×

Habari

Odinga Na Ruto Mpaka Kieleweke Kwenye Matokeo ya Uchaguzi, Mahakama Yaamuru Kura Kuhesabiwa Upya.

MAHAKAMA ya juu nchini Kenya imeamuru tume ya uchaguzi ya Kenya IEBC kumpa fursa mlalamikaji Bw.Raila Odinga Kuhakikisha data za...

READ MORE

Rais wa Mwisho wa Urusi Mikhiel Gorbachev Aaga Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 91

  Mikhail Gorbachev, aliyekuwa rais wa Urusi, ambaye alimaliza vita baridi bila kumwaga damu lakini akashindwa kuzuia kusambaratika kwa Muungano...

READ MORE

Gondwe Aipongeza Vodacom kwa Maendeleo ya Technolojia na Kusaidia Jamii

MKUU wa wlilaya ya Kinondoni Godwin Gondwe ameipongeza kampuni ya simu ya Vodacom kwa kuwa mstari wa mbele katika kuleta...

READ MORE

Rais Samia Ataja Sababu Zinazofanya Jeshi la Polisi Kuwa Legelege

RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametaja sababu zinazofanya Jeshi la Polisi kuwa legelege kuwa ni...

READ MORE

Tajiri Kijana Aliyewekeza Kwenye Bitcoin na Akaamua Kuishi Ndani ya Gari

KUTANA na kijana Ben Yu kutoka nchi ya marekani mwenye miaka 26, Ben Yu aliakuwa akisoma katika chuo cha Harvard,...

READ MORE

Rais wa Afrika Kusini Ahojiwa na Wabunge Kuhusu Wizi wa Fedha Kwenye Shamba Lake

  RAIS wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa Jumanne Amekabiliwa na maswali makali bungeni, wakati wabunge walipotaka majibu jinsi anavyokabiliana na...

READ MORE

NMB Yatangaza Ushirikiano na Kituo cha Radio cha EFM na TVE, Mbio za NMB Marathon

  Benki ya NMB imetangaza ushirikiano na kituo cha Radio cha EFM na TVE kama washiriki wenza katika mbio za...

READ MORE

Rais Samia Amwagiza DCI kufanya Upelelezi Kabla ya Kumweka Mtu Mahabusu

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumanne Agosti 30, 2022 amemtaka Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Ramadhan Kingai...

READ MORE

Wagombea wa Muungano wa Azimio Washinda Ugavana Mombasa na Kakamega

MGOMBEA wa chama cha ODM Fernandes Odinga Barasa ameshinda kinyang’anyiro cha kuwania kiti cha Ugavana katika kaunti ya Kakamega nchini...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Upelelezi Ufanyike Kabla Ya Kuwekwa Mahabusu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Mkurugenzi wa Upelelezi wa...

READ MORE

Ushirikina Wampeleka Jela Mzee wa Miaka 60, Mahakama Yatoa Adhabu Kama Fundisho

KATIKA kutoa fundisho na kukomesha vitendo vya kishirikina vinavyobabisha migogoro ya kifamilia na Jamii na kupelekea mauaji mwendesha mashtaka wa...

READ MORE

Maajabu ya Samaki mwenye Uwezo wa Kuzalisha Umeme Kutoka Msitu wa Amazon

SAMAKI anayejulikana kwa jina la kingereza Electric Eel anayepatikana katika mto wa Amazon barani Amerika kusini ni moja ya Samaki...

READ MORE

Askali Polisi Achomwa Mshale na Mtu Mmoja Aliyegoma Kuhesabiwa Sensa Mkoani Dodoma

ASKARI polisi wa kituo cha Mrijo wilaya ya Chemba mkoani Dodoma Konstebo William Werema amenusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa...

READ MORE

Majaliwa-Tanzania Yawasilisha Miradi Minane Ticad, Barabara na Kilimo Yapewa Kipaumbele

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania imewasilisha miradi minane yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 1.334 katika...

READ MORE

Bado Hatujamaliza Ndio Kwanza Ligi Zimeanza, Mikeka Yako Inasomaje? Wiki Hii

Ligi mbalimbali zinaendelea tena wiki hii, na meridianbettz bado kuna pesa za kutosha kukupatia wewe mshindi.   EPL bado ni...

READ MORE

DC Gondwe: VODACOM Kinara Kwenye Mapinduzi ya Teknolojia Nchini

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mheshimiwa Godwin Gondwe ameipongeza kampuni ya Simu ya Vodacom kwa kuwa mstari wa mbele kwenye...

READ MORE

Mahakama ya Juu Kenya Kufanya Kikao cha Mikakati Kesi ya Kupinga Matokeo ya Urais

MAHAKAMA  ya juu zaidi nchini kenya imepangiwa kufanya kikao cha kutathmini masuala yatakayoibuka kwenye kesi tisa zilizowasilishwa katika kupinga kutangazwa...

READ MORE

Serikali Yazindua Mpango wa “Silicon Zanzibar” kwa kushirikiana na Wasoko

  Mji wa Fumba, Zanzibar, 30 Agosti 2022—Serikali ya Zanzibar jana imetangaza uzinduzi wa Silicon Zanzibar, mpango mpya wa kuvutia...

READ MORE

RC Kilimanjaro Azindua ATM Ya Nmb ya Kubadili Fedha za Kigeni Uwanja wa KIA

  Benki ya NMB leo imezindua rasmi mashine ya kubadilisha fedha (Forex – ATM) katika uwanja wa ndege wa kimataifa...

