×

Habari

Rais Samia Apongeza Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto CCBRT- Msasani Dar es Salaam

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada na ubora wa ujenzi wa jingo la Mama...

READ MORE

NECTA Yatangaza Matokeo ya Mtihani wa Ualimu (DSEE) 2022, Yasome Hapa

BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2022 ....

READ MORE

Breaking: Matokeo ya Kidato cha Sita na Ualimu Yatangazwa, Yatazame Hapa

  BARAZA la Mitihani la Tanzania leo tarehe 5/07/2022 limetangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu 2022....

READ MORE

Live: Rais Samia Anazindua Jengo la Mama na Mtoto Ccbrt Msasani – Dar Es Salaam-Video

RAIS Samia leo Julai 5, 2022, amefika na kuzindua jengo jipya na la kisasa katika hospitali ya CCBRT ambapo amepata...

READ MORE

Afande Sele: Ni Laana Kumdharau Mama Aliyekuzaa kwa Upasuaji

AFANDE SELE; ni rapa mkongwe wa kutema mistari ya muziki kutoka nchini Tanzania ambaye hatimaye amezungumzia tatizo la kiafya ambalo...

READ MORE

Rais Samia Asema Mkoa wa Tabora Utakuwa Kitovu cha Biashara, Asifia Miundombinu Yake

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Tabora unatarajiwa kuwa kitovu cha biashara...

READ MORE

Live: Rais Samia Ashuhudia Utiaji Saini Mkataba wa Ujenzi wa SGR-Video

RAIS Samia leo julai 4, 2022, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa SGR hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar...

READ MORE

Breaking News: Watu Saba Wafariki kwa Ajali ya Gari, Chamwino, Dodoma

  WATU saba wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Landcruiser yenye namba za...

READ MORE

Kusah: Mwendo Nimeumaliza Kwa Aunty Ezekiel, Ukweli ni Nimeshikwa na Nikashikika

  Kusah; ni staa mwingine mkubwa wa Bongo Fleva ambaye anafunguka kuwa, kwa mahaba anayopewa na mzazi mwenzake, muigizaji Aunty...

READ MORE

Raila Odinga: Haya Ndiyo Makubwa Nitakayofanya Nikiwa Rais wa 5 wa Kenya

  Mgombea wa Urais nchini Kenya Raila Odinga, ameahidi wakenya maisha mema ambayo kila mkenya atafurahia katika utawala wake endapo...

READ MORE

Gekul: Tumejipanga Kuendeleza Mashindano ya Utamaduni Kila Mwaka

  Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul amefungua mashindano ya Utamaduni yanayohusisha ngoma na vyakula vya...

READ MORE

Madaktari Kutoka Korea Kusini Wawasili Nchini Kutoa Huduma za Kitabibu

JOPO la madaktari 24 kutoka Korea Kusini, leo Julai 2, 2022 wamewasili nchini na kupokelewa katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Waziri Jafo Azindua PETCO Kuimarisha Ukusanyaji Plastiki na Kuzichakata

    Julai 2, 2022: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mh. Dk. Selemani Said...

READ MORE

Meridianbet Waanzisha Shindano la Mikwaju ya Penati Kuisaidia Jamii

Meridianbet inaendesha shindano la upigaji wa mikwaju yake penati kwa ajili kuchangisha fedha ambazo lengo la ukusanyaji wa fedha hizo...

READ MORE

Waziri Nape: Mtakuwa na Uwezo wa Kuiangalia Dunia Kutokea Msomera

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye, amesema, zoezi la kuboresha huduma za Mawasiliano katika makazi...

READ MORE

RC Makalla Akiri Athari za Madawa ya Kulevya ni Kubwa katika Jiji la Dar es Salaam

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amekiri mbele ya mgeni rasmi Waziri wa Jamhuri ya Muungano wea...

READ MORE

Live: Waziri Mkuu Anashiriki Siku ya Mapambano Dhidi ya Matumizi ya Dawa ya Kulevya-Video

LEO Julai 02, 2022 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki hafla ya maadhimisho ya kitaifa ya siku ya kupambana na dawa...

READ MORE

Mh. Ridhiwani Ateta na Maafisa Ardhi na Kuwakumbusha Kutimiza Wajibu Wao

  BAADA ya ufungaji wa Mafunzo ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makazi yaliyofanyika Chuo Cha Mkwawa, Iringa Mhe....

READ MORE

PSSSF Yaboresha Huduma Kwa Wastaafu, Yaja na Uhakiki Kwa Njia ya Bio-Metric

  KATIKA kuhakikisha Wastaafu wanapata huduma kwa haraka na kwa urahisi zaidi, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa...

READ MORE

Wakulima Wapigwa Jeki Kwa Mikopo ya Trekta na Benki ya NBC

    RUVUMA. Julai Mosi, 2022. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi huduma ya utoaji  wa mkopo wa treka...

