×

Habari

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aridhishwa na Ujenzi wa Daraja la JPM, Mwanza

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameridhishwa na ujenzi wa daraja la JPM linalounganisha Wilaya ya Sengerema na Misungwi mkoani Mwanza ambapo...

READ MORE

Makamu wa Rais Dk, Mpango Ahudhuria Mazishi ya Askofu Katale

  MAKAMU WA RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo tarehe 07 Mei 2022 amemuwakilisha Rais...

READ MORE

Bandari ya DSM Kuweka Rekodi Nyingine Jumatatu Hii

MELI kubwa ya shehena ya magari inatarajia kuwasili kwenye bandari ya Dar es Salaam. Meli hiyo kutoka Japan na Singapore itawasili...

READ MORE

Jennifer Mgendi: Maumivu Ya Kufiwa na Mume Hayabebeki

JENNIFER MGENDI; ni Staa mkubwa wa Muziki wa Gospel nchini Tanzania na mwigizaji mkali wa Bongo Movies ambaye amekumbusha mashabiki...

READ MORE

Makamu wa Rais Awasili Kigoma Kuhudhuria Msiba ya Askofu Katale

MAKAMU WA RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk, Philip Mpango amewasili mkoani Kigoma kwa ajili ya kuhudhuria msiba...

READ MORE

Convoy Protection Jammer, Gari Lenye Uwezo wa Kukata Mawasiliano Kwenye Msafara wa Rais

KAMA wewe ni mfuatiliaji wa mambo, utakuwa umewahi kuyaona magari fulani hivi meusi, yenye machumachuma na vitu kama antenna kwa...

READ MORE

Majaliwa Aagiza Uhamiaji Kuzuia Paspoti za Wafanyakazi Kampuni ya Gas Entec

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza kuzishikilia paspoti za wafanyakazi wa Kampuni ya Gas Entec...

READ MORE

SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO) – 14

  MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: “Unamuona legelege huyu! Ohoo, muangalie hivyohivyo,” alisema Bonta ambaye alikuwa akizunguka huku na...

READ MORE

Zitto Autaka Urais, Agusia Uwezekano wa Vyama vya Upinzani Kuungana

KIONGOZI wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe ameweka bayana kuwa anatamani kuwa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Benki ya Equity Yawakumbuka Yatima kwa Chakula na Mahitaji Muhimu Jijini Dar

    BENKI ya Equity Tanzania Katika muendelezo wa kuhakikisha wapo karibu na jamii mapema leo walipata  fursa ya kutembelea...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Aagiza Fedha za Miradi ya Afya Zitumike kwa Umakini

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza rasilimali zote zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya afya zitumike kwa uangalifu na...

READ MORE

Rais Samia Amteua Hassan Omani Kitenge Kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira

Rais wa Tanzania Samia amemteua Hassan Omani Kitenge kuwa katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa umma Kabla ya...

READ MORE

Breaking: Mahakama Kuu Arusha Yamuachia huru Sabaya na Wenzake Wawili

  MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha leo Mei 6, 2022 imemuachia huru aliyekuwa DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya...

READ MORE

Kafulila Afyeka Viongozi 335 Amcos, Maofisa Ushirika Wang’olewa

MKUU wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila amevunja bodi zote za viongozi wa Vyama vya msingi vya Ushirika 335 vilivyopo...

READ MORE

Simba Waanza Mipango ya Kumrejesha Shiza Kichuya Kikosini, Bosi Afunguka

SIMBA SC ipo katika mipango ya kumrejesha kikosini kwao kiungo mshambuliaji, Shiza Kichuya ambaye hivi sasa anakipiga Namungo FC.  ...

READ MORE

Rais Joe Biden Amteua Karine Jean-Pierre kuwa Msemaji wa Ikulu ya White House

Rais wa Marekani Joe Biden amemteua Karine Jean-Pierre kuwa Msemaji wa Ikulu ya White House na kumfanya kuwa mtu wa...

READ MORE

Putin Aomba Radhi kwa Matamshi ya Lavrov Kwamba Hitler Alikuwa Myahudi

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameomba msamaha baada ya waziri wake wa mambo ya nje kusema kuwa kiongozi wa Nazi...

READ MORE

Ujasusi wa Marekani Unaisaidia Ukraine Kuwauwa Maafisa wa Ngazi ya Juu wa Urusi – NY Times

Marekani imevipatia vikosi vya Ukraine ujasusi ambao umewasaidia kuwalenga na kuwauwa majenerali wa Urusi katika Ukraine, kulingana na ripoti kutoka...

READ MORE

Makamu wa Rais Akutana na Kufanya Mazungumzo na Humphrey Polepole

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi anayekwenda kuiwakilisha...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Juma Duni Haji

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Juma...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola

RAIS Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola Patricia Scotland Ikulu Tunguu Zanzibar, ambapo...

