×

Habari

Mchungaji Ashambuliwa na Nyoka Akikemea Mapepo

HALI  ya kutatanisha imezuka Kasikeu, Makueni nchini Kenya wakati Pasta aliyeitwa kuwakemea mapepo aliposhambuliwa na nyoka katika nyumba ya jirani...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Eswatini Afariki kwa Corona

SERIKALI  ya Eswatini imesema Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Ambrose Dlamini, amefariki dunia, wiki nne baada ya kupatikana na virusi...

READ MORE

Mbaroni Akidaiwa Kuua Mchepuko na Mtoto

POLISI mkoani Kagera inamshikilia Festo Venance mwenye (38) kwa tuhuma za kuwaua watu wawili na kumjeruhi mwingine mmoja, katika kijiji...

READ MORE

Google Yataja Maneno Yaliyotafutwa zaidi 2020, Tanzania Imo

KAMPUNI ya Google imetoa orodha ya maneno yaliyotafutwa zaidi katika nchi mbalimbali duniani mwaka 2020 ikiwemo Kenya.   Orodha hiyo...

READ MORE

Breaking News: 14 Wafariki Ajalini Singida

WATI  14 wamepoteza maisha na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea mkoani Singida baada ya gari dogo la...

READ MORE

Sekeseke Kung’olewa Spika DRC Lafika Pabaya

MUUNGANO wa vyama vya kisiasa wa FCC wa aliyekuwa rais wa Congo (DR), Joseph Kabila, umekiri kuwa kung’olewa kwa, Jeanine...

READ MORE

Shigongo Kwashughulikia Mafisadi Bulyaheke – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mheshimiwa  Eric Shigongo, ametembelea ujenzi wa zahanati ya Bulyaheke na kusisitiza watendaji pamoja na kamati ya ujenzi...

READ MORE

Magari ya Angani Kufungwa Mlima Kilimanjaro

SERIKALI a imeruhusu ufungwaji wa magari yanayotumia nyaya angani (cable cars) katika Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu zaidi barani Afrika ili...

READ MORE

Nmb Kukuza Uchumi wa Zanzibar Kupitia Utalii

  Benki ya NMB imesema kuwa imejipanga na kukusudia kuhakikisha inashirikiana na serikali katika kuona sekta ya utalii inakidhi mahitaji...

READ MORE

Global Habari Dec 13 – Vituo Vya Malezi Ya Watoto Vyapewa Siku 14 Kujitathmini

 Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu amewapa siku 14 wamiliki wa...

READ MORE

Soko la Chuno Kivutio Manispaa Mtwara Mikindani – Picha

Hili ni soko la kisasa maarufu kama Soko la Chuno linalojengwa ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani, soko hili ni...

READ MORE

Familia Wagombania Mali za Maradona

ATAENDELEA kukumbukwa kuwa ni shujaa wa soka, ikiwemo mafanikio yake katika Kombe la Dunia 1986 alipofunga bao la ‘Mkono wa...

READ MORE

Taasisi za Umma Zenye Madeni Kukatiwa Umeme

WAZIRIi wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kuwakatia umeme wadaiwa wote sugu wa umeme nchi...

READ MORE

Mrithi Wa Ummy Mwalimu Gumzo, Abebwa Na Falsafa Ya Utendaji Wa Kasi

KATIKA majina ya mawaziri waliounda Baraza la Mawaziri lililoteuliwa na Rais Dk John Pombe Magufuli ‘JPM’, wiki iliyopita, jina la...

READ MORE

Zanzimana: Nusu Binadamu, Nusu Sokwe, Awashangaza Wazungu

BI RUKIA, mkazi wa Manga A pale jijini Mbeya alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kutupa kichanga...

READ MORE

Chuo Kikuu Ardhi Chafanya Utafiti Kudhibiti Matetemeko

  CHUO Kikuu Ardhi (ARU) kimefanya utafiti kuhusu teknolojia ya asili ya ujenzi wa nyuba zinazostahimili matetemeko ya ardhi katika...

READ MORE

Mke Alia Mumewe Kufanyiwa Kitu Mbaya na Mwenyekiti

LOGATI Jonathan ambaye ni mkazi wa Kitongoji cha Maretoni, Kata ya King’ori – Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, ameiomba Serikali...

READ MORE

Shigongo Akomaa na Daraja Korofi Buchosa

MBUNGE  wa Jimbo la Buchosa, Mh. Eric Shigongo amekagua ujenzi wa daraja la Mizolozolo barabara ya Sengerema – Nyehunge ambapo...

READ MORE

DC Sabaya Amsweka Ndani Mtumishi kwa Utapeli – Video

MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, ameingilia kati sakata la @qnetintanzania na wananchi. Baadhi ya wananchi na walimu...

READ MORE

DAS Ashauri Wanawake Nao Walipe Mahari

KATIBU  Tawala wa wilaya ya Bukoba (DAS), mkoani Kagera, Kadole Kilugala, amesema kuwa kama suala la mahari ni lazima katika...

