×

Habari

Vodacom yazindua “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” promosheni

odacom Tanzania plc imezindua promosheni ya wiki nane ya msimu wa siku kuu iitwayo “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” itakayowawapa wateja…

READ MORE

Benki ya Nmb Yaibuka Kinara wa Tuzo Za TRA

  Benki ya NMB imeibuka kinara katika tuzo za mlipa kodi mkubwa zinazotolewa na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA). Benki...

READ MORE

Marekani: Nancy Pelosi Ajiuzulu Kama Kiongozi wa chama cha Democrats katika Bunge

  Nancy Pelosi, ambaye ameongoza chama cha Democrats katika Baraza la Wawakilishi la Marekani (Congress) kwa takriban miongo miwili, ametangaza...

READ MORE

Heche Afunguka Mazito, Ajali ya Ndege Bukoba, Sakata la Maji, Atoa Msimamo wa Chadema – Video

 Karibu kutazama kipindi cha ‘FRONT PAGE’ upate habari na uchambuzi makini wa habari kubwa zilizobeba kurasa za mbele za...

READ MORE

Watatu Wahukumiwa Kifungo cha Maisha kwa Kuitungua Ndege ya Malaysia -MH17

Mahakama nchini Uholanzi  Novemba 11, 2022 iliwatia hatiani wanaume watatu bila kuwepo mahakamani kwa mauaji ya halaiki kwa jukumu lao...

READ MORE

Moto Waua 21 Katika Kambi ya Wakimbizi ya Jabaliya Ukanda wa Gaza

  Moto ulizuka Alhamisi jioni katika Ukanda wa Gaza na kuua takriban watu 21, watawala wa Hamas wa eneo hilo...

READ MORE

KMC na Meridianbet Wachangia Ujenzi wa Kituo cha Polisi Kilichopo Mtaa wa Tegeta A

KLABU ya KMC, alimaarufu kama “KINO BOYS”, kwa kushirikiana na Mdhamini mkuu wa klabu hiyo kampuni ya Meridianbet wametoa msaada...

READ MORE

Tigo Yawapa Washindi 50 Tiketi za Kwenda Qatar Wengine Wajizolea Vifaa vya Hisense

    18 Novemba 2022: SAFARI ya kwenda Qatar kuangalia kombe la dunia yaiva. Hayo yalisemwa na Meneja wa Wateja...

READ MORE

Mkurugenzi Manispaa ya Kigamboni Awaondoa Hofu Wakazi wa Mikenge

    BAADA ya zaidia ya miaka saba ya mgogoro wa barabara kati ya wananchi na mwekezaji kampuni ya ASM...

READ MORE

Ndege ya Air Tanzania Yashindwa Kutua Katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba – Video

Ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) imeshindwa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera kutokana na...

READ MORE

Mbinu Nilizotumia Kuacha Kuvuta Sigara Baada ya Kuvuta kwa Miaka 21

    UKWELI ni kwamba warahibu wengi wa uvutaji Sigara wanatamani kuondoka katika mtindo huo wa maisha lakini wanashindwa, sio...

READ MORE

Janga Atoboa UVCCM Sengerema

Baraza kuu la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi – CCM (UVCCM) wilaya ya Sengerema mkoa Mwanza...

READ MORE

Kiongozi wa Kidini Ahukumiwa Miaka 8,658 Jela Istanbul Nchini Uturuki

  MAHAKAMA moja ya mjini Istanbul nchini Uturuki Jumatano  Novemba 16, 2022 imemhukumu kiongozi mmoja wa kiislamu kifungo cha miaka...

READ MORE

Mfumakule Aibuka Kidedea Kamati Tekelezaji UVCCM Sengerema

  Baraza kuu la Jumuiya ya umoja wa Vijana wa Chama cha mapindu  CCM mkoa wa Mwanza limefanya uchaguzi na...

READ MORE

Ruto Akataa Hoja ya Kuongeza Muda wa Rais Kuwa Madarakani, Asema ni Ubinafsi

  Rais wa Kenya, William Ruto amesema kuwa kinachotakiwa kwa sasa ni kuongeza nguvu kwenye kukamilisha miradi na ahadi alizoweka...

READ MORE

As the World’s Population Hits 8 Billion People, UN Calls For Solidarity in Advancing Sustainable

NEW YORK, 15 November 2022 – The global population is projected to reach 8 billion on 15 November 2022, signalling...

READ MORE

UVCCM Sengerema Kuachana na Ombaomba

Kutokana na Jumuiya ya Vijana za Chama Cha Mapindizi UVCCM kutokuwa na vitega uchumi kwa ajili ya kuendesha jumuiya hiyo,...

READ MORE

Biashara Yangu Ilikuwa Inasuasua, Nikatumia Mbinu Hizi Kuwavuta Wateja

  KILA mfanyabiashara lengo lake kuu ni kufanya mauzo makubwa na kutengeneza faida na baadaye kutanua wigo wa biashara yake,...

READ MORE

Madereva Watano Wafungiwa Leseni Arusha kwa Makosa Mbalimbali

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka katika mkoa huo limeendelea...

READ MORE

Makamu wa Rais Kukabidhi Tuzo za Mzalishaji Bora wa Mwaka

  MAKAMU wa Rais Dk. Phillip Mpango, anatarajaiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora...

READ MORE

Donald Trump Atangaza Kugombea Urais Uchaguzi wa 2024

  Wakati kura zikiwa hazijamalizika kuhesabiwa za uchaguzi wa bunge wa katikati ya muhula wa Marekani wa 2022, rais wa...

