×

Habari

Familia Inayoamini Kusomesha Watoto, Kumiliki Simu, TV ni Dhambi

FAMILIA ya Merchades Buberwa, mkazi wa Kasarani, Bukoba mkoani Kagera, imeeleza haina mpango wa kuwapeleka watoto wao shule, lakini pia...

READ MORE

Dereva Aliyekimbia Ajali Iliyomuua RAS Kwitega Asakwa na Polisi

  DEREVA wa basi la kampuni ya Makara lililogongana uso kwa uso na gari la aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa...

READ MORE

Tanzia: Aliyepiga Picha ya Muungano wa Tanganyika na Zaznibar Afariki

  MWANDISHI wa habari mkongwe, William Mbunga, aliyepiga picha tukio maarufu la Baba Wa Taifa, Hayati Mwl. JK Nyerere akichanganya...

READ MORE

Ndoa ya Kajala, Harmonize Yanukia

Siku zote wanasema kuwa lisemwalo lipo kama halipo basi litakuja! hivi ndivyo ilivyo kwenye uhusiano tata kati ya msanii wa...

READ MORE

Jaji Yamkuta, DNA Yabaini Watoto 3 wa Ndoa si Wake

JAJI mmoja kutoka jimbo la Delta, Nigeria, kwa jina Anthony Okorodas, amefichua kuwa si baba halisi wa watoto watatu kutoka...

READ MORE

Tanzia: Profesa Mpangala Afariki Dunia

PROFESA wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala, amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi, Februari 4,...

READ MORE

Sakata la Baba Diamond Laibuka Upya, Familia ya Nyange Yafunguka – Video

  MDOGO wake marehemu Salum Idd Nyange, Abdul Kambaya, ameibuka na kuanika mapya kuhusu familia hiyo ya marehemu ambayo imekuwa...

READ MORE

Majaliwa: Halmashauri Zikamilishe Madarasa kwa Mapato Yao

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza halmashauri zote nchini kutenga bajeti kwa kutumia mapato yao ya ndani kwa ajili ya...

READ MORE

WHO Yainyima Tanzania, Burundi Chanjo ya Corona

Shirika la afya duniani WHO limetangaza mpango wa muda kuhusu jinsi nchi zitakavyopewa chanjo za corona mwaka huu, huku Tanzania...

READ MORE

Wasafi TV Yalegezewa Kitanzi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekiruhusu kituo cha televisheni, Wasafi TV, kuanza tena kurusha matangazo kuanzia Machi Mosi 2021, baada...

READ MORE

Watu 32 Wafariki Katika Ajali ya Magari Matano

WATU 32 wamepoteza maisha na wengine watano kujeruhiwa vibaya, baada ya ajali kutokea usiku wa kuamkia leo ikihusisha magari matano...

READ MORE

JPM: Mumeo Aliyefukuzwa Akatafute Kazi Nyingine – Video

RAIS John Magufuli, amemshauri mwanamke aliyedai kuwa mume wake alikuwa ni askari magereza na alifukuzwa kazi baada ya kusingiziwa kwamba...

READ MORE

Mbunge Amkomalia Magufuli Aongezewe Muda Madarakani

MBUNGE wa Makambako (CCM), Deo Sanga, jana Jumatano Februari 3, 2021, amerudia kauli yake ya kutaka Rais John Magufuli aongezewe...

READ MORE

JPM: Mkuu Wenu Alimtumia Mkewe Kutengeneza Sare za Askari

Rais Dkt. John Pombe amesema amefurahishwa na Jeshi la Magereza ambalo alikuwa amezoea kila siku kukuta mambo ya kukuudhi lakini...

READ MORE

Majaliwa Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa agizo kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa kuhakikisha watumishi waliopaswa kuhamia katika...

READ MORE

Mbunge CHADEMA Amuomba JPM Kufuta Kesi Zote za Uchaguzi 2020

Mbunge wa viti maalum wa kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Nusrat Hanje amemuomba Rais Dkt. John Magufuli kuzifuta...

READ MORE

EWURA Yatangaza Kupanda kwa Bei ya Mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza ongezeko la bei ya mafuta ya Petroli na Dizeli...

READ MORE

Breaking: Katibu Tawala wa Arusha Afariki Ajalini

KATIBU tawala Mkoa wa Arusha, Richard Kwitega amefariki katika ajali ya gari leo Jumatano Februari 3, 2021 wakati akitoka mkoani...

READ MORE

Breaking News: Daka Bando la Bure Chapchap!

MAMBO si ndo haya sasa, daka bando chap chap, usipitwe! Wale wasomaji wa Magazeti ya Global Publishers kwa njia ya...

READ MORE

Mwalimu Afukuzwa Kazi kwa Wizi wa Mitihani

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, imemfikisha Mahakamani mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Orkitikiti, Kijiji cha Engong’ongare...

