×

Habari

Raia wa Uganda Kuchagua Rais na Bunge Jipya Leo

  Raia nchini Uganda wanapiga kura leo Januari 14, 2020 kuchagua rais mpya pamoja na wabunge katika uchaguzi mkuu utakuwa...

READ MORE

Kaimu Mkurugenzi Atumbuliwa kwa Kusafirisha Maiti Juu ya Carrier ya Gari.

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amemuagiza Katibu Mkuu...

READ MORE

Gari la Maiti Lakamatwa na Shehena ya Mirungi Tanga

JESHI la Polisi Mkoani Tanga limemkamata mkazi wa Kimara Jijini Dar es Salaam Simon Pasian Tarimo(37) akiwa amebeba mirungi bunda...

READ MORE

TCRA Yawakaanga Cable TV Kanda ya Ziwa

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) Kanda ya Ziwa imewapiga marufuku wamiliki wa Cable TV kuonyesha vipindi ambavyo havitakiwi katika cable...

READ MORE

Wanaodaiwa Kufanya ‘Biashara ya Walemavu’ Wafikishwa Mahakamani

WASHITAKIWA 15 wanaodaiwa kuwatumikisha walewavu waliokamatwa katika maeneo ya Tandale jijini Dar es Salaam hivi karibuni, wamefikishwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Breaking News: Amber Rutty Aachiwa Huru Leo

MSANII Rutyfiya Abubakary maarufu kama ‘Amber Rutty’ ameachiwa huru leo Januari 13, 2021 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...

READ MORE

Bunge Kupiga Kura Tena Kumshtaki Trump Leo

Spika Nancy Pelosi. BUNGE la Marekani litapiga kura kwa mara ya pili kihistoria leo Januari 13, 2021 baada ya Makamu...

READ MORE

Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 18

Vikao vya Kamati za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vinatarajiwa kuanza kufanyika Januari 18 hadi 31, 2021 jijini...

READ MORE

Kamati Yatangaza Kikosi Cha Simba, Yanga Fainali Mapinduzi

Kamati ya Fainali za Mapinduzi Cup imesema kuwa ni wachezaji 20 tu wa vilabu vya Simba na Yanga ambao wanaoruhusiwa...

READ MORE

Tigo Yahitimisha Promosheni ya Tigo Pesa Wakala Push kwa Zawadi

VUKA LENGO NA USHINDE: “Ili kuwa mshindi, kila wakala alitakiwa kuvuka lengo alilopewa kulingana na historia ya miamala yake ya...

READ MORE

Serikali Yafafanua Uhaba wa Mafuta ya Kupikia

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb), amewahakikishia wananchi kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta ya kula itatengemaa...

READ MORE

Waziri Biteko Akagua Wauza Madini Dar, Aonya Matapeli

Waziri wa Madini, Dotto Biteko amewacharukia matapeli wanaojihusisha biashara ya uuzaji na ununuzi wa madini kinyemela  majumbani mwao na kuikosesha...

READ MORE

Ghasia za Capitol: Bunge la Uwakilishi Kumshtaki Trump

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kwamba hotuba yake ya wiki iliyopita alipowataka wafuasi wake kuvamia bunge la Congress ‘ilistahili’....

READ MORE

Taarifa Mpya Kufungiwa Wasafi TV

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa ametoa taarifa mpya juu ya kinachoendelea kufuatia kufungiwa Wasafi TV kwa...

READ MORE

Washindi 40 Droo ya 6 NMB MastaBATA wavuta mkwanja

DROO ya sita ya Kampeni ya NMB MastaBATA, inayoendeshwa na Benki ya NMB, imefanyika jijini Dar es Salaam, ambako washindi...

READ MORE

Breaking News: Mawaziri Wawili Malawi Wafariki Kwa Corona

MALAWI leo Januari 12, 2021 imepata pigo  baada ya mawaziri wake wawili kufariki dunia kutokana na Covid-19. Waziri wa Habari...

READ MORE

Utashangaa! Baba Derava, Mama Konda, Wote ndani ya Gari Moja

Inaweza kuwa jambo lisilo la kawaida kuona kondakta wa kike akipiga debe katika daladala iliyojaa abiria kwenye mitaa yenye pilikapilika...

READ MORE

Bashungwa Aagiza Mabadiliko Jezi ya Stars

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, leo Januari 12, 2021 amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuboresha...

READ MORE

Waziri Afrika Kusini Apatikana na Corona

WAZIRI wa Nchi katika Ofisi ya Rais nchini Afrika Kusini, Jackson Mthembu, amekuwa waziri wa nne katika serikali ya Afrika...

READ MORE

Mwanafunzi Kijijini Aliyefaulu ‘A’ Masomo Yote Amkuna Shigongo

MWANAFUNZI Said Yusuph Robert aliyekuwa akisoma katika Shule ya Msingi Luholongoma, Kata ya Kafunzo, Halmashauri ya Buchosa, mkoani Mwanza, ambaye...

