×

Habari

Sheikh Mkuu Dar : Awachana Baraza La Maulamaa… ”Unamtetea Muhuni Kwa Kutaka Mke Ambaye Hamtaki?” – Video

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amezungumzia juu ya sakata linaloendelea kuhusiana na talaka ya...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Joe Biden Afutilia mbali Uwezekano wa Kuipa Ukraine Ndege za Kivita za F-16

Rais wa Marekani Joe Biden amefutilia mbali uwezekano wa kutuma ndege za kivita za F-16 nchini Ukraine, licha ya wito...

READ MORE

Baada ya Kusota Kazini Na Mshahara Mdogo, Hatimaye Nimepandishwa Cheo

  Hakuna ubishi kuwa ni ndoto ya kila mfanyakazi kupanda daraja, cheo na mshahara katika kazi yake, kufanyika hilo hupelekea...

READ MORE

Nmb Yazindua Kampeni ya Umebima 2023, Elimu Zaidi Yatolewa

Katika azma yake ya kuchangia ujumuishi wa kifedha nchini kupitia huduma za bima, Benki ya NMB Jumatatu wiki hii imezindua...

READ MORE

Wentworth Gas Ltd Yasaidia Wasichana wa Shule Za Kitanzania Kwenye Sekta ya Elimu

27 Januari 2023, Mtwara. Kampuni ya Wentworth Gas Ltd, kupitia Taasisi ya Wentworth Africa Foundation Tanzania imetoa taulo 1,500 zenye...

READ MORE

Vigogo Chama cha Walimu (CWT) Wamegomea Uteuzi wa Rais Samia?

  Siku chache zilizopita, Rais Samia Suluhu Hassan, aliwateua viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuwa miongoni mwa wakuu...

READ MORE

Meridianbet Yamwaga Vifaa vya Michezo Africa Media

  Kampuni ya Habari ya Africa Media inayomilika vituo vya utangazaji Channel 10 na Magic FM, ambacho ni kituo cha...

READ MORE

Boris Johnson: Putin Alitishia Kuniua Nilipomuonya Kuhusu Kuivamia Ukraine

  Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amefichua kwamba Rais wa Urusi, Vladmir Putin alitishia kumuua endapo angeendelea na...

READ MORE

Mke Wangu Amerejea Nyumbani Baada ya Kuniacha kwa Muda wa Miaka Miwili Sababu

  Katika miaka 21 niliyoishi kwenye ndoa, nimehitimisha kwa kusema kuwa; ndoa inahitaji uvumilivu mkubwa sana, ndoa inahitaji kuwa na...

READ MORE

Chongolo Awanyooshea Kidole Watendaji wa Serikali, Akemea Migororo ya Ardhi

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Daniel Chongolo amewanyooshea kidole watendaji wa serikali kwa kuwa na tamaa za...

READ MORE

Jumuiya Ya Wazazi CCM, Dar Ilivyoazimisha Miaka 46 Ya CCM

Dar es Salaam 29 Januari 2023: Katika kuadhimisha miaka 46 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Jumamosi Jumuiya...

READ MORE

Papa Francis Kutembelea DRC na Sudan Kusini siku ya Jumanne

Papa anatembelea nchi hizo mbili ambako miaka mingi ya mizozo imewalemaza wengi na bado ni miongoni mwa maeneo magumu zaidi...

READ MORE

Shambulio la Sinagogi Jerusalem: Saba Wauawa katika Shambulio la Risasi

Watu saba wamepigwa risasi na kufa katika sinagogi lililopo mashariki mwa mji wa Jerusalem, ikiwa ni idadi kubwa ya watu...

READ MORE

Mazishi ya Mtanzania Nemes Tarimo Aliyeuawa Vitani Ukraine Yafanyika Kijijini Kwao -(Picha +Video)

MAZISHI ya Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine yamefanyika kijijini kwao katika wilaya ya Tukuyu Nyada za juu...

READ MORE

DCI Ramadhani Kingai Atembelea Ocean Road,”Polisi nao Ni Wanajamii”

Askari Polisi alijiunga na Jeshi la Polisi na kuhudhuria mafunzo ya awali mwaka 2000/2001 leo wametembelea Taasisi ya Saratani Ocean...

READ MORE

Chongolo Azitaka Mamlaka za Usimamizi Miradi ya Serikali Morogoro Kuwa Makini

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amezitaka mamlaka za usimamizi za serikali Mkoa wa Morogoro kusimamia...

READ MORE

Tishio la Dunia Kukumbwa na Janga la Njaa Lina Maana Gani kwa Tanzania?

  DUNIA inatarajiwa kukumbwa na janga la njaa kwa mwaka 2023 huku ikitajwa kuwa ni janga mbaya zaidi la njaa...

READ MORE

Meridianbet Wanatoa Odds Bomba Mechi za Wikiendi Mambo ni Moto!

Wikiendi hii ni ya kibabe Zaidi ikisindikizwa na Odds bomba na kubwa kutoka Meridianbet, ni FA Cup, Serie A, La...

READ MORE

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Hamis Juma Mbizo (H Mbizo) Afariki Dunia

Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kutamba na ngoma yake ya Nilonge Nisilonge miaka kadhaa iliyopita, Hamis Juma Mbizo...

READ MORE

Nimefunga Ndoa na Mama Mwenye Nyumba Wangu, Mapenzi Yamenoga

KAMA kijana wa kiume unajua kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho...

