×

Habari

Mkuu wa Wilaya Kibiti Afungua Mafunzo ya Kamati ya Ulinzi

Mkuu wa Wilaya Kibiti, Gulam Hussein Kifu, Mei 11, 2021 amefungua mafunzo ya kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto...

READ MORE

Kampuni ya Kansai Plascon Yazindua Rangi Mpya

Dar es Salaam Jumanne 11 Mei 2021: Kampuni ya Kansai Plascon imezindua rangi mpya na kubadili muonekano wa nembo za...

READ MORE

Metacha Mnata Kupewa Mkataba Mpya

KIPA namba moja wa Yanga, Metacha Mnata inaelezwa kuwa anaandaliwa mkataba mpya ili aweze kusaini dili jipya.   Nyota huyo...

READ MORE

Tanzia: RC Mstaafu wa Dar Mama Mary Chips Afariki Dunia

Familia ya Chipungahelo na Zayumba inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa Mary Alice Chipungahelo (Mama Chipps) kilichotokea tarehe 09/05/2021...

READ MORE

IGP Sirro Awahakikishia Usalama Watanzania

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewahakikishia Watanzania kuwa hali ya usalama nchini na nchi jirani ya...

READ MORE

CCM Yamlilia Teddy Mapunda – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM ) kimemtaja marehemu, Teddy Mapunda kuwa amekuwa mdau muhimu na mshirika kinara aliyeshirikiana vyema na vyombo...

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Thedy Mapunda – Video

Waombolezaji mbalimbali wamejitokeza katika ibada ya mazishi na kutoa heshima za mwisho kwenye msiba wa Bi. Magdalena Theresia “Teddy” Hollo...

READ MORE

Watafiti ARU Wabaini Fursa Kwenye Majitaka na Kinyesi

WATAFITI wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), wamebaini fursa mbalimbali zilizoko kwenye majitaka ya vyooni na kinyesi cha bindamu. Fursa hizo...

READ MORE

Waziri wa Uingereza Kutua Nchini

Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika Mhe. James Duddrige anatarajiwa kuwasili nchini Mei 11, 2021 kwa ziara ya siku...

READ MORE

Semina Kubwa ya Ujasiriamali Yazinduliwa Buchosa – Video

Kampeni ya elimu kwa mjasiriamali Jimbo la Buchosa imezimduliwa rasmi leo Mei 10, 2021, katika Kata ya Nyehunge ikiwa ni...

READ MORE

Breaking: Wawili Wafariki kwa Kugongwa na Treni Morogoro

Watu wawili wamepoteza maisha kufuatia ajali iliyohusisha pikipiki ya magurudumu matatu (Bajaj) waliyokuwa wakisafiria na treni katika eneo la Modeko,...

READ MORE

Waliopata Msamaha wa Rais Wauawa

WATU wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko Kwa...

READ MORE

Simba Queens Yakabidhiwa Basi

KLABU ya Simba Queens leo Jumatatu Mei 10, imekabidhiwa basi jipya aina ya Costa kwa ajili ya safari za timu...

READ MORE

Bulaya Amcharukia Waziri Aweso

MBUNGE wa Viti Maalum  Ester Amos Bulaya ameitaka Wizara ya Maji kuziba mianya ya upotevu wa maji ili kuokoa pesa...

READ MORE

Mechi ya Simba & Yanga, Serikali Yatoa Maagizo kwa Bashungwa

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa juu ya sakata...

READ MORE

Usiyoyajua Kuhusu Ndoa ya Mtanzania na Mtoto wa Nabii Joshua

JIJI la Arusha juzi lilikuwa na hekaheka kubwa ya kushuhudia ndoa ya mtoto wa Nabii wa Nigeria, Temitope Balogun Joshua...

READ MORE

Hofu Yatanda Shambulio Bomba la Mafuta

SERIKALI ya Marekani imepitisha sheria ya dharura siku ya Jumapili baada ya bomba kubwa la mafuta la nchini humo kushambuliwa...

READ MORE

Mbongo Afunga Ndoa Tatu na Mtoto wa TB Joshua

Kumbukumbu zinasema hii ndio ndoa ya kwanza ya aina yake kufungwa katika jiji la Arusha, ambayo ni ndoa ya mseto...

READ MORE

Maiti Yazikwa, Yafukuliwa na Kurudishwa Mochwari Kimyakimya

Linaweza kuwa tukio la ajabu, lakini ndio limetokea huku usiri mkubwa ukitawala. Ndugu wa familia ya marehemu Danielson Lema (72),...

READ MORE

‘Mother’s Day’ Boomplay Yafanya Jambo Hospitali Ya Mwananyamala

App ya Boomplay inayoongoza barani Afrika kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki imeadhimisha Siku ya Akina Mama (Mother’s Day)...

