×

Habari

Rais Magufuli Atunukiwa Tuzo

UONGOZI wa kanisa la Philadelphia Gospel Assembly, kupitia Kamati Kuu na Halmashauri Kuu imemtunukia tuzo ya uongozi Rais Dkt. John...

READ MORE

Tanzia: Askofu Banzi Afariki Dunia

ALIYEKUWA Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Tanga, Antony Banzi amefariki dunia leo asubuhi Jumapili Desemba 20, 2020.   Kwa...

READ MORE

Mzee Manara Aeleza Historia Ya Familia Yao Katika Soka, Ndoa Ya Haji -Video

 GLOBAL Tv Online imekutana na mzee Sunday Manara, ambaye ni Baba mzazi wa msemaji machachari wa Simba SC, Haji...

READ MORE

RC Kunenge Atoa Onyo Kali kwa Madalali Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Aboubakar Kunenge, amepiga marufuku tabia ya baadhi ya masoko kupangisha vizimba kwa...

READ MORE

Xtra Uni Bash 2020 Usipime Kabisa

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa (kulia) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Abubakar Kunenge...

READ MORE

Wataalamu HKMU Watafiti Njia Mpya Ya Kutibu Malaria

WATAALAMU wa Chuo cha cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki (HKMU,) wamefanya utafiti na kutoa machapisho kuhusu njia mpya ya kutibu...

READ MORE

Waziri Dkt. Gwajima Akutana Na Mwakilishi Mkaazi Un Women

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na taasisi za...

READ MORE

Maneno ya Mwisho ya Jengua Kabla ya Kifo

KAMA ulipata bahati ya kuangalia Kipindi cha Kidedea ndani ya Kundi la ChemChem Art, kilichokuwa kinarushwa kupitia Televisheni ya ITV...

READ MORE

Wizara ya Mazingira, Vodacom Wazindua Msitu wa Kupandwa Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira),Ummy Mwalimu (kushoto) akifunua kitambaa kwa kushirikiana na Mkuu wa...

READ MORE

Mbunge Mstaafu, Susan Lyimo Alivyowanoa Madiwani Wanawake

MBUNGE mstaafu Susan Lyimo, leo amewanoa madiwani wanawake kutoka katika halmashauri 24 ambazo ni mikoa 9 wanaoendelea na mafunzo ya...

READ MORE

Nyuma ya Pazia Kifo cha Jengua

DAR: Wakati Watanzania na wadau wa tasnia ya Bongo Movies wakiendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa mwigizaji nguli Bongo, Mohammed Fungafunga...

READ MORE

Mganga Atimuliwa kwa Tuhuma za Kubaka Wagonjwa

MGANGA wa tiba za asili (kienyeji) anayefahamika kwa jina la Kambo Kilima (78) ambaye makazi yake hayajafahamika anatuhumiwa kubaka wagonjwa...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Vyombo vya Habari Viwape Nafasi Wahitimu wa Habari

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi ameviagiza vyombo vyote...

READ MORE

Tanzia: Baba Mzazi wa DC Jokate Afariki Dunia

Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia alfajiri ya leo katika...

READ MORE

Tanzia: Waziri Ng’wandu Afariki Dunia

MBUNGE wa zamani wa Maswa na waziri mstaafu, Dkt. Pius Yasebasi Ng’wandu, amefariki dunia katika Hospitali ya Somanda, Bariadi mkoani...

READ MORE

Babu Tale, DC Watua Kwenye Gereza la Mtego wa Simba – Video

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Bakari Msurwa akiwa ameambatana na Mbunge wa Morogoro Kusini, Babu Tale, wameupongeza uongozi wa Gereza...

READ MORE

RC Kunenge Atoa Siku Tatu Kwa DAWASA Kufikisha Huduma Ya Maji Kwembe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ametoa siku tatu kwa DAWASA kuhakikisha wanakamilisha zoezi la kuunganisha...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021

Tazama hapa Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa na Serikali kujiunga na masomo ya sekondari kidato cha kwanza Tanzania Bara kwa mwaka...

READ MORE

RC Kunenge Ampa Maagizo Mkandarasi ‘Fanya Usiku na Mchana’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amemuelekeza mkandarasi kutoka Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kuhakikisha Ujenzi...

READ MORE

Spika Mstaafu Anna Makinda Utapenda Alivyowanoa Madiwani Wanawake

SPIKA mstaafu Anna Makinda, leo amewanoa madiwani wanawake wanaoendelea na warsha ya kuimarishwa kiuongozi inayoendele kwenye ofisi za Mtandao wa...

READ MORE

Breaking: Kiboko na Mkewe Watupwa Jela Miaka 20

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu Mahakama ya Mafisadi, imemhukumu mfanyabiashara maarufu nchini, Ayubu Kiboko...

READ MORE

Wanaougua Uti wa Mgogo Waiomba Meridian Bet Fursa za Ajira

Taasisi ya watu wanaougua uti wa mgongo nchini (KASI) wameomba nao wakumbukwe kwenye fursa za ajira zinapotokea nchini. Kauli hiyo...