READ MORE

SBL Inaendelea Kukuza Kilimo Kupitia Programu Ya Kilimo Viwanda

Januari 24, 2023: Kilimo kinaendelea kuimarika kama moja ya sekta kuu za kiuchumi nchini Tanzania; sekta hiyo inaajiri mamilioni ya...

READ MORE

Kuelekea ‘Grand finale ‘ NMB Kupitia Kampeni yake Ya ‘MastaBataKoteKote’ Yakabidhi Pikipiki

Ikiwa zimesalia siku 3 tu kuelekea ‘Grand finale ‘ ambapo tutashuhudia wateja 8 wakijishindia safari ya kwenda Dubai kwa siku...

READ MORE

Baraza la Ulamaa Watoa Tamko Ndoa Dk. Mwaka na Mkewe Queenie Haijavunjika

BARAZA la Ulamaa, limefutilia mbali uamuzi wa “kuvunja ndoa,” uliyofanywa na sheikh wa BAKWATA mkoani Dar es Salaam, Alhadj Mussa...

READ MORE

Dubai Yatajwa Kama Sehemu Maarufu Zaidi Ya Kutembelewa Duniani

  Kwa mujibu wa tuzo za mtandao mkubwa zaidi wa masuala ya usafiri duniani Trip Advisor zinazoitwa Travellers’s choice Awards,...

READ MORE

Serikali Yaipa Mtaji Kampuni Ya Mbolea Nchini(Tfc),Yaanza Usambazaji Wa Mbolea Nchini

Ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha mbolea sahihi na bora zinawafikia wakulima wote kwa wakati na kwa bei nafuu,...

READ MORE

Magaya, Gwajima, Mkenda Wasaka Dawa Dhidi Ya Ukatili

KUKITHIRI kwa vitendo vya ukatili kwa Watoto nchini, Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekutana na Waziri wa...

READ MORE

Video: Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Ukraine Waagwa Nyumbani Kwao Dar, Umati Wajitokeza

MWILI wa Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine umewasili nchini asubuhi ya leo Januari 27, 2022 ukitokea Urusi...

READ MORE

Jeshi la Marekani lamua Kiongozi wa Islamic State (ISIS) nchini Somalia

US MILITARY OPERATION-SOMALIA Jeshi la Marekani liliendesha operesheni ambayo ilimua afisa kiongozi wa kundi la Islamic State kaskazini mwa Somalia,...

READ MORE

Breaking: Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Vitani Ukraine Wawasili Dar Ukitokea Urusi -Video

MWILI wa Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine wawasili nchini asubuhi ya leo Januari 27, 2022 ukitokea Urusi....

READ MORE

Meridianbet Yamwaga Ajira Temeke, Zaidi ya Watanzania 142 Wanufaika

ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma...

READ MORE

Msanii Peter Msechu Awekewa Puto Tumboni katika Hospitali ya Mloganzila, Dar

MSANII Peter Msechu amekuwa miongoni mwa watu waliopatiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni (intragastric balloon) katika hospitali ya Mloganzila, Dar...

READ MORE

Dk Mwaka Afunguka – “Ndoa Yangu Haijavunjwa, Mufti Naomba Toa Tamko”- Video

Baada ya sakata la mke wa Dokta Mwaka kudai talaka kuchukua sura mpya hapo jana, Januari 25, 2023 na uamuzi...

READ MORE

Wapalestina Tisa Wauawa katika Uvamizi wa Israel huko Jenin

Wapalestina tisa, akiwemo mwanamke mzee, wameuawa katika uvamizi wa kijeshi wa Israel katika ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, maafisa...

READ MORE

Meli ya Tanzania Yapinduka katika Bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran

Meli ya mizigo ya Tanzania iitwayo Anil imepinduka katika bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran Siku ya Jumanne, Januari 24...

READ MORE

Marekani Kutuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine

Marekani imetangaza kuwa itatuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine, vinavyoelezewa na maafisa wa Marekani kuwa “bora zaidi...

READ MORE

Staa wa PSG Kylian Mbappe Aweka Rekodi Ya Kipee Atupia Mabao Matano

STAA wa PSG, Kylian Mbappe juzi aliteuliwa kwa nahodha wa Paris Saint-Germain kwa mara ya kwanza kwenye mchezo Coupe de...

READ MORE

Mama wa Mwanafunzi Aliyechapwa Kinyama na Mwalimu Mkuu Afunguka – Video

 Tukio ni la kweli limetokea,tarehe 10.01.2023, ambapo Mwalimu huyo alipiga viboko wanafunzi zaidi ya mmoja, upigaji wake ndio ulioleta...

READ MORE

Kila Mwanaume Aliyekuwa Akinichumbia, Alikuwa Ananiacha Kwenye Mataa

    Jina langu ni Melinda, naishi jijini Mwanza, ni mama wa mtoto mmoja ambaye niliolewa Machi mwaka jana nikiwa...

READ MORE

Uhakiki Laini za Simu Mwisho Februari 13, 2023 Waziri Nape Afunguka – Video

SERIKALI imeongeza siku 14 kwa Watanzania waliosajili laini zao za simu kuhakiki laini hizo kabla ya kufikia tarehe 13 Februari,...

READ MORE

Ripoti ya Mo Ibrahim Yasema Sehemu kubwa ya Afrika sio Salama

Ripoti ya taasisi yake iliyataja mapinduzi nane yaliyofanikiwa tangu mwaka 2019. Mali na nchi jirani ya Burkina Faso zimeshuhudia mawili...

READ MORE