×

Habari

Gwajima: Nchi ni Lazima Iwe na Maono ya Miaka Mingi – Video

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, amesema kwa sasa Tanzania haina maono ya muda mrefu kwa ajili ya...

READ MORE

Wanufaika wa kilimo viwanda watembea kiwanda cha SBL Mwanza

  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imejidhatiti kuwapa wanafunzi nyenzo na mafunzo zaidi ya kivitendo kama njia...

READ MORE

Makadirio ya Bajeti Wizara ya Maji ni Bil. 680

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewasilisha bungeni hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha...

READ MORE

Prof. Janabi: Ulaji Futari Nyingi Unachochea Mshtuko wa Moyo

Katika mwezi huu wa Ramadhan familia nyingi nchini na duniani kwa jumla kuna nchi ambazo raia wake wanafunga saumu hii...

READ MORE

Mjadala wa Wasanii na BASATA Kuamuliwa Jumamosi

BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) Mei 1, 2021 wameanza kutumia sheria ya kuzikagua nyimbo zote mpya za wasanii kabla ya...

READ MORE

Shigongo Atembelea Wagonjwa Nyehunge, Awapa Neno Wahudumu wa Afya

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo akiambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa, Crispin Luanda wametembelea wakina mama ambao...

READ MORE

Mbunge Alia na Wingi wa Wanafunzi

Mbunge wa Temeke (CCM), Dorothy Kilave ameihoji Serikali ina mpango gani wa kujenga shule katika jimbo la Temeke kwa sababu...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Mjumbe Maalum Wa UN Jijini Nairobi

  Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika...

READ MORE

Vijana Wavamia Msiba, Wamwaga Chakula na Pombe

WAENDESHA bodaboda wa kituo cha Kisangiro kata ya Kilema Kaskazini wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro wamevamia msiba wa Lenard Abel...

READ MORE

Halima Mdee Na Wenzake Wafutiwa Mashtaka Kisutu

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Mei 5, 2021 imefuta kesi ya kufanya mkusanyiko na kutotii amri halali katika...

READ MORE

Watakaoingia Nchini Kuwekwa Karantini Siku 14

SERIKALI imetoa mwongozo namba sita kwa wasafi ri unaotaka abiria wageni au wakazi wanaoingia nchini kutoka nchi zenye aina mpya...

READ MORE

Rostam Alipua Bomu: Nimewekewa Vikwazo Kenya Tangu 2017

Mfanyabiashara Rostam Aziz amesema uwekezaji nchini Tanzania na Kenya haufanani akibainisha kuwa ni rahisi kuwekeza katika nchi moja na ngumu...

READ MORE

Kenyatta: Ushirikiano wa Kenya na TZ Sasa Utakuwa wa Kiwango Kingine

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema ushirikiano baina ya Tanzania na Kenya utayafanya mataifa hayo kupiga hatua katika maendeleo.  ...

READ MORE

Samia: Bunge la Kenya Linasimisimua, Mna Demokrasia – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la Kenya lililo na mjumuiko wa wabunge wa...

READ MORE

Samia: Huku Mna Kenyatta, Kule Kuna Suluhu, Kazi Kwenu! -Video

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyabiashara wa Tanzania na Kenya kushirikiana na si kushindana ili kuhakikisha uchumi wa...

READ MORE

Rais Kenyatta Atoa Wiki Mbili Tatizo la Mahindi Mpakani Litatuliwe – Video

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyata ametoa wiki mbili kwa watendaji serikalini kuhakikisha sakata la mahindi ya Tanzania yaliyozuiwa kuingia Kenya...

READ MORE

Aliyetelekeza Makontena 500 ya Shisha Bandarini Asakwa

Takribani makontena 500 yenye urefu wa futi 40 yametelekezwa katika bandari ya Dar es Salaam yakidaiwa kuwa na shehena ya...

READ MORE

ATCL Yasitisha Safari Zake Kwenda India

KAMPUNI ya Ndege Tanzania (ATCL) imesitisha safari zake za ndege kati ya Dar as Salaam na Mumbai (India ) kuanzia...

READ MORE

Mjomba Aliyetuhumiwa Kubaka Mtoto wa Miaka 3 Ashinda Kesi

WANANCHI wa mtaa wa Mpeto kata ya Ramadhani mjini Njombe,wameiomba Serikali kuingilia kati kesi ya mtoto wa mtaa huo aliyebakwa...

