×

Habari

Al Ahly Wamchapa Ashour Faini Kubwa, Agoma kwenda Zanzibar

Klabu ya Al Ahly ya Misri imemtoza kiungo wao nyota, Emam Ashour, faini kubwa zaidi kuwahi kutolewa katika historia ya...

READ MORE

Serikali ya Kijeshi Burkina Faso Yafuta Vyama Vyote vya Siasa

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imefuta vyama vyote vya siasa na kubatilisha mfumo wa kisheria uliokuwa unasimamia uendeshaji wake,...

READ MORE

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na...

READ MORE

Usiyoyajua Kuhusu Toyota Land Cruiser Gx-R, Gr-S Na Zx (Lc300 Series)

Toyota Land Cruiser 300 (LC300) imekuwa gumzo barani Afrika tangu kuingia sokoni, ikiwa imebeba jina kubwa la uimara na uwezo...

READ MORE

CHADEMA Yatoa Tamko Upotoshaji Michango kwa Tundu Lissu

DAR-Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kumekuwepo taarifa za upotoshaji zinazosambazwa na watu wasiokitakia mema chama hicho zikiwahusisha viongozi...

READ MORE

Burudani Ya Kidijitali Samsung Electronics East Africa Imezindua Rasmi Galaxy Tab A11

Nchini Tanzania, hatua inayodhihirisha dhamira ya kampuni hiyo ya kuhakikisha teknolojia bunifu inawafikia watu wengi zaidi hususan familia, wanafunzi na...

READ MORE

Wanachama 11 wa Genge la Ulaghai la Ming Wanyongwa China

Serikali ya China imetekeleza adhabu ya kunyongwa ya wanachama 11 wa familia maarufu ya Ming, iliyokuwa ikiendesha mitandao mikubwa ya...

READ MORE

Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi,...

READ MORE

Rwanda Yaishtaki Uingereza kwa Kukiuka Mkataba wa Wahamiaji

Rwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya wahamiaji ambayo...

READ MORE

Nafasi ya Kuondoka na Mkwanja Ipo Meridianbet Leo

Leo ndio leo asemaye kesho muongo, hii ni kauli ya waswahili ambayo ina maana kuwa jambo ambalo linawezekana leo lifanyike...

READ MORE

Ishi Kidigitali Kwa Kupata Taarifa Muhimu Kiganjani Mwako kwa Kutumia Simu Yako

 📱✨ Maisha yamerahisishwa #Kidigitali! Kuwa mjanja kwa kuishi kijanja! 😎 Sasa pata habari zote kiganjani ukiwa na simu yako 📲 kuanzia...

READ MORE

Vinywaji na Vyakula Vinavyosababisha Vidonda vya Tumbo na Jinsi ya Kutibu

Vidonda vya tumbo ( kitaalam Peptic Ulcer) ni majeraha au vidonda vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa tumbo au sehemu...

READ MORE

Mke Wangu Aliondoka Bila Sababu, Mbinu Hii Ikamfanya Arudi Mwenyewe Kwangu

Nilihisi moyo wangu umevunjika. Aliondoka ghafla, bila kueleza sababu yoyote. Kila siku niliamka nikihisi huzuni na upweke. Nilijaribu kuwasiliana, kumwambia...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo January 28,2026 ameongoza Mkutano wa Kamati ya Katiba, Sheria na Bunge ya Baraza la...

READ MORE

Tishio la Vita kati ya Marekani na Iran Lazidi Kuongezeka Baada ya Onyo la Trump

Hatari ya kuzuka kwa vita kati ya Marekani na Iran inaonekana kuongezeka, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuonya...

READ MORE

Katambi Aanza Kazi Rasmi, Apongeza Jeshi la Polisi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Nchi ya Tanzania iko salama huku akigusia uimara wa Jeshi...

READ MORE

Sophia Aliyewekeza Mil 14 Akitarajia Kupata Mil 48 Afunguka Kesi ya Manguruwe

Hii ni updates kutoka mahakama ya hakimu mkazi kisutu inaelezwa kuwa Shahidi  ambaye ni Mkulima Sophia Watson (66) ameilezea jinsi...

READ MORE

Iran Yamjibu Trump: Hatuna Mazungumzo na Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wazi kuwa hajawasiliana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff...

READ MORE

Nilijikuta Nimepoteza Kazi Ghafla na Kila Njia ya Kutafuta Pesa Niliyojaribu, Ilishindikana

Nilipoteza kazi yangu ghafla. Hakukuwa na onyo, na hakuna kilichokuwa tayari. Kila njia niliyojaribu kupata pesa ili kuendesha maisha ilishindikana....

