×

Habari

SBL Yamuaga Ocitti, Yabainisha Mafanikio Yake

Dar es Salaam. Jumapili, Machi 19, 2023. Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imesaidia mamia ya wakulima kote nchini na...

READ MORE

Kamati Ya Kudumu Ya Bunge ya Miundombinu Yavutiwa Na Maendeleo Ujenzi BRT II

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Selemani Kakoso imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya miundombinu inayosimamiwa na Wakala wa...

READ MORE

Rais Samia Awapisha Makatibu Tawala wa Mikoa na Kamishna wa Dawa za Kulevya Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala Mikoa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya...

READ MORE

Unataka ushindi Mkubwa, Njoo Huku | Expanse Kasino

Kila siku Meridianbet wanatoa pesa kibao kupitia michezo yake ya Kasino ya mtandaoni ambayo kwa dau dogo tu unaweza kutimiza...

READ MORE

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump Asema Anatarajia Kukamatwa Siku ya Jumanne

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump anasema anatarajia kukamatwa Jumanne katika kesi kuhusu madai ya pesa inayosemekana ililipwa kwa...

READ MORE

Majaliwa Awataka Ma-Dc Kusimamia Ajenda za Kitaifa na Kufuata Maono ya Rais Samia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Wilaya nchini wakasimamie ajenda za kitaifa ikiwemo ya mapambano dhidi ya rushwa. Amewataka...

READ MORE

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu Yatoa Hati ya Kumkamata Vladimir Putin

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu (ICC) Machi 17, 2023 imetoa hati ya kumkamata Rais wa Russia Vladimir Putin, ikimshtumu kuwa...

READ MORE

Wikendi Hii Tusua Pesa Ukiwa Na Meridianbet Mabingwa wa Odds Kubwa

EPL kuendelea Wikendi hii kwenye viwanja mbalimbali ambapo Everton watakuwa ugenini dhidi ya Chelsea ya Potter ambayo imekuwa na misukosuko...

READ MORE

Kadinali Polykarp Pengo Atembelea Kaburi la JPM Wilayani Chato

Wakati Taifa la Tanzania leo Machi 17/2023 likiadhimisha miaka miwili ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Dkt. John Pombe...

READ MORE

Aussems: Nawaonea Huruma Horoya Kwa Kitakachowakuta

KOCHA wa zamani wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems ameweka bayana kuwa haoni namna yoyote ya wapinzani wa Simba katika Ligi...

READ MORE

Rais Samia Afanya Ziara ya Kihistoria Afrika Kusini Ahimiza Ushirikiano wa Kiusalama na Biashara

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika ziara yake ya kiserikali nchini Afrika Kusini amehimiza ushirikiano zaidi wa kiusalama na...

READ MORE

Kagera: Ugonjwa Usiojulikana Waibuka Na Kuua Watano, RC Chalamila Afunguka – Video

Wizara ya Afya imepokea taarifa ya kuwepo Ugonjwa huo katika Wilaya ya Bukoba Vijijini, Kata ya Maruku na Kanyangereko, Vijiji...

READ MORE

Tanzania Iko Tayari Kuilisha Dunia

Kwa mujibu wa takwimu kutoka Benki ya Tanzania (BoT) na Wizara ya Kilimo, Tanzania imeongeza mauzo ya nje ya chakula...

READ MORE

Mtoto wa Rais Yoweri Musevenia Kugombea Urais Uganda Mwaka 2026

Mtoto wa kiongozi wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema ananuia kugombea urais mwaka 2026, ikiwa ni mara ya kwanza kwa Jenerali...

READ MORE

Dkt. Kiruswa: GGML Inaibeba Geita, Wizara ya Madini Kutafsiri Vyema Maboresho Sheria ya Madini

NA MWANDISHI WETU NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amesema mojawapo ya kampuni za madini zinazoongoza nchini kwa kutafsiri...

READ MORE

Bandari Ya Kilwa Masoko Yapongezwa Kwa Huduma Bora

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imepongezwa kwa Huduma bora zinazotolewa na Bandari ya Kilwa Masoko. Pongezi hizo zimetolewa...

READ MORE

CBE Yaanzisha Shahada 10 za Uzamili

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka wenye  kampuni na taasisi mbalimbali kupeleka wafanyakazi wake kupata mafunzo yatakayowawezesha kuboresha...

READ MORE

Kenya: Rais Ruto Amuonya Odinga Dhidi ya Maandamano ya Umma

Rais wa Kenya William Ruto amemuonya kiongozi mkuu wa upinzani Raila Odinga dhidi ya kufanya maandamano ya umma yaliyopangwa na...

READ MORE

Waarab Watashangaa…. Nabi Aandaa Sapraizi Mpya Yanga SC

UPO uwezekano wa Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi kumuanzisha beki wake Ibrahim Hamad ‘Bacca’ katika kikosi chake cha...

