×

Habari

Rais SamiAwatunuku Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya Kijeshi Wahitimu 106 wa TMA Monduli – (Video +Picha)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza mahafali ya Chuo...

READ MORE

Upo Tayari Kwa Tukio Lisilo la Kawaida? Zombie Apocalypse Ya Meridianbet Imeanza

Meridianbet inawakilisha ulimwengu mpya wa kasino ambapo mchezo wa Zombie Apocalypse unakuletea taharuki, shangwe, na fursa za kushinda kama hujawahi...

READ MORE

Polisi Mkoa wa Mbeya Wakamata Mwandambo Akidaiwa Kusambaza Maneno ya Uchochezi Mitandaoni

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limemkamata mwalimu wa shule ya awali Saint Clemence, Clemence Kenani Mwandambo, kwa tuhuma za...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Atunuku Kamisheni Kwa Maafisa Wanafunzi Wa JWTZ, Monduli (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anongoza hafla ya kutunuku Kamisheni...

READ MORE

Dk. Mwigulu Avunja Ukimya, Asema Mabasi ya Ester Sio Mali Yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ameibuka na kuweka wazi kuhusu uvumi unaosambazwa katika mitandao...

READ MORE

Rais Samia Amteua Lazaro Nyalandu Kuwa Mshauri wa Diplomasia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Lazaro Nyalandu kuwa Mshauri wa Rais katika...

READ MORE

Exim Yaongoza Mapambano Dhidi ya Kisukari kwa Kufanya Upimaji wa Afya Bure

Kisukari kinaendelea kuwa miongoni mwa changamoto kubwa za kiafya zinazokua kwa kasi nchini Tanzania, na kuathiri maelfu ya watu kila...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Aagiza Mkandarasi Kukamatwa Na Kuzuia Hati Yake – Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yatoa Vifaa Tiba Kituo Cha Afya Goba

Dar es salaam, Novemba 20, 2025 — Benki ya Stanbic imekabidhi msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya...

READ MORE

Serikali Yavunja Ukimya Ripoti ya CNN: “Tunachambua Maudhui Kwa Umakini”

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefuatilia makala iliyochapishwa muda mfupi uliopita na chombo cha habari cha CNN...

READ MORE

Meridianbet Yaleta Faraja na Tumaini kwa Familia Zenye Uhitaji Dar es Salaam

Kampuni ya Meridianbet, inayojivunia kuwa mstari wa mbele katika michezo ya ubashiri na uwekezaji wa kijamii, imeendelea kugusa maisha ya...

READ MORE

Polisi Watoa Tahadhari Kali Dhidi ya Matamko Yanayoweza Kuharibu Amani

Polisi Nchini limetoa tahadhari kali kwa makundi na watu binafsi wanaotoa kauli, matangazo au mikutano inayoweza kuhatarisha amani na kuibua...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Azungumza na Katibu Mkuu wa TEC, Padri Kitima Dar

Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu...

READ MORE

Rais Dkt.Samia ateua Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais,Maendeleo ya Vijana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu...

READ MORE

Mwanamfalme wa Saudi Arabia Amuomba Trump Kumaliza vita Sudan

Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan. Hii ni kufuatia ombi la mwanamfalme...

READ MORE

Waziri Kabudi Atarajiwa Kuzindua Maonesho ya Kimataifa ya Vitabu Dar, Kesho

Kamati ya Maonesho ya Vitabu Tanzania na Chama cha Wachapishaji Tanzania wanayofuraha kutangaza kwamba maonesho ya 32 ya Kimataifa ya...

READ MORE

Rais Samia Aitaka Tume Kuchunguza Kauli za Makundi Wakati wa Vurugu Nov. 29 – Video

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema moja ya mambo yanayotarajiwa kuchunguzwa Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Atunuku Shahada kwa Wahitimu wa Mahafali ya 55 ya Chuo Kikuu cha Dar

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,...

READ MORE

Wasaidizi 9 wa Familia ya Bongo Wahukumiwa Kwa Ufujaji wa Fedha za Umma

Mahakama nchini Gabon imewahukumu wasaidizi tisa wa aliyekuwa Mke wa Rais wa Gabon, Sylvia Bongo, na mwanawe Noureddin Bongo, kifungo...

READ MORE

Hii Hapa Orodha ya Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji,...

