×

Habari

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

JIpatie nakala ya Gazeti la Spoti Xtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS...

READ MORE

Fahamu Mfumo wa Uagizaji Mafuta wa Pamoja Ulivyoepusha Bei Kupaa Zaidi

Licha ya taifa kupitia changamoto ya ongezeko la bei ya mafuta  ya petrol na dizeli inayotokana na ongezeko la bei...

READ MORE

Chuo Cha Ufundi Dodoma Kuanza Kudahili Wanafunzi 2023

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda (Mb) amesema Chuo cha Ufundi Dodoma kinachojengwa eneo la Nala Jijini...

READ MORE

Changamoto za Mashauri ya Mirathi Kupatiwa Ufumbuzi

  Uongozi wa Kituo Jumuishi cha Masuala ya Familia-Temeke kwa kushirikiana na Wadau wa Mahakama umeunda kikosi kazi maalum kwa...

READ MORE

Ufafanuzi Kuhusu Anuani za Makazi na Postikodi na Faida Zake

WIZARA ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imetoa ufafanuzi wa kina kuhusu zoezi linaloendelea la anuani za makazi na...

READ MORE

Fisi Tena Bariadi, Mtoto Mwingine Ashambuliwa na Kujeruhiwa Vibaya

Matukio ya Fisi kushambulia watoto na kuwajeruhi vibaya maeneo ya usoni na kichwani yamezidi kushamili katika mji wa Bariadi, ambapo...

READ MORE

Vodacom Tanzania Plc Yahamasisha Wasichana Kusoma Sayansi na Tehama

Mkurugenzi wa Dijitali na Huduma Vodacom Tanzania Plc, Nguvu Kamando (kushoto), Mkurugenzi wa Rasilimali watu Vodacom Tanzania Plc,  Vivienne Penessis...

READ MORE

Panya Road Wawakata Mapanga Watu 19 Mtongani, Kunduchi Dar es Salaam

VIJANA wanaodhaniwa kuwa ni ‘Panya Road’ wamewakata mapanga watu 19 katika mtaaa wa Mtongani, Kata ya Kunduchi mkoani Dar es...

READ MORE

Vodacom Watembelea Wateja Wao Mkoani Mbeya Kuangalia Shughuli za Masoko

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC Setholizwe Mdlalose (kushoto) akipokea maoni kutoka mteja wao,...

READ MORE

Jinsi Tanzania Ilivyoadhimisha Siku ya Usalama na Afya Duniani

Aprili 28 kila mwaka ni siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi Duniani ambapo Tanzania iliungana na mataifa mengine...

READ MORE

Jenga Maisha Bora Ya Watoto Kwa Kuwakatia Bima Kupitia Nmb

 Inaweza kulipwa kwa mwezi, miezi 4, miezi 6 au 12.  Kiwango cha chini cha akiba ni Tshs 7,500...

READ MORE

Spika wa Marekani Nancy Pelosi Akutana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Mjini Kyiv

Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani Nancy Pelosi amefanya ziara ya ghafla mjini Kyiv na kukutana na Rais wa...

READ MORE

Rais Samia Awahakikishia Wafanyakazi Nyongeza ya Mishahara Ipo (Picha +Video)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei, 2022 ameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi...

READ MORE

Fahamu Mkasa wa Mwanamuziki Harmonize Kukamatwa nchini Kenya, Kisa Kipo Hapa

STAA wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Konde Gang, Harmonize usiku wa kuamkia leo Mei 1, 2022  alikamatwa...

READ MORE

Sikukuu ya Wafanyakazi: Morocco Yaongeza Mshahara kwa 16%, Kenya 12%

Serikali ya Morocco imetangaza mipango ya kuongeza kima cha chini cha mishahara ya watumishi wa umma kwa 16% na kile...

READ MORE

Mei Mosi: Tucta Yapendekeza Kima cha Chini cha Mshahara Sekta Zote Kiwe Shilingi Milioni Moja

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta) limemkumbusha Rais Samia Suluhu Hassan ahadi yake ya kuboresha mishahara kwa wafanyakazi na...

READ MORE

MEI MOSI Mtaka awa Kivutio

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ndugu Anthony Mtaka leo amekuwa kivutio wakati alipoongoza Walimu katika maandamano ikiwa sehemu ya Maadhimisho...

READ MORE

Zijue Kufuru za Bilionea Elon Musk Aliyenunua Mtandao wa Twitter Kwa Pesa za Kufuru…

MIONGONI mwa habari zilizoshtua Dunia mapema wiki hii ni kuhusu mtu anayeitwa Elon Musk kuununua Mtandao wa Twitter kwa pesa...

READ MORE

GGML Yaibuka Mshindi Afya na Usalama Mahala pa Kazi

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeibuka mshindi wa jumla katika maonesho ya afya na usalama mahala pa kazi...

READ MORE

Waziri Kijaji : Changamkieni Fursa za SELF MF

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Dr. Ashatu Kijaji amewataka wananchi wa mkoani Morogoro na watanzania wote kwa ujumla kuchangamkia...

