×

Habari

Basata Yamzuia Steve Kuwa Msemaji wa Shirikisho la Wasanii

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa maelekezo kwamba Steve Mengele aliyeteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Wasanii asianze kufanya kazi...

READ MORE

Uwajibikaji wa Nmb Kwa Jamii Wagusa Wengi Mikoa Hii..

  Moja ya sababu kubwa ya kuifanya Benki ya NMB kuendelea kuwa benki kubwa na kinara katika utoaji wa huduma...

READ MORE

Katibu Mkuu Wa Kwanza Mwanamke Marekani Afariki Dunia

MADELEINE Albright ambaye ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa wa katibu mkuu kiongozi wa Marekani, amefariki dunia leo Jumatano,...

READ MORE

Rais Samia awapa miezi 3 Bure Magomeni

Wananchi waliokabidhiwa nyumba Magomeni Kota wamepewa miezi mitatu ya kupumzika kuchangia uendeshaji nyumba huku Rais akiwataka wakazi hao kutunza nyumba...

READ MORE

Neema amkana Mzee Mrema “Sina Mpango wa Kuolewa”

Mwanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Neema Swai anayedaiwa kuolewa na Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Mzee Lyatonga...

READ MORE

Rais Samia Awaokoa Wananchi Waliokuwa Wakisafiri KM160 Kwenda Hospitali

Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe ni miongoni mwa halmashauri zilizopokea fedha kiasi cha shilingi milioni 250 kwa ajili...

READ MORE

Tanzania Kutoa Vibali vya Kuwinda Simba na Tembo

Tanzania inatenga vitalu vya kuwinda wanyamapori kwa njia ya mnada ili kuongeza mapato zaidi, ambapo inalenga kukusanya TZS bilioni 69.6...

READ MORE

Breaking: Abdul Nondo Afutiwa Kesi

MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, Divisheni ya Iringa, imeifuta rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kupinga uamuzi wa Mahakama...

READ MORE

Siku 365 Za Rais Samia Zaweka Alama ya Mafanikio Sekta Masoko ya Mitaji

  Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya...

READ MORE

Chico Aongezewa Majukumu Yanga

LICHA ya Chico Ushindi kutoonesha kiwango kizuri hadi hivi sasa, lakini Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amempa kiungo...

READ MORE

Urusi Yatishia Kutumia Silaha Za Nyuklia

MSEMAJI  wa Ikulu ya Kremlin ya Urusi, Dmitry Peskov amesema Urusi itatumia silaha za nyuklia endapo uwepo wa taifa hilo...

READ MORE

Airtel, Axieva Washirikiana na Kampuni ya Bima ya Alliance Kuzindua Bima Kidigitali

    Dar es Salaam, Tanzania – Jumatano 23 Marchi, 2022: Wateja wa Airtel kwa sasa wanaweza kununua bima ya gari...

READ MORE

Makonda Azingirwa Takukuru, Polisi Wazua Balaa Lingine-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Kishindo Fainali NMB MastaBata, Mil. 90/- Kwa Washindi 30.

MIEZI mitatu ya Kampeni ya ‘NMB MastaBata – Kivyako Vyako,’ iliyoendeshwa na Benki ya NMB,imefikia tamati leo kwa wateja 30...

READ MORE

Biden Adai Urusi Inakusudia Kutumia Silaha za Kemikali

Jeshi la Ukraine limeonya hii leo juu ya mashambulizi zaidi ya makombora ya Urusi dhidi ya miundombinu muhimu wakati rais...

READ MORE

Mtoto Adaiwa Kulawiti Wenzake 19

Kesi nane za ukatili wa kingono kati ya 19 zinazohusu watoto waliodhalilishwa na mtoto mwenzao mwenye umri wa miaka 14...

READ MORE

Usafi Wa Mazingira Ni Jukumu La Kila Mwanajamii, Meridianbet Ni Balozi Wa Hiali

Katika kuendeleza utamaduni wa kuishirikisha jamii inayotuzunguka, Meridianbet kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Vodacom Yaadhimisha Siku ya Maji Duniani

      Dar es Salaam, 22 March, 2022 Vodacom Tanzania Plc. Kampuni inayoongoza ya huduma za teknolojia na mawasiliano...

READ MORE

Watumiaji wa Airtel Money Wajizolea Milioni Kila Mmoja, Wengine 100 Waondoka na Laki Kila Mmoja

    KAMPUNI ya Mtandao wa Simu ya Airtel kupitia ambayo inaendelea na promosheni yake ya Tesa Kimilionea ambapo wateja...