READ MORE

Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi!

Je unajua kuwa ukipiga *149*10# unaweza ukajishindia Samsung A26?. Mechi kibao za kukupatia pesa zipo hapa huku nafasi ya kushinda...

READ MORE

Tanzania Yapokea Mabaki ya Joshua Mollel Aliyeuawa na Hamas, Mazishi Kufanyika leo Manyara

Mabaki ya mwili wa Kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa HAMAS Oktoba 07, 2023 yamewasili Novemba 19,...

READ MORE

Rais Samia na Rais Museveni Watunukiwa Tuzo za Heshima na CAF

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, wametunukiwa tuzo za...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aiwakilisha Tanzania Katika Uwekaji Jiwe la Msingi la Ukarabati wa TAZARA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Jijini Lusaka nchini Zambia Novemba 19,...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo Na Mawaziri Wa Ofisi Yake Dodoma

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri...

READ MORE

Machumu Ateuliwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Tido Mshauri wa Rais – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya uongozi katika Kitengo cha Mawasiliano Ikulu...

READ MORE

Rais Samia Amteua Lazaro Nyalandu Kuwa Balozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro...

READ MORE

Polisi Kuwasaka Waliomuua Mc Pili Pili

Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma limethibitisha kifo cha Mshereheshaji na Mchekeshaji maarufu, Emmanuel Mathias (MC Pilipili), mkazi wa Swaswa,...

READ MORE

Kihongosi: Chama Kitaimarisha Usimamizi wa Utekelezaji wa Ilani – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kitaisimamia kikamilifu Serikali ili kuhakikisha utekelezaji wa ilani na maono ya Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Kukamatwa Kwa Dkt. Michael: Polisi Geita Wafichua Kinachoendelea

Kufuatia kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa Daktari Kibaba Furaha Michael wa Hospitali ya Rufaa ya Geita...

READ MORE

Trump: Marekani Itaiuzia Saudi Arabia Ndege za Kisasa za F-35

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa serikali yake imekubali kuiuzia Saudi Arabia ndege za kivita za kisasa aina ya...

READ MORE

Mataifa 9 Yenye Uwezo Mkubwa wa Silaha Hatari za Nyuklia

MATAIFA mengi yamekuwa yakiweka maelezo mengi kuhusu zana zake za kinyuklia kuwa siri kubwa, lakini inajulikana kwamba yapo mataifa tisa...

READ MORE

Nana Dollz Afunguka Baada ya Kununua Range Rover “Mwaka Mgumu Lakini Mungu Amenisaidia”

Mwanamitandao maarufu Nasma Hassan Athuman anayejulikana kama Nana Dollz, amefanikisha kununua gari la kifahari aina ya Range Rover Velar SUV...

READ MORE

Waziri Kabudi Aeleza Dira Mpya ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi amesema wizara hiyo ina mchango katika msingi wa umoja na...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Aanza Rasmi Majukumu Wizara Ya Afya

Waziri wa Afya Mohammed Mchengerwa, ameanza rasmi majukumu yake leo tarehe 18 Novemba, 2025 mara baada ya kuapishwa na Rais...

READ MORE

MC Pilipili Afariki Kwa Kupigwa na Watu Wasiojulikana – Video

Kaka wa marehemu Emmanuel Mathias, maarufu kama MC Pilipili, amesema matokeo ya uchunguzi wa awali yanaonyesha kwamba kifo cha mdogo...

READ MORE

Rais Samia Aunda Tume ya Uchunguzi Huru wa Matukio ya Amani Kabla na Baada ya Uchaguzi

Rais Samia Suluhu Hassan ameunda tume huru ya kufanya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea nchini wakati na...

READ MORE

Kesi ya Dkt. Manguruwe Wadai 100 Kuongezwa Kwenye Hati ya Mashtaka

UPANDE wa Mashtaka katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Vanilla International, Simon Mkondya maarufu Dkt....

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Mawaziri Wapya Na Manaibu, Makonda (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa dhamana alizowapa Mawaziri na Manaibu Mawaziri wapya...

READ MORE

BRELA Yatoa Tuzo Kwa Mhitimu Bora Wa Jumla Wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi Ya Morogoro

Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) imetoa tuzo kwa mhitimu bora wa jumla wa mwaka 2025 kutoka Chuo...

READ MORE