READ MORE

Uamuzi wa Uber Kujitoa Tanzania, Madereva wa Tax Waibuka na Kuzungumza – Video

SIKU chache baada ya kampuni ya ubber kusitisha huduma zao nchini, baadhi ya madereva wa jiji la Dar es salaam,...

READ MORE

Gazeti la Championi Latoa zawadi za Tiketi kwa Mashabikiwa Simba/Yanga

Mashabiki wa Simba na Yanga wamiminika uwanja wa Benjamin Mkapa kushudia mechi Kali kati ya Simba na yanga katika mwendelezo...

READ MORE

Uzinduzi The Royal Tour Arusha… Wema Atamba “Tumerudi Enzi Zetu za Filamu”

  Wema Isaac Sepetu siku hizi wanamuita Last Born (Kitindamimba au Mziwanda) wa Taifa; ni miongoni mwa mastaa wa Bongo...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango Atoa Heshima za Mwisho Akiaga Mwili wa Mwai Kibaki

Rais Uhuru Kenyatta ameongoza maelfu ya Wakenya katika maombolezo ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Mwai Kibaki leo...

READ MORE

Mafuriko Yakata Mawasiliano Mufindi, Yakatisha Masomo kwa Wanafunzi

ZAIDI ya ekari 20 za mashamba yenye mazao mbali mbali katika kijiji cha Kitasengwa kata ya Makungu wilaya ya Mufindi...

READ MORE

Promota Semunyu: Selemani Kidunda Dhidi ya Tshimanga Katompa Rasmi Julai 30 Songea

  PROMOTA wa mapambano kutoka Kampuni ya Peak Time Media (PTM), Meja Seleman Semunyu ameweka wazi rasmi kuwa pambano la...

READ MORE

Picha: Shuguli ya Mazishi ya Kitaifa ya Rais wa Zamani wa Kenya Emilio Mwai Kibaki

MAZISHI ya kitaifa yanafanyika leo Ijumaa kwa ajili Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki aliyefariki wiki moja iliyopita akiwa...

READ MORE

Makombora Makali Yapiga Kyiv, Huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Akifanya Ziara Ukraine

MJI mkuu wa Ukraine  usiku wa kuamkia leo Aprili 29, 2022 umetikiswa na mashambulio makali yaliyofanywa na majeshi ya Urusi...

READ MORE

Itel Yawakumbuka Watoto Wenye Uhitaji Maalum, Yawasapoti Kimasomo

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel Tanzania leo Aprili 29 mwaka 2022 imerudisha fadhila kwa jamii kwa...

READ MORE

GGML Yalipa Billioni 4 kwa Halmashauri Mbili Geita

KATIKA kuunga mkono na kutimiza wajibu wake wa kulipa kodi na tozo mbalimbali kwa Serikali, Kampuni ya Geita Gold Mining...

READ MORE

Kata Bima ya Afya Kupitia Tawi Lolote la NMB

Katika kuhakikisha afya za Watanzania zinakuwa salama na bora, Benki ya NMB imeshirikiana na kampuni ya bima ya Jubilee kukuleta...

READ MORE

Exim Yafuturisha Wateja Wake Dar

               

READ MORE

SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 7

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: Nikiwa bado palepale mafichoni, usingizi ukikizonga kichwa changu kutokana na ukweli kwamba sikuwa nimelala...

READ MORE

Ajali Yaua Wanne Geita, Askari Polisi Wawili na Mahabusu Wawili Katika Kijiji cha Ibanda

Watu wanne wakiwemo askari polisi wawili na mahabusu wawili waliokuwa wakituhumiwa kwa makosa ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi pamoja...

READ MORE

Mapokezi ya Rais Samia Katika Uwanja wa Ndege wa KIA Akitokea Marekani Leo (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 28, 2022 amewasili katika uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Rais Samia: Meya wa Dallas Kuanzisha Safari za Ndege Kutoka Marekani Mpaka Tanzania -Video

Rais Samia leo Aprili 28, 2022 akiwa Uwanja wa Ndege wa KIA akitokea Marekani amesema Meya wa Jiji la Dallas...

READ MORE

Rais Putin: Wanaoingilia Masuala ya Ukraine Watakabiliwa na Jibu la Haraka – Video

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameonya kuwa nchi zozote zinazoingilia Ukraine zitakabiliwa na jibu la haraka. “Ikiwa mtu kutoka nje...

READ MORE

Benki ya NMB yakusanya Bil. 74.3 kupitia Hati Fungani ya ‘NMB Jasiri’

Benki ya NMB imefunga mauzo ya Hati Fungani ya Jasiri (NMB Jasiri Bond) kwa mafanikio makubwa Iliyoweka rekodi ya makusanyo...

READ MORE

Maharage ya JESCA Mwarobaini wa Tatizo la Nguvu za Kiume nchini Tanzania

KUTOKANA na kuwa na ongezeko kubwa la wanaume wenye upungufu wa nguvu za kiume tafiti zimeonesha kuwa kuna aina ya...

READ MORE

Mama Amchoma na Maji ya Moto Mwanae, Kisa Tambi Mkoa wa Simiyu, Polisi Wafunguka

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linamshikilia mama mmoja anayefahamika kwa jina la Mwamba Thomas (37) Msukuma kwa tuhuma za...

READ MORE