×

Habari

Kinana: Geita Iendane na Thamani ya Dhahabu ya Mkoa Huo

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana amemshauri Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin...

READ MORE

Jeshi la Polisi Uganda Lamshikilia Mwanamke kwa Unyanyasaji wa Mtoto

JESHI la Polisi nchini Uganda, linamshikilia Dorothy Nabulime (22) mkazi wa mji mdogo wa Busula, nje kidogo ya jiji la...

READ MORE

Meneja Mkuu Global Publishers Aungana na Waombolezaji Kuuzika Mwili wa Shakoor Jongo

Meneja Mkuu Global Publishers, Abdallah Mrisho ameungana na waombolezaji waliojitokeza kuuzika mwili wa Mwandishi nguli wa habari na mdau wa...

READ MORE

Washindi wa Kampeni ya MPawa Wakabidhiwa Pikipiki na Benki ya NCBA

Mkuu wa Kitengo cha Fedha wa Benki ya NCBA, Genesi Kunda (wa pili kulia), akiwakabidhi washindi watatu zawadi za kila...

READ MORE

Exclusive… Kajala Aanika Mazito Penzi Lake Kwa Harmonize Wameendelea Kufurahia Mapenzi Yao

  Takriban miezi mitatu baada ya kurudiana na kuvishana pete ya uchumba, mastaa wawili wakubwa Bongo, Kajala Masanja na Harmonize...

READ MORE

Tanzia: Mwandishi Shakoor Jongo ‘Zungu Fedha’ Afariki kwa Kugongwa na Gari

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa, mwandishi nguli wa habari na mdau wa masuala ya burudani, Shakoor Jongo maarufu kama...

READ MORE

Wajumbe Wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Watembelea Miradi ya Kikanda ya EAC

  Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) chini ya Mwenyekiti wake,...

READ MORE

Watakaosalimisha Silaha Wanazomiliki Kinyume cha Sheria Kusamehewa

    JESHI la Polisi linapenda kuwataarifu wananchi wote kuwa kutakuwa na uzinduzi wa kampeni maalum ya mwezi mmoja unaojulikana...

READ MORE

Rais Samia Aguswa na Jitihada za Benki ya NBC Uwezeshaji Jamii Kiuchumi  

NA MWANDISHI WETU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu amezipongeza taasisi za fedha nchini ikiwemo benki ya...

READ MORE

Waziri wa Elimu: Ratiba ya Kufungua Shule Ipo Vilevile, Akanusha Taarifa za Uzushi

  Serikali imekanusha taarifa za uzushi zilizotolewa kuhusu tarehe ya shule kufunguliwa iliyotolewa na baadhi ya watu wasiokuwa na nia...

READ MORE

RC Mgumba Aupongeza Mfuko wa Self Microfinance Kwa Kukuza Mtaji Wake

MKUU wa Mkoa wa Tanga Omari Mgumba ameupongeza Mfuko wa Self Microfinance kwa kuweza kukuza mitaji yao kutoka Bilioni 57...

READ MORE

Live: Rais Samia Anashiriki Maadhimisho ya Siku ya Kizimkazi Visiwani Zanzibar-VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anashiriki maadhimisho ya siku ya KIZIMKAZI, Visiwani Zanzibar wakati huu....

READ MORE

Kutana na Binadamu wa Kwanza Kuuza Maisha Yake kama Biashara

MIKE Merrill ndiye mtu pekee duniani anayeuzwa hadharani. Tangu 2008, maisha yake yameelekezwa kwa wanahisa wake, ambao wamenunua hisa ndani...

READ MORE

Kesi ya Akina Halima Mdee, Jaji Atoa Uamuzi Sasa Kuanza Kuhojiwa Mahakani

LEO ikiwa ni Septemba 2, 2022 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imepanga Septemba 30, mwaka huu kuanza kusikiliza...

READ MORE

Zijue Faida za Kukumbatiana na Athari Zake kwa Afya ya Binadamu

TUNAWAKUMBATIA wengine tunapokuwa na msisimko, furaha, huzuni, au kujaribu kufarijiana. Kukumbatiana, inaonekana, kuleta faraja kwa watu wengi. Inatufanya tujisikie vizuri....

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya ZAECA, ACP Ahmed Khamis Makarani Ajiuzulu

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (Zaeca), ACP Ahmed Khamis Makarani leo Ijumaa Septemba 2, 2022...

READ MORE

Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Balozi Dkt Abdulahman Kaniki Asisitiza Uadilifu

ALIYEKUWA Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Balozi Dkt Abdulrahamani Kaniki amelitaka Jeshi la Polisi kuendelea kuwa waadilifu kwa...

READ MORE

Bahati Bukuku: Nilibeba Maiti ya Mwanangu Kwenye Dalala Baada ya Kukosa Pesa

BAHATI BUKUKU; ni muimbaji mkongwe wa nyimbo za Onjili nchini Tanzania ambaye amesimulia jinsi alivyolazimika kubeba maiti ya mtoto wake...

READ MORE

Wakili wa Raila Aonyesha Fomu Katika Seva ya IEBC Ilio na Jina la Raia wa Venezuela -Video

Wakili wa Raila aonyesha fomu katika seva ya IEBC ilio na jina la raia wa Venezuela Wakili wa Raila Odinga...

READ MORE

Mafuriko Yaua Watu 100 Sudani na Kufanya Uharibifu wa Makazi ya Watu

Hali ya dharura imetangazwa nchini Sudani katika majimbo sita kutokana na mafuriko yaliyo haribu makazi na kusababisha vifo vya watu...

