×

Habari

Nmb Yawagusa Walimu Wakuu Shule za Msingi/Sekondari

Baadhi ya Walimu Wakuu katika Shule za Sekondari na Msingi Kanda ya Kaskazini wamevutiwa na utaratibu wa misaada wanaopata kutoka...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Dua Kumuombea Hayati Rais Karume

Rais Samia Suluhu Hassan leo ameshiriki Hitima ya kumbukumbu ya miaka 49 ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Kwanza wa...

READ MORE

Wananchi Mamkataa Mwekezaji Mbele ya Waziri

  WANANCHI wa vijiji 23 vilivyopo kwenye Kitalu cha Uwindaji (Lake Natron East) wilayani Longido mkoani Arusha wamemkataa mwekezaji wa...

READ MORE

Tanzia: Diwani wa Mbagala Kuu Afariki Dunia

DIWANI wa Mbagala Kuu Shabani. Othman Abubakari (CCM), amefariki dunia katika moja ya nyumba ya kulala wageni iliyoyopo Mbagala Zakhem...

READ MORE

Jafo: Vibali Biashara Vyuma Chakavu Vitolewe kwa Miaka Mitatu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Suleiman Jafo ametoa agizo kuwa vibali vyote vya ukusanyaji,...

READ MORE

UFAFANUZI: Televisheni za Mtandaoni Tu Ndio Zifunguliwe

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa leo Aprili 7, 2021 ametoa...

READ MORE

Watu 15 Wamefariki Kwenye Ajali ya Gari

Watu wapatao 15 wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Mombasa-Malindi nchini Kenya.   Watu wengine ishirini wamejeruiwa katika...

READ MORE

Jeff Bezos Aibuka Tena Kuwa Tajiri Zaidi Duniani

Jeff Bezos ametajwa kuwa mtu tajiri zaidi kwa miaka minne mfululizo, akiwa na utajiri wenye thamani ya dola bilioni 177...

READ MORE

Kifo cha Utata! Mtoto Azikwa, Afukuliwa, Jirani Asimulia – Video

GLOBAL TV imeendelea kufuatilia tukio la mtoto wa miaka (9) aliyefariki dunia na baadaye mwili wake kufukuliwa, baada ya mama...

READ MORE

Wawa Apewa Mwaka Mmoja Simba

BEKI wa kati wa Simba raia ya Ivory Coast, Pascal Wawa, ameandaliwa mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia timu hiyo....

READ MORE

Ukiacha Pombe Mezani Ukaenda Kujisaidia Umekwisha

JESHI la Polisi Mkoa wa Njombe limekamata magari matano ya wizi yaliyoibiwa katika sehemu mbalimbali hapa nchini, huku watu wawili...

READ MORE

Live: Kumbukumbu ya Siku ya Mashujaa Karume Day

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Suluhu Samia ameungana na viongozi wengine pamoja na wananchi mbalimbali katika maadhimisho...

READ MORE

Aggrey Mwanri Alivyogeukia Uchungaji – Video

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri kwa sasa amekuwa mwinjilisti katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Hatujaagizwa Kufungulia Magazeti

Magazeti Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari ambaye pia alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Maelezo, Dkt. Hassan Abbasi...

READ MORE

Waliochanjwa Corona tu Ndio Wataruhusiwa Kuhiji Mecca

Mamlaka za nchini Saudi Arabia zimesema watu waliopata chanjo ya corona peke yake ndio wataruhusiwa kufanya ibada ya Hija mwaka...

READ MORE

Maharusi Wakesha Uwanja wa Mpira kwa Kukiuka Masharti ya Corona

Picha na video za bibi na bwana harusi wakiwa pamoja na familia zao zimepigwa wakiwa wamekesha katika uwanja wa mpira...

READ MORE

Guardiola Alia na UEFA, FIFA

BOSI wa Manchester City, Pep Guardiola amelalamika kuwa Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) pamoja na Shirikisho la Soka la Kimataifa...

READ MORE

Shigongo Achimba Visima vya Maji Buchosa

  IKIWA ni mkakati kuhakikisha tatizo la maji linamalizika katika maeneo mbalimbali ya Jimbo la Buchosa, Mbunge wa Jimbo hilo...

READ MORE

Wafungwa 1,800 Watoroka Jela

Mamlaka ya kitaifa ya magereza nchini Nigeria imethibitisha kwamba zaidi ya wafungwa 1,800 wametoroka jela nchini humo kufuatia shambulio la...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Walimu 6,000 Waajiriwe – Videio

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amewataka Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za...

