×

Habari

Kamanda Mambosasa Awaita Wanaume Wanaonyanyaswa Kijinsia

KAMANDA wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amewataka wanaume wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

READ MORE

Bernard Tapie: Mmiliki wa Adidas Avamiwa

Mfanyabiashara nguli aliyekuwa na kashfa na mmiliki wa zamani wa Adidas Bernard Tapie na mkewe washambuliwa baada ya kuvamiwa katika...

READ MORE

Kenya Yaijibu Uingereza

SERIKALI ya Kenya imejibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo watakaowasili sharti la kuwa karantini kwa siku...

READ MORE

Tanzia: Paroko Mbiku UDSM Afariki Dunia

Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.   Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha...

READ MORE

Maporomoko ya Matope Yaua Watu 50

Flores Mashariki mwa Indonesia ni miiongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko hayo Watu wapatao 50 wamefariki kufuatia mafuriko na...

READ MORE

Samia Atengua Uteuzi Mkurugenzi TPDC Kabla ya Kumwapisha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametengua uteuzi wa Thobias Mwesiga Richard kuwa Mkurugenzi mpya wa Shirika la Maendeleo...

READ MORE

Muhimbili Wamjibu Kigwangalla ‘Hatuondoi Nyungu’

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema haitaondoa huduma ya kujifukiza Hospitalini hapo kama ilivyoshauriwa na Mbunge wa Nzega Vijijini, Hamisi...

READ MORE

Dotto James Ang’olewa Wizara ya Fedha, Msigwa Ahamishwa Ikulu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumapili Aprili 4, 2021 amefanya uteuzi wa makatibu wakuu wa wizara, naibu makatibu wakuu...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 5, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 4, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App...

READ MORE

Kigwangalla Ataka ‘Nyungu’ ya Muhimbili Ivunjwe

  Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate...

READ MORE

Mameneja Wa Tanesco Wanaokatakata Umeme Kubebeshwa Virago

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao hawatawaunganishia umeme kwa wateja waliolipia...

READ MORE

TCRA: Vifurushi Vinaweza Kutumia Siku Nne Kurejea

MENEJA wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA, James Kilaba amesema vifurushi vilivyokuwa vinatumika awali vinaweza kutumia hadi siku nne kurejea....

READ MORE

Makamu Wa Rais Mpango Ahudhuria Ibada Ya Pasaka

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amezungumza na Waumini wa Dini ya Kikristo...

READ MORE

Wasanii Mjipange Kwa Mama Samia

WASANII wengi wa kike kwenye kurasa zenu mmefurahi taifa kupata rais mwanamke.Mmechekelea sana kumpata, Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza usukani...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Pasaka Njema Watanzania Wote

Leo Aprili 4 Wakristo ulimweguni kote wanaadhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo (sikukuu ya Pasaka ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Rais Samia Atua Dar Akitokea Dodoma – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 3, 2021 amepokelewa na Mkuu wa mkoa wa...

READ MORE

Mwigulu: Mlioficha Pesa Nyumbani Ziwekeni Benki, Zitaliwa na Panya

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara wanaoficha fedha majumbani kuacha kufanya hivyo na badala yake wahifadhi...

READ MORE

Kocha Simba Awazidi Ujanja AS Vita

ACHANA na ile ya kila pasi tano bao, sasa hivi Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa Didier Gomes amekuja na kila...

READ MORE

Wanafunzi Wanne UDOM Wafariki Ajalini

Wanafunzi wanne wa Chuo Kikuu Dodoma (Udom) wamefariki dunia katika ajali ya basi la kampuni ya Machame iliyotokea Machi 30,...

READ MORE

AS Vita Walikataa Gari la Simba Uwanja wa Ndege

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, viongozi wa Klabu ya AS Vita juzi Alhamisi walikataa basi ambalo waliandaliwa na wenyeji wao...

READ MORE

Ofisa Chanjo Hanang’ Anusurika Kwenda Jela kwa Kughushi

MRATIBU chanjo wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Mkojera Philemon Mkojera amenusurika kwenda jela miezi 12 baada ya...