READ MORE

GGML Watoa Magodoro 50 kwa Kituo cha Wazee Bukumbi

KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali kuwajali na kuboresha maisha ya wazee nchini, Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu Geita...

READ MORE

Kagera Yafikisha Asilimia 97 Sensa, Chalamila Atema Cheche

WAKATI leo ikiwa ndiyo siku ya mwisho ya sensa nchini mkuu wa mkoa wa Kagera Albert Chalamila, amesema kuwa mkoani...

READ MORE

Mahakama ya Rufaa Yaidhinisha Kifungo cha Miaka 30 Gerezani kwa Mlinzi wa Kanisa

MLINZI wa Hospitali ya Kanisa Katoliki la Kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga, Peter Marco apata kifungo cha miaka 30 gerezani...

READ MORE

Papa Francis Ateua Makardinali Watakaoshiriki Kumteua Mrithi wa Kiti Chake

BABA Mtakatifu na mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis (85) amewateua maaskofu 20 na kuwatawaza kuwa makaldinali watakaoongezeka kwenye...

READ MORE

Zisome Hapa Njia 3 za Kukabili Ongezeko la Gharama za Maisha

HATA bila takwimu za kukusanywa na kishikwambi, kila kona nchini kuna malalamiko na manung’uniko juu ya kupanda mno kwa gharama...

READ MORE

Kampeni ya ‘Uzazi ni Maisha Wogging’ kwa Uzazi Salama Zanzibar Yadhaminiwa na Benki ya NBC

    Zanzibar, Tanzania – 27 Agosti, 2022 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Shirika la Amref...

READ MORE

Program Ya Dunia Yangu Bora ya CAMFED Yawanufaisha Wanafunzi 70,302

  JUMLA ya Wanafunzi 70,302  kutoka katika shule za sekondari mbalimbali nchini Tanzania wananufaika na  progamu ya Dunia Yangu Bora...

READ MORE

Washindi wa M Pesa Imeitika Walivyokabidhiwa Bodoboda na Bajaj, Nyumba Yasubili Mshindi

    KAMPUNI ya mtandao wa simu za mkononi ya Vodacom Agosti 26 mwaka huu imewakabidhi zawadi zao washindi wa...

READ MORE

Absa Yazindua Kadi ya Malipo ya Visa Kwa Wafanyabiashara

  Benki ya Absa Tanzania imezindua kadi ya malipo ya Visa kwa wafanyabiashara ya benki hiyo ikiwa na lengo la...

READ MORE

Japan Yatoa Dola za Bilioni 30 Kusaidia Nchi za Afrika

  Serikali ya Japan imetangaza kutoa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 30 katika kipindi cha miaka mitatu (2022 –...

READ MORE

NMB na Wizara ya Mambo ya Nje Zasaini Makubaliano Kutengeneza Mfumo wa Diaspora

  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Benki ya NMB wamesaini Hati ya Makubaliano ya...

READ MORE

Maajabu ya Paji la Uso Wako, Zijue Siri za Imani za Kidini Zilizojificha Ndani Yake

  WATAALAM wa mambo ya Imani wanasema kuna kitu ukiambiwa hutaamini kuhusu maajabu ya paji lako la uso.   Wanasema...

READ MORE

Mwamba Aua Chui kwa Mikono, Atumia Dakika Kadhaa Kufanya Maangamizi

NDUMISO MONA; ni mwanaume mwamba kabisa wa nchini Afrika Kusini ambaye kwa sasa ni gumzo nchini humo baada ya kupambana...

READ MORE

Sumu Inayoua Wanaume Wengi Wakorofi, Inatoa Mtazamo Tofauti

BILA takwimu rasmi, lakini kwa sasa vinasikika visa vingi vya mauaji, ukatili, unyanyasaji na mengine mabaya yanayofanywa na binadamu kwa...

READ MORE

Ni Wikiendi ya Kibabe Yenye Mechi Kali za Kubashiri na Meridianbet Vuta Mpunga

Serie A inaendelea tena wikiendi hii kwa mechi kati ya Juventus dhidi ya AS Roma saa 1: 30 usiku.  ...

READ MORE

Gurudev Amaliza “Royal Tour”na Salaam kwa Wasanii, Aahidi Kuendeleza Ushirikiano na Tanzania

KIONGOZI mashuhuri duniani wa kiroho na Balozi wa Amani, Gurudev Sri Sri Ravishankar ameondoka nchini leo asubuhi kuelekea Ujerumani baada...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afanya Ziara ya Kikazi Nchini Tunisia

      WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameondoka nchini kwenda Tunisia kwa ajili ya kumwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika...

READ MORE

DC wa Ubungo Atoa Rai kwa NGO’s Kutoka Maofisini na Kwenda Kuwagusa Wananchi

MKUU wa Wilaya ya Ubungo Kheri James leo Agosti 26, 2022 kwa kushirikiana na viongozi wa Halmashauri amekutana na mashirika...

READ MORE

Unaweza Kuibuka na Ushindi wa Hadi Mara1000 ya Dau Lako Meridianbet!

Unapoitazama sloti hii ya Foxpot, utashangazwa wapi hizi shilingi zinatoka. Jibu ni rahisi sana, sloti hii ya Foxpot inakujia na...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaahirisha Kesi ya Mdee na Wenzake 18 hadi Septemba 02 Mwaka

  Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha Kesi ya Mdee na wenzake 18 hadi Septemba 02 mwaka huu....

READ MORE