×

Habari

RC Kafulila Atoa siku 7 Mkataba na Mkandarasi Didia Co. Ltd Uvunjwe

MKUU wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila ametoa muda wa siku saba kwa wakala wa Barabara mjini na vijijini (Tarula)...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Atia Saini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa UAE

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,  ametia saini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Barabara ya Nyahua – Chaya, Tabora Yenye Urefu wa KM 85.4 (Picha +Video)

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya Sita inaendelea kukamilisha miradi yote ya maendeleo iliyoanza wakati...

READ MORE

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma Ahimiza Wadau Kusoma Hukumu za Mahakama

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza Wadau wa mnyororo wa utoaji haki nchini kusoma hukumu...

READ MORE

Spika Tulia Ataka Mashangingi ya Serikali Yazimwe Kuokoa Fedha za Umma – Video

  SPIKA wa Bunge Dk Tulia Ackson ametaka serikali kuwaelekeza madereva wa viongozi wakiwemo mawaziri kuzima magari na kushuka mara...

READ MORE

Binti Ampeleka Baba Mkwe Mahakamani Kwa kumzuia Kuolewa na Mpenzi Wake

Halima Yunusa amempeleka baba mkwe katika Mahakama ya Kiislamu Islamic (Sharia Court) katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria kwa madai...

READ MORE

RC Makalla: Serikali ya Rais Samia Imedhamilia Kuweka Mazingira Bora ya Wafanyabiashara

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ameitisha kikao kazi na Jumuiya ya Wafanyabiashara na...

READ MORE

Mariupol: Mamia ya Wanajeshi wa Ukraine Waliozingirwa na Urusi Waokolewa

UKRAINE imethibitisha kwamba mamia ya wapiganaji wake waliokuwa wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili katika mji wa shughuli za viwanda...

READ MORE

Benki ya NMB Yashiriki na Kudhamini Wiki ya Ubunifu Dodoma

Waziri wa Elimu, Sayansi  na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ameishukuru Benki ya NMB kwa kushiriki na kudhamini maonesho  ya Kitaifa...

READ MORE

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar Kuendeleza Ushirikiano na Zantel

    SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimesema zitaendelea kushirikiana kwa ukaribu...

READ MORE

Mahakama: Yaamuru Mdee na Wenzake Bado ni Wabunge

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeridhia wabunge 19 wa Viti Maalum ambao wamevuliwa uanachama na Chadema kuendelea na...

READ MORE

Harmonize: Usikubali Mtu Akukatishe Tamaa, Pambania Ndoto Zako

HARMONIZE au Teacher Konde; ni staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania ambaye anasema kuwa wakati anahaso kutoka kimuziki alikatishwa tamaa...

READ MORE

SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 19

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: Baada ya ‘shopping’ ya nguo kadhaa na viatu, nilimalizia na simu, kwa mara ya...

READ MORE

Rais Samia Atoa Milioni 10 Kila Mkoa Kuendesha Ofisi za Machinga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amepiga simu live katika Kongamano la Mafunzo ya Uongozi na...

READ MORE

Spika Tulia Awakingia Kifua Wabunge 19 waliovuliwa Uanachama na CHADEMA

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson amewakingia kifua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka Chama Cha...

READ MORE

Sweden Mbioni Kujiunga na Umoja wa NATO Licha ya Onyo Kali Kutoka Urusi

SWEDEN imethibitisha kuwa itawasilisha maombi ya kuwa mwanachama wa NATO katika mabadiliko makubwa ya kihistoria kutokana na uvamizi wa Urusi...

READ MORE

Mchechu Adai JPM Hakumng’oa NHC, Ataka Fidia ya Bilioni 3

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu ameiomba Mahakama iamuru Gazeti la The Citizen kumlipa fidia...

READ MORE

Moses Phiri Aaga Rasmi Kwao Zambia, Awindwa na Simba na Yanga

  MSHAMBULIAJI wa Zanaco FC ya nchini Zambia, Moses Phiri, rasmi ameaga ndani ya timu hiyo mara baada ya kumalizika...

READ MORE

Finland Yathibitisha Ombi la Kujiunga na Nato Licha ya Onyo la Vladimir Putin

Finland imethibitisha kwamba itaomba uanachama wa Nato, licha ya onyo kutoka kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin kwamba kuacha kutoegemea...

READ MORE

Rais Ukraine Akiri ‘Hali Tete’ Kuwanusuru Askari Wake Waliozingirwa na Urusi Mariupol

  Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amethibitisha kuwepo kwa ugumu wa mazungumzo ya namna ya kuwaondoa askari majeruhi katika eneo...

READ MORE

Waziri Mkenda: Serikali Kuwekeza Zaidi Kwenye Elimu na Utafiti wa Tiba

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Afolf Mkenda amesema kuwa serikali imedhamiria kuwekeza zaidi kwenye elimu ya...

