×

Habari

Lojay Aachia ‘Moto’ Ikiwa ni Maandalizi ya Kuachia EP Mpya, ‘Gangster Romantic’

  STAA wa Amapiano aliyetesa vilivyo na kibao chake ‘Monalisa’, Lojay sasa ameachia mtaani singo yake mpya inayokwenda kwa jina...

READ MORE

Jinsi Nilivyofanikiwa Kutoka Jela Baada ya Kufungwa Kwa Kosa Ambalo Sikulifanya

Ukweli ni kwamba siyo kila aliyefungwa jela ametenda kosa, wapo wengi wamefungwa vifungo virefu jela kwa mambo ya kusingiziwa na...

READ MORE

Rais Samia Agoma Kuingilia Sakata la kina Halima Mdee liko Mahakamani

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa kukubali ombi la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuingilia kati sakatala la wabunge...

READ MORE

Wafanyakazi wa Kike GGML Watoa Msaada wa Vifaa Tiba Geita

KIKUNDI cha wafanyakazi wa kike wanaofanya kazi katika kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML ladies) wanaofanya kazi mjini Geita,...

READ MORE

Benki Ya EQUITY Yaadhimisha Siku Ya Kimataifa Ya Wanawake Kwa Kipaumbele Cha Kidigitali Kibenki

Benki ya Equity inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa kipaumbele cha suluhisho za kidigitali katika huduma zao za benki...

READ MORE

Rais Samia: Katiba Mpya ni Suala la Muda Kutatangaza Kamati

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema muda sio mrefu ataunda kamati kwa kushirikiana na vyama vingine vya siasa ambayo...

READ MORE

Meridianbet Yaiadhimisha Siku ya Wanawake Hospitali ya Sinza-IWD

Dunia huadhimisha siku ya wanawake kila mwaka Machi 8, Mwanamke ana thamani kubwa sana kwenye Maisha, kwangu Mwanamke ni Shupavu...

READ MORE

Siku ya Wanawake Duniani: Uthubutu, Uwezeshaji Kielimu Unavyopaisha Wanawake GGML

  MTU anapojitambulisha kuwa anafanya kazi mgodini, watu wengi hudhani kuwa kazi zilizopo ni kuingia chini ya ardhi kutafuta madini...

READ MORE

Wanawake Mahakama Waungana na Wenzao Kusherehekea Siku Ya Wanawake Duniani

Watumishi wanawake wanaofanya kazi Mahakama ya Tanzania Mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 08 Machi, 2023 wameungana na Wanawake...

READ MORE

Bamako Wanachakaa Mapema Kwa Yanga kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa amepanga kuwatumia washambuliaji wake wawili, Fiston Mayele na Kennedy Musonda kwa...

READ MORE

Nmb Yaibuka ya Kwanza Kusini Mwa Jangwa la Sahara kuorodhesha Hati Fungani ya kijinsia Soko la hisa Ulaya

Tukiwa tunaadhimisha siku ya wanawake duniani, NMB imeandika historia mpya kwa kuwa Benki ya kwanza Kusini mwa Jangwa la Sahara...

READ MORE

Ajali Geita! Watu Saba Wafariki Baada Ya Basi Kupasuka Tairi Na Kutumbukia Darajani….

Watu saba wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali ya basi la abiria la Kampuni ya Sheraton lenye namba za...

READ MORE

Homa ya ndege aina ya H5N1 yaripotiwa Paris, Ufaransa

Shirika la kimataifa la afya ya wanyama WOAH, limesema kwamba Ufaransa imeripoti mlipuko wa homa ya ndege aina ya H5N1...

READ MORE

Heri ya Siku ya Wanawake 2023 kutoka Global Publishers

Leo, Machi 8, 2023 ni siku kama siku nyingine yoyote ile katika maisha yetu lakini kinachoifanya iwe na tofauti ya...

READ MORE

Ukraine Yakanusha Kulilipua bomba la Gesi ya Urusi la Nord Stream

Ukraine imekanusha kuhusika kwa namna yoyote na shambulio lililotokea mwezi Septemba mwaka jana kwenye mabomba ya Nord Stream, ambayo yalibeba...

READ MORE

Chongolo Atangaza Neema Kwa Walimu Watakaokubali Kwenda Kufundisha Vijijini

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametangaza neema kwa walimu watakaokubali kwenda kufanya kazi vijijini kwa...

READ MORE

Mwenyekiti Jumuiya Ya Wazazi (CCM) Dar, Awataka Vijana Kufanyakazi Kwa Bidii na Kukijenga Chama

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi (CCM) mkoa wa Dar es Salaam Bi. Khadija Ally  amewataka vijana wa CCM kuendelea kufanya...

READ MORE

Mapacha Waliozaliwa Kwa Ujauzito Wa Miezi 4 Wavunja Rekodi Ya Guinness

Watoto Adiah na Adrial Nadarajah wameweka rekodi mpya na kupita rekodi ya awali ya Siku 125 iliyowekwa Mwaka 2018 na...