READ MORE

Mwanamke Azua Gumzo, Aweka Nyoka Kwenye Jeneza la Mumewe

MWANAMKE mmoja kutoka Ghana amezua hisia mseto kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonekana kwenye video akiweka nyoka ndani ya...

READ MORE

Pasta Yamkuta, Afumaniwa Akichepuka na Mke wa Mtu

Pasta wa Kanisa la African Divine eneo la Lugari, Kaunti ya Kakamega nchini Kenya ambaye alifumaniwa akifanya ngono na mke...

READ MORE

Kiwanda cha Kusafisha Madini cha GGR Chaanzishwa Geita

Imeelezwa kuwa kuanzishwa kwa kiwanda cha Kusafisha Madini cha Mkoani Geita kitaongeza na kuchangamsha uchumi wa mkoa na Taifa kwa...

READ MORE

NMB Yadhamini Mashindano ya Kitaifa ya sayansi, Teknolojia na Ubunifu

BENKI ya NMB imekabidhi kitita cha shilingi milioni 15 kwa ajili ya udhamini ya Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi,Teknolojia na...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Zoezi La Kuagwa Kwa Teddy Mapunda (Picha +Video)

RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Mei 09 ameshiriki katika ibada kuuaga mwili wa aliyekuwa mmiliki wa kampuni ya uratibu na...

READ MORE

Waziri Ummy Atangaza Nafasi za Kazi Ualimu na Sekta ya Afya

WAZIRI wa nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu, leo Mei 09, 2021...

READ MORE

Mkurugenzi Mbozi akana kutishiswa kuuawa

    NA MWANDISHI WETU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbozi mkoani Songwe, Hanji Godigodi amekanusha madai ya kutishiwa kuuawa na...

READ MORE

Rais Samia Amkabidhi Nyumba Rais Mstaafu Kikwete

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 9, 2021 amemkabidhi mfano wa funguo ya...

READ MORE

Watu 30 Wafariki Kwenye Mlipuko wa Bomu

ZAIDI ya watu 30 wameuwawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea nje ya shule ya wasichana katika...

READ MORE

Vodacom Yazindua Tovuti ya E-Fahamu Kwa Lengo La Kukuza Elimu Nchini

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imezindua Tovuti ya E-Fahamu, ambayo ina lengo la kuwasaidia watoto na walimu kupata vitabu vya...

READ MORE

Mage: Wananiita Maiti Inayotembea

SIKU zote kuna usemi usemao; ‘kabla hujafa hujaumbika!’ Ndivyo ilivyo kwa Mage Masalu (32), mkazi wa Magu jijini Mwanza.  ...

READ MORE

Rais Samia Amzawadia Gari Mzee Mwinyi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amemkabidhi zawadi ya gari ya kutumia katika safari zake Rais...

READ MORE

Yanayojiri Uzinduzi wa Kitabu cha Mwinyi – Video

Uzinduzi wa kitabu cha maisha binafsi ya Rais mstaafu wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi umewakutanisha viongozi wastaafu na waliopo madarakani....

READ MORE

Polisi Yaanza Kutekeleza Agizo la Rais Samia

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Simon Sirro, ametoa muda wa mwezi mmoja kwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya...

READ MORE

Gazeti la Championi Latoa Tiketi Kwa Mashabiki wa Simba/Yanga

KAMPUNI ya Global Group kupitia gazeti namba moja la michezo Tanzania, Championi limetoa zawadi za tiketi kwa wateja wake ili...

READ MORE

Mjamzito Feki Aumbuka

  KUNA methali moja ya Kiswahili isemayo; “Hakuna anayemshinda mwanaume kama mwanamke!” Hii imedhihirika katika Soko la Memorial mjini Moshi...

READ MORE

Madiwani Mbeya Walia Uhaba wa Condom – Video

Baraza la madiwani halmashauri ya Jiji la Mbeya limehoji kukosekana kwa kondomu kwa takribani miezi minne katika kumbi za starehe,...

READ MORE

Rais Kagame Kuweka Kiwanda Chanjo ya Corona

Rais wa Rwanda Paul Kagame amesema Taifa lake litakuwa la kwanza kuleta chanjo ya mRNA barani Afrika wakati Afrika ikipambana...

READ MORE

Mafarao Walivyozikwa na Wahudumu Wao Wakiwa Hai

Ni ugunduzi ambao hadi sasa unaendelea kuwashangaza watafiti wa Misiri ya kale kuhusu aina ya kafara ambapo mafarao walizikwa pamoja...

READ MORE

Mabaki ya Roketi ya China Kuanguka na Kulipuka Duniani

Mabaki ya roketi ya China yanatarajiwa kuanguka na kulipuka duniani bila kudhibitiwa kwa namna yeyote wikendi hii. Bado haijafahamika ni...

READ MORE