READ MORE

Trump Alilaumu Kundi la ‘ANTIFA’ Kwa Mashambulizi Bungeni

RAIS wa Marekani, Donald Trump, anaamini kinafiki kwamba kundi la wapinga ufashist lenye mrengo wa kushoto (ANTIFA) lilihusika katika mashambulizi...

READ MORE

Flaviana Matata Atoa Vifaa vya Masomo Shule ya Msinune, Pwani

TAASISI ya Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata imetoa vifaa vya masomo ikiwemo mabegi pampja na kalamu kwa wanafunzi wa Shule...

READ MORE

PataPata na Tigo Yakabidhi Milioni 10 Kwa Washindi Wawili

Meneja Uendeshaji kutoka The network limited, Lumuliko Mengele na kulia ni Fabian Felician, Meneja biashara huduma za tigo pesa wakimkabidhi...

READ MORE

Padri Anayedaiwa Kubaka, Kumpa Mimba Mwanafunzi Afunguliwa Mashtaka Upya

ALIYEKUWA Paroko wa Parokia ya Manushi Jimbo Katoliki la Moshi, Padri Erasmus Swai (44), ambaye anakabiliwa na kesi ya kubaka...

READ MORE

Waziri Awataka Wafanyakazi Uchukuzi Wasifanye Kazi kwa Mazoea

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho, amewataka wafanyakazi wa sekta ya uchukuzi kujenga tabia ya kujiendeleza kielimu...

READ MORE

Waziri Agundulika ‘Alipiga Chabo’ Akiwa Chuo, Ajiuzulu

WAZIRI wa Kazi, Familia na Vijana wa Australia, Christine Aschbacher, amejiuzulu baada ya kugundulika kuwa baadhi ya kazi zake za...

READ MORE

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) 49 waliokuwa...

READ MORE

Rais Nyusi: Magufuli Sili Sembe, Mama Nyerere Alinipikia Mbuzi – Video

RAIS wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi, amewasili Uwanja wa Chato Mkoa wa Geita katika ziara yake ya kikazi...

READ MORE

Mfanyabiashara Adai Kuporwa Eneo Alilonunua na Aliyemuuzia

MFANYABIASHARA Nicodemus Mollel mkazi wa Zanzibar amemshutumu Bwana Silvester mkazi Kijiji cha Msolwa Kata ya Kisanga Wilayani Kilosa mkoani Morogoro...

READ MORE

Bibi Harusi Afariki Dunia Baada ya Fungate

DESEMBA 11, 2020, Mastin Mukanga alifunga pingu za maisha na Linet Kavere katika harusi maridadi lakini bibi harusi aliaga dunia...

READ MORE

Akaunti za Facebook Zinazomwunga Mkono Museveni Zafungwa

WAFUASI wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, wameilalamikia kampuni ya Facebook kwa madai kuwa ilifunga akaunti zao kwenye mtandao huo....

READ MORE

Rais Amfuta Kazi Waziri wa Afya

RAIS wa Zambia, Edgar Lungu, amemfuta kazi waziri wa afya nchini humo, Chitalu Chilufya, ambaye mwezi Juni mwaka jana alikamatwa...

READ MORE

Polisi Watajwa Kushirikiana na Waliovamia Bunge

  TUKIO la Marekani la wafuasi wa Rais Trump kuvamia Bunge limezua sura mpya baada ya baadhi ya Wawakilishi kusema...

READ MORE

Live: Rais Nyusi Awasili Nchini, Apokelewa na JPM

Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi, amewasili nchini hii leo Januari 11, 2021, katika ziara yake ya siku mbili wilayani Chato,...

READ MORE

Wakurugenzi Wakalia Kuti Kavu, Silinde Awapa Maagizo – Video

NAIBU waziri wa nchi, ofisi ya Rais – Tamisemi, David Silinde, ametoa maagizo kwa wakurugenzi wote nchini waliopewa fedha shilingi...

READ MORE

Mmoja Afariki Gari la RPC Likiteketea kwa Moto

GARI la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita na gari ndogo la abiria aina ya Hiace jana, Januari 11, 2021,...

READ MORE

Wawili Wanusurika Basi Likitumbukia Baharini – Video

WATU wawili wamenusurika kifo baada ya basi la Pollman Tours na Safari Company walilokuwa wamepanda kuteleza na kuzama baharini katika...

READ MORE

Wawili Wafariki Katika Ajali Tarime

DEREVA wa Mkurugenzi wa Tarime Mji na Afisa Maendeleo ya Jamii jana Januari 10, 2021, walifariki dunia baada ya gari...

READ MORE

DC Gondwe: Tuache Maneno, Tufanye Kazi – Video

WAKAZI wa Wilaya ya Temeke wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuhakikisha maeneo yake yanakuwa katika hali...

READ MORE

Rais wa Msumbiji Kufanya Ziara Nchini

Rais Felipe Nyusi wa Msumbiji anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili nchini kuanzia kesho Januari 11. Akizungumza na...

READ MORE