×

Habari

Zuma Kushtakiwa kwa Kudharau Mahakama

MWENYEKITI wa tume ya uchunguzi kuhusu madai ya rushwa yanayomkabili aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema anataka kiongozi...

READ MORE

Rais JPM Atengua Uteuzi wa DED Kinondoni

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Aron Titus Kagurumjuli. Uteuzi wake...

READ MORE

Gomes Ataja Kitakachoibeba Simba Kimataifa

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes Da Rosa, amefunguka kuwa kama watacheza kwa nidhamu na kupambana pamoja kama walivyofanya kwenye...

READ MORE

Pichaz: Lulu na Majizzo Walivyofunga Ndoa

MSANII maarufu wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunga ndoa na mchumba wake ambaye ni CEO wa EFM na TVE,...

READ MORE

17 Mbaroni Wakituhumiwa Kuua, Kubaka na Kupora

  POLISI mkoani Mwanza inawashikilia watuhumiwa 17 wa makosa mbalimbali yakiwemo mauaji ya familia, ubakaji, ukatili wa kijinsia, uporaji na...

READ MORE

Video: Waziri Lukuvi Asimamisha Ujenzi Coco Beach, Avunja Uzio

 WAZIRI wa Ardhi, William Lukuvi, leo Februari 16, 2021 amefika Coco Beach na kukuta ujenzi wa Kiwanja ukiendelea kinyume...

READ MORE

Mwita Waitara Atoa Maagizo NEMC

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na...

READ MORE

“Hatuwezi Kuwa Mateka wa Suala” – Waziri wa Kilimo

SERIKALI imeutaka uongozi wa kiwanda cha sukari Kilombero kuhakikisha inaharakisha mchakato wa uwekezaji ili kuongeza uwezo wake wa kuchakata miwa...

READ MORE

Apigwa Risasi ya Mguu Akidhaniwa Nyani

  TATU Bakari Hassan, mkulima mwenye miaka 55 mkoani Pwani, amejeruhiwa mguu wake wa kulia kwa kupigwa risasi akiwa shambani...

READ MORE

Upepo Mkali Waondoka na Nyumba za Familia, Majengo ya Shule

  FAMILIA sita katika Kijiji cha Namanguli Kata ya Luchili, wilayani Namtumbo, mkoani Ruvuma, zimekosa makazi baada nyumba zao kuezuliwa...

READ MORE

Kasi ya Ujenzi Wa Vituo Jumuishi Yamkosha Waziri wa Katiba na Sheria

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba ameupongeza Uongozi wa Mahakama ya Tanzania kwa ubunifu mkubwa na matumizi...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Kusafirisha Wahamiaji Haramu

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani, limemkamata dereva wa gari lenye namba za usajili T 703 DTR aina ya Hiace,...

READ MORE

Ebola Yaripotiwa Kuingia Guinea

Guinea imeripoti maambukizi ya ugonjwa wa #Ebola ambapo watu wanne wameripotiwa kufariki dunia hadi sasa. Idara ya Afya ya Taifa...

READ MORE

Watu Zaidi ya 60 Wafariki Dunia Ajali ya Boti

WATU zaidi ya 60 wameripotiwa kufariki dunia baada ya boti waliokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika mto Congo nchini Jamhuri...

READ MORE

Kachero Adai Alikataa Hongo Kesi Dawa za Kulevya

  SHAHIDI wa tano wa upande wa mashtaka katika kesi ya ulimaji wa dawa za kulevya aina ya bangi na...

READ MORE

Waislamu Watangaziwa Mfungo Siku 3

  KATIBU wa Baraza la Maulamaa, Sheikh Hassan Chizenga, ametaka waumini wa dini ya Kiislamu nchini  kufunga kwa siku tatu...

READ MORE

Mwanafunzi Mbaroni Akidaiwa Kumlawiti Mwenzake

MWANAFUNZI (13) wa darasa la sita wa Shule ya Msingi Maguja anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzake...

READ MORE

Askofu Mwamakula Akamatwa na Polisi

POLISI Mkoa wa Dar es Salaam imemkamata Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula wa Kanisa la Uamsho la Moravian kwa kosa la...

READ MORE

Ulega Asisitiza Matumizi ya Kiswahili Bidhaa za Ndani na Nje

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Abdallah Ulega amewataka wazalishaji wa bidhaa za ndani kuandika kwa Kiswahili...

READ MORE

DED Korogwe Afariki Dunia

MKURUGENZI wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2021, Hospitalini jijini Dar...

