×

Habari

Rais Samia Apunguza Kodi ya Mishahara, Makato Bodi ya Mikopo – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza wafanyakazi mbalimbali katika Kilele cha Sherehe za Siku...

READ MORE

Muigizaji Maarufu wa Filamu Mzee Msiri Afariki Dunia

Muigizaji maarufu na mkongwe nchini Kenya aliyejizolea umaarufu zaidi katika kipindi cha runinga cha Pete akitumia jina la Mzee Msiri...

READ MORE

Rais Samia: Tutapandisha Mishahara Mwakani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema jumla ya wafanyakazi zaidi ya 85,000 elfu hadi...

READ MORE

Afisa wa TAKUKURU Akamatwa kwa Kuomba Rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imamkamata mtumishi wa taasisi hiyo aitwaye Zainab Mohamed Jabir, kwa kosa la...

READ MORE

Serikali Yafunga Mtambo wa Bil 4.6 JKCI

Serikali imefunga mtambo wa kisasa wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6 wa uchunguzi na matibabu ya moyo (Catheterization Laboratory –...

READ MORE

Katibu Mkuu Mpya CCM Aanza Kazi, Aongoza Kikao

KATIBU Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, jana jioni Aprili 30, 2021 ameripoti ofisini na kuendesha kikao...

READ MORE

Rais Samia Atakuwa Mgeni Rasmi Mei Mosi leo Jijini Mwanza

Rais Samia leo Mei 1, 2021 atakuwa Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambayo itafanyika...

READ MORE

Waziri wa Maliasili Atengua Uamuzi wa Kigwangala ‘Ulikuwa Kinyume na Sheria’

WIZARA ya Maliasili na Utalii imefunga rasmi mzozo uliodumu kwa miaka miwili juu ya eneo la uwindaji kando ya ziwa...

READ MORE

Masikini Nyumba za Yamoto, Miaka sita Baada Ya Kusabaratika

MASKINI! Unaambiwa mji haushiwi na mambo, ni bora mtu akunyime kula, lakini siyo ubuyu! MASHTAKA MAZITO Hivi karibuni ‘mahakama’ ya...

READ MORE

Lindi: Wairan 7 Waliokamatwa na Tani ya Madawa ya Kulevya Wafikishwa Kortini

Raia saba wa Iran akiwemo nahodha wa boti, Jan Miran (42) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi wakikabiliwa na...

READ MORE

Malkia wa Zulu Afariki Baada ya Kuchukua Majukumu ya Kifalme

Familia ya kifalme ya Zulu nchini Afrika Kusini imetangaza kifo cha Malkia wake aliyekuwa anaongoza eneo hilo Shiyiwe Mantfombi Dlamini...

READ MORE

Maandalizi ya Mei Mosi Kitaifa Mwanza Yakamilika – Video

Maandalizi kwa ajili ya sherehe za siku ya Wafanyakazi Duniani zinazotarajiwa kufanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza...

READ MORE

Vijana JKT Waliorejeshwa Nyumbani Watakiwa Kurudi Kambini

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Charles Mbuge, amewarejesha katika mafunzo vijana waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa...

READ MORE

Simba SC Kuvaana na Kaizer Chiefs Robo Fainali

Simba SC itacheza na timu ya Kaizer Chiefs kutoka Afrika Kusini katika robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika....

READ MORE

Breaking: Baraza la Madiwani Lamkataa Mkurugenzi Mbozi

BARAZA la Madiwani katika Halmashauri ya Mbozi kwa pamoja limeazimia kutokuwa na imani na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Hanji Godigodi...

READ MORE

Chongolo Kumrithi Bashiru Ukatibu Mkuu wa CCM – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amempendekeza Daniel Godfrey Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho....

READ MORE

Kauli ya Kwanza ya Rais Samia Baada ya Kuwa Mwenyekiti wa CCM – Video

  MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Breaking: Nyalandu Atangaza Kurejea CCM Mbele ya Rais Samia -Video

ALIYEWAHI kuwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa Maliasili na Utalii na kisha baadaye kujiunga na Chama...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Achaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura zote1,862, sawa na asilimia 100...

READ MORE

KMC Kushuka Dimba la Jamhuri Kesho Dhidi ya Dodoma jiji Michuano ya Kombe la ASFC

Kikosi cha KMC FC kesho kitashuka katika dimbani la Jamuhuri jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo wa michuano ya kombe...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Itayafanyia Kazi Malalamiko ya Ukaguzi Mirerani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...

