×

Habari

Spika wa Bunge la Kenya apiga marufuku mavazi yasiyofaa

Spika wa bunge la Kenya amepiga marufuku kile alichokieleza kuwa mavazi yasiyofaa yanayovaliwa na wabunge, hata kupiga marufuku vazi la...

READ MORE

Bibi Harusi Mtarajiwa, Mama Na Mfanyakazi Wafariki Kwa Ajali Siku Chache Kabla Ya Harusi -Video

Bibi harusi, Rehema Chao mkazi wa Morogoro, amefariki dunia akiwa na mama yake mzazi na dada wa kazi wakati wakielekea...

READ MORE

Mapya Yaibuka, Polisi Wanaodaiwa Kuua Mlinzi Wa Bar Ya Board Room Sinza, Kaimu Kamanda Dsm Aeleza – Video

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumpiga risasi...

READ MORE

Tigo Pesa Na Benki Ya DCB Wazindua Huduma Ya Kibenki Ya Wakala

Dar Es Salaam, tarehe 30 Novemba 2023— Tigo, kwa kushirikiana na DCB Bank Plc, wametangaza kuleta mapinduzi katika sekta ya...

READ MORE

Rais Samia Apokea na kuridhia barua ya kujiuzulu ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amepokea na kuridhia barua ya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha...

READ MORE

#UPDATES: Watu 13 wafariki na wengine 36 Kujeruhiwa baada ya basi la Ally’s Star kugonga treni

Watu 13 wamefariki dunia na wengine 36 wakijeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Ally’s Star lililokuwa likitoka Dar es...

READ MORE

Bosi Simba Atoa Tamko Nzito, Afanya Kikao Kizito na Wachezaji

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ amefunguka kuwa, kwa sasa wanakwenda kwenye ukurasa mpya...

READ MORE

Afisa wa chama cha Upinzani DRC Auawa na Makundi Hasimu ya Kisiasa

Ghasia hizo zilimuua Dido Kasingi, wakili na baba wa watoto sita ambaye alikuwa rais wa vijana katika chama cha Katumbi,...

READ MORE

Mjue Pauline Gekul Aliyetumbuliwa Uwaziri Akikabiliwa Na Tuhuma Nzito

Mbunge wa Babati Mjini mkoani Manyara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyekuwa Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Pauline...

READ MORE

Serikali Kwa Ushirikiano na Wadau wa Hamburg Kuimarisha Bustani za Majiji

SERIKALI kwa kushirikiana na wadau kutoka nchi ya Hamburg ,wameonyesha dhamira ya uboreshaji wa bustani mbalimbali zilizopo katika miji  ikiwemo...

READ MORE

TET na Taasisi Tano Zisizo za Kiserikali Zasaini Makubaliano Kuboresha Elimu Nchini

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) leo tarehe 29/11/2023 imesaini makubaliano na taasisi tano zisizo za kiserikali yenye  lengo la kuboresha...

READ MORE

Waziri Ulega Akasirika, Amtumbua Kaimu Mkurugenzi Wa Uvuvi – ”Hatutaki Kuona Bomu”..

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ameelekeza kuondolewa katika nafasi yake Kaimu Mkurugenzi wa Uvuvi, Stephen Lukanga baada ya...

READ MORE

Basi la Kampuni ya Allys Star Lagonga treni Mji wa Manyoni mkoani Singida

Habari zilizotufikia asubuhi ya hii leo Novemba 29, 2023 zimeeleza kuwa, watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa katika...

READ MORE

Sabasaba Moshingi, Kuipeleka DCB Kwenye Kilele cha Mafanikio

Benki ya Biashara ya DCB, moja kati ya benki kongwe inayoongoza katika mabenki yenye ukubwa wa kati, imemtambulisha Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Rais Samia Alivyosalimiana na Wafanyakazi, Wananchi ndani ya Meli ya MV Kilimanjaro 8

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, amewasalimiana na Wananchi mbalimbali ndani ya Meli ya MV Kilimanjaro...

READ MORE

Msimu Huu wa Sikukuu, Airtel Money na WhiteBall Wazindua ‘Cheza Ushinde’

   Wateja wa AIRTEL MONEY kupata fursa ya kujishindia pesa,simu, TV na PikiPiki msimu huu wa sikukuu kila siku...

READ MORE

Halotel Yalenga Kuwa chachu ya Kuboresha Uchumi wa Kidigitali Tanzania

Halotel Tanzania, moja ya kampuni zinazotoa huduma za mawasiliano kwa mtandao wenye wigo mpana nchini, imeazimia kuwa chachu katika enzi...

READ MORE

Mawakala Bora Wa Usajili Vodacom Tanzania Watembelea Afrika Kusini Kutokana Na Utendaji Wao

Mawakala wa usajili wa kampuni ya Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa kampuni, makao makuu ya...

READ MORE

EACOP Yakamilisha Utaratibu Wa Fidia Kwa Kukabidhi Nyumba Ya 339 Mkoani Tanga

Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki – sehemu ya Tanzania leo imekabidhi nyumba ya 339 ambayo ni...