READ MORE

Beach Boy Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Gerezani kwa Kumbaka Mtoto Akimfundisha Kuogelea    

MAHAKAMA ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es salaam, imemhukumu Dunia Suleman (36) kwa jina maarufu P squre, kutumikia kifungo cha...

READ MORE

Mahakama Yasema Tume ya Uchaguzi (IEBC) Ilitumia Fomu ya Pili Matokeo ya Uchaguzi Kenya

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ilitumia seti ya pili ya fomu za upeperushaji matokeo ambayo ilisuluhisha na vyama...

READ MORE

Bandari ya Karema Mkoani Katavi Yaanza Kazi, DC Atoa Wito Maalum kwa Mamlaka

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) zimetakiwa kushawishi na kuratibu Meli za kutoka Bandari za Congo, Zambia na Burundi...

READ MORE

Ubalozi wa Marekani Nchini Kenya Watoa Tahadhari Kwa Raia Wake

  UBALOZI  wa Marekani nchini Kenya umewataka raia wake kuchukua tahadhari kubwa nchini humo wakati huu ambapo, mahakama ya juu...

READ MORE

Benki ya CRDB na Selcom Zaungana Kurahisisha Huduma za Malipo

Dar es Salaam  Septemba 1, 2022 – Katika kufanikisha azma yakupanua wigo wahuduma za kifedha nakurahisisha malipo nchini, Benki ya...

READ MORE

Kinana: CCM Haitamvumilia Mwanachama Yeyote Anayetaka Uongozi Kwa Kutumia Udini,Ukabila Na Ukanda

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama hakitamvumilia mwanachama yeyote ambaye anataka...

READ MORE

Rais Samia Afika Kuhani Msiba wa Mtoto wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 1, 2022 amefika nyumbani kwa marehemu, Chukwani...

READ MORE

NHIF Kuja na Mwarobaini wa Kuokoa Mfuko wa Bima, Waziri Ummy Atoa Maagizo

LEO Septemba 1, 2022 Waziri wa Wizara Afya Mh. Ummy Mwalimu ametoa ufafanuzi juu ya kutetereka kwa mfuko wa Taifa...

READ MORE

Video: Waziri Mwigulu Atoa Ufafanuzi wa Tozo za Miamala ya Simu na Benki

 Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Tozo hii si kodi ya Biashara wala si kodi inayotokana na faida ya...

READ MORE

Moto Uliozuka Mwanza Hotel Wazimwa Huku Chanzo cha moto bado kikiwa hakijafahamika

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Adam Malima amesema kuwa moto uliozuka na kuunguza Club ya Dallas iliyo ndani ya Mwanza...

READ MORE

Wakili wa IEBC: ‘Tume ya Uchaguzi Haina Kasoro, Wafula Chebukati Hana Kosa’-Live

MAWAKILI wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya IEBC wameanza kutoa mawasilisho ya kupinga kesi ya kutaka matokeo...

READ MORE

Je Wajua Faida za Kunywa Chai ya Majani ya Mchaichai? Zisome Katika Makala Hii

    INASAIDIA kuondoa wasiwasi. Watu wengi huona kunywea chai ya moto kuwa kuburudisha, lakini chai ya mchaichai inaweza kutoa...

READ MORE

Okiya Omtatah: Wapiga Kura Hewa Nusu Milioni Walipiga Kura Katika Uchaguzi wa Kenya

SENETA mteule wa Busia Okiya Omtatah Jumatano Agosti 31, 2022 alidai kuwa kuna zaidi ya kura 500,000 ambazo hazijaelezewa katika...

READ MORE

Tanzania Yatajwa Nchi ya Kwanza kwa Uzuri Afrika, ya Nne Duniani

TANZANIA imetajwa kuwa nchi ya nne kwa uzuri duniani na ya kwanza kwa Bara la Afrika kwa mujibu wa utafiti...

READ MORE

Watu 18 Wauawa kwa Kupigwa Risasi, 34 Wajeruhiwa na 9 Mahututi Madagascar

WATU 18 wameuawa na wengine 34 kujeruhiwa huku 9 wakiwa mahututi, baada ya Polisi kufyatua risasi kwa ajili ya kuwatawanya...

READ MORE

Meridianbet Wawatembelea Sober House ya Pillimissana Foundation, Kigamboni Dar

Meridianbet kama ilivyo desturi na utamaduni wao wamekuwa wakijitahidi kushirikiana na jamii na kusaidia makundi yenye uhitaji na yanayokumbwa na...

READ MORE

Julie Soweto: ‘Kura 4,463 Zilipunguzwa Kutoka kwa Raila na Kupewa Ruto’ -Video

Mawakili wa timu ya wanasheria wanaomtetea Raila Odinga, wakiongozwa na Julie Soweto, wamedai kura 4,463 zilitolewa kutoka kwa mteja wake...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino Dodoma -Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika leo tarehe 31...

READ MORE

Afisa Mifugo Makete Apiga Marufuku Kuchinja, Kula Kitimoto, Atoa Sababu Maalum

AFISA MIFUGO na Uvuvi Wilayani Makete mkoani njombe, Aldo Mwapinga amepiga marufuku kuchinja au kula nguruwe kutokana na uwepo wa...

READ MORE

Urusi Yakubaliana na Taliban Kupeleka Bidhaa Afghanistan, Baada ya Kuwekewa Vikwazo vya Kimataifa

MUDA sio mrefu kutokea sasa Urusi itaingia makubaliano na uongozi wa Taliban nchini Afghanistan juu ya uagizaji wa ngano,mafuta na...

READ MORE