READ MORE

NCBA Benki Tanzania yamteua Julius Konyani kuwa Mkurugenzi Mtendaji

Benki ya NCBA Tanzania imemteua Bwana Julius Konyani kuwa mkurugenzi mtendaji kwenye bodi ya wakurugenzi baada ya Gift Shoko kuhamishiwa...

READ MORE

Polisi Wakamata Kondomu, Mali za Wizi, Silaha na Wahalifu 231

JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga limefanya Operesheni maalumu ya kukabiliana na kuzuia makosa ya uhalifu na kufanikiwa kukamata wahalifu...

READ MORE

Mto Msimbazi Sasa Kuwa Eneo la Uwekezaji

SERIKALI ya Tanzania imepanga kulibadili eneo la bonde la mto Msimbazi kuwa eneo la uwekezaji na fursa mbalimbali ili kuondokana...

READ MORE

Binadamu wa Kwanza Kutua Mwezini Afariki

Mwanaanga za juu wa Marekani, Michael Collins, ambaye aliongoza Apollo 11 wakati wanaanga wenzake wawili walipokuwa binadamu wa kwanza kutembea...

READ MORE

Musukuma Adai RC Gabriel na Wenzake Wametafuna Mil 600 – Video

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amemlipua mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel na timu akidai wamepata zaidi...

READ MORE

Muuguzi Ajinyonga Hadi Kufa Kisa Madeni

MUUGUZI wa Hospitali ya Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, David Mtaita (30) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kamba ikiwa ni...

READ MORE

Pole Pole Afunguka Maandalizi Ya Mkutano Mkuu wa CCM Kesho -Video

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole leo Aprili 29, 2021 amezungumza na waandishi wa...

READ MORE

Halmashauri Kuu Ya CCM Taifa Yaketi Dodoma Leo

  Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM leo Aprili 29, 2021 wamefanya Kikao cha Halmashauri Kuu ya...

READ MORE

Tuhuma za Rushwa! Askari Polisi 4 Wafukuzwa Kazi

ASKARI wanne wa Jeshi la Polisi mkoani Arusha wamefukuzwa kazi na maofisa wawili wa Jeshi hilo wamesimamishwa kazi kwa tuhuma...

READ MORE

Binti Miaka 17 Akamatwa kwa Kuiba Kichanga

  BINTI mmoja mkazi wa mkoa wa Geita, Anjelina Masumbuko mwenye umri wa miaka 17 anashikiliwa na Jeshi la Polisi...

READ MORE

Mtandao wa Twitter ‘Wafunguliwa’ Tanzania

WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini Tanzania hii leo wanaweza kuingia katika mtandao wa Twitter bila kutumia mfumo wa usalama...

READ MORE

Wasauzi Wampigia Simu Mo Kumuuliza Manula

TAARIFA kutoka ndani ya Simba zinasema kwamba, timu ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini, imelazimika kumpigia simu Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

Serikali Ipo Tayari Kufanya Mabadiliko Sherika ya Vyombo vya Habari

SERIKALI imesema ipo tayari kupokea mapendekezo ya mabadiliko ya sheria na sera ya vyombo vya habari na kuzifanyia marekebisho kwa...

READ MORE

Biden: Marekani Haitavumilia Chokochoko za China

RAIS wa Marekani Joe Biden, amelihutubia bunge la nchi hiyo kwa mara ya kwanza akiwa rais na kutumia sehemu ya...

READ MORE

Hawa Ndo Watakaomchagua Mwenyekiti Mpya CCM – Video

WAJUMBE 1876 wa mkutano mkuu maalumu wa CCM wanatarajiwa kupiga kura jina moja litakalowasilishwa katika mkutano huo kumchagua mwenyekiti mpya...

READ MORE

Tanzania, Marekani Mambo Safi

SERIKALI ya Tanzania imewahakikishia Wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Marekani mazingira mazuri na kuwasihi kuendelea kuwekeza hapa nchini.   Ahadi hiyo...

READ MORE

Daktari Feki Anaswa Akitoa Huduma za Kibingwa

MKAZI wa Kijiji cha Mudio, Kata ya Romu wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro, Othuman Kimaro, amekamatwa na vyombo vya dola akituhumiwa...

READ MORE

Waajiri Wanaodaiwa NSSF, PSSF Kimeumana

  NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira, Patrobas Katambi, amewaagiza Mameneja wa Mikoa NSSF, PSSF na...

READ MORE

RC Chalamila Aagiza Wanafunzi Waliochoma Bweni Kucharazwa Bakora

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ameamuru wanafunzi saba kati ya 20 wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya...

READ MORE