READ MORE

Mjamzito Ajifungua Watoto Tisa

MAAJABU ya Mungu hayana kipimo, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mwanamke mmoja nchini Mali amejifungua watoto tisa katika hali...

READ MORE

Ninja Atamba Nileteeni Huyo Morrison

BEKI wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema amekuwa akizisikia kelele za mashabiki wa Simba wakitamba kwamba hatoweza kumdhibiti...

READ MORE

Mexico: 23 Wafariki Baada ya Fly-over Kuporomoka

Takriban watu 24 wamefariki dunia na wengine 79 kujeruhiwa baada ya sehemu ya barabara ya juu (flyover) kuporomoka na kusababisha...

READ MORE

Video: Rais Samia na Kenyatta Wafungua Kongamano la Wafanyabiashara

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru...

READ MORE

Simbachawene: Kitambulisho cha Nida Hakihalalishi Kuwa Raia wa Tanzania

Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema kuwa na kitambulisho cha Utaifa (NIDA) hakuhalalishi Mtu kuwa Raia wa #Tanzania....

READ MORE

Mbunge: Wananchi Wanapimwa Uraia kwa Wimbo wa Taifa

Mbunge Florent Kyombo amesema wananchi wa Mkoa wa Kagera ambao unapakana na nchi tatu wamekuwa wahanga katika kutambuliwa na kupatiwa...

READ MORE

Onyango Ana Hamu Sana na Yanga

BEKI kisiki na mfungaji wa bao lililoipa Simba pointi moja dhidi ya Yanga katika mchezo wa mzunguko wa kwanza ndani...

READ MORE

Breaking: Teddy Mapunda Afariki Dunia

HABARI zilizotufikia hivi punde, Mkurugenzi wa Service and Montage Limited, Teddy Hollo Mapunda, maarufu ‘Dada Teddy’ amefariki usiku huu katika...

READ MORE

Mabilionea 10 Wanaoshikilia Uchumi wa Dunia

Pengo kati ya watu tajiri na maskini linazidi kuongezeka.Itawachukua miaka kumi watu maskini zaidi kuweza kumudu kuishi vizuri lakini huo...

READ MORE

Rais Samia, Kenyatta Wakubaliana Kujenga Bomba la Gesi

Marais wa Tanzania na Kenya wametangaza hii leo kuwa nchi hizo mbili zimeingia makubaliano ya ujenzi wa bomba la gesi...

READ MORE

Prof. Mkumbo Akunana Na Wasafirishaji,Waigizaji Mizigo Bandarini

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya kikao na wadau mbalimbali wa usafirishaji, uingizaji na utoaji...

READ MORE

Majaliwa Atua Chato Kwenye Kaburi la Magufuli

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo amefika nyumbani kwa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Magufuli...

READ MORE

Ndugulile: Tunaandaa Sheria ya Faragha Kulinda Taarifa za Mtumiaji

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Faustine Ndugulile amesema katika kutengeneza mazingira rafiki na wezeshi ya sekta ya Teknolojia...

READ MORE

Rais Samia Atoa Heshima Kwenye Kaburi la Hayati Mzee Jomo Kenyatta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 4, 2021 amekitoa salamu za heshima mara baada...

READ MORE

Hotuba ya Rais Samia Ikulu ya Nairobi Kenya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 05, ameanza ziara ya siku mbili nchini Kenya...

READ MORE

Kauli ya Rais Kenyatta Mbele ya Rais Samia Kenya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 05, ameanza ziara ya siku mbili nchini Kenya...

READ MORE

Mrithi wa Mfalme wa Wazulu Pasua Kizungumzkuti

Mzozo kuhusu ni nani atakayemrithi marehemu Mfalme wa Wazulu, Goodwill Zwelithini, sasa unaelekea mahakamani, vyombo vya habari vinaripoti. Hatua hiyo...

READ MORE

Bondia Ashtakiwa kwa Kumuua Mpenzi wake Mjamzito

Bondia wa Puerto Rico aliyepigana katika michezo ya Olimpiki ya London mwaka 2012 ameshtakiwa kwa kumteka na kumuua mpenzi wake...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Atembelea Hospitali Ya Benjamin Mkapa

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango leo Mei 04,2021 ametembelea Hospitali ya Benjamin...

READ MORE

Wanasayansi Wagundua Maiti ya Kale ya Mjamzito Misri

TIMU ya wanasayansi nchini Poland imesema wamegundua maiti pekee ya kale ya mwanamke mjamzito huko Misri iliyokuwa imehifadhiwa.   Ugunduzi...

READ MORE