×

Habari

Katibu Mtendaji Baraza la Ushauri Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga Yuko Tayari Kuhesabiwa Agosti 23

Zikiwa zimebaki siku mbili kufikia like jambo letu la kitaifa, yaani Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kufanyika nchini more...

READ MORE

RC Makalla Atangaza Oparesheni ya Kukamata Matumizi ya Mifuko ya Plastiki

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo August 19 ametangaza Operesheni ya kukamata Mifuko...

READ MORE

MTCC Kuja na Mkakati Mpya Kuboresha Maendeleo ya Bandari

KITUO cha Ushirikiano wa Teknolojia ya Bahari, Maritime Technology Cooperation Centre (MTCC) ambacho kina wanachama kumi, Tanzania ikiwepo, wamekuja na...

READ MORE

TRC Kuongeza Safari za Treni Mikoa ya Kaskazini, Gharama za Mafuta Yawa Sababu

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari za Treni Kutoka Dar es salaam kwenda mikoa ya kaskazini ambayo ni Arusha,...

READ MORE

Mrembo Hana Mohamed Khodor Auawa Kwa Kukataa Kutoa Mimba

Hana Mohamed Khodor; ni mrembo mwenye umri wa miaka 21 ambaye amekutana na umauti kwa kukataa kutoa mimba kwa shinikizo...

READ MORE

TMRC Yasaini Hati ya Makubaliano Kusaidia Kaya Masikini, Ridhiwani Kikwete Atoa Tamko

TAASISI ya mikopo ya nyumba ya Tanzania Mortgage Refinance (TMRC) imesaini hati ya makubaliano kusaidia kaya maskini na Shirika la...

READ MORE

Rais Samia Amteua Prof. Mark Mwandosya Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi EWURA

  Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya udhibiti wa...

READ MORE

Spika Tulia Mgeni Rasmi Benki ya Mwanga Hakika ikiweka Historia, Yawa Benki ya Biashara

  Dare es Salaam- Kijitonyama. Benki ya Mwanga Hakika yawa benki ya biashara. Ambapo awali benki hii ilikuwa benki ya...

READ MORE

Watu Zaidi ya 16 Wafariki kwa Mafuriko China Kaskazini, Serikali Yaingilia Kati

BEIJING Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko jimbo la Qinghai kaskazini mwa nchi ya China yamesababisha vifo vya...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Siku ya Sensa ni Mapumziko

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameridhia kuwa tarehe 23...

READ MORE

Neema Kituo Cha Afya Yombo, Wapatiwa Vifaa Tiba Vya Kisasa

KITUO cha Afya Yombo Vituka Wilaya ya Temeke jijini Dar es saalam kimepata neema baada kupatiwa vifaa tiba vya kisasa...

READ MORE

Nchi ya Japan Imewahimiza Vijana Kunywa Pombe Zaidi ili Kuchochea Uchumi waNchi

KATIKA hali ambayo inaweza kukushangaza, Mamlaka za Japan zimewataka vijana wengi zaidi kunywa pombe, Kampeni hiyo imeanzishwa ili kuweza kuongeza...

READ MORE

Waziri Mkuu Atatua Mgogoro wa Ardhi wa Miaka Mitatu Kinondoni

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka mitatu katika eneo la Boko-Dovya, wilayani Kinondoni jijini Dar...

READ MORE

Wanafunzi 400 Waliosoma Nje ya Nchi Kushiriki Mahafali yao Jumapili

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolph Mkenda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya tatu ya wanafunzi...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Alhamisi, Agosti 18, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Agosti 18, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Benki ya Akiba (ACB) Yaendelea Kuboresha Huduma Kuendana na Mahitaji ya Wateja na Soko

  Benki ya Biashara ya Akiba (ACB) katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake inafanya jitihada kuboresha huduma na...

READ MORE

Washindi wa Jaza Kibubu Tusepe Qatar Walivyopatikana

  Benki ya NBC yatangaza washindi wa “JAZA KIBUBU TUSEPE  QATAR” siku ya Jumatano, Agosti 17, 2022. Ambapo kampeni hiyo ilianza Aprili...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Yawakabidhi Machinga Mwenge Meza za Biashara 300

Mkurugenzi wa Mawasiliano Coca-Cola Kwanza Salum Nassor akimkabidhi meza hizo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Godwin Gondwe kwa niaba ya...

READ MORE

Wiki ya Asasi za Kiraia Yazinduliwa Jijini Dar

  Imeelezwa kuwa jitihada za makusudi zinazofanywa na Asasi za kiraia katika kuimarisha ushirikiano miongoni mwa wadau mbalimbali wa sekta...

READ MORE

Wakulima wa Parachichi Nchini Wala Shavu, Waaswa Kutoogopa Ushindani wa Soko

BALOZI wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Saudi Arabia Mhe. Ali J. Mwadini amewataka wakulima wa zao la parachichi...

READ MORE

Dereva Daladala Akamatwa Kwa Tuhuma za Kumuua Mpenzi wake

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata Maarifa Hadith Matala (45), Dereva wa daladala, mkazi wa Kimara...