READ MORE

Mwenyekiti wa Chama Cha Mabenki Tanzania (TBA) Aongoza Maadhimisho Siku Ya Wanawake Duniani

Dar es Salaam, Machi 16, 2023: Chama cha Mabenki Tanzania (TBA)  kimeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa kila Machi 8 kwa...

READ MORE

Kimbunga Freddy: Malawi Yatangaza siku 14 za Maombolezo

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera Jumatano alitangaza wiki mbili za maombolezo ya kitaifa kwa zaidi ya watu 200 waliofariki kutokana...

READ MORE

Hotuba Ya Katibu Mkuu Wizara Ya Nishati Katika Maonesho Ya LPG Afrika Mashariki – Tanzania 2023

Bw. Benoit Araman – Mwenyekiti, Chama cha LPG Tanzania na Mkurugenzi Mkuu Oryx Gas Tanzania; Bw. Amos Jackson – Tanzania...

READ MORE

Meridianbet Yashusha Neema Kwa Bodaboda Kawe Dar

Bahati haiji kwa siku moja lakini msemo huu una maana kubwa kwa bodada wa Kawe ambapo Meridianbet, iliwapatia Reflector ikiwa...

READ MORE

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa chakula na kilimo

Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa masuala ya chakula na kilimo utakaofanyika Septemba 5 mpaka 8 mwaka...

READ MORE

Wizara Ya Nishati Yazindua Umoja Wa Wazalishaji Na Wasambazaji Wa Gesi Ya Kupikia Majumbani

Dar es salaam: 15 Machi 2023, Wizara ya Nishati Yazindua Umoja wa Wazalishaji na Wasambazaji wa Gesi za kupikia majumbani...

READ MORE

Waziri, RC Mbeya wataka GF Trucks Kufungua Ofisi Zao Chunya Jirani na Migodi

      Naibu waziri wa Madini, Steveni Kiruswa na mkuu wa mkoa wa Mbeya wameutaka uongozi wa kampuni ya...

READ MORE

Mwanaume Anusurika Kukatwa Mkono Baada ya Kung’atwa na Pundamilia Anayemfuga

  Mwanaume mmoja nusura apoteze mkono wake baada mmoja kati ya pundamilia anaowamiliki, kumgeuzia kibao na kumng’ata mkono, tukio lililotokea...

READ MORE

Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa chakula na kilimo

Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Afrika wa masuala ya chakula na kilimo utakaofanyika Septemba 5 mpaka 8 mwaka...

READ MORE

Mbunge Atimuliwa Bungeni kwa Kutohudhuria vikao vya Bunge Tangu Achaguliwe

MBUNGE wa bunge la seneti nchini Japan ametimuliwa kazini baada ya kutohudhuria kikao chochote cha bunge kwa mieza saba. Mwanaume...

READ MORE

Morocco Yaungana Na Hispania Na Ureno Katika Jitihada Za Kuandaa Kombe La Dunia La 2030

  Morocco itaungana na Hispania na Ureno katika jitihada za kuandaa Kombe la Dunia la 2030, taifa hilo la Afrika...

READ MORE

Kimbunga Freddy Chaua Watu 200 Malawi na Msumbiji, 584 Wajeruhiwa, 37 Hawajulikani Walipo

Idadi ya vifo vilivyo kutokana na Kimbunga Freddy nchini Malawi na Msumbiji imeongezeka na kuvuka watu 200 Jumanne, baada ya...

READ MORE

Simba Maarufu Kaskazini mwa Tanzania aliyeishi katika Hifadhi ya Serengeti, ‘Bob Junior’ Afariki

SIMBA maarufu Kaskazini mwa Tanzania aliyeishi katika Hifadhi ya Serengeti, ‘Bob Junior’ ameuawa baada ya kushambuliwa na kundi la Simba...

READ MORE

Nmb Yatenga Bil 200 Kuwakopesha Wafanyakazi Kwa Ajili Ya Kujiendeleza Kielimu

Benki ya NMB imetenga kiasi cha TZS bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi kupata elimu ya juu au wale...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mizengo Pinda Kuwa Mwenyekiti Baraza la Ushauri wa Kilimo na Chakula

  Rais Samia Suluhu Hassan, ameunda Baraza la Kumshauri Rais kuhusu utekelezaji wa masuala ya kilimo na chakula ambapo amemteua...

READ MORE

Basi la Kampuni ya Kapricon Lapinduka nje Kidogo ya Mji wa Morogoro

Mzimu wa ajali za barabarani unaendelea ambapo habari zilizotufikia hivi punde kwenye chumba chetu cha habari zinaeleza kuwa basi la...

READ MORE

Watu 7 Wafariki Dunia Baada ya Kula Nyama ya Kasa Anayedhaniwa Kuwa na Sumu

Watu saba wakazi wa Mafia mkoani Pwani, wamefariki dunia baada ya kula samaki aina ya kasa anayedhaniwa kuwa na sumu....

READ MORE

Hali ilivyo Mwanza wiki ya nenda kwa usalama barabarani Kitaifa

Maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama kitaifa yanafanyika jijini Mwanza leo March 14 mwaka, Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo...

READ MORE