READ MORE

Mke Wa Rais Wa Zamani Wa Korea Kusini Ahukumiwa Miezi 20 Jela

Mke wa Rais wa zamani wa Korea Kusini, Kim Koen Hee, amehukumiwa kifungo cha miezi 20 jela kwa kupokea hongo...

READ MORE

Naibu Waziri Mkuu wa Maharashtra Afariki Dunia Katika Ajali ya Ndege

Naibu Waziri Mkuu wa jimbo la Maharashtra, India, Ajit Pawar, amefariki dunia kufuatia ajali ya ndege aliyokuwa akisafiria karibu na...

READ MORE

Wabunge Wathibitisha Wenyeviti Wapya wa Bunge

Leo, Januari 28, 2026, Bungeni Jijini Dodoma, wabunge wa Tanzania wamewathibitisha Cecilia Paresso, Najma Giga, na Deodatus Mwanyika kuwa Wenyeviti...

READ MORE

Morocco Yapokonywa Fursa ya Kuandaa Fainali ya Kombe la Dunia 2030

Morocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2030, kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa...

READ MORE

Airtel Yazindua Minara Mipya Mikoa Mitano

Airtel Yazindua Minara 5 Mpya ya Mawasiliano Tanga, Iringa, Ruvuma, Sumbawanga na Mwanza. Tanzania, 16 Januari 2026. Airtel Tanzania imezindua...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Yazindua Ripoti Ya Absa Ya Viashiria Vya Masoko Ya Fedha Afrika

Benki ya Absa Tanzania Tanzania imezindua rasmi ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika 2025 kwa Tanzania...

READ MORE

Dalili za Kiharusi cha Ubongo Kila Mtu Anapaswa Kuzijua

Ubongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu ambacho kinategemea usambazaji wa damu unaoendelea. Kutatizika kwa mtiririko wa damu kunaweza kukata oksijeni...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Haitavumilia Uzembe, Mageuzi ya Sera Kuendelea – Video

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kufanya mageuzi ya sera zinazogusa moja kwa moja maslahi na ustawi wa...

READ MORE

CCM Bukoba Mjini Yakabidhi Msaada kwa Watoto Yatima Kuelekea Miaka 49 ya Chama

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bukoba Mjini imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa vituo viwili...

READ MORE

Obama na Clinton Wataka Wamarekani Kusimama Kutetea Maadili ya Taifa

Marais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na Bill Clinton, wamewahimiza Wamarekani kusimama na kutetea kile walichokiita “maadili ya msingi...

READ MORE

Magari ya Huduma ya Nmb Yafikia 15 Yakichochea Ujumuishaji wa Kifedha

Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari nane ya Bank on Wheels (Matawi...

READ MORE

Meridianbet Na Yas Tanzania wakusogezea JIMIXX na Ushindi Bab Kubwaa

Kampuni inayoongoza ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeingia rasmi ushirikiano wa kipekee na kampuni ya mtandao wa simu wa Yas...

READ MORE

Faida ya Airtel Afrika Yazidi Kuongezeka

Airtel Africa imepata faida baada ya kodi ya Dola za Marekani 586 milioni kwa kipindi cha miezi tisa kilichoisha Desemba...

READ MORE

Mbunge wa Momba Aishinikiza Serikali Kupunguza Gharama za Intaneti – Video

Mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe kwa mara nyingine ameibua suala la gharama kubwa za mabando na intaneti, zinazosababisha ugumu...

READ MORE

ACT-Wazalendo Wapinga Maelezo ya Polisi Kuhusu Kifo cha Diwani Buhigwe

Utata umeibuka kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Nyamugali, Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe, Majaliwa Abbas Hamis, baada ya...

READ MORE

Mmoja Afariki, 12 Wajeruhiwa Ajali ya Lori na Basi Shinyanga – Video

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha roli na basi, iliyotokea leo Januari majira...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aungana na Rais Samia Kulinda Mazingira kwa Kupanda Miti Dodoma

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 27, 2026 ameshiriki zoezi la upandaji miti, mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu...

READ MORE

Mbwambo (34) Ajiua Kwa Kujikata Koromeo Akiwa Gesti – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi wa tukio la kifo cha cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34). Tukio hilo...

READ MORE

Bashiri Leo Upate Samsung A26 na Meridianbet

Leo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu...

READ MORE

Milioni 675 Kuboresha Huduma za Tiba Manispaa ya Tabora

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali imetoa Shilingi Milioni 675 kutekeleza mradi...

READ MORE

Rita Norbert: Sioni Mwanamke Anayeweza Kunifunika Kwa Mvuto

Mwanadada Rita Norbert amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kudai kuwa, kwa hapa nchini, haoni mwanamke anayeweza kumfunika kwa mvuto...

READ MORE