×

Habari

Majambazi 6 Mbaroni kwa Mauaji ya Mfanyabiashara Geita

JESHI la Polisi Mkoa wa Geita limefanikiwa kuwakamata watu sita wanaosadikika kuwa ni majambazi waliotekeleza tukio la mauaji ya Betrice...

READ MORE

Posho Nzito Simba Ikiiua Kaizer Chiefs

MTENDAJI Mkuu (CEO) wa Simba, Barbara Gonzalez ameweka bayana kwamba wanajua umuhimu wa mechi yao ya Robo Fainali ya Ligi...

READ MORE

Masharti Mapya ya WhatsApp Kuanza kesho

WhatsApp imetaja Jumamosi ijayo kuwa siku ya mwisho kwa mamilioni ya wateja wake kukubali masharti mapya ya utumiaji wa mtandao...

READ MORE

Rais Samia Atoa Msimamo wa Serikali Kuhusu Chanjo ya Corona – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitapokea kila ushauri unaotolewa hasa kuhusu masuala...

READ MORE

Wadukuzi wa Bomba la Mafuta Walipwa Mabilioni

KAMPUNI ya Colonial ambayo inamiliki Bomba kubwa la mafuta nchini Marekani limeripotiwa kuwalipa wahalifu wa mtandaoni wanaofahamika kama DarkSide kiasi...

READ MORE

Hoteli Ya Mondi Yafungwa, Msimamizi Afunguka

MWAKA mmoja baada ya msanii mkubwa nchini Tanzania, Nasibu Abdul ‘Diamond Platumz’ kununua hoteli ya kifahari, hoteli hiyo imefungwa. Katika...

READ MORE

Fahamu Alichokifanya Sabaya Kabla ya Kutumbuliwa

Rais Samia Suluhu Hassan jana Alhamisi Mei 13, 2021 alimsimamisha kazi mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole...

READ MORE

Dkt. Mpango Atembelea Kaburi la Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizuru Kaburi la aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Watanzania Wote Eid Njema

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakia Watanzania wote sherehe njema ya Eid Al Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Swala ya Eid, Mnazi Mmoja Dar – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 14, 2021 ameshiriki swala ya Eid iliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar...

READ MORE

Mwalimu Akutwa Kitandani Akifanya Mapenzi na Wanafunzi Watatu

Mkuu wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Salim Kali, ameagiza kuhamishwa wilayani kwake mwalimu anayetuhumiwa kufanya mapenzi na wanafunzi watatu...

READ MORE

Watatu Washikiliwa kwa Tuhuma za Mauaji Moshi

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watuhumiwa watatu kwa madai ya kuhusika na tukio la mauaji ya kijana wa bodaboda,...

READ MORE

Vinara wa Wizi Wanaswa Mbeya

KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA MATUKIO YA UVUNJAJI NA WIZIy Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1. KELVIN...

READ MORE

Mahakama ya Juu Kenya Yamzuia Rais Kubadili Katiba

MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya imeamua kwamba mageuzi ya kikatiba yanayoungwa mkono na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi mkuu wa...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Amsimamisha Kazi DC Sabaya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu , leo Alhamis Mei 13, 2021 amemsimamisha kazi Mkuu wa...

READ MORE

Kanye aendelea kuteseka na Urais

Rapper Kanye West ameendelea kukumbwa na jinamizi la kesi, kisa Urais aliokuwa akiutaka mwaka 2020, inaelezwa kuwa kampuni ya SeedX...

READ MORE

RC Kunenge Akanusha Taarifa za Kuondolewa Wamachinga Mjini, Asema Wananchi Wazipuuze

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Abubakar Kunenge amesema hakuna mfanyabiashara mdogomdogo almaarufu Kama Machinga atakaeondolewa Katika Jiji...

READ MORE

Kigogo Msd Aachiwa Huru na Mahakama

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi wa Logistiki Byekwaso Tabura leo Mei 13, 2021 wameachiwa...

READ MORE

Fainali ya Uefa Kupigwa Ureno

SHIRIKISHO la soka barani Ulaya , UEFA limethibitisha kwamba mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya kati ya Chelsea...

READ MORE

Mke wa Mugabe Mahakamani Kisa Mazishi ya Mumewe

Mke wa rais wa zamani wa Zimbabwe, Grace Mugabe,ameagizwa kufika mbele ya mahakama ya kitamaduni kwa tuhuma za kufanya mazishi...

