×

Habari

Washindi wa Tuzo za TMA Kupata Bima ya Afya, Pensheni-Mchengerwa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Mohamed Mchengerwa kwenye utoaji wa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA)  Aprili 02, 2022 amesema...

READ MORE

European Investment in Tanzania: How European Investment Contributes to Industrialisation in Tanzania

    Wednesday 30th March, 2022; Dar es Salaam: The European Union (EU) Delegation together with the European Business Group...

READ MORE

Safari Kuelekea Mahakama Mtandao Yaongezwa Mwendo Kigoma

  Akizungumza hivi karibuni wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya siku (3) kuhusu mifumo ya uendeshaji wa mashauri kwa njia ya mtandao...

READ MORE

Putin Aguswa Pabaya! Ghala Lake la Silaha Lalipuliwa na Majeshi ya Ukraine -Video

TAARIFA zilizotolewa na kitua cha habari cha ELINT News zinadai kuwa ndege aina ya Mi-24 ambayo inasadikika kuwa chini ya...

READ MORE

Salah Atoa Neno la Kwanza Baada ya Kutupwa Nje Kufuzu Kombe la Dunia

STAA wa Misri, Mohamed Salah, amesema bado anajivunia kikosi cha sasa cha taifa hilo licha ya kupata simanzi mfululizo dhidi...

READ MORE

Foward Motion Yatoa Elimu ya Afya ya Uzazi na Hedhi Salama Kwa Yatima

    TAASISI ya Forward Motion inayojihusisha na utoaji na uhamasishaji wa elimu ya afya ya uzazi na hedhi salama...

READ MORE

“Awamu ya 5 Ilikuzwa Heshima ya Woga, Kulikuwa na Simba wa Yuda”-Rais Samia

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa awamu ya tano ilisifiwa kwa kuleta heshima...

READ MORE

Aliyekufa na Kuzikwa Mwaka 2021 Afufuka Nchini Msumbiji ‘Uchunguzi Wafanywa’

Binti Eurélia Manuel Benjamim Raia wa Msumbiji ambaye alidhaniwa kuwa amefariki dunia na ambaye mazishi yake yalifanyika mwezi November mwaka...

READ MORE

Ukraine Yafanya Shambulio la Anga Kwenye Ghala la Mafuta Katika Eneo la Urusi

Mamlaka za Urusi zimeishutumu Ukraine kwa kufanya shambulio la anga kwenye ghala la mafuta katika eneo la Urusi. Iwapo itathibitishwa...

READ MORE

Kinana Apita kwa Asilimia 100 Umakamu Mwenyekiti CCM Bara, Dodoma – Video

WAJUMBE wa mkutano mkuu maalumu wa CCM leo Ijumaa Aprili 1, 2022 wamemchagua Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha...

READ MORE

Mrema na Mkewe Waamsha Shangwe Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma, Rais Samia Atia Neno

WAKATI Rais Samia akiendelea kuhutubia Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ghafla shangwe ziliibuka kutoka kona zote za...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mabadiliko Madogo ya Baraza la Mawaziri

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan leo Machi 31, amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri...

READ MORE

Marubani ATCL Wazuia Ndege Kupata Ajali Angani

Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, imesema itawazawadia tuzo maalumu Rubani Suhad Soud Kassim na Ofisa Daraja la kwanza,...

READ MORE

Denti Aliyetumbua ‘Boom’ Afungwa Jela Miaka Mitano

MWANAMKE mmoja wa Afrika Kusini, Sibongile Mani ambaye alifanya matumizi makubwa baada ya kupokea kimakosa fedha za ufadhili wa masomo...

READ MORE

‘Mfalme Zumaridi’, Wenzake Wafikishwa Mahakamani, Waomba Dhamana

Diana Bundala maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake 83 leo wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza kwa...

READ MORE

Basi Lililoua 22 Moro Lilitengenezwa kwa Vifaa vya Ujenzi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yussuf Masauni amesema kuwa uchunguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi kuhusu basi...

READ MORE

CCM Yamsamehe Bernard Membe, Aomba Msamaha Mara Tatu

Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa imemsamehe na kumrudishia uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwanasiasa na Mwanadiplomsia...

