×

Habari

Rais Samia, Rais wa Burundi Wampongeza Rais Mteule wa Kenya William Ruto

Viongozi mbali mbali wa kimataifa wameendelea kutuma salamu za pongezi kwa rais mteule wa Kenya William Ruto kufuatia kutangazwa kwake...

READ MORE

Shinda Vibunda Kupitia Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet Mabingwa kwa Odds Bora!

Sloti ya Wild Wild West Riches Ukiwa na Meridianbet, unapata fursa ya kufurahia huku unatengeneza faida kupitia sloti ya Wild...

READ MORE

Kiwanda Cha Chai Mponde Chakamilika kwa Asilimia 95

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Profesa Joyce Ndalichako ametembelea...

READ MORE

Benki ya Exim Yaadhimisha Miaka 25 Tangu Kuanzishwa

Dar es Salaam: 16th, 2022: BENKI ya Exim Tanzania imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwake kwa hafla fupi iliyolenga kutambua...

READ MORE

Rais Samia: Maafisa Wenye Vitambi Warudi Kupata Mafunzo Waondoe Vitambi

AKIENDELEA na ziara yake jijini Tanga, Rais Samia leo hii amefunga mafunzo ya awali ya Jeshi la Uhamiaji pamoja na...

READ MORE

Anastasia Pokreshchuk Atumia Mamilioni Kufanya Sajari Ya Mashavu

Ukisikia Dunia ina mambo ndiyo huku sasa! Anastasia Pokreshchuk mwenye umri wa miaka 33; ni mrembo kutoka huko Kiev nchini...

READ MORE

SADC Yaidhinisha Brigedia Jenerali Nkangaa Kuwa Mkurugenzi wa Asasi ya Siasa

  Baraza la mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) limeidhinisha jina la Mtanzania,Brigedia Jenerali Juma Nkangaa Sipe...

READ MORE

Rais Putin Aapa Kuendelea Kuimarisha Uhusiano na Korea ya Kaskazini

RAIS wa Urusi Vladimir Putin ameapa kuwa serikali yake itaendelea kuimarisha uhusiano wake na taifa la Korea ya kaskazini linaoongozwa...

READ MORE

Wafanyakazi SBL Wapanda Mlima Kilimanjaro Kuhamasisha Utalii wa Ndani

    Machame Kilimanjaro, Agosti 14. Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) chini ya chapa yake mama ya ‘Serengeti’ imeunga...

READ MORE

Mkazi wa Mufindi Akabidhiwa Gari Mpya Suzuki S Presso Baada ya Kuibuka Mshindi Tusua Mapene

Mshindi wa gari la nne kupitia shindano la Vodacom Tusua Mapene, Editha John mkazi wa Mufindi-Iringa akifungua mlango wa  gari...

READ MORE

Waziri Gwajima Aipongeza Nmb Kuwajali Wamachinga

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza benki ya NMB kwa kutenga...

READ MORE

Mgombea Urais Kenya Waihiga Akubali Kushindwa, Amtaja William Ruto Kama Mshindi

MGOMBEA wa chama cha Agano Waihiga Mwaure akiongea na vyombo vya habari amesema kwamba baada ya kipindi kirefu cha kufuatilia...

READ MORE

Video: Rais Samia Ashuhudia Utiaji Saini wa Mikataba ya Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiaji saini wa Mikataba ya ujenzi wa miundombinu...

READ MORE

Matokeo ya IEBC Odinga Anaongoza, ya Reuters Yamuweka Ruto Mbele -Live Updates

MATOKEO rasmi yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi yanaonesha mwanasiasa mkongwe nchini Kenya, Raila Odinga, akiongoza kwenye mbio za kuwania urais,...

READ MORE

NBC wasisitiza kukuza michezo, sanaa na utamaduni

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza kuhusu adhma yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya michezo hapa nchini kwa...

READ MORE

Lori la Magogo Lafunga Barabara Morogoro, Wasafiri Wasota kwenye Foleni Masaa Saba

ADHA ya usafiri imetokea kwa wasafiri wanaofanya safari zao kati ya Morogoro-Dar es Salaam baada ya Lori lililobeba magogo kushindwa...

READ MORE

Ugonjwa wa Ajabu Waipa Mateso Familia Babati, Waathiri Familia Nzima

MKAZI wa kijiji cha Imbilili Juu kilichopo Wilaya ya Babati, mkoani Manyara amezungumzia maumivu anayopata kutokana na ugonjwa wa ngozi...

READ MORE

Wivu wa Mapenzi Wazidi Kuleta Maafa Kwa Jamii, Kamanda wa Polisi Athibitisha

KATIKA kile kinachosemwa kuwa ni wivu wa mapenzi Jeshi la Polisi Masasi mkoani Mtwara Limesema Kifo cha mwalimu wa shule...

READ MORE

IGP Wambura Apanga Safu Yake Tena, Ni Makamanda wa Mikoa Mbalimbali Nchini Tanzania

MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Camillus Wambura amefanya mabadiliko madogo ya makamanda Polisi wa Mikoa leo Ijumaa, Agosti 12,...

READ MORE

Basi La Jambo Lateketea Kwa Moto, Hofu Yatanda Juu ya Vifo na Majeruhi

BASI la Kampuni ya Jambo Food Products lenye namba za Usajli T.841 DHY linalotumika kubeba wafanyakazi wa kampuni hiyo limeteketea...