READ MORE

CCM Yatoa Taarifa Mwenendo Wa Kampeni Jimbo La Buhigwe na Muhambwe

CHAMA Cha Mapinduzi kilifanya uzinduzi wa kampeni za ubunge katika Jimbo la Muhambwe Mei 4, 2021 na Jimbo la Buhigwe...

READ MORE

Aliyemuua Mkewe, Amuua Mke Mwingine Tena

Mahakama Kuu Kanda ya Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha kwenda jela miaka minne Lameck Essau Meza mkazi wa Sikonge mwenye...

READ MORE

Mume Amuua Mkewe Kisha Kujinyonga

Edward Manyangu (41) Mkazi wa Wilaya ya Busega anadaiwa kumuua Dalali Maunga (41) kwa kumpiga na kitu kizito kichwani baada...

READ MORE

GST Kusogeza Huduma za Maabara kwenye Kanda

Imeelezwa kuwa, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) inatarajia kuongeza wigo wa huduma kwa kuanzisha Vituo vya...

READ MORE

RC Kunenge Atoa Maelekezo Barabara Mbovu Dar – Video

Kufuatia uwepo wa ubovu wa baadhi ya Barabara Jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Abubakar Kunenge ameelekeza...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Bandari, TRA, TASAC na EGA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania, Mamlaka ya Bandari Tanzania na Mamlaka ya Serikali Mtandao kufanya kazi...

READ MORE

Jaji Imani Apendekezwa Kugombea Urais Mahakama ya Afrika

Jaji wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kutoka Tanzania Mhe. Jaji Imani Aboud amependekezwa kugombea Urais...

READ MORE

Bunge Lajadili Malori Kukwama Bandarini Dar

Bunge la Tanzania limeahirisha mjadala wa Wizara ya Afya kwa takribani nusu saa ili kujadili sakata la malori kutoshusha wala...

READ MORE

NBC Benki Yazindua Biashara Club Kigoma

BENKI ya NBC imezindua klabu ya wafanyabiashara wa benki hiyo mkoani Kigoma ikiwa ni sehemu ya mipango ya benki hiyo...

READ MORE

Polisi Dar: Usalama wa Kutosha Sikukuu ya Idd

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema limeimarisha ulinzi kuelekea Sikukuu ya Eid El Fitr sambamba na...

READ MORE

Kampuni Yatangaza Nafasi za Kazi za Kulala

Kampuni moja nchini Marekani ambayo hutoa vidokezo vya usingizi imetangaza nafasi za kazi ya weledi wa usingizi sawa na takribani...

READ MORE

Museveni Aapishwa Kuwa Rais wa Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameapishwa kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha sita, miaka 35 baada ya kuchukua hatamu kama...

READ MORE

Manchester United Waipa Man City Ubingwa wa Epl

BAADA ya kipigo cha 2-1 cha Manchester United wakiwa nyumbani dhidi ya Leicester City, kimeifanya majirani zao Manchester City kuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu: Wasaidieni Wabunifu Wachanga

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi na mamlaka ambazo zinashiriki kuendeleza wabunifu wachanga zihakikishe zinawawezesha kubiasharisha ubunifu na uvumbuzi wao....

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 12, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 12, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Kamishna wa Ardhi Apiga ‘Stop’ Umilikishwaji Viwanja Kigamboni

Kamishina wa Aridhi Kanda ya  Dar es Salaam Bw. Idrisa Kayera amesimamisha zoezi la  umilikishwaji wa viwanja vya makazi vilivyopo...

READ MORE

Exim Bank Yatoa Zawadi ya Eid Kwa Watoto Yatima Dar, Mbeya, Shinyanga, Karatu

Dar es Salaam: Mei 11,2021; Benki ya Eximimetoa msaada wa vyakula na vinywaji kwenye vituo vinne  vya kulelea watoto yatima na...

READ MORE

Waziri Gwajima Kupambana na Ngo’s Korofi

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali haitavumilia kuona Mashirika Yasiyo ya...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu Hassan leo Jumanne, Mei 11, 2021 amefanya uteuzi wa Majaji 7 wa...

READ MORE

Gwajima: Ni Ujinga Kuruhusu Taifa Kuwa Majaribio Chanjo ya Corona

Mbunge wa Kawe (CCM), Askofu Josephat Gwajima ameshauri Serikali kuwa makini na madhara yanayoweza kujitokeza kwa wananchi iwapo Taifa litaruhusu...

READ MORE