×

Habari

Rais Samia Aipangua Ikulu, Diwani Athuman Awa Katibu Mkuu Ikulu, Katanga Balozi Marekani

Rais Samia Januari 3, 2023 amefanya uteuzi wa viongozi wanne akiwemo Said Hussein Nassoro kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama...

READ MORE

Rais Dkt. Hussein Mwinyi Apokea Msaada Kutoka NMB Wa Vifaa Tiba Hospitali Ya MiCheweni Pemba

Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya tiba mbalimbali kwa Hospitali ya Wilaya ya Micheweni Pemba ikiwa ni utekelezaji...

READ MORE

Rais wa Brazil Aongoza Mazishi ya Bingwa wa Kandanda Pele -Video

Rais wa Brazil Luiz Inacio Lula da Silva Jumanne anaongoza mazishi ya bingwa wa kandanda Pele ambaye atakumbukwa kama mchezaji...

READ MORE

Rais Samia Aruhusu Mikutano ya Hadhara kwa Vyama vya Siasa Nchini-(Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Januari 3, 2023 ameondoa rasmi tangazo la kuzuia mikutano...

READ MORE

Wabunge Wahukumiwa Kifungo cha miezi 6 Jela kwa Kumshambulia Mwenzao

MAHAKAMA nchini Senegal imewahukumu wabunge wawili siku ya Jumatatu kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kumshambulia mwenzao aliyekuwa...

READ MORE

Wabunge Marekani Kumchagua Spika Mpya, Kevin McCarthy wa California Atajwa

Kikao cha 118 cha Bunge la Marekani kinafunguliwa rasmi leo Jumanne na matarajio yakiwa mengi. Jambo kubwa linalotupiwa macho zaidi...

READ MORE

Dubai Yafuta 30% ya Ushuru wa Pombe na Ada ya Leseni Kukuza Utalii

Dubai imefutilia mbali ushuru wake wa 30% wa pombe katika jitihada za kuimarisha utalii. Pia itaacha kutoza leseni za pombe...

READ MORE

Familia ya Watu Sita Yapoteza Maisha Kwenye Ajali Mbaya ya Gari

  Yapo baadhi ya mambo ambayo bora usimuliwe tu! Omba yasikukute. Familia ya watu sita akiwemo baba, Khumbulani Togara, mama...

READ MORE

Kaburi la pamoja la watu 18 Lagundulika Libya, Serikali Yawataja Islamic State

Serikali ya Libya, Jumapili imesema wamegundua miili 18 ya watu waliozikwa kwenye kaburi la pamoja katika mji wa kati wa...

READ MORE

Mazishi ya Papa wa Zamani Benedict XVI Yatafanyika Jan 5, Kuongozwa na Papa Francis

Mazishi ya Benedict XVI yatafanyika Alhamisi Januari 5, 2023 na yataongozwa na Papa Francis, Vatican imesema. Kiongozi wa Ujerumani atoa...

READ MORE

Nmb Sengerema, Chato Watoa Msaada wa Magodoro na Kompyuta

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya sita katika kuhudumia wananchi, Wafanyakazi wa benki ya NMB kutoka matawi...

READ MORE

Papa Benedict XVI Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 95

    Papa wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu...

READ MORE

Yanga Yawaandalia Dozi Nzito Mtibwa Uwanja wa Manungu leo

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kupata matokeo mazuri dhidi ya Mtibwa Sugar ili waendelee kusalia kileleni mwa msimamo...

READ MORE

Chama cha Watu Wenye Ualbino- TAS Wapata Msaada wa Vifaa

Katibu Mkuu Chama cha Watu Wenye Ualbino Mkoa wa Dar Es Salaam Gaston Mcheka ametoa shukrani baada ya kupokea vifaa...

READ MORE

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus Aolewa na Fumbuka Nkwabi

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Bi. Zuhura Yunus ameolewa na Fumbuka Nkwabi Mwanakilala katika ndoa iliyofungwa siku ya Alhamisi...

READ MORE

Diamond Platnumz Afunguka Tetesi za Kumtenga Dyllan Aliyezaa Hamisa Mobeto

Diamond Platnumz; ni msanii mkubwa wa muziki wa Kizazi Kipya ambaye kwa mara ya kwanza amefunguka juu ya tetesi za...

READ MORE

Kigogo wa Jatu PLC Afikishwa Mahakamani Kisutu

Kutoka katika Mahakama ya Hakimu mkazi kisutu ni kwamba Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JATU PLC, Peter Gasaya amefikishwa katika...

READ MORE

Russia Yapiga Makombora 69 siku Mbili Nchini Ukraine Kabla ya Mwaka Mpya

Wanajeshi wa Russia wamefyatua makombora kadhaa kuelekea Ukraine mapema Alhamisi, wakiulenga mji mkuu wa Kyiv, mji wa kaskazini mashariki wa...

READ MORE

TCAA-CCC Yaahidi Huduma Bora Kwa Wadau wa Usafiri Wa Anga

BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) limesema litaendelea kuhakikisha ya kwamba watumiaji wa...

READ MORE

Kenya Airways Yrejesha Safari za Ndege Kila Siku Kuelekea New York

Shirika la ndege la Kenya Airways (KQ) limeanzisha tena safari zake za kila siku kwenda New York wakati ikitumia fursa...

