×

Habari

Utapeli Unavyofanyika Kwenye Usajili Laini za Simu

KUMEKUWA na kasumba ya mawakala wanapofanya usajili wa laini za simu kumtaka mteja kurudia mara kadhaa kuweka alama ya kidole...

READ MORE

Mkuu wa Uchunguzi TAKUKURU Atoa Ushahidi Dhidi ya Kesi ya Gugai

  SHAHIDI ambaye ni Mkuu wa Uchunguzi na Usalama Katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Mtalai...

READ MORE

Msukuma: Miradi ya Mabilioni ya Pesa, Haina Impact kwa Taifa – Video

MBUNGE  wa Geita kupitia CCM, Joseph Kasheku maarufu kama Msukuma, ameshauri mabilioniya fedha  yanayowekezwa na serikali kwenye miradi ambayo haizalishi,...

READ MORE

Tanzia: Mukhsin Mambo Afariki Dunia

  MWANDISHI wa habari, Mukhsin Mambo, amefariki dunia hii leo Jumatatu, Februari 8, 2021, akiwa nyumbani kwake nchini Marekani. Mambo,...

READ MORE

Wanaougua Ugonjwa Usiojulikana Chunya Kusafirishwa Bure

  Mkuu wa mkoa Mbeya, Albert Chalamila amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuwasafirisha bure wananchi wote wa kijiji cha...

READ MORE

Ebola Yarudi Tena DRC

Shirika la afya ulimwenguni WHO, limesema wafanyakazi wa afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamegundua kisa kipya cha virusi...

READ MORE

Fahamu Kuhusu UN PEACE MAKER

MAJESHI ya kulinda amani yamethibitika kuwa silaha bora zaidi ya Umoja wa Mataifa katika kuzisaidia nchi kadhaa kutoka katika matatizo...

READ MORE

Afrika Kusini Yasitisha Chanjo ya Corona (AstraZeneca)

Afrika Kusini imesitisha mipango ya kuanza utoaji chanjo ya Corona (AstraZeneca) na Oxford baada ya utafiti kuonyesha kuwa chanjo hizo...

READ MORE

Afumaniwa Kitandani na Mke wa ‘Mjeda’

NJEMBA mmoja katika Mtaa wa Kawangware, jijini Nairobi nchini Kenya ametokwa na kijasho chembamba baada ya kunaswa akitafuna asali ya...

READ MORE

Mtendaji Aliyetoweka na Milioni 10 Asakwa

MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora wamemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Hemed Magalu kumsaka Mtendaji wa...

READ MORE

‘Mafuriko ya Damu’ Yazua Gumzo

Kijiji kimoja cha Indonesia kimekumbwa na mafuriko yenye rangi ya damu baada ya maji kuingia katika kiwanda kimoja cha nguo....

READ MORE

Babu Afariki Gesti Akifanya Mapenzi

POLISI  katika kaunti ya Nyandarua nchini Kenya wanachunguza hali iliyosababisha kifo cha mzee mmoja mwenye miaka 58, ambaye ameaga dunia...

READ MORE

Asimulia Alivyopewa Adhabu kwa Saa 2 Ujauzito Ukaharibika

ASHA RAJABU (28) mkazi wa kijiji cha Samanga Marangu wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amesimulia namna alivyorukishwa kichurachura na mwenyekiti...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Wanafunzi Kukimbia Kipimo Kipya cha Corona

VIDEO inayosambaa mtandaoni inaonyesha madai ya uongo ya wanafunzi wa shule wakiwa wanakimbia kuchomwa chanjo ya corona kwa lazima.  ...

READ MORE

Wanachama 100 ACT Wazalendo Wahama, Agizo la JPM Latekelezwa Ubungo

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Sakata Ugonjwa Usiojulikana, Mganga Mkuu Chunya Yamkuta

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Dorothy Gwajima, ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri...

READ MORE

Mume, Mke Wafariki Pamoja Katika Mazingira Tofauti

GIZA  nene limetanda katika kijiji cha Wari, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, baada ya mme na mke kufariki siku moja...

READ MORE

Papa Ateua Mwanamke wa Kwanza Sinodi ya Maaskofu

KIONGOZI  wa kanisa katoliki duniani,  Papa Francis,  amemchagua mwanamke wa kwanza kuwa katibu katika baraza la mkutano wa maaskofu.  ...

READ MORE

Tanzania Yapaa Nafasi 23 Mapambano ya Rushwa Duniani

TANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa ambapo kwa mujibu wa taarifa ya taasisi ya utafiti ya kimataifa,...

READ MORE

Waziri Kalemani Asimamisha Vigogo Wawili Tanesco

WAZIRI wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewasimisha kazi vigogo wawili wanaosimamia vituo vya kuzalisha umeme vya Ubungo 1 na Kinyerezi...