READ MORE

Studio Za Expanse Kushiriki Maonesho Ya Ice Jijini London, 2022

Kampuni kinara wa kutengeneza michezo ya kubashiri, Expanse Studio, wataonesha michezo yao mipya na mpango wa maboresho kwenye maonesho ya...

READ MORE

Breaking: Mangula Ajiuzulu, Kinana Atangazwa Kumrithi -Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Philip Mangula leo Alhamisi Machi 31, 2022 amewasilisha katika Halmashauri Kuu...

READ MORE

CAG ni Nani, Ana Nguvu Gani?…Soma Hapa Kupata Majibu

MJADALA unaotikisha hivi sasa ni kuhusu kutolewa kwa ripoti ya CAG inayoelezwa kuwa imeainisha namba ambavyo fedha za umma “zimepigwa.”...

READ MORE

Mke na Mume Mbaroni kwa Tuhuma za Kumuua Mtoto Wao

Paskari Erinest (46) na mkewe Jeska Balitazali (39) wote wakazi wa Sengerema wanashikiliwa na Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza...

READ MORE

Ukraine: Putin Anapotoshwa na Washauri Wake Waoga Vita vya Ukraine

Rais wa Urusi Vladimir Putin anapotoshwa na washauri ambao wanaogopa sana kumwambia jinsi vita vya Ukraine vinavyoendelea vibaya, Ikulu ya...

READ MORE

Mazito Ripoti Ya CAG, Rais Samia Atoa Maagizo…Front Page-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

TBL Yakumbusha Kampuni za Kivumbuzi Kuongeza Fursa za Maendeleo

    KAMPUNI ya vinywaji  ya TBL inayomilikiwa na kampuni ya AB Inbev imeendelea na jitihada  za kutafuta suluhu za ...

READ MORE

Mbowe Akutana na Raila Odinga Kenya

Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unakuwa wa haki, huru na wazi. Kipekee, amewasihi...

READ MORE

DRC Mwanachama Mpya EAC

Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wameridhia nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuwa mwanachama wa...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti Mpya, CAG Asema Deni la Taifa Limepanda Tsh. 7.76 Trilioni

Deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.76 trilioni mwaka uliopita hadi kufikia Sh64.52 trilioni kufikia Juni 30, 2021. Hayo yamesemwa...

READ MORE

Rais Samia Amuwashia Moto Waziri Bashungwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka...

READ MORE

Taasisi za Umma 19 Zapata Hati Zenye Mashaka – Video

TAASISI 19 za umma kati ya taasisi 999 zilizofanyiwa ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) katika...

READ MORE

Kinana Atajwa ‘Kurudi CCM’ Adhabu 3 Zamsubiri Wankyo-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

DRC Mwanachama Mpya Jumuiya ya Afrika Mashariki

Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki (EAC) leo Mach 29, 2022 wameidhinisha rasmi ombi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...

READ MORE

Urusi kupunguza Mashambulizi Kyiv na Chernihiv

Naibu waziri wa ulinzi wa Urusi Alexander Fomin anasema Urusi  itapunguza kwa kiasi kikubwa shughuli za kijeshi nje ya Kyiv...

READ MORE

Benki Kuu ya Ethiopia, Safaricom Ethiopia Wajifunza Namna Huduma za M-Pesa Zinavyofanyakazi

  Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Sitholizwe Mdlalose akizungumza na maofisa kutoka benki kuu ya Ethiopia (National Bank of...

READ MORE

IGP Sirro Afanya Mabadiliko ya Makamanda wa Polisi – Video

Kamanda wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Simon Sirro, amefanya uhamisho na mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi huku...

READ MORE

RPC Aliyekitaka Kiti cha Sirro Aondolewa Kupisha Uchunguzi

Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro amefanya mabadiliko ya Ma RPC akiwamo Wankyo Nyigesa kutoka Kagera kwenda Makao Makuu....

READ MORE

Ukraine Yagoma Kusalimu Amri Kwa Urusi

Mshauri mkuu wa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema Ukraine haipo tayari kusalimisha eneo lake lote kwa Urusi kama nchi...

READ MORE

Watu 6 Wafariki Katika Ajali Tanga

Watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali iliyotokea leo asubuhi Machi 29, 2022 baada ya gari aina...

READ MORE