×

Habari

Kura 14 Za Ndio Zamwondoa Meya Iringa Madarakani

Wajumbe wa Baraza maalumu la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa nchini Tanzania Jumamosi Machi 28, 2020 wamemuondoa madarakani...

READ MORE

Bahati Nasibu Ya Shinda Gari, Wasomaji Kawe Wamiminika Kujaza Kuponi

    Wasomaji mbalimbali wa magazeti ya Championi na Spoti Xtra wa maeneo ya Kawe, Mikocheni hadi Msasani mapema leo...

READ MORE

Tanzia: Waziri Kiongozi wa Kwanza Zanzibar Afariki Dunia

Waziri Kiongozi wa kwanza Zanzibar (1972-1984), Muasisi wa Mapinduzi na Muungano, Ramadhani Haji Faki (99), amefariki Dunia jijini Dar leo,...

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Misaada ya Bil 1.185 Kukabiliana na Corona

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea msaada wa fedha pamoja na vitu mbali mbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa...

READ MORE

Azania Yadhibiti Corona Mbagala kwa Sabuni ya Champions

MAKAMPUNI ya Azania Group ambao ni mabingwa wa kutengeza sabuni zenye ubora wa hali juu za King Limau na Marhaba...

READ MORE

Rais Magufuli Awasili Chato Geita Akitokea Dodoma – Picha

Rais Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Ndege Chato Mkoa wa Geita leo Jumamosi Machi 28, 2020 akitokea jijini Dodoma.

READ MORE

Waziri Mkuu Apokea Misaada ya ya Shilingi Bilioni 1.185 Kukabiliana na COVID-19

Waziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa msaada wa fedha pamoja na vitu mbalimbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa...

READ MORE

Nafasi 2 Nursing Officers at Mzumbe University

Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanian to fill the following Contract vacant posts: NURSING OFFICER II...

READ MORE

Naibu Waziri Mabula Achoshwa na Bajeti za Upimaji Ardhi Halimashauri za Mkoa wa Kagera

  Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula ameonesha kutoridhishwa na kiasi cha fedha kilichotengwa...

READ MORE

RC Mwanri Ataka Wananchi Kususia Maduka Yasiyo na Sanitizer – Video

MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa huo kutoa taarifa za wageni wasiofahamika walikopotoka...

READ MORE

Marekani Yawataka Wananchi Wake Walioko TZ Warejee U.S

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19.   ...

READ MORE

Marekani: Waathirika wa Corona Virus Wafikia 104,256

MAREKANI imeendelea kuongoza kwa idadi kubwa ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona ambapo wamefikia  104,256 na waliopona ni...

READ MORE

Corona Yaleta Mtikisiko Wa Uchumi Dunia Nzima

DAR: Ni vilio kila kona, ndivyo unavyoweza kutafsiri janga la maambukizi ya Virusi vya Corona ambavyo sasa vimeathiri sekta zote...

READ MORE

Corona Imetibua Uchaguzi Mkuu wa Nchi Nyingi Duniani

HALI haijulikani itakuwaje kwa nchi nyingi za Afrika ambazo zinatakiwa kufanya uchaguzi mkuu mwaka huu kama Virusi vya Corona vitaendelea...

READ MORE

WWF KUWEKEZA MSITU WA HIFADHI WA VIKINDU

Shirika la hifadhi ya mazingira duniani la WWF ofisi ya Tanzania limesema katika maadhimisho ya saa ya dunia ambayo binadamu...

READ MORE

Balozi Kairuki: Watanzania Sitisheni Kuja China, Kuna Corona – Video

China imetangaza kuzuia wageni wote kuingia nchini humo hata kama wana viza au vibali, lengo likiwa kudhibiti maambukizi ya virusi...

READ MORE

Walioambukizwa Corona Uganda Wafikia 18

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amesema idadi ya maambukizi nchini humo imefikia 18 baada ya vipimo 197 vilivochukuliwa jana kuthibitisha...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Corona Afrika Kusini

WAZIRI wa Afya wa Afrika Kusini, Dkt. Zweli Mkhize,  amesema watu wawili kutoka Jimbo la Western Cape wamefariki dunia kutokana...

READ MORE

Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson Apata Corona

WAZIRI Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amethibitika kuwa na virusi vya corona, taarifa iliyotolewa na Mamlaka za Uingereza imesema Boris...

READ MORE

Tokomeza Corona ya Championi, Spoti Xtra Yatinga Karume, Buguruni

GLOBAL Publishers kupitia magazeti yake bora ya michezo Tanzania ya Championi na Spoti Xtra, imeendelea na kampeni ya kuzuia kusambaa...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Virusi Vya Corona Na Ujauzito

KUNA mengi yasiyofahamika kuhusu madhara ya Virusi vya Corona kwa wajawazito na akina mama wanaonyonyesha. Lakini uelewa wa madhara ya...

