ya makampuni ya ulinzi Afrika katika tuzo za kampuni...

READ MORE

Benki ya NMB Yatenga Sh. Bil 20 BBT, Yamwaga Mikopo Kwa Wakulima

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali kuwainua vijana na wanawake kupitia mradi wa kuwawezesha kulima, kuvua na kufuga kibiashara (BBT),...

READ MORE

Simba: Balaa La Chama, Luis, Ngoma Ni Zito Ahmed Ally Azungumza na Spoti Xtra

UONGOZI wa Simba, umebainisha kuwa, balaa la nyota wa kikosi hicho kinachofundishwa na Roberto Oliveira kwa msimu mpya ni zito....

READ MORE

Rais Dkt. Samia Mgeni Rasmi Simba Day Jumapili Uwanja wa Mkapa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye siku muhimu kwa Klabu...

READ MORE

Trump Akana Hana Hatia Kwa Mashtaka Dhidi Yake Yanayohusiana Na Uchaguzi Wa 2020

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amekana mashitaka ya jinai yanayomkabili, juu ya kuhusika kwake katika njama za kutaka...

READ MORE

Niger: Rais wa Niger aiomba Marekani msaada baada ya mapinduzi

Rais wa Niger aliyetimuliwa ameitaka Marekani na jumuiya nzima ya kimataifa kusaidia “kurejesha… utaratibu wa kikatiba” baada ya mapinduzi ya...

READ MORE

GF Trucks Yang’ara Tuzo Za Africa Company Of The Year 2023

Kampuni ya Gf Trucks & Equipment’s Ltd  imeibuka mshindi wa Tuzo  za ACOYA 2023  kwa  Uzaaji wa Magari nchini Tanzania na Unganishaji kupitia Kiwanda...

READ MORE

Mbeya yafurika banda la Lake Gas Nanenane

Wakazi wa Mkoa wa Mbeya wamefurika katika banda la kampuni ya Lake Gesi lililopo katika viwanja vya nanenane mkoani humo...

READ MORE

Mtumiaji wa intaneti ahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kumkosoa mfalme wa Morocco

Mtumiaji wa intaneti raia wa Morocco amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kumkosoa mfalme kwenye mtandao wa Facebook juu...

READ MORE

Kiongozi wa Mapinduzi Niger Apinga Shinikizo la Kurejesha Utawala kwa Rais Bazoum

Kiongozi wa mapinduzi nchini Niger Jumatano amesema utawala wa kijeshi hautatishwa na shinikizo la kumrejesha madarakani Rais Mohamed Bazoum, na...

READ MORE

Kampuni ya Societe Petroliere Kutoka Rwanda Yatua Tanzania

KAMPUNI ya Societe Petroliere Rwanda, imepiga hatua kubwa kwa kufungua tawi la kwanza nchini Tanzania, ikiashiria dhamira yake ya kuwa...

READ MORE

Papa Francis akutana na waathirika wa Unyanyasaji wa Kingono katika Mkutano wa Vijana Katoliki Duniani

Papa Francis Jumatano Agosti 2, 2023 alisema kanisa katoliki linahitaji “kujitakasa kwa unyenyekevu na kwa muda mrefu” ili kukabiliana na...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Canada Atangaza Kutengana na Mkewe Sophie Grégoire

Waziri Mkuu wa Canada, Justin Trudeau ametangaza kutengana na mkewe Sophie Grégoire (48) baada ya kudumu naye kwenye ndoa kwa...

READ MORE