×

Habari

Watendaji Kituo Cha Uokozi  Mwanza Watakiwa  Kutoa Huduma Za Dharura Kwa  Saa  24

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa maagizo kwa watendaji wa Kituo cha Kuratibu Utafutaji na Uokozi cha Kikanda – Mwanza,...

READ MORE

Nshala: Zuio la Mahakama Dhidi ya CHADEMA Limekoma Kisheria Desemba 10

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa rasmi kwa umma kikieleza kuwa amri ya zuio la Mahakama Kuu iliyokuwa...

READ MORE

Mahafali Ya Code Like A Girl Yafanyika Dar-es-Salaam 

Mtaalamu wa Mafunzo na Vijana wa Vodacom Tanzania Plc, Bw Samwel Komba (wa pili kushoto), akimkabidhi cheti Mwanafunzi Anneth Sianga,...

READ MORE

Prof. Shemdoe Aridhishwa na Mpango Mkakati wa Ujenzi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, leo...

READ MORE

TB Ilitaka Kuyakatisha Maisha Yangu, Hivi Ndivyo Nilivyopona Ndani ya Siku Chache

Nilipoanza kuhisi maumivu makali ya kifua na kichefuchefu kila siku, sikujua kuwa ni ishara ya tatizo kubwa. Mara kwa mara...

READ MORE

Kikosi  Cha 12 Cha Ulinzi  Wa Amani Kutoka Tanzania  Nchini DRC Chatoa Msaada  Wa  Matibabu Kwa  Wananchi  Wa  Kata Ya Nzuma Beni  Maviv

Kikosi cha 12 cha Ulinzi Amani kutoka Tanzania chini ya mwamvuli  Monusco kimetoa huduma ya afya bure kwa wananchi wa...

READ MORE

Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet

Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu...

READ MORE

CHADEMA Yalalamikia Kufungiwa Namba ya Michango ya Brenda Rupia

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa namba ya simu ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama...

READ MORE

Yas na Mixx Zasherehekea Mwaka Mmoja Kama Mshirika wa Kidijitali na Kifedha kwa Watanzania

23 Januari 2026 | Dar es Salaam – Chapa za Yas na Mixx, leo zimesheherekea mwaka mmoja tangu zilipo jitambulisha...

READ MORE

Waziri wa Viwanda Aridhishwa na Viwango ALAF

Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Judith Kapinga amefanya ziara katika kiwanda cha ALAF Limited, kinachoongoza katika suluhisho mbalimbali za...

READ MORE

Kili International Marathon 2026 yazinduliwa Moshi kwa kishindo

Wakazi na wanariadha wilaya ya Moshi na mkoani Kilimanjaro kwa ujumla wana kila sababu ya kutabasamu kufuatia uzinduzi wa msimu...

READ MORE

Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aongoza Kampeni ya Utoaji Elimu na Uandikishaji Wanachama Soko la Mabibo

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii na kuandikisha...

READ MORE

Mkutano Wa Wazee Kuimarisha Haki Umoja Na Amani Kwa Watanzania Yatoka Na Maadhimio Haya

Wito umetolewa  kwa Watanzania Kuwajibika na kuwawajibisha wasiowajibika kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni ziongozazo.ili Kuweka maslahi ya Taifa...

READ MORE

Mali Zetu Zilikuwa Zinataka Kupigwa Mnada na Benki, Mwisho Tukaponea Kwenye Tundu la Sindano

Miaka michache iliyopita, mke wangu na mimi tulikabiliana na tatizo kubwa sana la kifedha. Deni la Sh. 3 Milioni lilikuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Asisitiza Huduma Zote za Serikali Kutolewa Dodoma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma karibu...

READ MORE

TAKUKURU Yawatafuta Alex Msama na Benny Mwita kwa Tuhuma za Uhujumu Uchumi – Video

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawatafuta Alex Msama Mwita na Benny Mwita Sammoh kwa tuhuma za uhujumu...

READ MORE

Israel Yaua Waandishi wa Habari Gaza – Video

Waandishi watatu wa habari wa Kipalestina wameuawa kufuatia shambulio la anga la Israel katikati mwa Ukanda wa Gaza, kwa mujibu...

READ MORE

TRA na Sudan Kusini Kuanzisha Ushirikiano Wa Pamoja Kudhibiti Mianya ya Ukwepaji Kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Mapato Sudan Kusini (SSRA) zinatarajia kuanzisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ya kodi...

READ MORE

Maelfu ya Wananchi Ikungi Mashariki Wakusanyika Kumpokea Kenani Kihongosi

Maelfu ya wananchi wa Ikungi Mashariki, hususan katika eneo la Puma, wamejitokeza kwa wingi leo kumpokea Katibu wa NEC Itikadi,...

