×

Habari

Mwanaume Mwingine Afariki Akiwa Gesti na Mpenzi Wake

  Mtu mmoja ambaye jina lake halijatambulika amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni akiwa na mwanamke anayehisiwa kuwa ni...

READ MORE

Wazazi Buchosa Wampa Tano Shigongo Kutekeleza Ilani ya CCM

KATIBU wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Sengerema, Khatwabu Mohamed, amempongeza Mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

Afariki kwa Kukanyagwa na Treni Akidandia

MTU mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Noa amefariki dunia baada ya kukanyagwa na treni ya abiria akiidandia wakati ikiwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Amwaga Machozi Alipomuona Binti Miriam – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Ijumaa, Januari 22, 2021, amekutana na binti, Miriam Shemndolwa,...

READ MORE

Hammer Q Amshauri Baba Diamond, Amkataa Mzee Yusuph -Video

 MSANII wa Taarab, Hammer Q leo Januari 22, 2021 amefunguka kupitia kipindi cha KATAMBUGA Cha 255 Global Radio na...

READ MORE

Trump Aaanza Maisha Mapya ‘Uraiani’

  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, ameanza maisha ya kawaida kama raia wengine akiwa katika uwanja wake wa golfu...

READ MORE

Kim Kardashian Avaa ‘Kimtindo’ Akitalikiana na Kanye West

KIM KARDASHIAN (40) jana (Alhamisi) alitoa picha zake kwenye mtandao wa Instagram akiwa katika nguo yenye rangi ya fedha inayoonyesha...

READ MORE

Watoto Waning’inizwa Juu Ya Mti Kupimwa Uzito

WANANCHI katika kijiji cha Nyagisya kata ya Kiore wilayani Tarime mkoani Mara wamelazimika watoto wao kupewa huduma ya kliniki chini...

READ MORE

Shigongo Aendelea Kumwaga Vifaa Kwa Wanafunzi – (Pichaz + Video)

  MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, kupitia kampeni yake ya BUCHOSA MPYA, PELEKA MTOTO SHULE ameendelea na zoezi la...

READ MORE

Marekani Kuanza Tena Kufadhili WHO

MAREKANI itaanza tena kufadhili Shirika la Afya Duniani (WHO) na kujiunga katika ushirika unaolenga kugawanya chanjo ya virusi vya corona...

READ MORE

Tanzia: RC Mstaafu Wa Kigoma Afariki Dunia

Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amefariki Dunia jana Januari 21, 2021 saa tatu...

READ MORE

Kumbe Hii NAYO ni Mipango ya Ibraah

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, chini ya Lebo ya Konde Gang Music Worldwide, Ibrahim Abdul ’Ibrah’ amesema kuwa anatamani...

READ MORE

Aliyetengeneza Keki Zenye Maumbo ya Sehemu za Siri Akamatwa

Mwanamke mmoja nchini Misri ameshikiliwa na polisi kwa muda baada ya kushutumiwa kutengeneza keki zenye maumbo ”yasiyo na heshima” vyombo...

READ MORE

Chuo Cha KITM Chamwaga Nafasi Mpya Za Masomo Machi, 2021

MKUU wa Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam, chenye usajili wa...

READ MORE

NEC Yamjibu Pompeo Kuzuia Viongozi TZ Kukanyaga Marekani

WAKATI Marekani ikitangaza kuweka vikwazo kwa baadhi ya maofisa wa Serikali ya Tanzania kwa madai ya kuvuruga uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Tozo Sh Milioni 1 kwa Magari ya Misiba Yapingwa Arusha

TOZO mpya ya shilingi milioni moja kwa magari yanayokodishwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali ikiwemo ya kubeba miili ya marehemu...

READ MORE

DC Sabaya Awasweka Ndani Mke na Mme – Video

MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ametoa agizo la kukamatwa kwa mfanyabiashara, Alex Elibariki Swai, na...

READ MORE

JPM Atuma Salamu za Rambirambi kwa Mbunge Aliyefariki

RAIS John  Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, ndugu na Spika wa Bunge, Job Ndugai, kufuatia kifo cha aliyekuwa...

READ MORE

Shigongo Amwaga Vifaa vya Shule kwa Watoto Wenye Mahitaji – Video

  OFISI ya Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, kupitia kamati yake ya kuhamasisha wazazi kupeleka watoto shule,...

READ MORE

Trump Aibua Mapya, Sasa Kuanzisha Chama Chake Kipya

  RAIS wa Marekani aliyemaliza muda wake, Donald Trump anakusudia kuunda chama kipya cha siasa kitakachoitwa Patriot Party, baada ya...

READ MORE

Kenya Kupokea Dozi Milioni 24 za Chanjo ya Corona

Kenya inatarajia kupokea dozi milioni 24 za chanjo ya ugonjwa Corona iliyotengenezwa na kapuni ya Astrazeneca na chuo kikuu cha...