READ MORE

DCB Yaahidi Huduma Bora kwa Vikundi Vya Wajasiriamali Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogoro na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omary Kumbilamoto wamekabidhi hundi...

READ MORE

Watu 9 Wafariki Ajalini, 30 Wajeruhiwa Wilayani Tanganyika Mkoani Katavi – Video

Watu 9 akiwemo Mama mjamzito wamefariki Dunia na wengine 30 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka na kudondokea bondeni...

READ MORE

Kocha wa Yanga Aandaa Mbinu Za Kivita Kuwaua Bamako kesho Kwa Mkapa

ALICHOKIPANGA Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ni kuwavurga Real Bamako na kuondoka na alama tatu kwenye mchezo wao wa...

READ MORE

UCL ya Moto Kamata Odds Kubwa Kutoka Meridianbet leo na Kesho ni Shangwe!!

The wait its over! Mbivu na mbichi kujulikana ni timu gani itafuzu hatua ya robo fainali ya UCL, ni mechi...

READ MORE

Mume Wangu Amerejea Nyumbani Baada ya Kunitelekeza na Watoto Miaka Miwili

  Katika miaka 21 niliyoishi kwenye ndoa, nimehitimisha kwa kusema kuwa; ndoa inahitaji uvumilivu mkubwa sana, ndoa inahitaji kuwa na...

READ MORE

Kiongozi wa upinzani wa Belarus apewa kifungo cha miaka 15 jela kwa tuhuma za kupanga mapinduzi

Kiongozi wa upinzani wa Belarus, Sviatlana Tsikhanouskaya, aliyeko uhamishoni, Jumatatu amepewa kifungo cha miaka 15 jela, licha ya kutokuwepo nchini,...

READ MORE

Halotel Yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Kituo cha Watoto Yatima

Kwa kusaidia jamii ya Tanzania, Halotel Tanzania imekabidhi msaada kwa kituo cha watoto yatima mkoa wa Dar es Salaam kama...

READ MORE

Wapelelezi wapewa mbinu mpya kukabiliana na uhalifu mtandaoni

  Wapelelezi wa Jeshi la Polisi hapa Nchini wapewa mbinu ya namna ya kukabiliana na uhalifu mtaandaoni. Mafunzo hayo yamefunguliwa...

READ MORE

Chongolo Awashukia Vikali Viongozi Wanaochelewesha Maendeleo Manyara

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameivalia njuga barabara ya kiwango cha lami ya kilomita 25...

READ MORE

Halotel Yaunga Mkono Kampeni Uchangiaji Damu Shuleni Kisutu

  Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuokoa maisha ya wagonjwa wanahitaji damu, kampuni ya simu ya Halotel leo...

READ MORE

Dj Sinyorita Alamba Shavu Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Balozi wa Kampuni ya ORAIMO

    Dj wa kike aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa kucheza na mashine, Dj Sinyorita amelamba shavu...

READ MORE

Binti Afia Kwa Mchungaji Akifanyiwa Maombi Baada ya Kuugua Malaria na U.T.I

  Binti mmoja mkazi wa Magamba Kijiji cha Mkuyuni Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Consolata Charles (16) amefariki...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Watoto Chini ya Darasa la Tano Kupelekwa Shule za Bweni

Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepiga marufuku wanafunzi wa kuanzia madarasa ya awali hadi darasa la tano...

READ MORE

Je, Inawezekana Mtu Akatajirika Kupitia Michezo ya Bahati Nasibu au Kubashiri?

Watu wengi duniani kote wamekuwa wakicheza michezo ya Bahati Nasibu lakini ukweli ni kwamba ni idadi ndogo sana ya watu...

READ MORE

Mama Wa Taifa Rais Samia Abeba Mtoto Zaujia Swalehe Usa River Arusha

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amembeba mtoto Zaujia Swalehe (1) mara baada...

READ MORE

Rais Samia Avuta Umati Wa Watu Arusha

Msafara wa Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa Jijini Arusha wakisindikiza Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...

READ MORE

Chongolo Aanza Ziara Mkoani Manyara Kupokea na Kutatua Kero za Wananchi

SEKRETARIETI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo leo imeanza ziara mkoani Manyara ya...

READ MORE

Chama cha soka Simiyu wafanya maboresho ya katiba

Chama cha soka mkoa wa Simiyu (SIFA) March 4 mwaka huu  kilifanya mkutano mkuu wa kawaida ambapo pamoja na mambo...

READ MORE

Wapinzani Siyo Maadui-Rais Samia

“Mtanzania yoyote, awe chama chochote cha siasa. Tunachotofautiana ni mawazo tu na fikra. Mimi sichukulii wapinzani kama maadui, nawachukulia kama...

READ MORE