×

Habari

Matibabu ya (HRT) Baada ya Kukoma Hedhi Kuuzwa Madukani Nchini Uingereza

WANAWAKE wanaopata ukavu sehemu za viungo vya uzazi kutokana na kukoma hedhi sasa wanaweza kununua dawa madukani nchini Uingereza.  ...

READ MORE

Malkia Elizabeth II wa Uingereza Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 96 – Video

Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza amefariki akiwa na umri wa miaka 96 kwenye makazi yake huko Scotland. Alikuwa ni...

READ MORE

Malkia wa Uingereza Elizabeth II Chini ya Uangalizi wa Matibabu Huko Balmoral

Taarifa iliyotoka leo Septemba 8, 2022 kutoka Kasri la Buckingham imesema Malkia wa Uingereza Elizabeth II yupo chini ya uangalizi...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Kwenye Maadhimisho ya Miaka 10 ya Chuo cha NDC, Kunduchi Dar

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan amehutubia kwenye Maadhimisho ya miaka...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Umebaini Kuwa Umri, Elimu na Mapato Kushuka

KATIKA muda wa kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi tisa kati ya nchi kumi zimerudi nyuma kwenye Fahirisi ya Maendeleo...

READ MORE

Makazi ya Raia wa Ukraine Yaliyokua Chini ya Urusi Yarejeshwa, Rais Zelensky apongeza

UVUMI umeenea kwa siku kadhaa juu ya uwezekano wa mafanikio katika eneo la mashariki la Kharkiv, lakini bila neno kutoka...

READ MORE

Chanjo Mpya ya Malaria Yaweza Kupunguza Vifo kwa Asilimia 70% Ifikapo 2030

MTENGENEZAJI mkubwa zaidi wa chanjo duniani, Taasisi ya Serum ya India, imekubali kutengeneza dozi milioni 200 kwa mwaka.   Chanjo...

READ MORE

Mshukiwa wa Pili wa Mauaji ya Watu 10 Waliochomwa Kisu Canada, Akutwa Amefariki

MSHUKIWA wa pili wa mauaji ya watu 10 waliochomwa kisu aliyekuwa anatafutwa na Polisi wa Canada, Myles Sanderson amekutwa amefariki...

READ MORE

Jaji Mstaafu Othman Chande Asema Watanzania Wasihofie Kubadili Katiba

JAJI Mkuu wa mstaafu wa Tanazania, Mohammed Chande Othman amewataka Watanzania wasiwe na hofu ya kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu...

READ MORE

Imefichuka… Mkataba Wambana Morrison Yanga Akizingua Kazi Anayo, Kocha Atia Neno!

IMEBAINIKA kwamba, mkataba aliopewa winga Bernard Morrison raia wa Ghana ndani ya Yanga, umemfanya kuwa miongoni mwa wachezaji wenye nidhamu...

READ MORE

Ripoti za Kuaminika Kutoka Umoja wa Mataifa Unasema Watoto wa Ukraine Wamehamishiwa Urusi

UMOJA wa Mataifa ulisema kuna shutuma za kuaminika kwamba vikosi vya Urusi vimepeleka watoto wa Ukraine nchini Urusi kwa ajili...

READ MORE

TAMNOA: Punguzo la Tozo Larejesha Ukuaji wa Matumizi Huduma za Kifedha Kwa Njia Ya Simu

  Umoja wa waendesha huduma za simu za mikononi (TAMNOA) umebainisha kuwa kutokana na tozo za miamala ya simu zilizoanza...

READ MORE

Zijue Faida za Kiafya za Kusikiliza Muziki, Zipo Aina Mbalimbali za Muziki

Je, unajua kuna faida nyingi za kusikiliza muziki? Piga nyimbo na ulize midundo hiyo, kwa sababu matokeo yameingia – muziki...

READ MORE

Ifahamu Bangi Tiba na Manufaa Yake Katika Kutibu Magonjwa Mbalimbali

BANGI ya matibabu ni nini? Bangi ya kimatibabu hutumia mmea wa bangi au kemikali ndani yake kutibu magonjwa au hali....

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Septemba 7, 2022 ameongoza Kikao...

READ MORE

Shambulio la Hivi Punde Lililoko Ukingoni mwa Magharibi la Majeshi ya Israel Lawaua Wapalestina

KATIKA shambulio lililokuwa likiendelea ukingoni mwa magharibi, wanajeshi wa Israel wamemuua mwanaume mmoja wa kipalestina wakiwa wanamsaka gavana wa Tubas....

READ MORE

Makamu wa Rais Afanya Mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Jumuiya ya Mapinduzi ya Kijani Afrika

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango leo Septemba 07, 2022 amekutana na kufanya...

READ MORE

Uwezo wa Nyuklia Kwenye Serikali ya Kigeni Yahusishwa Kwenye Hati ya Trump

GAZETI la Washington Post liliripoti kwamba miongoni mwa nyaraka zilizopatikana na maajenti wa FBI katika kituo cha mapumziko cha Rais...

READ MORE

Simba V KMC Kitaumana Leo Uwanja wa Mkapa, Onyango Awekwa Kando na Matola

UWANJA wa Mkapa leo mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba dhidi ya KMC unatarajiwa kuchezwa huku kila timu...

READ MORE

Hatimaye Rais Mteule William Ruto Awasiliana na Rais Uhuru Kenyata Baada ya Kipindi Kirefu

NI muda ulipita tangu Rais mteule awasiliane na Uhuru Kenyata baada ya watu hao wawili kuhitirafiana kutokana na Uhuru kuamua...