READ MORE

Vodacom Yazindua Vipanga Njia (Routers) vya 5G Fixed Wireless Access

    Novemba 16, 2022.Kampuni inyoongoza ya Mawasiliano na Teknolojia, Vodacom Tanzania Plc imezindua vipanga njia (Routers) vya 5G Fixed...

READ MORE

NMB yapongezwa kusaidia Wakandarasi- Zanzibar

Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi -Zanzibar imeipongeza Benki ya NMB

READ MORE

 Namna Unavyoweza Kuwafanya Watoto Wako Wafaulu Mitihani Yao Shuleni

Katika maisha hakuna kitu ambacho kinasumbua wazazi kama kuwatafutia watoto wao elimu nzuri, kila mzazi anatamani kuona mtoto wake anasoma...

READ MORE

Jamaa Atafuna Nyama ya Binadamu Mbele ya Polisi, Atiwa Mbaroni

  LAZARO ADAMSON (40) mkazi wa Kaloleni wilayani Songwe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Songwe kwa kumuua Berta Shugha...

READ MORE

Kampuni ya Sukari ya Kilombero Yadhamini Tuzo za Consumer Choice Africa

  KAMA mzalishaji mkubwa wa sukari nchini Tanzania, Kampuni ya Sukari ya Kilombero (KSCL) iliungana na watumiaji kutambua chapa na...

READ MORE

MSD Yaboresha Huduma za Kiuchunguzi na Maabara

  BOHARI ya Dawa (MSD) imeendelea kufanya Maboresho na mageuzi upande wa huduma za kichunguzi na maabara nchini, kwa kuleta...

READ MORE

Breaking: Watu 11 Wakamatwa kwa Tuhuma za Kukutwa na Dawa za Kulevya Akiwemo Kocha wa Simba – Video

Mamlaka ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya inawashikilia watu 11 kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya...

READ MORE

Exclusive: Gigy Money Afunguka Mapenzi Yalivyomtesa -”Nawaogopa Wanaume, Mo J Amenipa Mtoto Mzuri”-Video

 GIFT Stanford almaarufu Gigy Money; ni mwanamama staa wa muziki nchini Tanzania amefunguka mapenzi yalivyomtesa.

READ MORE

Ukraine Yasambaza Chakula na Dawa Kherson Baada ya Russia Kuukimbia Mji Huo

  Maafisa wa Ukraine Jumapili walianza kupeleka chakula, maji na dawa katika mji wa kusini wa Kherson, siku mbili baada...

READ MORE

Shirika la (UNCDF) Limeiteua Benki ya NBC Kuwa Mtaalam Mshauri

  DAR ES SALAAM – Leo Shirika la Umoja wa Mataifa la Mitaji na Uwekezaji (UN Capital Development Fund -UNCDF)...

READ MORE

SGA Yashinda Tuzo ya Mwajiri Bora Zanzibar

    KAMPUNI ya ulinzi ya kibinafsi ya SGA Security imeshinda tuzo ya mwajiri bora miongoni mwa makampuni ya ulinzi...

READ MORE

Gf  Trucks & Equiments Yatoa Msaada Kwa Vikosi Vya Jeshi La Uokoaji Kilimanjaro

Meneja masoko na mawasiliano wa kampuni ya GF Trucks & Equipment’s Ltd , Smart Deus akikabidhi sehemu ya msaada wa...

READ MORE

Nmb Yatoa Msaada wa Vitanda Vya Kujifungulia na Mashuka Tanga

      Viongozi wa wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga wamepongeza maono na fikra za uongozi wa Benki ya NMB...

READ MORE

Ni Mfalme wa USSD Beti na Kitochi Yeyote Aliyepo Kwenye Familia ya Meridianbet ni Mfalme

MFALME huyu anaitwa Zamiru Mohammed kutoka Chalinze, Gwiji aliyejishindia Pesa Taslimu TZS 1,324,878/= Milioni moja, Laki tatu na Elfu Ishirini...

READ MORE

Waandishi wa Habari Wanawake Wapewa Semina ya Kujilinda Wawapo Kazini

  WAANDISHI wa habari wanawake wamepewa semina juu ya kujilinda wakati wa utekelezaji wa majukumu yao katika semina iliyoandaliwa na Chama...

READ MORE

Mv.Sabasaba Yakabidhiwa Kuanza Safari Kisiwa cha Kome-Nyakariro Buchosa

  WANANCHI wa kisiwa cha Kome Halmashauri ya Buchosa wilayani  Sengerema Mkoa wa Mwanza wameondokana na adha ya usafiri baada...

READ MORE

Tigo na Samsung Wazindua Simu za Samsung AO4

      DAR ES SALAAM. Tarehe 15 Novemba, 2022. Kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha ya kidijitali nchini Tanzania,...

READ MORE

SGA Yashinda Tuzo ya Ubora wa Huduma kwa Wateja

      KAMPUNI ya ulinzi ya kibinafsi ya SGA Security imeshinda tuzo ya mtoa huduma bora na salama anayekubalika...

READ MORE

Benki ya NBC Yachangia Milioni 15 Ujenzi wa Uwanja wa Golf Iringa, RC Awapongeza

      BENKI ya Taifa ya Biashara NBC, Novemba 13, 2022 imeidhamini Club ya Golf ya Mkwawa University Golf...

READ MORE