READ MORE

Meridian Bet Yamsaidia Mchimba Madini Aliyepata Ulemavu Kimaajabu

KAMPUNI ya michezo ya kubashiri Tanzania MERIDIAN BET imejitokeza kumsaidia Kijana Shabani Salum (34) Mkazi wa Chanika Jijini Dar es...

READ MORE

Vijana Think Tank Yatoa Hamasa Wanafunzi wa Sayansi Kusoma kwa Vitendo

Kuelekea siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi Taasisi ya VIJANA THINK TANK (VTT) limetoa hamasa kwa wanafunzi...

READ MORE

Wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi Watakiwa Kutoa Hukumu kwa Kiswahili

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewaagiza Wenyeviti wa Mabaraza ya ardhi na Nyumba ya wilaya...

READ MORE

Serengeti Music Festival Yafana Dodoma

USIKU wa kuamkia leo Februari 7, 2021, limefanyika bonge moja la tamasha pale makao makuu ya nchi, kwenye uwanja wa...

READ MORE

Msisherekee Tambwe Kulipwa, Angalieni Msingi Wa Tatizo, Mjiulize…

UMEWASIKIA Yanga, wamesema watalilipa lile deni wanalodaiwa na mshambuliaji wao wa zamani, Amissi Tambwe raia wa Burundi. Wanatakiwa kulipa zaidi...

READ MORE

Sarah Asepa na Kila Kitu Chake Kwa Harmo

IMEVUJA! Aliyekuwa mpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ Sarah ametimkia nchini kwao Italy na kuchukua kila kilichokuwa...

READ MORE

Chunya: Wananchi Wakumbwa na Ugonjwa wa Kutapika Damu – Video

Diwani wa Ifumbo wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya, Weston Mpyila ameiomba Serikali kuwasaidia kupata ufumbuzi kutokana na kuzuka kwa ugonjwa...

READ MORE

Simba vs Azam FC Kesho Kitawaka Kwa Mkapa

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kesho saa moja kamili usiku wanatarajiwa kuwakaribisha wapinzani wao Azam FC kwenye Uwanja...

READ MORE

Yamkuta Baada ya Kurithi Mke wa Jamaa Aliyezushiwa Kufa

SEKESEKE limezuka katika nyumba moja eneo la Aboloi Teso, nchini Kenya, baada ya jamaa kurejea nyumbani kwake na kumshambulia jirani...

READ MORE

Serikali: Hakuna Mgonjwa wa Corona Bugando, Sekou-Toure

SERIKALI imesema hakuna wagonjwa wa corona katika hospitali ya Kanda ya Bugando na ile ya rufaa ya Sekou-Toure za jijini...

READ MORE

Biden Awaondoa Wahouthi Kwenye Orodha ya Magaidi

SERIKALI ya Marekani inadhamiria kuliondoa kundi la waasi wa Kihouthi nchini Yemen kutoka kwenye orodha ya makundi ya kigaidi.  ...

READ MORE

Serikali: Si Kila Tatizo la Kupumua ni Corona

KATIBU Mkuu8 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Mchembe, amewatoa hofu wananchi kwamba matatizo...

READ MORE

Simanzi: Mwili wa RAS Kwitega Waagwa Arusha – Video

MWILI wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) wa Arusha, marehemu Richard Kwitega, umeagwa jana Feb 5, 2021, katika viwanja...

READ MORE

Himid Mao Atua Entag El Harby

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Himid Mao ‘Ninja’ amekamilisha dili la kujiunga na Entag El Harby FC inayoshiriki Ligi Kuu...

READ MORE

Shigongo: Tufanye Maamuzi Kutekeleza Ndoto za Rais – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amewasihi wabunge wote kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ...

READ MORE

Swali la Kwanza la Shigongo Bungeni – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, leo Februari 5, 2021, ameuliza swali kwa mara ya kwanza bungeni jijini Dodoma kwa...

READ MORE

Breaking: Joyce Kiria Akamatwa na Polisi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na jeshi la Polisi wanamshikilia mwanaharakati Joyce Kiria kwa kosa la kuendesha mtandao...

READ MORE

Upandikizaji wa Kwanza wa Uso na Mikono

MMAREKANI Joe DiMeo (22), alifanyiwa upasuaji wa kwanza wa uso na mikono wa saa 23 huko New York, NYU Langone,...

READ MORE

Familia Inayoamini Kusomesha Watoto, Kumiliki Simu, TV ni Dhambi

FAMILIA ya Merchades Buberwa, mkazi wa Kasarani, Bukoba mkoani Kagera, imeeleza haina mpango wa kuwapeleka watoto wao shule, lakini pia...

READ MORE

Dereva Aliyekimbia Ajali Iliyomuua RAS Kwitega Asakwa na Polisi

  DEREVA wa basi la kampuni ya Makara lililogongana uso kwa uso na gari la aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa...

READ MORE