READ MORE

DPP: Wanaoidai Qnet, Hakuna Kurejeshewa Fedha

MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amesema ni kosa kuwarejeshea fedha watu waliojiunga na kampuni ya Qnet kisha kudai...

READ MORE

Bunge Lamwondoa Madarakani Gavana Sonko

BUNGE la Seneti limemuondoa madarakani Gavana wa Nairobi, Mike Sonko, baada ya maseneta 27 kupiga kura za ndiyo kuunga mkono...

READ MORE

Breaking News: Rais Pierre Buyoya Afariki Dunia

RAIS wa zamani wa Burundi, Pierre Buyoya, ambaye aliiongoza  Burundi kwa mihula miwili kuanzia mwaka 1987 hadi 1993 kisha tena...

READ MORE

Kahama: Babu wa Miaka 75 Akamatwa na Silaha za Kivita

POLISI  mkoa wa Shinyanga linamshikilia Masanja Maziku Bugolole (75) Mkazi wa Kijiji cha Gula Wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa tuhuma...

READ MORE

Boko Haramu Yawaachia Wanafunzi 344 Iliowateka

MAMIA ya wavulana waliotekwa wiki iliyopita kutoka shule ya bweni kaskazini-magharibi mwa Nigeria wameachiliwa huru, mamlaka katika eneo hilo zimeliambia...

READ MORE

Kilichosemwa Mahakamani, Mabilioni ya Rugemalira, Seth – Video

  UPANDE wa mashtaka umeeleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi katika kesi inayowakabili mfanyabiashara, James Rugemarila, na mmiliki...

READ MORE

Dk. Mwinyi: Nivumilieni, Ninafanya Uamuzi Mgumu – Video

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amewataka wananchi kumvumilia wakati akifanya uamuzi mgumu dhidi ya watu wanaoshiriki rushwa, uhujumu uchumi,...

READ MORE

Jukumu la Kampuni za Simu Katika Kuwajengea Watanzania Ujuzi wa Kidijitali

Inafahamika wazi kuwa teknolojia imebadili maisha ya binadamu na mabadiliko mengi zaidi bado yanaendelea kuja. Tanzania ni moja ya nchi...

READ MORE

Majaliwa Atoa Siku 7 Walionunua Magari ya Gharama Wajieleze

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa siku saba kuanzia jana (Alhamisi, Desemba 17, 2020) kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,...

READ MORE

Makaburi ya Kifahari Yanayozidi Nyumba za Kifahari

MAISHANI watu wengi hutaka kuishi katika nyumba nzuri na za kifahari. Wengi huwa hawafanikiwi. Lakini nchini Mexico, ambapo ulanguzi wa...

READ MORE

Adaiwa Kumuua Mfanyabiashara Mwenzake, Amzika!

MBEYA: Taharuki imetanda baada ya mfanyabiashara Justin Justin (30), mkazi wa Upangwa wilayani Ludewa Mkoa wa Njombe kulazimika kukimbilia kusikojulikana...

READ MORE

Mwanamke Asakwa Akituhumiwa Kufanya Mapenzi ya Jinsia Moja na Watoto

PEMBA: Mwanamke mmoja Salma Mohamed Hamed ameshtakiwa polisi kwa tuhuma za kushiriki mapenzi ya jinsia moja na watoto wa shule...

READ MORE

Biashara Kuuza Mioyo ya Binadamu Yashtua

HATARI kubwa! Ndivyo unavyoweza kusema, kufuatia kuongezeka kwa watu wanaofanyiwa upasuaji wa kupandikiza moyo ili kuokoa maisha yao.   Maendeleo...

READ MORE

TGNP Yawanoa Kinamama Waliotwaa Udiwani

MTANDAO wa Jinsia wa TGNP leo Alhamisi umeanza warsha ya kuwanoa kiungozi kinamama kutoka mikoa mbalimbali waliotwaa udiwani na nyadhifa...

READ MORE

Fahamu Chanzo cha Serikali ya Umoja ya Kitaifa Zanzibar

KWA mujibu wa ripoti ya Human Rights Watch, maandamano ya Januari 2001 yaliondoka na roho za waandamanaji 35 katika kisiwa...

READ MORE

Mwili wa Bilionea Subhash Patel Ulivyoingizwa Makabuli ya Kijitonyama

ALIYEKUWA Mfanyabiashara Bilionea, Subhash Patel hivi ndiyo mwili wake ulivyowasili kwenye makabuli ya Wahindi ya Kijitonyama Jijini Dar na kupokelewa...

READ MORE

Vilio, Simanzi Miili 12 Ikiagwa, Mmoja Ashindwa Kutambulika – Video

HAKIKA  ilikuwa ni simanzi pale familia ya Mzee Mkama Mayunga ilipopoteza jumla ya ndugu wanane ambao walikuwa wakiishi Mtaa wa...

READ MORE

CRDB Yawapa Zawadi za Funga Mwaka Wanachuo

  BENKI ya CRDB imetoa zawadi kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini ikiwa ni sehemu ya kampeni ya JIPE 5...

READ MORE