READ MORE

Televisheni za Kenya Zasimamisha Kuonesha Matokeo ya Awali ya Kura ya Urais

  VYOMBO vya habari vya Kenya vimesimamisha kutangaza matokeo ya awali ya kura ya urais nchini humo, na hivyo kuzusha...

READ MORE

Waangalizi wa EAC Waridhishwa na Mchakato wa Uchaguzi Nchini Kenya, Wapiga Kura Wamelindwa

Ujumbe wa Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) nchini Kenya umeipongeza Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa...

READ MORE

Yanga Wathibitisha Kuachana na Hassani Bumbuli, Aliyekuwa Afisa wa Habari na Mawasiliano

YANGA wamethibitisha rasmi leo Agosti 12, 2022 kuachana na aliyekuwa Afisa wa habari na mawasiliano wake, Hassani Bumbuli.

READ MORE

Pacha wa Pili ‘Rehema’ Aliyetenganishwa Muhimbili Afariki Dunia

Pacha aliyesalia ‘Rehema’ kati ya mapacha wawili waliotenganishwa Julai Mosi 2022, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) amefariki dunia jana...

READ MORE

Taasisi ya Wananchi Wazalendo Tanzania (TWWT) Yatoa Elimu ya Kizalendo UDART

    TAASISI ya Wananchi Wazalendo Tanzania (TWWT) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Dkt. Ezekiel Kyogo na Makamu wake, Dkt. Nuru...

READ MORE

Live Updates: Tume ya Uchaguzi Kenya Yaendelea Kutangaza Matokeo Siku Tatu Baada ya Uchaguzi

 TUME ya uchaguzi nchini Kenya leo Agosti 12, 2022 inaendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya kinyang’anyiro cha urais...

READ MORE

Nchi 33 Zinatarajia Kushiriki Mkutano 13 wa Taasisi za  Jumuiya ya Skauti Wakike  Bara la  Afrika

AKRIBANI nchi 33 zinatarajia kushiriki mkutano 13 wa Taasisi za  Jumuiya ya Skauti wakike  bara la  Afrika (Taasisi ya Girl...

READ MORE

Alishtaki Gazeti Kwa Kutumia Picha Yake Kuelezea Wanawake Wanene

MWIGIZAJI mmoja wa Iraq amesema analishtaki Gazeti la Economist kwa kutumia picha yake kuelezea makala kuhusu wanawake wa Kiarabu kuwa...

READ MORE

Waziri Ndumbalo Atoa Maagizo kwa Rita Kuboresha Huduma Mikoani

WAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dk Damas Ndumbaro ameilekeza Rita kuimarisha huduma zake katika Mikoa iliyo nje ya...

READ MORE

Kenya: Mashirika ya Kiraia Yaelezea Wasiwasi Juu ya Habari za Uongo Kuhusu Matokeo

Wakati Wakenya wakisubiri matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika kwa amani, shirika la kutetea haki za binadamu Amnesty International na...

READ MORE

Uchaguzi Kenya: Mgombea Urais Kupitia Azimio, Raila Odinga Afanikiwa Kumpita William Ruto

Mgombea Urais kupitia Azimio, Raila Odinga amefanikiwa kumpita William Ruto kwa idadi ya Kura baada ya kuwa nyuma kwa Saa...

READ MORE

Ajali Yaua Dereva na Abiria Wake Watano, Iguguno Ushamba Wilayani Mkalama, Singida

  WATU sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum, kuacha njia na kupinduka katika eneo...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi Kenya 2022: Lupita Nyong’o Asherehekea Ushindi wa Baba Yake

MWIGIZAJI aliyeshinda tuzo ya Oscar Lupita Nyong’o  leo Agosti 11, 2022 amempongeza baba yake kwa kushinda muhula wa pili na...

READ MORE

Mitambo Kinyerezi II Yapata Hitilafu, Tanesco Yatoa Taarifa Rasmi kwa Umma

  SHIRIKA la umeme Tanzania (TANESCO) Limewataarifu wateja wake kuhusu kukosekana kwa huduma ya umeme baadhi ya Mikoa nchini kuanzia...

READ MORE

Lupita Nyon’go Awashukuru Wakenya kwa Kumchagua Baba Yake

MUIGIZAJI wakike Lupita Nyon’go mwenye tuzo ya Oscar, amempongeza baba yake na wapiga kura wa mji wa Kisumu kwa kumchagua...

READ MORE

Okwa, Chama Wanogesha Kombinesheni ya Zoran Simba, Wawatambia Yanga

KOCHA Mkuu wa Simba Mserbia, Zoran Maki amefurahishwa na muunganiko wa viungo wake wawili Mzambia Clatous Chama na Mghana Augustine...

READ MORE

LG, Garnet Star Watoa Ofa 33% ya Punguzo kwa Bidhaa Zake

  KAMPUNI ya vifaa vya umeme Afrika Mashariki ya LG kwa kushirikiana na Garnet Star, imetoa ofa ya punguzo ya...

READ MORE

Hii ni Kali Kuliko, Tigo na Infinix Waja Kivingine

DAR ES SALAAM, tarehe 11 Agosti 2022, Kampuni inayoongoza kwa maisha ya kidijitali ya Tigo Tanzania, imeshirikiana na Infinix kutangaza...

READ MORE

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Haitamtaja Mshindi wa Uchaguzi wa Urais Leo

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) haitamtaja mshindi wa uchaguzi wa Urais leo. Haya ni kulingana na mwenyekiti wa...

READ MORE