READ MORE

Liz Truss Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza Aahidi Kutokomeza Tatizo la Uchumi

Waziri mkuu mpya nchini uingereza aliongea katika hotuba yake ya mara ya kwanza tangu alipopata wadhifa wa kuwa Waziri mkuu...

READ MORE

Umoja wa Mataifa UN Wasema Wanawake 131 Walibakwa Ndani ya Miezi Mitatu Sudan Kusini

KATIKA ripoti iliyotolewa na Umoja wa mataifa UN pamoja na shirika la haki za binadamu imesema kuwa wanawake 131 walibakwa...

READ MORE

Watuhumiwa Wenzake na Sabaya Waachiwa Huru, Mwenyewe Abaki Gerezani

WATUHUMIWA wanne katika kesi namba mbili ya mwaka 2022 ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai...

READ MORE

IAEA Yahitaji Usalama Nchini Ukraine Katika Sehemu Inayozalisha Nyuklia

Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umetoa wito wa kuanzishwa kwa eneo la usalama karibu na kinu cha...

READ MORE

Wanafunzi Sekondari Kupatiwa Elimu ya Mazingira na Afya

KATIKA kuhakikisha vipaji vinaendelea kukuzwa nchini, Taasisi ya Hakika Tunajifunza kwa kushirikiana na Kampuni ya Ushauri wa Kitaalamu ya GJS...

READ MORE

Kigogo wa Reli Akutwa na Kesi ya Kujibu, Wengine Waaachiwa Huru 

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Hodhi ya Mali za Shirika la Reli (RAHCO), Benhardard Tito, amepatikana na kesi ya kujibu...

READ MORE

Jeshi la Polisi Arusha: Wasio Leta Magari ya Shule Kukaguliwa Kuchukuliwa Hatua

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya ukaguzi wa magari ya shule katika mkoa wa Arusha ambapo magari Zaidi ya...

READ MORE

Takribani Watu 35 Wafariki Dunia Nchini Burkina Faso, Serikali ya Mpito Imetangaza

Raia 35 wafaliki dunia na wengine 37 kujeruhiwa kaskazini mwa nchi ya Burkina Faso, chanzo cha janga hilo ni gari...

READ MORE

Viongozi wa Pakistani Wanajitahidi Kuzuia Ziwa Kubwa Zaidi Kufurika Kutokana na Mafuriko

katika mkoa wa kusini-mashariki wa Sindh viwango vya maji katika ziwa la Mancher vilionekana kupanda Zaidi na kuonekana kuwa vya...

READ MORE

Tetemeko Kuu la Ardhi China Lasababisha Watu kupotea, Waokoaji Wawatafuta

ZOEZI la kuendelea kuwaokoa watu nchini china linaendelea japokuwa kimbunga hicho kimeua watu wasiopungua 65 na wengine wengi kutoweka na...

READ MORE

Boris Johnson Aaga na Kukabidhi Mikoba kwa Waziri Mkuu Mpya Bi. Liz Truss

LEO septemba 6 waziri mkuu mpya wa uingereza atachukua madaraka rasmi kama Waziri mkuu Liz Truss anachukua nafasi ya Boris...

READ MORE

Urusi Kununua Makombora na Mizinga Kutoka Korea Kaskazini

URUSI inanunua mamilioni ya makombora ya mizinga na roketi kutoka Korea Kaskazini, kulingana na ripoti mpya za kijasusi zilizotolewa  nchini...

READ MORE

Halmashauri za Mkoa wa Tanga Kunufaika na Mpango wa Vodacom M-Mama

    MKUU wa mkoa wa Tanga, Omari Mgumba amezitaka Halmashauri za mkoa huo kuhakikisha wanajumuisha kwenye mipango ya bajeti...

READ MORE

Takribani Maelfu ya Watu Wamehamishwa Korea Kusini kwa Kuvamiwa na Kimbunga

KIMBUNGA chenye nguvu Zaidi ambacho hakikuwahi kuikumba Korea Kusini kwa miaka mingi kimekumba eneo lake la kusini, kiki ambatana na...

READ MORE

Wauzaji Vitabu wa Kimataifa Ulimwenguni wa Big Bad Wolf Wawasili Nchini

    Dar es Salaam, Tanzania, 05 Septemba 2022: Ikiwa na zaidi ya vitabu 500,000, uuzaji wa vitabu vya Big...

READ MORE

Nmb Jogging Mguu Sawa ” Mwendo wa Upendo”

    Wakati mbio za NMB Marathon zikitarajiwa kutimua vumbi Septemba 24 mwaka huu, klabu ya NMB Jogging yenyewe jana...

READ MORE

TANAPA Yapiga Marufuku kwa Watalii Kugusa na Kulisha Wanyamapori Katika Hifadhi

SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limewaonya watalii dhidi ya kuingilia mambo ya asili wakati wakitembelea hifadhi, lilisisitiza kupitia taarifa...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Ombi la Odinga, Sasa Rasmi Ruto ni Rais Mteule wa Kenya

  MAHAKAMA Kuu ya Kenya imetupilia mbali ombi la aliyekuwa mgombea wa Urais wa Kenya kupitia Azimio la Umoja, Raila...

READ MORE

Manara Amchana Mwakinyo, Amuita Muongo, Lofa, Mwakinyo Ajibu Mapigo

JUZI, Septemba 3, 2022 Bondia Mtanzania, Hassan Mwakinyo alipoteza pambano dhidi ya Bondia Muingereza, Liam Smith kwa TKO raundi ya...

READ MORE