×

Habari

LIVE​​: TRA YAMJIBU MBOWE, MZEE MWINYI AMKUBALI SAMIA | FRONT PAGE

 ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8​ ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx​

READ MORE

Shilingi Trilioni 114.8 Zapitishwa na Bunge

Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania jana Jumatatu tarehe Aprili 12, 2021 limepitisha Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa...

READ MORE

Mama Atoroka na Mahari ya Binti Yake

Mama mmoja kutoka Tana River nchini Kenya aliyejulikana kwa jina la Ann Maweni, amewashangaza mashemeji wake baada ya kutoroka na...

READ MORE

Mradi wa Bandari ya Bagamoyo Pasua Kichwa – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai  amedai kuna upotoshaji mkubwa kuhusu mradi wa bandari ya Bagamoyo. “Tunaposisitiza utekelezaji wa mradi huu...

READ MORE

Kishimba: Wagonjwa Wakopeshwe, Ukikosa Dawa Piga Simu Polisi

Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba (CCM), amesema ipo haja mtu asipopata matibabu hospitalini, apige simu polisi ili askari wawakamate...

READ MORE

Je! Unajua ni Kwanini Diamond Platnumz Anapenda itel A37?

Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda...

READ MORE

Kijana Ajiua Baada ya Kukataliwa na Mpenzi Wake

  Kijana aitwaye Kitachana Shenani (30) mkazi wa kitongoji cha Senta kijiji cha Makundusi Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amejinyonga...

READ MORE

Ndugai Atoa Maagizo Kuhusu Mjadala Ripoti ya CAG

Spika wa Bunge Job Ndugai amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa...

READ MORE

Tundu Lissu Aomba Kukutana na Rais Samia

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia chama hicho mwaka 2020, Tundu...

READ MORE

Mume wa Malkia Kuzikwa Aprili 17, 2021

MAZISHI ya mume wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza, Mwanamfalme Philip, yatafanyika wiki ijayo, Aprili 17, majira ya saa nane...

READ MORE

Mzee Mwinyi: Rais Samia Ameanza Vizuri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Aprili, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Kigoma: Akatwa Shingo, Wauaji Waondoka na Kichwa

Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Janda wilayani Buhigwe mkoani Kigoma aliyetambulika kwa jina Shinze Mugarama ameuawa kwa kukatwa shingo...

READ MORE

Mbowe: Nimepata Chanjo ya Corona ‘AstraZeneca’

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema amepata chanjo ya #COVID19 ya Astrazeneca alipokuwa...

READ MORE

Coca-cola Yaitambulisha ‘Sisimua Maisha na Fanta’

Kampuni ya Coca Cola Tanzania, imezindua kampeni ya Sisimua Maisha na Fanta katika hafla iliyopambwa na burudani mbalimbali jijini Dar...

READ MORE

Bomba la Mafuta Kuanza Kujengwa Mwezi Huu

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Tanga-Tanzania hadi Uganda...

READ MORE

Mabango Yaanza Simiyu

SIKU chache baada ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuwatangazia wateule wake kuhakikisha wanashughulikia kero...

READ MORE

Chadema Yataka Kuonana na Rais Samia

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimeomba kuonana na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbowe ‘Sikwenda Nje ya Nchi Kama Mkimbizi wa Kisiasa’

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema kuwa hakwenda nje ya Nchi kwa sababu za kiasiasa badala yake...

READ MORE

Madai Kubambikwa Kodi ya Bil 2, TRA Yamuita Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe ametaja sababu ya kuamua kuondoka nchini na kwenda kuwekeza nchi...

READ MORE

TMA Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa mvua kubwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia leo...

READ MORE

Rc Telack: Shinyanga Haina Mauaji ya Vikongwe

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amesema Mkoa wa Shinyanga hauna tena mauaji ya vikongwe kutokana na juhudi...

READ MORE

Iran Yadai Kituo Chake cha Nyuklia Kimepigwa na ‘Shambulio la Hujuma’

Kiwanda cha nyuklia nchini Iran kilipigwa na “hujuma ” siku moja baada ya kufichua kifaa kipya cha urutubishaji wa madini...

READ MORE

Lwandamina: Yanga Wametushikia Nafasi Yetu

BAADA ya Azam FC, kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa na kukaa nafasi ya pili, kocha mkuu...

READ MORE

Mbowe Amlilia Hayati Magufuli

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, Leo Aprili 11,2021 amelezea alivyosikitishwa na msiba wa aliyekuwa Rais...

READ MORE

Miezi Hii 18 Haitasahaulika Tanzania!

LICHA ya kwamba kila mwanadamu ataonja umauti kama maandiko ya vitabu vya dini yanavyoeleza, lakini katika kipindi cha mwaka 2019...

READ MORE

Rais Samia Afunguka Faida za Mradi wa Bomba la Mafuta (EACOP) -Video

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 11, 2021 amesema mradi wa ujenzi wa Bomba la kusafirisha mafuta ghafi...

READ MORE

Zitto Amuomba Radhi CAG Kichere

KiONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe  leo Aprili 11, amemuomba radhi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za Serikali...

READ MORE

Rais Samia Akaribishwa Na Rais Museveni Wa Uganda Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekaribishwa na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Uganda Mhe....

READ MORE

Rais Samia Awasili Uganda Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Moja (Picha +Video)

    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Uganda leo tarehe 11 Aprili, 2021...

READ MORE

Rais Samia Aondoka Nchini Kwenda Uganda Leo

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo tarehe 11 Aprili, 2021 kwenda nchini...

READ MORE

Familia Iliyotembea Uchi wa Mnyama ‘Tunatii Mizimu’

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Bakari Msulwa amelazimika kuitembelea familia ya Seleman Mpange, mkazi wa Kijiji cha Lukulunge Kata ya...

READ MORE

Majaliwa: Serikali Itakamilisha Mradi wa Umeme wa Maji Mto Rufiji

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Rais Kenyatta Azindua Kiwanda cha Bunduki

Rais Uhuru Kenyatta amezindua kiwanda cha utengenezaji bunduki ambacho ni sehemu ya viwanda vya vifaa vya usalama wa kitaifa eneo...

READ MORE

Makamu wa Rais Mpango Akutana Waziri Jafo

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdori Mpango, akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya...

READ MORE

Prof. Assad Adai Asilimia 60 ya Viongozi Serikalini Hawana Uwezo

Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,  Profesa Mussa Assad amesema kuna haja ya kuanza na safu mpya ...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yaondoka na Bosi wa Utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro leo amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devotha...

READ MORE

Tarimba Aishauri Serikali Kuwatumia Wawekezaji wa Ndani

Serikali imeshauriwa kuunda timu ya wataalamu na wafanyabiashara mashuhuri akiwemo Mohammed Dewji (Mo), ili kushauri na kutengeneza mazingira yatakayowafanya wawekezaji...

READ MORE

TANZIA: Mama Mzazi wa IGP Sirro Afariki Dunia

  Mama mzazi wa IGP Simon Sirro, Monica Nyabyamari amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili...

READ MORE

Prof. Assad: Baraza la Mawaziri Lisiwe na Siri – Video

  Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Musa Assad amesema ubadhirifu unaotokea kwenye baadhi ya wizara huwa hauna...

READ MORE