READ MORE

Serikali Yasitisha Bei Mpya za Vifurushi vya Intaneti

SERIKALI YASITISHA BEI MPYA ZA MATUMIZI YA VIFURUSHI VYA INTANETI zilizoanza kutumika leo Aprili 2, 2021 na mitandao yote ya...

READ MORE

Gwajima Amshukuru Rais Samia Kuimulika Sekta ya Maendeleo ya Jamii

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Hayati JPM na Maajabu ya Namba 5

TAIFA la Tanzania bado lipo kwenye maombelezo ya siku 21 kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais, Hayati John Pombe Joseph Magufuli....

READ MORE

Polisi Yatoa Ufafanuzi Sikukuu ya Pasaka

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limesema halijazuia ibada za sikukuu ya Pasaka na kwamba walichozuia ni mikusanyiko, sherehe na makongamano...

READ MORE

Mahakama Yavunja Ndoa Baada ya Wanandoa Kutoshiriki Tendo kwa Miaka 21

Mahakama ya Mwanzo Buguruni imevunja ndoa ya mwimbaji wa nyimbo za injili, Rebecca Magaba na Zabron Maselege baada ya wanandoa...

READ MORE

Messi wa Misri Ashangaza

Mchoraji mmoja kutoka Misri amepata mashabiki wengi katika taifa hilo la Afrika Kaskazini hasa wapenzi wa soka wanaovutiwa na mchezo...

READ MORE

Madereva 10 wa Mabasi Kikaangoni – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene ameagiza Jeshi la Polisi nchini kuwanyang’anya leseni madereva 10 wa mabasi yanayofanya safari...

READ MORE

Rais Samia Atoa Msimamo Kuhusu Katiba Mpya – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ni kama amejisahau mara nyingi kwa kusema linaoendelea ni...

READ MORE

Gharama za Mitandao Zapaa, Wananchi Wakinukisha

KUFUATIA changamoto iliyokuwepo ya bei kubwa ya vifurushi vya mitandao ya simu na kupelekea Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya...

READ MORE

Watumishi wa Tanesco Kizimbani kwa Tuhuma za Uhujumu Uchumi

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Arusha imewafikisha Mahakamani Watumishi watano wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)...

READ MORE

ACT-Wazalendo Yasema Kuchaguzi Muhambwe

Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kitashiriki Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Muhambwe, ambalo liko wazi baada ya kifo cha Atashasta Nditiye...

READ MORE

Taarifa ya Polisi Kuhusu Sherehe za Pasaka

  Ndugu Wanahabari, Kama mnavyofahamu Taifa letu bado lipo kwenye siku 21 za maombolezo baada ya kifo cha aliyekuwa Rais...

READ MORE

Waziri Ummy: Tamisemi ni Kubwa, Sio Ngumu

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu amewataka watendaji wa...

READ MORE

Waziri Jafo Aahidi Changamoto Za Muungano Kupatiwa Ufumbuzi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Said Jafo amesema atahakikisha changamoto za Muungano...

READ MORE

Facebook Yapiga Marufuku ‘Sauti ya Trump’

Mtandao wa Facebook umeondoa video ya aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump kwenye ukurasa wa mkwe wake. Facebook ilimpiga marufuku...

READ MORE

Rais Samia Aonya Manyanyaso kwa Wafanyabiashara, Fedha Zao Kuchukuliwa

Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba kutanua wigo wa ukusanyaji kodi akionya kile alichokiita kuwaua...

READ MORE

Ufahamu ‘Mji wa Mashetani’ Libya

Kama mtu mzima wa familia, Abdel Manaam Mahmoud hakuwa na budi zaidi ya kuzika mwili wa kaka yake Esmail katika...

READ MORE

Balozi Katanga: Nilipata Taarifa za Uteuzi Nikiwa Airport

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Katanga leo Alhamisi Aprili Mosi, 2021 amesema alipokea taarifa kuwa ameteuliwa kushika wadhifa huo akiwa...

READ MORE