READ MORE

Mfalme wa soka Duniani Pele Afariki Dunia Akiwa na Umri wa miaka 82 – Video

Pele, mchezaji mashuhuri wa soka wa Brazil aliyeondoka kwenye umaskini wa kutembea peku peku hadi kuwa mmoja wa wanasoka wakubwa...

READ MORE

Tigo Yamwaga Zawadi za Funga Mwaka kwa Washindi wa Kampeni ya Ndinga la Kishua

Dar es Salaam 29 Desemba 2022: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo kupitia Kampeni yake ya Ndinga...

READ MORE

Askari Polisi Mtwara Atwaa bodaboda ya NMB MastaBata

Askari wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, WP Husna Juma Baraka, ameibuka mshindi wa pikipiki katika droo ya saba ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amuwakilisha Rais Samia Kumjulia Hali Edward Lowassa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu...

READ MORE

Wanane Wahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Kufanya Ugaidi Ivory Coast

Mahakama nchini Ivory Coast siku ya Jumatano iliwahukumu kifungo cha maisha wanaume wanne wa Mali waliopatikana na hatia ya kusaidia...

READ MORE

Mtanzania Elizabeth Mrema Ateuliwa Kuongoza Shirika la Umoja wa Mataifa

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua Elizabeth Maruma Mrema kutoka Tanzania kuwa Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja...

READ MORE

Kijana Ajiua kwa Kunywa Sumu Akihofia Kudaiwa TZS 47,000 za Soda

Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Bukindu Mhoja (22) Mkazi wa Kijiji cha Bukoli, Kata ya Bukoli mkoani Geita amefariki...

READ MORE

Putin Aweka Pingamizi ya Uuzaji wa Mafuta ya Russia kwa Nchi za Magharibi

Rais wa Russia Vladimir Putin Jumanne amesaini amri ambayo inaweka marufuku ya uuzaji wa mafuta na bidhaa za mafuta kwa...

READ MORE

Zijue Silaha za Kumdhibiti Mwanaume, Dkt Mwaka Afichua Anachofanyiwa na Mkewe -Video

 KWENYE KATIKATI ya KOKO na Mama JJ mgeni ni Dkt Mwaka ambaye ametupitisha kwenye maisha ya mahusiano na ndoa...

READ MORE

Kijana Ajiua kwa Sumu ya Panya Kisa Kudaiwa Sh. 45,000 ya Vinywaji

  Bukindu Bukindu (22), mkazi wa Kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amefariki kwa kunywa sumu ya panya...

READ MORE

Waziri wa Maliasili na Utalii Asisitiza Watanzania Kutembelea Vivutio vya Utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi, Dkt Pindi Chana, ameendelea kuhamasisha wananchi kutembelea vivutio vya utalii vilivyo katika maeneo mbalimbali...

READ MORE

Afghanistan: Kundi La Islamic State Lamuua Mkuu Wa Polisi Na Walinzi Wake Wawili

Maafisa nchini Afghanistan Jumatatu wamesema bomu lililotegwa ndani ya gari limemuua mkuu wa polisi wa jimbo na walinzi wake wawili....

READ MORE

Video: Joyce Kiria Afichua Ndoa Yake Ya Kwanza Kuvunjika, Sababu Wanawake Wengi Kuachika… | Hard Talk

KWENYE HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha amezungumza na Mwanaharakati Joyce Kiria ambaye ameeleza mengi ikiwemo sababu ya...

READ MORE

Global Publishers Inawatakiwa Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya 2023

Mkurugenzi Mtendaji, Eric Shigongo,Uongozi na Wafanyakazi wa Global Groups wanawatakia wasomaji wetu kote nchini na nje ya Tanzania Krismasi Njema,...

READ MORE

Muuaji Sugu Wa Ufaransa Anayejulikana Kwa Jina La Nyoka, Aachiliwa Kutoka Gerezani

Muuaji sugu wa Ufaransa anayejulikana kwa jina la Nyoka, aliyepatikana na hatia ya mauaji kadhaa ya watalii huko Asia katika...

READ MORE

Yanga Yarudisha Milioni 112 Za Fei Toto Yajibu “Barua ya Mchezaji ina Dhana Potofu”

WAKATI taarifa zikieleza kwamba Kiungo wa Yanga, Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ ameandika barua ya kuvunja mkataba wake wa mwaka...

READ MORE

Video: Miili Ya Askari Wanandoa Ilivyozikwa Kwa Heshima Mbeya, Risasi Zapigwa Angani…

MIILI ya wanandoa wawili, Sajenti Noah Simfukwe (30) na Agness Kiyeyeu (27) waliofariki kwa ajali siku tatu tu baada ya...

READ MORE

Watu Nane Wapoteza Maisha Katika Dhoruba ya Theluji Japan

Theluji kubwa imenyesha kaskazini na magharibi mwa Japan na kuwachochea maafisa wa hali ya hewa kuwataka wakaazi kuwa katika hali...

READ MORE

Mwanamuziki Tshala Muana Azikwa Kinshasa Kwa Heshima Viongozi na Wasanii Wahudhuria

MWILI wa mwanamuziki maarufu wa DRC, Tshala Muana umezikwa Desemba 23, 2022 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kinshasa. Tshala,...

READ MORE