READ MORE

Sloti ya Lucky Betting Shop | Mpya Kwenye Kasino ya Meridianbet

Umewahi kubashiri kwenye michezo mtandaoni? Ubashiri wa michezo ni maarufu sana kwa mamilioni ya watu kote duniani. Hili ndilo dhumuni...

READ MORE

Tanzia: Mbunge wa CCM Afariki Dunia

MBUNGE  wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla, amefariki dunia katika Hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa...

READ MORE

Mama Mbaroni Akidaiwa Kumuua Mtoto wa Mumewe – Video

  POLISI Wilaya ya Kinondoni inamshikilia, Pendo Carlos, kwa tuhuma za kumuua mtoto wa mumewe na kujaribu kuwaua watoto wengine...

READ MORE

Bweni Lililochomwa 2018 Laungua Tena, Kura Zapigwa ‘Kubaini’ Wahusika

  SEHEMU ya bweni la wavulana wa Shule ya Sekondari Mang’oto wilayani Makete mkoani Njombe, imeungua moto na kusababisha hasara...

READ MORE

Mkenya Anaswa Akitoa Hongo Apatiwe Cheti cha Corona TZ

RAIA wa Kenya, Alexander Mwikali (42), amefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma ya kutoa rushwa ya Sh....

READ MORE

Ufaransa Yagoma Kuiomba Radhi Algeria

RAIS  wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ameondoa uwezekano wa nchi yake kuomba msamaha rasmi kwa dhuluma ilizozifanya nchini Algeria. Ofisi yake...

READ MORE

Majaliwa Aagiza Kodi, Tozo za Mkonge Zifanyiwe Mapitio

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo ifanye mapitio ya kodi na tozo zote zilizopo katika zao la mkonge...

READ MORE

Askofu Avuliwa Cheo kwa Kuzini na Mke wa Mtu

KANISA la Anglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji waKE WA ...

READ MORE

Biden Ashuhudia Chereko za Kuapishwa Kwake Akiwa Ikulu

RAIS Joe Biden alihitimisha chereko za kuapishwa kwake kwa kutazama milipuko ya baruti kutoka katika ghorofa ya Truman ya Ikulu...

READ MORE

Mbele ya Waziri Mkuu NMB Yajipanga Kusaidia Kufufuliwa Zao la Mkonge

Benki ya NMB imesema kuwa itahakikisha inaendelea kutoa huduma za kifedha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika kufufua zao la...

READ MORE

Trump Amwandikia Biden Ujumbe, Auacha Ikulu

ALIYEKUWA rais wa Marekani, Donald Trump, amefuata angalau utamaduni mmoja kama ilivyo kawaida kwa marais wanaoondoka madarakani. Maafisa wa White...

READ MORE

Biden Aanza Kazi Kwa Kutengua Sera za Trump

RAIS  mpya wa Marekani Joe Biden ameanza kutengua sera kadhaa muhimu za Donald Trump, saa chache baada ya kuapishwa. Rais...

READ MORE

Walimu Wakuu Ludewa Waukubali Mradi wa Darasa Jifunze

BAADHI ya walimu wakuu wa shule za msingi zinazotekeleza mradi wa majaribio wa Darasa Jifunze ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya...

READ MORE

Mwanafunzi na Matroni Wanaodaiwa Kuchoma Moto Shule Wasota Rumande

  Bi Aisha Ali mkazi wa jinini Dar es Salam amejikuta akiangua kilio na kumwaga machozi katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Biden Awa Rais wa 46 wa Marekani – (Picha +Video)

Joe Biden amekula kiapo na kuwa rais wa 46 wa taifa la Marekani. Biden amekula kiapo mbele ya jaji wa...

READ MORE

Wagonjwa Wapya wa Saratani Waongezeka Tanzania

  TANZANIA  kuna ongezeko la wagonjwa wapya wa Saratani wapatao 50,000 na inakadiriwa kuwa, ifikapo mwaka 2030 kutakuwa na ongezeko...

READ MORE

Naibu Waziri Alipongeza Jeshi la Polisi

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Khamis Hamza Chilo (Mb) akiwasili katika ofisi za Makao...

READ MORE

VIDEO: Biden Kuapishwa Rais wa 46 wa Marekani

 RAIS Mteule wa Marekani, Joe Biden, ataapishwa leo Januari 20, 2021 na kuwa rais wa 46 wa Marekani akichukua...

READ MORE

Rais Trump Aondoka Ikulu na Mkewe Melania (Picha +Video)

RAIS Donald Trump ameondoka Ikulu ya Marekani leo Januari 20, 2021 akiwa na mkewe saa 2:12 asubuhi (Tanzania ilikuwa saa...

READ MORE