READ MORE

Ukatili! Anayedaiwa Kuuwa Wanawake Akamatwa Arusha – Video

JESHI la Polisi Mkoani Arusha linawashikilia watuhumiwa wa mauaji ya wanawake tisa waliouwawa kikatili maeneo ya Kisongo nje kidogo ya...

READ MORE

60 Waishia Mikononi Mwa Polisi Kilimanjaro

Watu 60 wakazi wa wilaya ya Rombo wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanajaro kwa tuhuma za utengenezaji wa pombe...

READ MORE

Bad News: Fisi Waua Watoto Wawili Geita

WATOTO wawili wamefariki dunia na watu wanne kunusurika kifo baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na kundi la fisi ambao wamekuwa...

READ MORE

Kilichowakuta Mdee na Wenzake Kortini Leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-saalam, imewasomea maelezo ya awali wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wakiwemo...

READ MORE

Watumishi wa Serikali Kizimbani kwa Tuhuma za Wizi

Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Songwe leo tarehe 15/02/2021 imewafikisha watumishi wa umma wawili(02) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa...

READ MORE

Ofisa Mauzo Kortini Akidaiwa Kuiba Mil 89 – Video

OFISA Mauzo wa Kampuni ya Amsons Industries Tanzania Limited, John Joseph (40),  mkazi wa Kimara Michungwani jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Exclusive: Siku za Ndoa ya Lulu Zatimia, Maandalizi Yanoga

HAYAWI hayawi, sasa ni rasmi yamekuwa! Ndivyo kilivyoanza kunyetisha chanzo chetu cha uhakika juu ya kufungwa kwa ndoa ya Malkia...

READ MORE

Wananchi Rwanda Waanza Kuchoma Chanjo ya Corona

CHANJO dhidi ya Covid-19 imeanza kutolewa nchini Rwanda kwa wahudumu wa afya, wizara ya afya imetangaza.   Afisa wa wizara...

READ MORE

Seneta Haji Afariki

SENETA wa Garissa, Mohamed Yusuf Haji amefariki, familia yake imethibitisha.   Haji ambaye hadi mwaka 2020 alihudumu kama Mwenyekiti wa...

READ MORE

Pigo: Wanne Familia Moja Wafariki Katika Mazingira Tofauti

FAMILIA ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Profesa Delphina Mamiro, imepata pigo ndani siku 28 kwa kupoteza...

READ MORE

KCMC Yafungukia Mgomo wa Madaktari

HOSPITALI  ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro, kupitia kwa msemaji wake, Gabriel Chiseo, imeweka wazi kuwa hakuna mpango wa kugoma kwa...

READ MORE

Huawei Yasisitiza Kuendelea Kuimarisha Utandawazi

  Kampuni ya Huawei imeahidi kuzingatia mkakati wake wa utandawazi licha ya shinikizo la nje. Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...

READ MORE

Mapinduzi ya Myanmar: Jeshi Latanda Mitaani, Intaneti Yazimwa

  Magari ya kivita yametanda katika mitaa ya miji kadhaa nchini Myanmar huku kukiwa na ishara kwamba wanajeshi wanaandaa msako...

READ MORE

Seif Khatib Afariki Dunia

MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili Zanzibar (BAKIZA) Dkt. Mohammed Seif Khatib, amefariki dunia leo asubuhi Jumatatu Februari 15, 2021.  ...

READ MORE

Mbwa Arithi Tsh Bilioni 1.1

  MBWA mmoja amerithi fedha dola milioni 5 (sawa na Tsh bilioni 1.1) kutoka na mmiliki wake aliyefariki katika jimbo...

READ MORE

Ajali Basi la Coast Line, Watano Walazwa, 16 Waruhusiwa

WATU watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Nyerere, jana kutokana na ajali ya basi la kampuni ya Coast Line lililokuwa...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Kufukiwa Kifusi Kahama

WATU  wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa kifusi  kwenye machimbo ya kijiji cha Mwime duara namba 11C kata ya Zongomela...

READ MORE

Yajue Majeshi Yenye Nguvu Zaidi Duniani

JARIDA la kimataifa la ‘Firepower’ ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , limetoa orodha ya...

READ MORE

China Yagoma Kutoa Data za Covid-19 kwa WHO

  CHINA imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, ambapo mmoja...

READ MORE

Watumishi Waliohodhi Vizimba Soko Kuu Moro Yawakuta

WAFANYABIASHARA katika Soko la Chifu Kingalu wamelalamika kwa Rais John Magufuli kuwa wanauziwa vizimba kwa bei isiyo ya manispaa na...

READ MORE