×

Habari

Maendeleo Ya Viwanda Yaendane Na Hifadhi Ya Mazingira – Waziri Jafo

Serikali imesema kamwe haitakuwa kikwazo kwa wawekezaji wanaolenga kuwekeza katika sekta ya viwanda bali maendeleo ya viwanda ni lazima yaende...

READ MORE

Marufuku Kudai Vyeti vya Chekechea

Serikali imepiga marufuku wanafunzi wanaoanza elimu ya msingi (darasa la kwanza) kudaiwa vyeti vya elimu ya awali, kwa maelezo kuwa...

READ MORE

Mtoto Aliyefanyiwa Upasuaji wa Uti wa Mgongo Kabla Hajazaliwa

“Kuna hatari zake lakini upasuaji huu utamaanisha kuwa nimejitahidi katika kila namna kumchagulia kilicho bora kwake. Kwangu, ninachojua ni kwamba...

READ MORE

D.light, yazindua huduma zake Mbeya

KAMPUNI inayoongoza katika kutoa huduma za umeme wa jua, D.light, ina zaidi ya watumiaji milioni 100 ulimwengu mzima, leo inatangaza...

READ MORE

Video: Rais Samia Awasili Ikulu Kenya, Rais Kenyatta Ampokea

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 04, 2021 ameanza ziara ya siku mbili nchini...

READ MORE

Shigongo Akagua Ujenzi wa Shule Mpya na Zahanati Buchosa

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amefanya mikutano miwili ya hadhara katika Kijiji cha Kahunda na Katwe na...

READ MORE

Mrembo Ajaribu Kujiua Mara Mbili Mfululizo Kisa Mapenzi

MREMBO na mwigizaji mahiri kutoka nchini Ghana mwenye shepu matata, Princess Shyngle amelazwa katika hospitali moja nchini Marekani baada ya...

READ MORE

Rais Samia Awasili Ziarani Kenya (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 4, 2021 amewasili nchini Kenya ambako anafanya ziara...

READ MORE

Ajeruhi Mtoto kwa Kisu Kisha Kujiua

Shija Mwanzalima (30) amemchoma na kisu tumboni mtoto wake wa kambo Rachel Erasto (3), kisha kujichoma na kisu sehemu mbalimbali...

READ MORE

Mahakama Yamwachia Huru Mgombea Ubunge Bukoba Mjini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Bukoba imewaachia huru washtakiwa saba akiwemo Aliyewahi kuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba na aliyekuwa Mgombea...

READ MORE

NMB Yaandaa Kongamano la Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Zanzibar

Waziri wa utalii na mambo ya kale Zanzibar, Leila Muhammed Mussa amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu kisiwani humo kuzitumia fursa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi wa IMF

Rais Samia SuluhuHassan, leo amefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Mkurugenzi Mtendaji waShirika la Fedha Duniani (IMF), Kristalina Georgieva...

READ MORE

Lowassa Amawaga Mamilioni Monduli

Mbunge wa Monduli, Fredrick Lowassa amechangia Sh11 milioni katika miradi ya maendeleo katika vijiji vya ujenzi wa nyumba ya daktari...

READ MORE

TMA Yatabiri Mvua, Upepo Mkali

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imesema kesho Mei 4 kuna uwezekano wa uwepo wa upepo mkali unaokadiriwa kufikia kilometa...

READ MORE

Takukuru Kuwafikisha Kortini Katibu Mkuu, Mhasibu CWT

Takukuru intafikisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Katibu Mkuu Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif na mweka hazina wa...

READ MORE

Mwizi Alala Usingizi Mzito Baada ya Kumuibia Bibi Kizee

Kumetokea kisa cha aina yake katika kijiji cha Mutomo, kaunti ya Kitui nchini Kenya baada ya mwizi sugu wa mabavu...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Wananchi Kufuga Simba

SERIKALI ya Afrika kusini imeweka wazi mpango wa kuzuia watu kuwazalisha simba majumbani kwa lengo la kuwahifadhi kama wanyama wa...

READ MORE

Rais Samia Atumbua Watatu

Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa viongozi watatu akiwemo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Wakala wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais Obasanjo wa Nigeria

Rais Samia Suluhu Hassan, leo amekutana na kufanya mazungumzo na rais mstaafu wa Nigeria, Olesegun Obasanjo katika ikulu ya Chamwino...

READ MORE

Waziri Jafo Aagiza Mkurugenzi Akamatwe

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo ameagiza kukamatwa kwa Bw. Kaissy Mkurugenzi...