READ MORE

40 Lucky Seven Kasino ya Ushindi ni Kugusa Tu, Cheza Muda huu Hapa

Neno Kasino unapolisikia kwa mara ya kwanza unapata picha gani? Iko hivi Kasino ni sehemu nzuri yenye kila kitu cha...

READ MORE

Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Israel Waagwa nyumbani kwa wazazi wake Rombo Kilimanjaro – Video

Mwili wa kijana Mtanzania, Clemence Felix Mtenga aliyeuawa nchini Israel kufuatia mapigano kati ya majeshi ya nchi hiyo na wapiganaji...

READ MORE

Mbio za Km 5 Za Kili Marathon Zapata Mdhamini Mpya

Wandaaji wa toleo la 22 la Mbio za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon 2024 leo wameitangaza Gee Soseji kama mdhamini...

READ MORE

Papa Francis alazwa hospitali kutokana na maambukizi ya mapafu

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis (86) anapatiwa matibabu ya ugonjwa uliojitokeza kwenye mapafu yake. Kutokana na hali...

READ MORE

Rais Biden: Mtoto wa kimarekani wa miaka minne aliyetekwa yuko Israel

Msichana wa Kimarekani mwenye umri wa miaka minne yuko salama nchini Israel baada ya kuachiliwa siku ya Jumapili kutoka kwa...

READ MORE

Auawa Kwa Kuchomwa Na Kisu Kifuani, RPC Morogoro Athibitisha- Video

Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Aubi Ndomi anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 38, Mkazi wa Mtaa wa Mji...

READ MORE

Rais wa IPU Dkt. Tulia Ackson Awasili Mashariki ya Kati kwa ziara ya siku mbili

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, Novemba 27, 2023 amewasili Mashariki ya Kati kwa ziara ya...

READ MORE

LATRA Yatangaza Ongezeko La Nauli Kwa Mabasi Ya Mjini Na Mabasi

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za Masafa Marefu na Masafa Mafupi baada...

READ MORE

Mbunge Gekul Akalia Kuti Kavu Ccm Yaanza Kujitenga Nae Uwt Wataka Achukuliwe Hatua Haraka – Video

Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umetangaza kusikitishwa taarifa za tuhuma zinazomkabili Mbunge wa Babati Mjini, Mhe Pauline Gekul kuhusu kumfanyia...

READ MORE

Unafahamu Ksino Ilianzia Wapi? Fahamu Hapa

Unapoanza kufikiria jinsi ya kutengeneza pesa kirahisi usipate shida, Meridianbet kasino mtandaoni ni jibu tosha, cheza michezo mingi ya Sloti...

READ MORE

Dkt. Biteko: Tume Ya Mipango Shirikisheni Wananchi Uandaaji Dira Ya Maendeleo Ya Taifa 2050

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameagiza Tume ya Mipango nchini kuweka uratibu wa ushiriki wa...

READ MORE

Dk Gwajima: Msiishie Kukomenti Mitandaoni Zuieni Ukatili wa Kijinsia

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima amewataka watu wasiishie tu kukomenti kwenye mitandao...

READ MORE

Idadi ya waliofariki kwa El Nino nchini Kenya yafikia 76

Takribani Wakenya 76 wamepoteza maisha kutokana na mvua zinazoendelea za El Nino ambazo zimesababisha maafa kote nchini kutokana na mafuriko,...

READ MORE

Dkt. Biteko Aiagiza Tanesco Kukata Umeme Kwa Wadaiwa

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kukata umeme kwa...

READ MORE

Oryx Gas Tanzania, Benki Ya NMB Kushirikiana Kusambaza Mitungi Gesi Kote Nchini

Dar es Salaam 27 Novemba 2023: KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania pamoja na Benki NMB wamesaini hati ya ushirikiano wa...

READ MORE

Tamasha La Familia Ya Viziwi Duniani 2024 Kufanyika Hifadhi Ya Taifa Ya Serengeti

  Tanzania imeendelea kuaminiwa na kupewa nafasi ya kuandaa mashindano ya tamasha la watu wenye usikivu hafifu (viziwi) la 2024...

READ MORE

Serikali Kusimamia Watanzania Wengi Zaidi Kushiriki Fursa Za Kiuchumi Migodini

Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia S. Hassan umedhamiria kusimamia sheria ili kuhakikisha watanzania...

READ MORE

NMB, Oryx Tanzania wazindua ‘Moto Mkali Bei Poa,’ Kukopesha Gesi ya Kupikia

BENKI ya NMB imeingia Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Kampuni ya Uuzaji na Usambazaji Gesi ya Oryx Gas Tanzania, yaliyopewa...

READ MORE

Azania Na TIC Watia Saini Makubaliano Ya Kushirikiana

Benki ya Azania na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wametia saini makubaliano ya kushirikiana ikiwa ni muendelezo wa jitihada za...

READ MORE