READ MORE

Wasanii wa Bongo Muvi Sasa Waja na Dawa za Kulevya

    WASANII wa kike wa Bongo Muvi wanaounda kundi la Binti Filamu Foundation sasa wameamua kuja na kongamano la...

READ MORE

Tazama Hapa Majina ya Waombaji Walioitwa Kazini Ajira za Kada ya Afya

WIZARA ya Afya imetoa orodha ya watumishi walioitwa kazini kufuatia waombaji wa ajira za kada za afya zilizotangazwa kwenye tovuti...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuwakilisha Rais Samia Kwenye Sherehe za Uhuru Nchini Burundi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mariam Mwinyi wamejumuika na Viongozi...

READ MORE

Airtel Yaondoa Tozo Kwa Watumiaji wa Airtel Money

Mkurugenzi wa huduma za Airtel Money, Isack Nchunda akiielezea huduma hiyo mpya kushoto ni Meneja uhusiano wa Airtel, Jenipher Mbuya....

READ MORE

Kesi Waliyoifungua Akina Halima Mdee Kutolewa Uamuzi Julai 9

Mahakama Kuu imesikiliza sababu za Halima Mdee na wenzake 18 za kuomba ridhaa ya kufungua kesi kupinga kuvuliwa uanachama wa...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Mkuu wa Majeshi Mpya na Mnadhimu Mkuu, Ikulu – Dar (Picha +Video)

  LEO Juni 30, 2022 Rais Samia amefanya uapisho wa Mkuu wa Majeshi mpya aliyemteua jana Juni 29, 2022 Jenerali...

READ MORE

Jeff Haran, Msanii wa Gospel Aachia Wimbo Mpya Uitwao Unastahili Bwana

MSANII wa nyimbo za injili, Jeff Haran @jeffharan ameachia kazi yake mpya iitwayo Unastahili Bwana ambayo tayari inapatikana kwenye ‘digital...

READ MORE

Zaidi ya Wanafunzi 70 Wanusurika Kifo Baada ya Bweni Lao Kuteketea kwa Moto

ZAIDI ya wanafunzi 70 katika shule ya wavulana ya Bwiru Sekondari iliyopo manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamenusurika kifo baada...

READ MORE

CRDB, USAID na DFC Kutoa Shilingi Bilioni 100 Kwenye Sekta Ya Elimu, Afya na Biashara

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) kwa pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright...

READ MORE

Morrison Asimulia Sakata Zima Kuondolewa Simba, Ugomvi na CEO, Try Again -Video

 GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na mchezaji Benard Morrison, kuhusiana na masuala mbalimbali yanayomhusu, ikiwemo sababu za kuondoka Simba...

READ MORE

Kongamano la USAGM/VOA 2022 Lilivyowakutanisha Viongozi wa Vyombo vya Habari Nchini Afrika Kusini

SHIRIKA la Habari la Sauti ya America (VOA) kwa kushirikiana na bodi ya Utangazaji ya Marekani (USAGM) na Shirika la...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yakabidhi Vifaa kwa Shule ya Wasichana Yatima

    VODACOM  Tanzania Foundation leo imekabidhi vifaa na samani kwa Shule ya Wasichana ya Bethsaida mjini Dar es Salaam...

READ MORE

NMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa Kitaifa wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu

Sababu kuu tatu zimetajwa kuwa changamoto ya kuwakosesha ajira watu wenye ulemavu nchini licha ya kuwa wanakuwa na sifa zinazotastahili....

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Mkuu Mpya wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempandisha Cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na...

READ MORE

Uongozi wa Mabingwa wa Ligi Kuu Bara Watoa Tamko Zito CAF Wataka Rekodi

  KUELEKEA mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Yanga...

READ MORE

Wamiliki Chelsea Waanza Kuzingua Mashabiki Wafumua Bodi, Wamtimua Petr Cech

WAMILIKI wapya wa Chelsea wakiongozwa na bilionea Todd Boehly, wameifumua bodi ya timu hiyo wakifukuza kazi vichwa kibao akiwemo gwiji...

READ MORE

Yanga Yategua Mitego ya Simba Kwa Nabi, Walipeleka Ofa Babu Kukwa Kwa Meneja Wake

MABOSI wa Yanga leo Jumatano jioni wanatarajiwa kufanya kikao kizito na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia, Nasreddine Nabi kwa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali, Akiwemo Mhariri wa Magazeti ya TSN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Tuma Abdallah kuwa Mhariri Mkuu wa Kampuni...

READ MORE

Video: ‘Mawaziri’ Waitesa Serikali ya Samia, CCM Kwafukuta, Majaliwa Aonya Vigogo Wapigaji…

 Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi...

READ MORE

Kocha wa Viwango Atua Simba Alifundisha Wydad Athletic Club ya Morocco na Al Hilal ya Sudan

SIMBA msimu ujao itakuwa chini ya Kocha Mserbia, Zoran Manojlović, 59, ambaye anarekodi ya kufundisha klabu kubwa barani Afrika.  ...

READ MORE