READ MORE

Ndugai: Iweje Wabunge 19 Wafukuzwe, Wote Wanawake?

Spika wa Bunge Job Ndugai leo amesimama bungeni kutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa ikiwemo uwepo bungeni wa Wabunge 19 wa...

READ MORE

Dkt. Abassi: Peak Time Wamerudisha Hadhi Ngumi Nchini

MABONDIA na wadau wa mchezo wa ngumi za kulipwa juzi Jumapili waliweza kujumuika katika futari ilioandaliwa na Kampuni ya Peak...

READ MORE

Ndugai Amuonya Nape “Tuchunge Midomo Yetu” – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuonya Mbunge wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Nape Moses Nnauye kuchunga kauli...

READ MORE

Ndugai Atoa Majibu “Mdee na Wenzako Chapeni Kazi” – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewataka wabunge 19 wa viti maalum ambao wamefukuzwa na chama chao cha CHADEMA kuendelea kuchapa...

READ MORE

India Yapokea Msaada Kukabiliana Covid -19

TAIFA la India limeendelea kupokea msaada wa kimataifa ili kukabiana na uhaba wa Oksjeni wakati idadi ya vifo vya virusi...

READ MORE

Pasta Ageuza Baa Kuwa Kanisa la Kuabudia

WAKATI makanisa na baa zilifungwa kote nchini Kenya kwa sababu ya COVID-19, Mhubiri Ken Baraza wa Kanisa la Abundant Grace...

READ MORE

Jamaa Anusurika Kifo Akijisaidia

JAMAA mmoja amenusurika kifo kwa tundu la sindano baada ya mti kuangukia choo cha rununu (choo kinachohamishika) alimokuwa akijisaidia. Jamaa...

READ MORE

Bunge Lapiga Kura Kumfutia Rais Muda wa Nyongeza

Wabunge wa Somalia wamepiga kura kwa kauli moja kufuta nyongeza ya miaka miwili kwenye muhula wa rais Mohamed Abdullahi Mohamed...

READ MORE

RC Kunenge Ampa Ujumbe Mzito Majaliwa-Video

MKUU wa Mkoa Dar es salaam, Aboubakari Kunenge, amempongeza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa moyo wake wa kujitolea katika shughuli...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Ziara Kenya Mei 4

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kwenda nchini Kenya Kufanya ziara rasmi ya siku mbili, ziara hiyo inatarajiwa kuanza...

READ MORE

Ibada Maalum ya Jumapili Kutoka Kanisa la Ufunuo la Nabii Bendera

NI Ibada maalum kutoka Kanisa la Ufunuo lililopo Kimara Bonyokwa jijini Dar es Salaam, Jumapili ya Mei 02, 2020, ikiongozwa...

READ MORE

Samsung Waipiku Apple kwenye Mauzo ya Simu

UAMUZI wa kampuni ya simu ya Samsung kushusha bei ya simu zake aina ya Galaxy S21 unaonekana kuipa faida kampuni...

READ MORE

Rais wa Somalia Afutiwa Muda wa Nyongeza na Bunge

WABUNGE wa Somalia wamepiga kura kwa kauli moja kufuta nyongeza ya miaka miwili kwenye muhula wa rais Mohamed Abdullahi Mohamed...

READ MORE

Wanafunzi wa Kidato cha Sita Kuanza Mitihani ya Kesho

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dk Charles Msonde ametangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita Tanzania...

READ MORE

Korea Kaskazini Yakataa Mazungumzo na Marekani

KOREA Kaskazini imepuuza wazo la kufanya mazungumzo na Marekani siku moja baa ya serikali ya Rais Joe Biden kusema uko...

READ MORE

DC Ahojiwa na Polisi kwa Kutishia Kumuua Mbunge

JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe, limeanza uchunguzi tuhuma za Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Samuel Jeremiah, kuhusu kumtishia kumuua...

READ MORE

TANZIA – Mfanyabiashara Haroon Zakaria Afariki Dunia

MFANYABIASHARA mkubwa na bilionea wa Kitanzania, Haroon Zakaria amefariki dunia hii leo Mei 1, 2021. Zakaria ndio Mmiliki wa Makampuni...

READ MORE

Simba Kamili Gado Kuwavaa Kagera

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba upo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho hatua ya...

READ MORE

Samia: Watumishi Darasa la 7 Waliositishiwa Ajira Walipwe – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kulipa madeni yote inayodaiwa huku akiwaonya watumishi...

READ MORE