READ MORE

Video: Mpwa wa Hayati Magufuli, Furaha Dominick Avunja Ukimya, Amtaja Rais Samia

 KATIKA kipindi cha ‘HOJA kwa HOJA’ leo Mei 05, 2022 tumefanya mahojiano na kijana Furaha Dominick ambaye ni mtoto...

READ MORE

Mahakama Yamkuta na Kesi ya Kujibu Mwijaku Katika Shtaka la Kusambaza Picha za Utupu

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu Mtangazaji wa Clouds FM, Mwemba Burton maarufu kwa jina la...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Inatafuta Njia Mbadala za Kupunguza Gharama za Maisha

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala ambazo zitapunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda...

READ MORE

Ziro Malaria Inaanza na Mimi, Nachukua Hatua Kuitokomeza

#ZIROMALARIA: Unaambiwa mbu anayeeneza Malaria hamuogopi baunsa wala mtu yeyote! Usipofuata maelekezo ya jinsi ya kujikinga na Malaria lazima utaambukizwa....

READ MORE

Coca Cola Yalileta Kombe la Dunia Tanzania

Ikiwa ni kwa mara nyingine tena mfululizo Tanzania imefanikiwa kuwa miongoni mwa nchi tisa za Afrika ambazo kombe halisi la...

READ MORE

Live: Wabunge Wanaibana Serikali Maswali, Bunge la 12, Mkutano wa Saba, Kikao cha Kumi Na Sita…

 Bunge la 12 linaendelea leo Mei 5, 2022 ambapo linaanza na kipindi cha maswali na majibu. Wabunge wanaibana Serikali...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Pole Kifo cha Askofu Charles Katale wa Kanisa la Moravian -Video

 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameelezea kupokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha...

READ MORE

Sanlam and Allianz Join Forces to Create African Insurance Giant

    CAPE TOWN/Munich, May 04, 2022. Sanlam, the largest non-banking financial services company in Africa, and Allianz, one of...

READ MORE

Tigo Wafanya Kongamano na Vyombo vya Habari Kuelezea Mipango ya Kukuza Mawasiliano

    DAR ES SALAAM. Tarehe 5 Mei, 2022. Kampuni inayoongoza kwa utoaji wa huduma za  kidijitali nchini Tanzania, Tigo,...

READ MORE

Twitter Kuanza Kuwatoza Ada Wafanyabiashara na Serikali, Musk Atoa Tamko Jipya

Wafanyabiashara na Serikali wanaotumia mtandao wa Twitter huenda wakahitajika kulipa ada kidogo ili kusalia kwenye mtandao huo wa kijamii, mkuu...

READ MORE

Putin Atoa Wito kwa Mataifa ya Magharibi Kumshinikiza Zelensky Kusitisha Vita

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema nchi za Magharibi zinaweza kusaidia kusitisha vita kwa kuweka shinikizo zaidi kwa Rais wa...

READ MORE

Tigo Owners Hold Media Forum to Outline Future Plans to Fuel Telecommunications Growth

    DAR ES SALAAM.  5th May, 2022. Tanzania’s leading digital lifestyle company, Tigo, has today held a media forum...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta, Dizeli Yaweka Historia Mpya Tsh 3,258 na Petroli Tsh 3,148

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa...

READ MORE

Ushindi Mubashara Na Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet! Nyumba Yenye Odds Bora

Mchezo wa Blackjack Live        Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet inakuletea mchezo bomba wa Blackjack Live unaopatikana mubashara ukiwa umetengenezwa na...

READ MORE

Absa Bank Yadhamini Dar City Marathon

  BENKI ya Absa Tanzania imeungana na wadau wengine katika kudhamini mbio za pili za Dar City Marathon zinazotarajiwa kufanyika...

READ MORE

Watu 5 Wapoteza Maisha kwa Kufukiwa na Kifusi cha Udongo Songwe.

WATU 5 katika familia mbili tofauti wamepoteza maisha kwa kufukiwa na kifusi cha udongo kilichoporomoka kutokana na mvua zilizonyesha usiku...

READ MORE

Papa Francis Kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin Kujadili Kuhusu Vita Nchini Ukraine

Papa Francis anasema amejitolea kusafiri hadi Moscow kukutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin ili kujadili kuhusu vita nchini Ukraine,...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Swala Ya Eid Katika Msikiti wa Mfalme, Muhammad wa Sita wa Morocco, Dar

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 3, 2022 ameshiriki Swala ya Eid El Fitri pamoja na Waumini wengine wa dini...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Swala Ya Eid El Fitri Katika Msikiti Mkuu Wa Bakwata Kinondoni Dar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 3, 2022 ameshiriki  Swala ya Eid El...

READ MORE