READ MORE

Corona: Raia Wapigwa Risasi kwa Kukiuka Agizo la Rais

WATU wawili wamelazwa hospitali nchini Uganda baada ya kupigwa risasi na polisi kwa kukiuka agizo la Rais Yoweri Museveni la...

READ MORE

Baada ya Kuzidiwa na Corona, Marekani Yaiangukia China

BAADA ya kurushiana maneno kwa muda mrefu, kila mmoja akimshutumu mwenzake kwamba ameleta janga la virusi vya corona, hatimaye serikali...

READ MORE

Marekani Yaongoza Maambukizi ya Corona, Yaipiku China

MAREKANI imeripoti jumla ya maambukizi 85,604 na kuwa nchi yenye maambukizi mengi zaidi ikiizidi China yenye maambukizi 81,340 na Italia...

READ MORE

Papa Francis Apimwa Corona

KIONGOZI wa KanIsa Katoliki Duniani, Papa Francis amepimwa virusi vya corona (covid-19) na kuthibitika kuwa hajaambukizwa.   Alipimwa virusi hivyo...

READ MORE

Yanga, GSM Mambo Safi, Niyonzima Afunguka

BAADA ya kuenea taarifa za kujitoa kwa wadhamini wa Klabu ya Yanga, Kampuni ya GSM, kiungo mchezeshaji wa timu hiyo,...

READ MORE

Mgonjwa wa Kwanza Afariki kwa Corona Kenya

SERIKALI ya Kenya imethibitishia kuwa mgonjwa wa kwanza aliyekutwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini humo ambaye ni mwanamme...

READ MORE

Anayedaiwa Kumuua Binti wa Kazi kwa Kipigo Kortini Tena

  Kesi ya mauaji namba 5 ya mwaka 2020 imekuja kutajwa tena kwa Mara ya pili Leo katika mahakama ya...

READ MORE

Makongoro Mahanga Azikwa Dar, Zitto Atoa Ujumbe Mzito – Video

SIMANZI na majonzi yametawala wakati wa kuaga mwili wa marehemu Milton Makongoro Mahanga, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa...

READ MORE

Deni la Taifa Lapaa Tena

DENI la Taifa katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19, limeongezeka kwa asilimia 2.18, kutoka Sh. 50.93 trilioni mwaka 2018 hadi...

READ MORE

Msemaji wa Simba Azikwa Magomeni Dar (Picha +Video)

MAREHEMU Asha Muhaji (50) aliyekuwa ambaye mhariri wa magazeti ya michezo ya Kampuni ya Habari Cooparation, Dimba na Bingwa,  pia...

READ MORE

Mwenye Nyumba Awasamehe Kodi Wapangaji Kisa Corona

BABA mwenye nyumba mmoja kutoka Nyandarau nchini Kenya amewasamehe wapangaji wake kodi ya nyumba ya miezi miwili ili watumie pesa...

READ MORE

Mitumba Yapigwa Marufuku Kenya

KENYA imepiga marufuku uingizaji na uuzaji wa nguo za mitumba nchini humo katika harakati za kupambana na usambaaji wa virusi...

READ MORE

Championi, Spoti Xtra Zaungana Kutokomeza Corona

  GLOBAL Publishers kupitia magazeti yake bora ya michezo Tanzania ya Championi na Spoti Xtra, imeanzisha kampeni ya kuzuia kusambaa...

READ MORE

JPM Apokea Ripoti ya CAG Ikulu, Dodoma (Picha +Video)

 RAIS John Magufuli leo Machi 26, 2020, amekabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/2019 iliyowasilishwa...

READ MORE

JPM Amteua Brig. Jen. Mbungo Kuwa Mkurugenzi Takukuru – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli amthibitisha Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia...

READ MORE

Sirro Ampandisha Cheo Aliyetoa Wazo la Kituo cha Huduma

Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) nchini Tanzania, Simon Sirro amempandisha cheo Christina Onyango kuwa mkaguzi msaidizi wa Polisi. Awali Christina...

READ MORE

JPM: “Wanafikiri Nitaahirisha Uchaguzi Sababu ya Corona?” – Video

Rais Dkt. John Magufuli amesema uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu hautaahirishwa licha ya kuwepo kwa tishio la mlipuko...

READ MORE

Rais JPM Amtumbua Balozi; Asema Abebe Msalaba Wake – Video

RAIS John Magufuli  amemvua ubalozi na kumrejesha nyumbani aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia, Emilia Mkusa,  kutokana na ripoti  Mdhibiti...

READ MORE

Kenyatta Apunguza Mshahara Wake Kupambana na Corona

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amepunguza mshahara wake na wa makamu wake, William Ruto, kwa asilimia 80 kwa ajili ya...

READ MORE