READ MORE

Senzo Atwishwa Zigo la Kichuya

BODI ya Wakurugenzi ya Simba SC inakutana kwa haraka kujadili adhabu ya faini ya Sh 294 milioni ambazo Shirikisho la...

READ MORE

Mmoja Mbaroni Mauaji ya Mwanafunzi

JESHI la polisi mkoani Mwanza linamshikilia Hamis Omary mwenye umri (19) mkazi wa Nyasaka kwa tuhuma za mauaji. Mtuhumiwa alinadaiwa...

READ MORE

GSM GROUP Yazindua Maduka Matatu Makubwa Jijini Dodoma

Kampuni ya GSM Group imezindua maduka makubwa eneo la Capital City Mall jijini Dodoma yatakayokuwa yakiuza bidhaa mbalimbali zikiwemo samani...

READ MORE

Msuva Aanza Vizuri Wydad Casablanca

 KIUNGO mshambuliaji Mtanzania, Simon Msuva juzi amefanikiwa kupata ushindi wa pili akiwa na timu yake mpya ya Wydad Casablanca katika...

READ MORE

Wema, Nicole, na Poshy Queen Wanatajwa Kutengeneza Shepu

SIKU hizi muonekano ndio humbeba mtu hasa mtoto wa kike, ndio! Ukiwa na muonekano mzuri ni rahisi hata kupata madili...

READ MORE

Washindi 40 Wa Droo ya Pili Ya Mastabata Siyo Kikawaida Watangazwa!

Benki ya NMB imetangaza washindi 40 wa Sh. 100,000 kila mmoja wa droo ya pili ya Kampeni ya NMB MastaBata...

READ MORE

Amshtaki Mpenzi Wake kwa Kumpotezea Muda Miaka 8

Mwanamke mmoja nchini Zambia amemshtaki mpenzi wake kwa kumpotezea muda na kushindwa kumuoa baada ya kuchumbiana kwa miaka nane.  ...

READ MORE

VOA: DUNIANI LEO – DESEMBA 11, 2020 -VIDEO

 Karibu utazame Dakika 30 za TAARIFA YA HABARI ya Duniani Leo kutoka SAUTI YA AMERIKA (VOA) zilizosheheni habari mbalimbali...

READ MORE

Naibu Waziri Kuanza na WhatsApp, Instagram

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Andrea Kundo amesema Wizara yake itaacha kukumbatia teknolojia za nje na badala...

READ MORE

Shigongo Afanya Jambo Zito Daraja Lililoshindikana Buchosa – Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Eric Shigongo James, mapema leo Ijumaa Desemba...

READ MORE

Aliyenyongwa na Trump, Kim Kardashian Ateseka!

KIM KARDASHIAN amempoteza mtu aliyekuwa miongoni mwa  aliokuwa akiwatetea kwenye kesi zao mahakamani. Brandon Bernard amenyongwa hadi kufa Jana mjini...

READ MORE

Trump Rais wa Kwanza Karne Hii Kunyonga Marekani

  HUKUMU ya kifo ya mfungwa Brandon Bernard imetekelezwa katika jimbo la Indiana baada ya ombi la dakika za mwisho...

READ MORE

Ndugai Atoa Tamko Wabunge Ambao Hawajaapa

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amemWapisha Prof. Shukrani Manya kuwa mbunge rasmi huku akitoa...

READ MORE

Msukuma Aibua Mapya “Watumishi Wanachezea Mafuta na Magari” – Video

Mbunge wa jimbo la Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, amesema watumishi wa halmashauri mpya ya Nzela hawataki kuhamia kwenye halmashauri hiyo,...

READ MORE

Magufuli: Mishahara Madini Ipunguzwe – Video

RAIS  John Magufuli, leo Desemba 12, amemwapisha, Profesa Shukrani Manya, kuwa Naibu waziri wa madini. Naibu waziri wa madini huyo,...

READ MORE

Tanzia: Mwigizaji Tommy Lister Afariki Dunia

Mwigizaji Tommy Lister maarufu ‘Tiny’ amefariki dunia, imeripotiwa kwamba alikutwa akiwa na hali mbaya kwenye apartment aliyokua anaishi na kuwaishwa...

READ MORE

Mti wa Ajabu kwa ‘Babu Tale’, Unakusanya Kijiji Kizima – Video

MATULI ni kijiji kilichopo Ngerengere mkoani Morogoro, Jimbo la Morogoro Kusini-Mashariki chini ya Mbunge wake, Hamis Taletale (Babu Tale).  ...

READ MORE

Yaliyomo Kwenye Tecno Camon 16

  TECNO CAMON 16 ni simu mpya kabisa kutoka kampuni ya TECNO ambayo imezinduliwa hivi karibuni na kuingia rasmi katika...

READ MORE

Maalim Seif Akataa Kuitwa Msaliti

MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema uamuzi wa ACT-Wazalendo na yeye kuridhia kujiunga na Serikali...

READ MORE