×

Habari

Simu za Bei Rahisi Zitaongeza Kasi ya Uhamiaji Teknolojia ya 4G

Imebainishwa kuwa urahisishwaji wa upatikanaji wa simu janja  kwa bei rahisi  ni miongoni mwa njia mahususi zaidi zinazoweza kuchochea uhamiaji...

READ MORE

NMB Yawaandalia Hafla Fupi Wabunge, Yawapongeza Kwa Kuchaguliwa Kwao

Benki ya NMB jana imeandaa hafla maalum jijini Dodoma ya kuwakaribisha Waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la 12, lililozinduliwa hivi...

READ MORE

Wafuasi wa Trump Wapigana Kwenye Maandamano

Maandamano ya wafuasi wa rais wa Marekani, Donald Trump mjini Washington DC yameingia kwenye machafuko baada ya kuzuka mapigano baina...

READ MORE

Kongamano la ‘Woman of Influence’ Lajadili Madhara ya Covid 19

  AKINAMAMA Wajasiriamali mbalimbali wamekutana katika kongamano la ‘Woman of Influence, I’m Possible’ kujadili changamoto za ugonjwa wa Covid 19...

READ MORE

TAKUKURU, Mkurugenzi wa Jiji Dar Waokoa Bil. 12 Stendi ya Mbezi Luis

Mkurugenzi mkuu Takukuru, Brigedia John Mbungo amesema ofisi yake kwa kushirikiana na mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Zipora...

READ MORE

Kampuni ya Kulinda Wanafunzi KILA KONA Yaanza Kazi Dar

Kampuni ya Kidigitali ya Kuwalinda wanafunzi kila kona iitwayo KILA KONA imeanza kazi ya kuwalinda wanafunzi njiani wanapotoka nyumbani mpaka...

READ MORE

NEC Yatangaza Uchaguzi Mwingine Desemba 8, 2020

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeitisha uchaguzi mdogo katika kata tatu, Nyahanga, Igumbilo na Kibosho Kati, zilizoshindwa kufanya uchaguzi...

READ MORE

Bilionea Anayenunua Gunia la Mahindi kwa Elfu 75 na Kuuza kwa Elfu 45 Anaswa!

USICHEZE na serikali weweee! Siku chache baada ya bilionea wa ajabu aitwaye Agustino Njaku kutikisa mkoa wa Ruvuma na serikali...

READ MORE

Mwili wa Zipompa Ulivyopumzishwa Kwenye Nyumba Yake ya Milele

Aliyekuwa muigizaji wa filamu za Kibongo na mshereheshaji maarufu nchini, Gladys Chiduo maarufu kama Zipompapompa, mwili wake jana jioni ulipumzishwa...

READ MORE

Mo Salah Akutwa na Corona

Shirikisho la soka la Misri (EFA) limetangaza kuwa mshambuliaji wao Mo Salah amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Hii...

READ MORE

Keissy: Sielewi Kilichotokea

KADA machachari wa Chama cha Mapinduzi (CCM) aliyeangushwa katika nafasi ya ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Ally Keissy...

READ MORE

Mwenyekiti Adaiwa Kumtundika Denti Mimba

KATIKA kile kinachoonekana kumjaribu Rais Dk John Magufuli, Mwenyekiti wa Kijiji wilayani Magu Mkoa wa Mwanza, Badri Juma Masengo (40),...

READ MORE

Daftari la Wapiga Kura Uganda, Lapelekwa Uholanzi Kuhakikiwa

TUME ya taifa ya uchaguzi nchini Uganda   imelipelekwa daftari la wapiga kura Uholanzi kwa ajili ya kuhakikiwa kuelekea kwenye uchaguzi...

READ MORE

JPM: Hakuna Uhuru, Haki Usio na Wajibu, Kosoeni kwa Hoja – Video

RAIS  John  Magufuli amesema kuwa siku zote uhuru unakwenda na haki pamoja na uwajibikaji hivyo serikali yake itahakikisha mambo hayo...

READ MORE

Tufanye Haya Kuendelea Kuimarisha Ukuaji wa Uchumi

Tunaelekea kuufunga mwaka wa 2020 na panapo majaliwa itakuwa heri kwetu kuuona mwaka 2021. Miezi hii ya mwisho wa mwaka...

READ MORE

Dongo la Gwajima kwa Ndugai: Wagogo Walipanua Masikio – Video

  MBUNGE wa Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amesema wabunge wengi wa chama hicho wameshinda kutokana...

READ MORE

Jamaa Aliyejifanya Katibu wa Kangi Lugola Afikishwa Mahakamani

Mkazi wa jiji la Dar es Salaam, Godfrey Haule amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka matatu...

READ MORE

DC Chongolo Afanya Ziara ya Ukaguzi Miundombinu Shule ya Msingi Boko

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo ametembelea  Shule ya Msingi Boko kwa lengo la kukagua changamoto zilizojitokeza katika...