READ MORE

Rais Samia: Ukinizingua, Tutazinguana! – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaagiza watendaji wa serikali kujituma kufanya kazi akisisitiza...

READ MORE

Rais Samia Ataka Waliofunga Biashara Warejeshwe – Video

  Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameitaka Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuangalia namna bora ya kuwarudisha wafanyabiashara...

READ MORE

Samia Atoa Maagizo Sakata la Vifurushi vya Intaneti – Video

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kushughulikia sakata la kupanda kwa...

READ MORE

Serikali Yakiri Kukosa Fedha Ujenzi Barabara ya Morogoro – Tanga

Serikali ya Tanzania imekiri kukosa bajeti ya ujenzi wa kiwango cha lami barabara ya Kilindi-Iyogwe hadi Gairo yenye urefu wa...

READ MORE

Bango la Wananchi Kuondoka na Mkurugenzi, DC – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa kitaifa wakikutana na mabango katika ziara zao, atawaondoa kazini mkurugenzi wa...

READ MORE

Rais Samia: Vyombo vya Habari Mlivyovifungia, Vifungulieni – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuvifungulia...

READ MORE

Rais Samia Kuunda Tume ya Covid-19 – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amesema anatarajia kuunda kamati ya wataalamu ambayo itamshauri kuhusu...

READ MORE

Siku 21 Maombolezo Kifo cha Magufuli Kumalizika Leo

LEO Jumanne Aprili 6, 2021 ndio siku ya mwisho ya maombolezo ya siku 21 za kifo cha rais wa awamu...

READ MORE

Live: Rais Samia Akiwaapisha Makatibu Wakuu, Manaibu na Wakurugenzi

  RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 06, anawaapisha Makatibu Wakuu, Manaibu wao pamoja na wakurugenzi aliowateua hivi karibuni juzi...

READ MORE

Putin Asaini Sheria Kubaki Madarakani Hadi 2036

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesaini #Sheria inayomruhusu kugombea kwa mihula mingine miwili baada ya muhula wake unaomalizika mwaka 2024....

READ MORE

Watu 20 Wafariki kwa Corona Kenya, Vifo Vyafikia 2,244

Watu 20 zaidi wamefariki ndani ya saa 24 kutokana na kupata Virusi vya Corona na kufanya idadi ya watu waliofariki...

READ MORE

Putin Ndie Mwanaume Mwenye Mvuto Urusi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepigiwa kura kwa mara nyingine tena mwaka huu kuwa ndie Mwanaume mwenye mvuto zaidi nchini...

READ MORE

Harusi Yafanyika Bila Chakula

  Imezoeleka kwenye kila sherehe nyingi lazima kuwe na vinogesho kama chakula, vinywaji, muziki na ‘surprise’ zingine lakini hiyo imekuwa...

READ MORE

DC Muro Anasa Mtandao wa Wizi wa Mifugo

MTANDAO wa wizi wa mifugo umenaswa wilayani Arumeru baada ya vijana wawili ambao wanatajwa kuongoza mtandao huo kutiwa mbaroni.  ...

READ MORE

Mwanamke Amshambulia Polisi na Kumng’oa Sikio

  Afisa mmoja wa Polisi huko nchini Kenya ameshambuliwa na mwanamke kutoka eneo la Lang’ata Jijini Nariobi, kwa kung’atwa hadi...

READ MORE

Baraza la Ulamaa Lateua Masheikh 19 wa Mikoa

Baraza Kuu la Ulamaa la Baraza la Waislam Tanzania (Bakwata) chini ya mwenyekiti wake, Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir...

READ MORE

Dkt. Mpango Awafariji Watoto, Wazee, Wenye Mahitaji Maalum

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amelishukuru Shirika la Teresia wa Mtoto...

READ MORE

Nabii Joshua: Mungu Ameweka Kusudi Jema kwa Rais Samia

WATANZANIA wametakiwa kumuunga mkono, kumtia moyo na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kuwa...

READ MORE

Rais Magufuli Alivyoagiza Mkurugenzi TPDC Arejeshwe Kazini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli (wakati huo) aliagiza Dkt. James Mataragio arejeshwe katika nafasi yake...

READ MORE

Kamanda Mambosasa Awaita Wanaume Wanaonyanyaswa Kijinsia

KAMANDA wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amewataka wanaume wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

READ MORE