READ MORE

Serikali Yakabidhi Magari ya Mradi wa REGROW Mkoani Morogoro

MAKAMU wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiongea leo kwenye hafla ya kukabidhi magari hayo...

READ MORE

Tanesco Yasitisha Kuzima Mfumo wa Ununuzi Luku Siku Nne Kuanzia Agosti 22 – 25

Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuhusu kuahirishwa kwa zoezi la matengenezo kinga kwenye mfumo wa LUKU kama...

READ MORE

Kushindwa Kujieleza kwa Wagonjwa kwa Madaktari Kwaleta Madhara kwa Afya Zao

DAKTARI Mloganzila-Innocent Tesha kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili amesema kuwa baadhi ya wagonjwa wanashindwa kueleza kwa usahihi matatizo yao jambo...

READ MORE

Rais Mteule William Ruto Afunguka “Mawaziri Wangu Watajibu Maswali Bungeni”

Rais Mteule wa Kenya, William Ruto amesema kwamba mawaziri katika serikali yake watawajibishwa bungeni, kupitia kujibu masuali ya jinsi serikali...

READ MORE

 Mbunge wa CCM Juliana Masaburi Afanya Mkutano na Watu Wenye Ulemavu, Musoma

 MBUNGE wa Viti Maalum mkoa wa Mara (CCM) Juliana Masaburi amefanya mkutano na watu wenye ulemavu wa ngozi wilaya ya...

READ MORE

Msanii Maarufu wa Vichekesho, Zabogan Zabron Maarufu Kama Erick Amefariki Dunia

MSANII maarufu wa vichekesho, Zabogan Zabron maarufu kama Erick ‘Hivyo hivyo’ amefariki dunia. Taarifa zilizothibitishwa na msanii mwenzake wa vichekesho,...

READ MORE

Tawi la Chuo Kikuu cha Misri Kuanzishwa Tanzania- Waziri Mkenda

CHUO KIKUU cha Misri kimebainisha kusudio la kuanzisha tawi lake nchini Tanzania kwa ajili ya kuanza kutoa elimu katika fani...

READ MORE

Mama Dangote Mjukuu Wako Kutoka kwa Hamisa Mobeto Amekukosea Nini?

  Oktoba 2020, mwanamama Hamisa Mobeto alithibitisha tetesi za mzazi mwenzake, Diamond Platnumz kuchukua vipimo vya DNA na mwanawe Dylan...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa SADC Congo, Sekta ya Maji Yawa Sehemu ya Mjadala Mkuu

RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan yupo nchini Congo kushiriki mkutano wa 42 wa wakuu wa...

READ MORE

BoT Yatoa Leseni Kwa Pesapal, Kufanya Biashara Nchini 

  Kampuni ya Pesapal Tanzania imepewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kufanya biashara nchini kama mtoa huduma wa...

READ MORE

 Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu ya NBC Waipiga 2-1 Polisi Tanzania

MABINGWA watetezi wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara, Yanga SC wameanza kampeni za kuutetea ubingwa wao kwa ushindi wa...

READ MORE

Waziri Nape Azindua Mawasiliano ya Intaneti yenye kasi Mlima Kilimanjaro

LEO Agosti 16, 2022 Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amezindua rasmi mawasiliano ya intaneti yenye...

READ MORE

Vifo 8 na Majeruhi Ajalini Mbeya, Magari Manne Yahusika, Kamanda Atoa Tamko Zito

AJALI mbaya iliyohusisha magari manne imetokea leo katika eneo la Shamwengo huko Mbeya ikisababisha vifo kwa watu zaidi ya nane...

READ MORE

Makamishna wa Tume ya Uchaguzi Waliojitenga na Matokeo Wazungumza

  Makamishna wanne wa tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC wakiongozwa na Naibu Mwenyekiti wa tume hiyo Juliana Cherera, wamejitokeza...

READ MORE

Uingereza Imekuwa Nchi ya Kwanza Kuidhinisha Chanjo ya Aina Mbili za Corona

UINGEREZA ndiyo nchi ya kwanza kuidhinisha matumizi ya chanjo iliyoundwa kulenga aina mbili tofauti za virusi vya Corona ambavyo ni...

READ MORE

50 Wanusurika Kifo Basi Likiteketea kwa Moto, Dereva wa Basi Hilo Atamka Neno

BASI la kampuni ya usafirishaji la Tashrif limeteketea kwa moto asubuhi ya leo tarehe 16 Agosti 2022 wakati likiwa safarini...

READ MORE

Shaka Awasili Mkoani Tabora, Anatarajiwa Kukagua Miradi ya Serikali

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka amewasili mkoani Tabora kwa ziara ya...

READ MORE

Zamu ya Hamisa Kutesa na Range Rover Lenye Thamani ya Shilingi Milioni 150

  Hamisa Mobeto; ni mwanamama staa wa muziki, filamu na mitindo nchini Tanzania ambaye sasa ni zamu yake kutesa na...

READ MORE

Tanzania na Oman Kushirikiana Kukuza Sekta ya Nishati

  wa Nishati Mhe.January Makamba amekutana na Mhe. Balozi wa Oman nchini Tanzania Mhe. Saud Hilal Al Shidhani na kuzungumzia...

READ MORE