READ MORE

Trump Afungua Njia ya Makubaliano Kuhusu Greenland

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa serikali yake inachunguza uwezekano wa kufikia makubaliano kuhusu Greenland, kufuatia mazungumzo aliyofanya na...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika Januari 21,...

READ MORE

Mbowe Atangaza Ratiba ya Mazishi ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei – Video

Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ametangaza rasmi ratiba ya mazishi ya muasisi wa chama...

READ MORE

Bobi Wine Aeleza Hatari Anayokabili Baada ya Uchaguzi Tata Uganda

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha kuwa kwa sasa yuko mafichoni akihofia usalama...

READ MORE

Victor Mhagama Aongoza Kura za Maoni CCM Jimbo la Peramiho

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea Vijijini, jana Januari 21, 2026 kiliendesha zoezi la upigaji wa kura za maoni...

READ MORE

Prof. Shemdoe; Tumetekeleza Vizuri Mkataba wa Lishe 2024/25

 Tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa mwaka wa fedha 2024/25 imeonesha mafanikio makubwa, ambapo rangi ya kijani imetawala...

READ MORE

Kaka Wa Lissu Msibani Kwa Mtei – Aeleza Alikwenda Kumuona Lissu Akanyimwa Faragha- Video

Wakili Alute Mughwai, kaka wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ni miongoni mwa waombolezaji waliofika...

READ MORE

Mitaa ya Italia Yakumbwa na Mafuriko Ghafla Kama ya Sunami – Video

  Watu nchini Italia walilazimika kukimbia kuokoa maisha yao baada ya mawimbi makubwa ya bahari yanayofanana na tsunami kuvamia mitaa...

READ MORE

Viongozi Chauma Wapata Ajali Ya Gari – Subaru Lagonga Prado, Magari 3 Yaharibika, Majeruhi 1 – Video

Viongozi wawili wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu na Moza Ally, wamepata ajali baada ya gari walilokuwa...

READ MORE

Mawazo Adaiwa Kumuua Mwenzake na Kupora Pikipiki – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mawazo Msangawale, Miaka 24, Mkazi wa Mlowo Wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe kwa...

READ MORE

CCM Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Kufungiwa kwa CHADEMA, Yakanusha Kuhusika

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizotolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mwalimu Nyerere...

READ MORE

Aziz Ki Aondoka Wydad AC, Ajiunga Al Ittihad ya Libya

Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya...

READ MORE

Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Asha-Rose Migiro, amesema Mabalozi wa Mashina ndiyo nguzo ya kukipambania Chama, kwa...

READ MORE

Waziri Wa Ulinzi Na Jeshi La Kujenga Taifa Atembelea Makao Makuu Ya Ulinzi Wa Taifa 

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mh. Rhimo Simeon Nyansaho, Leo  tarehe 20 amefanya ziara katika  Makao Makuu...

READ MORE

Macho Yote Ulaya Leo: Juventus, Liverpool na Barca Kupambana

Kupiga pesa ni rahisi sana ndani ya UEFA endapo utaamua kubashiri mechi zote hapa leo. Wakali wa ubashiri wanakwambia kuwa...

READ MORE

Putin Aalikwa Kujiunga na Bodi ya Amani ya Trump kwa Ajili ya Kuijenga Upya Gaza

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amealikwa kujiunga na Bodi ya Amani iliyoanzishwa na Rais wa Marekani, Donald Trump, kamati itakayokuwa...

READ MORE

Alimuacha Mpenzi Wake Na Kuolewa Na Tajiri, ANgalia Kilichokuja Kilichomtokea

Nilipokuwa nikipenda, nilihisi maisha yangu yamejaa mwanga na matumaini. Nilikuwa na mpenzi ambaye nilidhani atakuwa wangu milele, mtu ambaye aliniahidi...

READ MORE

Sekhukhune United Yatuma Maombi ya kumtaka Cesestine Ecue wa Yanga

Klabu ya Sekhukhune United ya Afrika Kusini imetuma rasmi maombi ya kumtaka winga wa Yanga SC, Cesestine Ecue, kwa mkopo...

READ MORE

Aviator ya Meridianbet Yapanua Ushindi kwa Zawadi ya Samsung A26

Meridianbet imeendelea kuthibitisha kuwa ubashiri wa kisasa hauhusiani tena na ushindi wa kifedha pekee. Kupitia kampeni maalum ya mchezo wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 21, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Waziri Makonda Afanya Mazungumzo na Rais wa FIFA Gianni Infantino Morocco

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani...

READ MORE