READ MORE

Mzee Mrema kuoa kabinti kabichi

Mwenyekiti wa TLP Taifa, Augustino Mrema ametangaza kufunga ndoa siku ya Alhamisi Machi 24, 2022 katika Parokia ya Uwomboni kijijini...

READ MORE

Wawili Wafariki Moro Kwa Ajali

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya gari la abiria aina ya Toyota Coaster kuligonga kwa nyuma...

READ MORE

Mondi: Video 10 kwa mpigo

NASIBU Abdul almaarufu Diamond Platnumz au Simba, ametangaza rasmi maangamizi ya kuonesha wasanii wa Afrika Mashariki wamepania kufanya vizuri mno...

READ MORE

Serikali Itaendelea Kuboresha Sekta ya Uwekezaji: Waziri Makamba

Serikali imesema itaendelea kushirikiana kampuni ya usambazaji mafuta ya Total Energies ili kuboresha sekta hiyo ya mafuta hapa nchini. Akizungumza...

READ MORE

Zaipuna: Mwaka Mmoja wa Rais Samia Umeleta Mafanikio Makubwa

Mwaka mmoja wa utawala wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, umekuwa ni mfano mzuri...

READ MORE

Putin Hana Lengo Tena la Kukamata Kyiv – Live Updates

 Jarida la Wall Street Journal, likiwanukuu maafisa wakuu wa Marekani ambao hawakutajwa majina, linasimulia kuhusu kubadilisha mbinu za uvamizi...

READ MORE

Video: Mbowe, Aeleza Mambo 4 Aliyoteta Na Rais Samia ..Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini....

READ MORE

Ukraine Yadai Kumuua Kamanda Mwingine Wa Urusi

Ukraine imedai leo kuwa vikosi vyake vimemuua kwa kumpiga risasi Kamanda wa Jeshi la Maji wa Urusi, Andrey Paliy mwenye...

READ MORE

Urusi Yadai Kuwauwa Wanajeshi 100 wa Ukraine Schytomyr

Shambulio la Urusi katika kituo cha mafunzo cha karibu na mji wa kati wa Ukraine wa Schytomyr linadaiwa kuwaua wanajeshi...

READ MORE

Breaking: Spika wa Bunge la Uganda Amefariki

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza kifo cha Spika wa Bunge la Uganda, Jacob Oulanyah leo Jumapili “Alikuwa Kada mzuri...

READ MORE

Makombora Ya Urusi Yaipiga Shule Walikohifadhiwa Watu 400

Makombora ya Urusi usiku wa Jumamosi yameipiga shule ya sanaa katika Mji wa Mariupol na kusababisha madhara makubwa ambapo watu...

READ MORE

Watumishi wa Umma Wahimizwa Kufanya Kazi Kwa Weledi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akizungumza wakati wa...

READ MORE

Wanajeshi Wanne Wa Marekani Wafariki Kwenye Ajali Ya Ndege

Ndege ya Kivita ya Marekani imeanguka na kuua watu wanne huko Kusini mwa Norway kwenye jimbo la Nordland katika mazoezi...

READ MORE

Maelfu ya Wananchi Waandamana Kuiunga Mkono Urusi

ZAIDI ya wananchi 10,000 wa Serbia, wameingia mitaani na kuandamana katika Jiji la Belgrade kuelekea katika ubalozi wa Urusi nchini...

READ MORE

Kocha Azam Aapa Kutibua Ubingwa Yanga

BAADA ya Jumatano kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Namungo, Kocha Mkuu wa Azam, Abdul Hamid Moallin,...

READ MORE

Rais wa Urusi Asherehekea Ushindi wa Crimea

Rais wa Urusi, Vladimir Putin ameshiriki katika mashindano ya mbio za magari ambayo yamefanyika katika uwanja wa Luzhniki ulioandaa mashindano...

READ MORE

Ajali Yaua 22 Morogoro, Rais Samia Awalilia -(Picha +Video)

WATU 22 wamefariki dunia huku zaidi ya 30 wakijeruhiwa katika ajali ya barabarani ikihusisha basi lenye namba za usajili T...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Samia Qatar, Jordan

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameondoka nchini kwenda Qatar na Jordan kwa ziara ya kikazi Akiwa huko, Waziri Mkuu atamwakilisha Rais...

READ MORE

Muhimbili Kuanzisha Benki ya Maziwa

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, inatarajia kuanzisha benki ya maziwa ya binadamu. Akizungumza leo Ijumaa Machi 18, wakati wa ziara ya...

READ MORE