READ MORE

Solid Ground Family: Maisha Yalikuwa na Changamoto, Tukashindwa Kuendelea

  ZAMANI Bongo Fleva ilitawaliwa na makundi mengi mno. Pengine ni kutokana na wasanii hao kutokuwa na uwezo wa kipesa...

READ MORE

Rais Samia Aridhia Nyongeza ya Mshahara, Aongeza kwa Asilimia 23.3

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Haasan ameridhia mapendekezo ya nyongeza ya mshahara ikiwemo kima cha chini...

READ MORE

Ahukumiwa Jela Miaka Mitano kwa Kuvunja Nyumba na Kuiba Debe la Maharage

  MAHAKAMA ya mwanzo ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe imemhukumu Ombeni Ngwa’vi (25) kifungo cha miaka mitatu...

READ MORE

Waziri Wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Akagua Mradi wa Bagamoyo Sugar

  Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ametembelea mradi wa Kimkakati wa kilimo cha Miwa na uzalishaji...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Rais wa UAE

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suuhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Umoja wa Falme za Kiarabu...

READ MORE

Rais Samia: Mtetezi Pekee wa Haki za Binadamu Tanzania ni Katiba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo amehudhuria hafla maalum ya maadhimisho ya miaka 10 ya...

READ MORE

Video: Mazishi ya Mwandishi wa Kituo cha Al Jazeera, Shireen Abu Akleh, Jerusalem

 Mwandishi habari mashuhuri wa kituo cha televisheni cha Al Jazeera, Shireen Abu Akleh, anazikwa leo katika makaburi yaliyoko karibu...

READ MORE

John Mnyika: Barua ya Baraza Kuu ya Kutupilia Mbali Rufaa za Wakina Mdee Imeshafika kwa Spika

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika kupitia ukurasa wake wa Twitter ameeleza kuwa hadi kufikia...

READ MORE

Urusi: Tutachukua Hatua za Kulipiza Kisasi Ikiwa Finland Itajiunga na NATO

Urusi imesema italazimika kuchukua hatua za kulipiza kisasi kutokana na hatua ya jirani yake Finland kujiunga na Nato. Taarifa ya...

READ MORE

Vodacom Yazindua Huduma ya Bima ya Afya Kupitia Mfumo wa M-Pesa

    13 Mei 2022, Vodacom Tanzania Plc, kampuni inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano, nchini leo imetangaza ushirikiano...

READ MORE

Tigo na Benki ya Azania Waja Huduma Mikopo ya Jibustishe Kwa Wateja Wao

    KAMPUNI ya mtandao wa siku za mkononi ya Tigo kwa kushirikiana na Benki ya Azania wamezindua huduma ya...

READ MORE

Mradi wa “OCP SCHOOL LAB” wazinduliwa Songea

Takribani wakulima 60,000 kutoka kaskazini, kusini na magharibi mwa Tanzania kunufaika na mradi wa upimaji wa udongo na mafunzo ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Agizo Kwa Wanafunzi Waliorudishwa Nchini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanafunzi waliokuwa wanasoma katika vyuo mbalimbali nje ya nchi ambao walirudishwa nchini kufuatia kuzuka kwa janga...

READ MORE

Ubalozi wa Palestina Nchini Tanzania Watoa Tamko Kufuatia Mauaji ya Mwandishi wa Habari

UBALOZI wa Palestina nchini Tanzania umetoa tamko la kulaani kitendo cha mauaji ya mwandishi wa habari Shireen AbuAqla kilichotekelezwa na...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Rai kwa Wasomi Waliorudi Nchini Kuripoti TCU

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasisitiza Wanafunzi waliorudi nchini kutoka masomoni nje ya nchi kutokana na vita vya Urusi na...

READ MORE

Sabrina: Sportpesa Tumejitahidi Kukabiliana na Changamoto Mbalimbali

SABRINA Msuya Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Sportpesa ametembelea studio zetu za Global Radio na Global TV na...

READ MORE

Ndege Ndogo ya Abiria Yaanguka Karibu na Mji Mkuu wa Cameroon ilibeba Watu 11

Ndege ndogo ya abiria iliyokuwa imebeba watu 11 imenguka katika msitu karibu na mji mkuu wa Cameroon, Yaoundé, siku ya...

READ MORE

Masoko Mapya Meridianbet, Uhakika Nafasi Kubwa Zaidi ya Ushindi Kutoka Meridianbet

Wikiendi yako inaenda kuwa namna gani? Naamini umeshandaa majamvi yako ya faida, na ninakukumbusha mitanange muhimu inayoweza kukupa pesa wiki...

READ MORE

Video: Kauli ya Halima Mdee Baada ya Kutimuliwa Rasmi Chadema – “Mbowe Anajua ni Uhuni”

Mbunge Halima Mdee kwa niaba ya wenzake 18 ameelezea kutokubaliana na uamuzi wa Baraza Kuu la CHADEMA chini ya Mwenyekiti...

READ MORE