READ MORE

JPM: Nitatumbua Majipu, TZ Iwe ya Mabilionea… – Video

  RAIS John Magufuli amesema kuwa hatosita kuwawajibisha watendaji wake ambao watakuwa wazembe ama watafanya kazi kinyume na taratibu na...

READ MORE

Breaking: JPM Aanza na Mawaziri Hawa…

RAIS John Magufuli amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuanzia leo...

READ MORE

Trump Mahakamani Kupinga Matokeo ya Uchaguzi

MAOFISA wa kampeni wa Rais wa Marekani, Donald Trump, wamefungua kesi mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa rais katika...

READ MORE

Kaze Aanza Kazi ya Pointi Tisa

BAADA ya kumaliza kibarua chake cha kusaka pointi 12 kwenye mechi zake nne za mwanzo, Kocha Mkuu wa Yanga, Cedric...

READ MORE

Mahakama: Kutoa Wosia Si Uchuro

Jamii imeaswa kutoa wosia ili kuepusha migogoro baina ya ndugu na jamaa pindi binadamu anapofariki dunia na kwamba si kweli...

READ MORE

Tanzia: Rais Rawlings wa Ghana Afariki Dunia kwa Covid-19

  RAIS Mstaafu wa Ghana, Jerry Rawlings (73), amefariki dunia nchini humo kutokana na ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi...

READ MORE

Senzo Atoa Kauli Nzito Bifu Lake na Simba

BAADA ya jana Novemba 11, 2020, mshauri wa klabu ya Yanga SC, Senzo Mazingisa, kuhojiwa na maofisa wa polisi katika...

READ MORE

Kingdom Leadership Network Tanzania na Chuo cha Regent cha Marekani Kutoa Kozi

TAASISI ya Kingdom Leadership Network Tanzania na Chuo Kikuu Regent cha nchini Marekani wameungana na katika kutoa kozi mbalimbali hapa...

READ MORE

Mfahamu Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

MAJALIWA Kassim Majaliwa, ambaye amethibitishwa leo Alhamisi, Novemba 12, 2020 na Bunge la 12 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuendelea...

READ MORE

Dkt. Tulia Ashinda Unaibu Spika – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson, amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge...

READ MORE

Tumbili wa Ajabu Agunduliwa na Wanasayansi

TUMBILI  wanaojulikana kwa jina la Popa langur, ambalo ni jina la mlima Popa, barani Asia, wanakabiliwa hatari ya kuangamia kwa...

READ MORE

Majaliwa Athibitishwa na Bunge Zima Kuwa Waziri Mkuu – Video

MBUNGE wa Ruangwa, Kassim Majaliwa Majaliwa, amethibitishwa kwa kupigiwa kura za NDIYO  na wabunge wote 350 waliokuwemo Bungeni leo Alhamisi,...

READ MORE

Liverpool Yapata Pigo Tena

BEKI wa kati wa klabu ya Liverpool, Joe Gomez, ameripotiwa kupata majeraha makubwa na anatazamiwa kukaa nje kwa muda mrefu....

READ MORE

Breaking: JPM Apendekeza Majaliwa Kuwa Waziri Mkuu – Video

RAIS John  Magufuli amempendekeza na kumteua tena Mbunge wa Ruangwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu...

READ MORE

Unakosaje Hii Kwa Mfano? Furahia Sauti za Wanyama Kutoka Msituni

Furahia sauti za wanyama wa msituni kwenye sloti ya Forest Rock kutoka Expanse Studios. Cheza kwa kutumia pesa halisi kwenye...

READ MORE

Vodacom Yazindua Huduma ya Duka Linalotembea

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom PLC imezindua huduma ya Duka linalotembea ili kuwafikia wateja popote. Uzinduzi umefanyika jana...

READ MORE

Wafanyabiashara Wawili Wanaswa na Bangi, Sare za JWTZ – Pichaz

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia wafanyabiashara wawili wanaofahamika kwa majina ya Husein Sadick Juma (29) mkazi wa Kimara Temboni jijini Dar...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 12, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 12, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

 Bao la Onyango Lawanyima Mastaa Yanga Sh mil 500

BAO la kusawazisha la beki wa kati, raia wa Kenya, Joash Onyango, limezuia Sh milioni 500 walizoahidiwa wachezaji wa Yanga...

READ MORE

 Kisa penalti, shabiki Simba afariki dunia

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, shabiki wa Simba ambaye pia ni mwanachama wa timu hiyo kutoka wilayani Misungwi jijini Mwanza,...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuita Maalim Seif Kuridhiana – Video

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema yuko tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa, kuendesha serikali kama ambavyo...

READ MORE

Kamera Iliyopiga Picha ya Kwanza Duniani Iko Mnadani

KAMERA ya zamani  iliyotengenezwa mwaka 1840 itauzwa kwa pauni 70,000 katika mnada huko  Berksshire, nchini Uingereza.   Kwa ujumla zipo...

READ MORE