READ MORE

Jumbo Camera Watoa Punguzo la Bei Msimu wa Wapendanao

WAUZAJI wa vifaa bora vya uzalishaji wa video na sauti, JUMBO CAMERA HOUSE wameshusha mzigo mpya wa Camera, Tripod Stand,...

READ MORE

Kortini Kukutwa na Meno ya Simba, Tembo

WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa mashtaka mawili likiwemo la kukutwa...

READ MORE

Waliocharazwa Bakora na Naibu Waziri ‘Kushtaki’ Mahakamani

Wakili Mwandamizi Anthony Nasimire katika hotuba yake ndani ya wiki ya Sheria amesema vitendo vya hivi karibuni vya Viongozi kuwatandika...

READ MORE

Wanaume Kusikiliza Malalamiko ya Wanaume Kupigwa

Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, imetakiwa kuweka utaratibu Wataalam Wanaume ili kupokea na kusikiliza malalamiko ya Wanaume wanaopigwa na...

READ MORE

Kilichomkuta Gavana Sonko Mahakamani

Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko amekanusha mashitaka 12 dhidi yake, ikiwa ni pamoja na ghasia na wizi wa...

READ MORE

Wakulima Kupiga Simu Bure

Akiwa Bungeni Dodoma, Naibu Waziri wa #Kilimo, Hussein Bashe amesema wapo kwenye hatua za mwisho za kuanzisha Kituo cha Huduma...

READ MORE

Spika Azitaka Kamati za Bunge Kutofanya Kazi kwa Mazoea

Spika Job Ndugai amezitaka Kamati za Kudumu za Bunge kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kubweteka huku zikiamini muda bado...

READ MORE

Aonekana Akifanya Ngono Wakati Mahakama Ikiendelea

Wakili Héctor Cipriano Paredes amezua gumzo nchini Peru na duniani kwa ujumla mara baada ya kufanya ngono na mwanamke mmoja...

READ MORE

Anaswa Akimiliki Kiwanda cha Kutegenezea Silaha za Moto

  Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia, Shabani Athumani (61) mkazi wa Kwamakocho, Chalinze akituhumiwa kumiliki kiwanda cha kutengenezea...

READ MORE

Mbunge CCM Adai Shule Imegeuka Makazi ya Ngedere, Nyani

MBUNGE wa Ulyankulu (CCM), Rehema Migila amesema Shule ya Sekondari ya Isike iliyopo kata ya Igombe mkoani Tabora nchini Tanzania...

READ MORE

Tume Yabaini Chanzo cha Kifo cha Dereva wa Lori Mbeya

  Tume ya watu saba iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kuchunguza kifo cha dereva wa lori...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Wagonjwa wa Corona Dar

  KATIBU MKUU Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Prof. Mabula Mchembe amewataka Wananchi kupuuza taarifa...

READ MORE

Lina wa Dar Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa kusafirisha Dawa Za Kulevya, Wawili Miaka 20

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mkazi wa Tabata, Lina Muro kwenda jela miaka 30 baada ya kutiwa hatiani kwa...

READ MORE

Kigogo Chama cha Wafanyakazi Kortini kwa Tuhuma za Utakatishaji Fedha

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemfikisha mahakamani aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu katika Chama cha Wafanyakakazi...

READ MORE

Tanzia: Mzee Yusuf Afiwa na Baba Yake Mzazi

MSANII mkongwe wa muziki wa taarab nchini, amepata pigo la kuondokewa na baba yake mzazi, Yusuf Mzee,  kilichotokea leo, Jumanne...

READ MORE

Wastara: Mama Ulitaka Lulu Akaishi Kwenye Kaburi la Kanumba?

  MSANII nguli wa Bongo Movies, Wastara Juma,ameshindwa kuvumilia na kuamua kumtolea uvivu mama wa aliyekuwa msanii namba moja wa...

READ MORE

Polisi Yawasaka Waliohamasisha Mgomo wa Madereva

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawatafuta kwa mahojiano viongozi wa chama cha madereva wa mabasi...

READ MORE

JPM Ampa Maagizo Mazito Mwigulu – Video

  RAIS  John Magufuli ameitaka Wizara ya Katiba na Sheria kuhakikisha Kiswahili kinatumika katika kesi na hukumu za mashauri mbalimbali...

READ MORE

Wabunge 19 Waliotimuliwa Chadema Watua Bungeni – Video

WABUNGE 19 wa viti maalumu wanaotokana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la...

READ MORE

Serikali Yapeleka Kivuko cha Bilioni 5.3 Mafia Nyamisati

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), leo imerejesha furaha na matumaini kwa wakazi wa Mkoa wa Pwani...

READ MORE